• URUSI YAONYA KUCHUKUA HATUA ZA KIJESHI IWAPO GREENLAND ITAWEKWA KIJESHI

    Urusi imeonya kwamba itachukua hatua za kijeshi iwapo Greenland itawekwa miundombinu ya kijeshi itakayochukuliwa kuwa tishio kwa usalama wake, katika hatua inayoongeza tahadhari ya kiusalama katika eneo la Arctic.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow haitakaa kimya endapo kutakuwa na ongezeko la uwepo wa kijeshi katika kisiwa hicho kilicho chini ya utawala wa Denmark.

    “Endapo Greenland itawekwa kijeshi na uwezo huo kuelekezwa dhidi ya Urusi, tutachukua hatua stahiki za kulinganisha, ikiwemo za kijeshi na kiufundi.”

    Lavrov amesisitiza kuwa suala la mustakabali wa Greenland linapaswa kuamuliwa na wahusika wakuu wanaohusika moja kwa moja.

    “Marekani, Denmark na Greenland wanapaswa kushughulikia suala hili wenyewe.”

    Greenland, ambayo ina mamlaka ya ndani lakini iko chini ya Ufalme wa Denmark, imekuwa na umuhimu wa kimkakati kutokana na nafasi yake katika eneo la Arctic. Ukanda huo umeendelea kuwa kitovu cha ushindani wa kijiografia na kijeshi kati ya mataifa makubwa, hasa katika muktadha wa mabadiliko ya tabianchi na njia mpya za usafirishaji pamoja na rasilimali asilia.

    Urusi imekuwa ikisisitiza mara kwa mara kwamba eneo la Arctic linapaswa kubaki kuwa eneo la ushirikiano na amani.

    “Tunataka Arctic ibaki eneo la amani na ushirikiano.”

    Hadi sasa, hakujakuwa na tangazo rasmi la uwekaji mpya wa kijeshi Greenland, lakini kauli ya Moscow inaashiria kuongezeka kwa mvutano wa kimkakati katika eneo hilo.

    Toa maoni yako
    #Habari
    URUSI YAONYA KUCHUKUA HATUA ZA KIJESHI IWAPO GREENLAND ITAWEKWA KIJESHI Urusi imeonya kwamba itachukua hatua za kijeshi iwapo Greenland itawekwa miundombinu ya kijeshi itakayochukuliwa kuwa tishio kwa usalama wake, katika hatua inayoongeza tahadhari ya kiusalama katika eneo la Arctic. Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow haitakaa kimya endapo kutakuwa na ongezeko la uwepo wa kijeshi katika kisiwa hicho kilicho chini ya utawala wa Denmark. “Endapo Greenland itawekwa kijeshi na uwezo huo kuelekezwa dhidi ya Urusi, tutachukua hatua stahiki za kulinganisha, ikiwemo za kijeshi na kiufundi.” Lavrov amesisitiza kuwa suala la mustakabali wa Greenland linapaswa kuamuliwa na wahusika wakuu wanaohusika moja kwa moja. “Marekani, Denmark na Greenland wanapaswa kushughulikia suala hili wenyewe.” Greenland, ambayo ina mamlaka ya ndani lakini iko chini ya Ufalme wa Denmark, imekuwa na umuhimu wa kimkakati kutokana na nafasi yake katika eneo la Arctic. Ukanda huo umeendelea kuwa kitovu cha ushindani wa kijiografia na kijeshi kati ya mataifa makubwa, hasa katika muktadha wa mabadiliko ya tabianchi na njia mpya za usafirishaji pamoja na rasilimali asilia. Urusi imekuwa ikisisitiza mara kwa mara kwamba eneo la Arctic linapaswa kubaki kuwa eneo la ushirikiano na amani. “Tunataka Arctic ibaki eneo la amani na ushirikiano.” Hadi sasa, hakujakuwa na tangazo rasmi la uwekaji mpya wa kijeshi Greenland, lakini kauli ya Moscow inaashiria kuongezeka kwa mvutano wa kimkakati katika eneo hilo. Toa maoni yako #Habari
    0 التعليقات 0 المشاركات 8 مشاهدة
  • 0 التعليقات 0 المشاركات 2 مشاهدة
  • Nchi ya Kenya yakemea vitendo vya kuwapeleka Vijana wake kwenye vita Nchini Ukraine.

    Serikali ya Kenya imekemea vikali vitendo vya baadhi ya Mawakala wanaodanganya Vijana kwa ahadi za ajira, kisha kuwapeleka moja kwa moja kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema: “Tunatarajia kufanya ziara rasmi mjini Moscow kwa mazungumzo na Serikali ya Urusi, lengo likiwa kusitisha kabisa matumizi ya raia wa Kenya katika mapambano haya.”

    Mudavadi alibainisha kuwa tayari Wakenya kadhaa wamefariki dunia, huku wengine wakijeruhiwa vibaya baada ya kudanganywa kuingia mikataba ya kijeshi. Amesema: “Hatukubali upotevu wa maisha ya raia wetu. Hatua za kudumu lazima zichukuliwe.”

    Serikali ya Kenya imelaumu Mawakala wa ajira wanaoshawishi vijana kwa ahadi za mishahara mikubwa, kisha kuwapeleka mstari wa mbele vitani. Ripoti ya hivi karibuni ya shirika la habari la Ufaransa, Agence France-Presse, imethibitisha kuwepo kwa mtandao wa udanganyifu unaowaingiza vijana wasiokuwa na historia ya kijeshi kusaini mikataba na Jeshi la Urusi, kisha kupelekwa haraka kwenye Uwanja wa mapambano.

    Mudavadi amesisitiza kuwa Kenya itafuatilia pia suala la kuachiliwa kwa Wakenya waliokamatwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine. Amesema hatua hizi ni muhimu ili kulinda maisha ya Raia wake.

    Toa maoni yako
    #Habari
    #Russia #Ukraine #MusaliaMudavadi #Moscow #BreakingNews #WorldNews #VitaUkraine #KenyaAbroad #HumanRights #AfricaNews
    Nchi ya Kenya yakemea vitendo vya kuwapeleka Vijana wake kwenye vita Nchini Ukraine. Serikali ya Kenya imekemea vikali vitendo vya baadhi ya Mawakala wanaodanganya Vijana kwa ahadi za ajira, kisha kuwapeleka moja kwa moja kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema: “Tunatarajia kufanya ziara rasmi mjini Moscow kwa mazungumzo na Serikali ya Urusi, lengo likiwa kusitisha kabisa matumizi ya raia wa Kenya katika mapambano haya.” Mudavadi alibainisha kuwa tayari Wakenya kadhaa wamefariki dunia, huku wengine wakijeruhiwa vibaya baada ya kudanganywa kuingia mikataba ya kijeshi. Amesema: “Hatukubali upotevu wa maisha ya raia wetu. Hatua za kudumu lazima zichukuliwe.” Serikali ya Kenya imelaumu Mawakala wa ajira wanaoshawishi vijana kwa ahadi za mishahara mikubwa, kisha kuwapeleka mstari wa mbele vitani. Ripoti ya hivi karibuni ya shirika la habari la Ufaransa, Agence France-Presse, imethibitisha kuwepo kwa mtandao wa udanganyifu unaowaingiza vijana wasiokuwa na historia ya kijeshi kusaini mikataba na Jeshi la Urusi, kisha kupelekwa haraka kwenye Uwanja wa mapambano. Mudavadi amesisitiza kuwa Kenya itafuatilia pia suala la kuachiliwa kwa Wakenya waliokamatwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine. Amesema hatua hizi ni muhimu ili kulinda maisha ya Raia wake. Toa maoni yako #Habari #Russia #Ukraine #MusaliaMudavadi #Moscow #BreakingNews #WorldNews #VitaUkraine #KenyaAbroad #HumanRights #AfricaNews
    0 التعليقات 1 المشاركات 9 مشاهدة
  • Nchi ya Kenya yakemea vitendo vya kuwapeleka Vijana wake kwenye vita Nchini Ukraine.

    Serikali ya Kenya imekemea vikali vitendo vya baadhi ya Mawakala wanaodanganya Vijana kwa ahadi za ajira, kisha kuwapeleka moja kwa moja kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema: “Tunatarajia kufanya ziara rasmi mjini Moscow kwa mazungumzo na Serikali ya Urusi, lengo likiwa kusitisha kabisa matumizi ya raia wa Kenya katika mapambano haya.”

    Mudavadi alibainisha kuwa tayari Wakenya kadhaa wamefariki dunia, huku wengine wakijeruhiwa vibaya baada ya kudanganywa kuingia mikataba ya kijeshi. Amesema: “Hatukubali upotevu wa maisha ya raia wetu. Hatua za kudumu lazima zichukuliwe.”

    Serikali ya Kenya imelaumu Mawakala wa ajira wanaoshawishi vijana kwa ahadi za mishahara mikubwa, kisha kuwapeleka mstari wa mbele vitani. Ripoti ya hivi karibuni ya shirika la habari la Ufaransa, Agence France-Presse, imethibitisha kuwepo kwa mtandao wa udanganyifu unaowaingiza vijana wasiokuwa na historia ya kijeshi kusaini mikataba na Jeshi la Urusi, kisha kupelekwa haraka kwenye Uwanja wa mapambano.

    Mudavadi amesisitiza kuwa Kenya itafuatilia pia suala la kuachiliwa kwa Wakenya waliokamatwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine. Amesema hatua hizi ni muhimu ili kulinda maisha ya Raia wake.

    Toa maoni yako
    #Habari
    #Russia #Ukraine #MusaliaMudavadi #Moscow #BreakingNews #WorldNews #VitaUkraine #KenyaAbroad #HumanRights #AfricaNews
    0 التعليقات 0 المشاركات 2 مشاهدة
  • Top Benefits of Shopping from a Pet Shop Online
    The way pet owners shop for pet supplies has changed dramatically in recent years. With busy lifestyles and increasing digital convenience, more people now prefer purchasing pet essentials from an online pet shop instead of visiting physical stores. From pet food and toys to grooming products and accessories, online platforms provide everything in one place. Shopping from a pet shop online...
    0 التعليقات 0 المشاركات 5 مشاهدة
  • 0 التعليقات 0 المشاركات 2 مشاهدة
  • 0 التعليقات 0 المشاركات 2 مشاهدة
  • Luxury Carpet Cleaning Wembley: Restore Your Rugs Today
    Own a statement Persian or silk rug fading in your Wembley pad? Luxury carpet cleaning London breathes opulent life back in, preserving heirlooms. Elevate your space with elite techniques that everyday cleans can't touch—discover restoration mastery. Luxury Rugs in Wembley: Specialist Fiber Care Wembley's affluent pockets flaunt fine imports needing bespoke handling. Core...
    0 التعليقات 0 المشاركات 6 مشاهدة
  • Mises à jour Dofus 2.63.3 : corrections et nouveautés
    Mises à jour et corrections Depuis plusieurs semaines déjà, la mise à jour du Mal Bosquet a introduit de nombreuses nouveautés ainsi que des ajustements importants pour les différentes classes. Cette bouffée d'air frais est réellement bénéfique pour l'univers de Dofus ! Pourtant, une mise à jour majeure s'accompagne...
    0 التعليقات 0 المشاركات 5 مشاهدة
  • Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare.

    Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane.

    Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1".

    Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare. Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane. Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1". Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 التعليقات 0 المشاركات 5 مشاهدة