0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·274 Visualizações
-
🌎NBC premium league leo #Sportsview
-
-
Kikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024:
Atalanta : wachezaji 4
B' Leverkusen : wachezaji 4
Roma : 2
Marseille : 1
#EURO2024#UELfinal#EuropaLeague
#SportsviewKikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024: Atalanta 🏆: wachezaji 4 B' Leverkusen : wachezaji 4 Roma : 2 Marseille : 1 #EURO2024#UELfinal#EuropaLeague #Sportsview -
-
UhakikaUhakikaBeki wa klabu ya Ihefu(Singida Black Stars) Benjamin Tanimu ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Nigeria kitakachojiandaa na Michezo miwili ya kufuzu kombe la Dunia.
#Sports view -
UnyamaUnyamaBeki wa klabu ya Ihefu(Singida Black Stars) Benjamin Tanimu ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Nigeria kitakachojiandaa na Michezo miwili ya kufuzu kombe la Dunia.
#Sports view -
🩸🩸🩸🩸🩸Wachezaji wa Afrika wanaosaka heshima na historia Ulaya
Picha,Ademola Lookman (atachuana na mchezaji mwenzake wa Nigeria, Victor Boniface (kulia) katika fainali ya Ligi ya Europa siku ya Jumatano.
Mashindano makubwa ya vilabu barani Ulaya yanafikia kilele chake na wachezaji kadhaa wa Kiafrika wanatarajia kuandika historia.
Kuna uwakilishi mkubwa kutoka Afrika katika fainali zote tatu za Ulaya, timu sita zinazoshiriki zote zina Waafrika katika safu zao za kwanza.
Kuna wachezaji wa Afrika ambao wametoa mchango muhimu na ambao utawawekea historia katika muda wa wiki moja na nusu ijayo.
#Sports view -
unyama⚽ unyamaBeki wa klabu ya Ihefu(Singida Black Stars) Benjamin Tanimu ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Nigeria kitakachojiandaa na Michezo miwili ya kufuzu kombe la Dunia.
#Sports view -