• .... Not All Enemies Are Enemies.

    When baboons and monkeys heard that the man who used to chase them away from the maize field has died, they hysterically celebrated.

    The following year, there was no maize. That's when they painfully realised the dead man was the farmer!

    People might not see the usefulness of your actions today but will realize its importance when you are no longer present.

    Remember, not all enemies are enemies.
    .... Not All Enemies Are Enemies. When baboons and monkeys heard that the man who used to chase them away from the maize field has died, they hysterically celebrated. The following year, there was no maize. That's when they painfully realised the dead man was the farmer! People might not see the usefulness of your actions today but will realize its importance when you are no longer present. Remember, not all enemies are enemies.
    Like
    Love
    Haha
    11
    4 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • Love
    Like
    6
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 255 Views 72
  • © Kiongozi bora uwanjani.
    Kiwango bora muda wote.
    © Kiongozi bora uwanjani. 👏 Kiwango bora muda wote.
    Love
    Like
    5
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 165 Views
  • .MIMI SIO MFANYAKAZI WA YANGA NA WALA SIPATI HATA SHILINGI KUTOKA YANGA

    "Mimi Sio Mfanyakazi Wa Yanga Na Sipati Hata Shilingi Kutoka Yanga,hata Kwenye Mfumo Wa Mishahara Ya Wafanyakazi Wa Yanga Mimi Sipo

    Mimi Nina Biashara Zangu Binafsi Ndio Ambazo Zinaniingizia Kipato Na Sio Yanga,pale Yanga Mimi Ni Rais Wa Klabu Na Sio Mfanyakazi Wa Klabu, Mfanyakazi Wa Klabu Anaanzia Ceo Hapo Ndo Level Ya Wafanyakazi Ndani Ya Klabu Yetu Inaanzia"

    - Eng. Hersi Said
    Rais Wa Klabu Ya Yanga
    .🚨MIMI SIO MFANYAKAZI WA YANGA NA WALA SIPATI HATA SHILINGI KUTOKA YANGA "Mimi Sio Mfanyakazi Wa Yanga Na Sipati Hata Shilingi Kutoka Yanga,hata Kwenye Mfumo Wa Mishahara Ya Wafanyakazi Wa Yanga Mimi Sipo Mimi Nina Biashara Zangu Binafsi Ndio Ambazo Zinaniingizia Kipato Na Sio Yanga,pale Yanga Mimi Ni Rais Wa Klabu Na Sio Mfanyakazi Wa Klabu, Mfanyakazi Wa Klabu Anaanzia Ceo Hapo Ndo Level Ya Wafanyakazi Ndani Ya Klabu Yetu Inaanzia" - Eng. Hersi Said Rais Wa Klabu Ya Yanga
    Love
    Like
    6
    1 Yorumlar 0 hisse senetleri 329 Views
  • .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Kila unapoona Wanayanga wanakunywa supu, ujue ni maadhimisho ya zile goli 5. Nimemwambia Ally Kamwe zoezi hili liendelee kwa sababu linatukumbusha tukio lililotupa raha sana mashabiki wa Yanga” Eng Hersi Said
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Kila unapoona Wanayanga wanakunywa supu, ujue ni maadhimisho ya zile goli 5. Nimemwambia Ally Kamwe zoezi hili liendelee kwa sababu linatukumbusha tukio lililotupa raha sana mashabiki wa Yanga” Eng Hersi Said
    Love
    Like
    5
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 299 Views
  • .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Malengo yetu kwenye Ligi ya Mabingwa msimu huu ni tufike tena Hatua ya Robo Fainali. Lakini kwenye maisha M/Mungu hutoa zawadi, tukipata zawadi ya kufika Fainali na kuchukua Ubingwa basi tutashukuru. Target yetu ni Robo Fainali na tutapambana kufanikisha hilo,” Eng Hersi Said
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Malengo yetu kwenye Ligi ya Mabingwa msimu huu ni tufike tena Hatua ya Robo Fainali. Lakini kwenye maisha M/Mungu hutoa zawadi, tukipata zawadi ya kufika Fainali na kuchukua Ubingwa basi tutashukuru. Target yetu ni Robo Fainali na tutapambana kufanikisha hilo,” Eng Hersi Said
    Love
    Like
    5
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 288 Views
  • ."Klabu inamtambua @alikamwe kama afisa habari kwasababu mpaka sasa mkataba wake unasema hivyo. @hajismanara alikuwa Afisa habari wetu na alifanya kazi nzuri sana katika muda wake na alipopata changamoto akafungiwa kama klabu tulihitaji mtu wa kuisemea klabu na hapo ndipo tulimchukua @alikamwe

    Kwa sasa Alikamwe ndie afisa habari wetu na upande wa Manara yeye ni mwanachama wetu na tunaangalia ni sehemu gani ambayo tutamuweka kwenye klabu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
    ."Klabu inamtambua @alikamwe kama afisa habari kwasababu mpaka sasa mkataba wake unasema hivyo. @hajismanara alikuwa Afisa habari wetu na alifanya kazi nzuri sana katika muda wake na alipopata changamoto akafungiwa kama klabu tulihitaji mtu wa kuisemea klabu na hapo ndipo tulimchukua @alikamwe Kwa sasa Alikamwe ndie afisa habari wetu na upande wa Manara yeye ni mwanachama wetu na tunaangalia ni sehemu gani ambayo tutamuweka kwenye klabu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
    Love
    Like
    7
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 441 Views
  • ."Kuna timu nyingi sana ambazo zimeleta OFA kwa wachezaji wetu hata hii timu ambayo ndo kwanza inajijenga walileta OFA ya kumtaka Mzize lakini ukiingalia ndo kwanza wanajijenga sio sehemu ya Mzize kwenda kucheza.

    Tunampelekaje kwenye timu ambayo haichezi klabu bingwa,timu ambayo tulipokutana nayo tumewafunga goli nyingie. Yanga ina kila kitu ambacho mchezaji anahitaji anakipata kwa hiyo tunapomtoa mchezaji lazima aende kwenye timu kubwa zaidi yetu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
    ."Kuna timu nyingi sana ambazo zimeleta OFA kwa wachezaji wetu hata hii timu ambayo ndo kwanza inajijenga walileta OFA ya kumtaka Mzize lakini ukiingalia ndo kwanza wanajijenga sio sehemu ya Mzize kwenda kucheza. Tunampelekaje kwenye timu ambayo haichezi klabu bingwa,timu ambayo tulipokutana nayo tumewafunga goli nyingie. Yanga ina kila kitu ambacho mchezaji anahitaji anakipata kwa hiyo tunapomtoa mchezaji lazima aende kwenye timu kubwa zaidi yetu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
    Love
    Like
    8
    1 Yorumlar 0 hisse senetleri 280 Views
  • .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Chama ni mchezaji mwenye mafanikio makubwa sana kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, ana ambao 19 mpaka sasa, kwa ubora wake kwa Msimu huu hakuna timu aliyostahili kucheza Afrika zaidi ya Yanga.

    “Nilizungumza nae na kumwambia anakuja kwenye timu ambayo imesheheni ubora kila eneo, itamsaidia kufikia mafanikio makubwa zaidi. Chama aliichagua Yanga kwa sababu ya ubora wa kikosi chetu,” Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Chama ni mchezaji mwenye mafanikio makubwa sana kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, ana ambao 19 mpaka sasa, kwa ubora wake kwa Msimu huu hakuna timu aliyostahili kucheza Afrika zaidi ya Yanga. “Nilizungumza nae na kumwambia anakuja kwenye timu ambayo imesheheni ubora kila eneo, itamsaidia kufikia mafanikio makubwa zaidi. Chama aliichagua Yanga kwa sababu ya ubora wa kikosi chetu,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Love
    Like
    7
    3 Yorumlar 0 hisse senetleri 508 Views
  • .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Kila mchezaji anayecheza Yanga anatakiwa na timu nyingine Afrika. Unajua ni kwa nini? Kwa sababu tuna wachezaji bora sana katika kikosi chetu.

    “Walid Mzize ni tegemeo la taifa letu. Makocha wote wawili wa Yanga [Nabi na Gamondi] wamempa nafasi. Kwa sasa yuko kwenye mikono salama zaidi akiwa na jezi ya Yanga na ana mengi ya kujifunza na hapa ndio mahala sahihi kwake kwa maslani ya timu yetu ya Taifa pia" Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Kila mchezaji anayecheza Yanga anatakiwa na timu nyingine Afrika. Unajua ni kwa nini? Kwa sababu tuna wachezaji bora sana katika kikosi chetu. “Walid Mzize ni tegemeo la taifa letu. Makocha wote wawili wa Yanga [Nabi na Gamondi] wamempa nafasi. Kwa sasa yuko kwenye mikono salama zaidi akiwa na jezi ya Yanga na ana mengi ya kujifunza na hapa ndio mahala sahihi kwake kwa maslani ya timu yetu ya Taifa pia" Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Love
    Like
    8
    3 Yorumlar 0 hisse senetleri 682 Views