• Big up Mtu baki ulie geuka ndugu..
    Adui Kua rafiki kazi ya mungu..
    peke yangu siwezi mambo magumu..
    Nimekosa washauli nalipuka na ndumu..
    Naji tuma juudi zina nifanya na ishi..
    Na wanyang'anyi walio nifanya mtumishi..
    Yani wao ma boss me kibaraka..
    Na sogea jah kaachilia baraka..
    wana nitilia shaka.. sijabaki walipo niacha
    wakati wao kukosa imani nyakati za mashaka..
    Big up Mtu baki ulie geuka ndugu.. Adui Kua rafiki kazi ya mungu.. peke yangu siwezi mambo magumu.. Nimekosa washauli nalipuka na ndumu.. Naji tuma juudi zina nifanya na ishi.. Na wanyang'anyi walio nifanya mtumishi.. Yani wao ma boss me kibaraka.. Na sogea jah kaachilia baraka.. wana nitilia shaka.. sijabaki walipo niacha wakati wao kukosa imani nyakati za mashaka..
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·87 مشاهدة
  • 𝙺𝚒𝚗𝚊 𝚍𝚊𝚍𝚊 𝚜𝚑𝚒𝚔𝚎𝚗 𝚠𝚊𝚡
    𝚔𝚒𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚔𝚊 𝚗𝚒𝚙𝚒𝚐𝚎𝚗 𝚗𝚊 𝚙𝚛𝚘 𝚖𝚊𝚡
    𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚊𝚜𝚝
    𝚗𝚒𝚙𝚎𝚗 𝚝𝚘𝚙𝚒𝚌 𝚊𝚝𝚊𝚢𝚎 𝚝𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚙𝚘𝚜𝚝
    𝚔𝚊𝚖 𝚞𝚢𝚘 𝚜𝚑𝚘𝚔𝚊𝚝
    #𝙵𝚛𝚎𝚎 𝚜𝚝𝚢𝚕𝚎
    𝙺𝚒𝚗𝚊 𝚍𝚊𝚍𝚊 𝚜𝚑𝚒𝚔𝚎𝚗 𝚠𝚊𝚡 𝚔𝚒𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚔𝚊 𝚗𝚒𝚙𝚒𝚐𝚎𝚗 𝚗𝚊 𝚙𝚛𝚘 𝚖𝚊𝚡 𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚊𝚜𝚝 𝚗𝚒𝚙𝚎𝚗 𝚝𝚘𝚙𝚒𝚌 𝚊𝚝𝚊𝚢𝚎 𝚝𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚙𝚘𝚜𝚝 𝚔𝚊𝚖 𝚞𝚢𝚘 𝚜𝚑𝚘𝚔𝚊𝚝 #𝙵𝚛𝚎𝚎 𝚜𝚝𝚢𝚕𝚎
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·119 مشاهدة
  • kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,,
    kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,,
    ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,,
    na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,,
    mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,, kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,, ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,, na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,, mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·697 مشاهدة
  • kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,,
    kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,,
    ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,,
    na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,,
    mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    kwa mistari wanakimbia india sany deo,,,, kichwani sijaitungia mi mkali jana naleo,,,, ili shimo mshatumbukia wagambo mnashushwa vyeo,,,, na mic kwangu ndogia weogopa nkishika peni,,,, mistari fashion sina moko nnadazeni mindo jack bila cheni,,,
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·709 مشاهدة
  • Wauni tulio peace hatuishi kwa masifa..
    Naishinao mm mbishi sifa zitakuja siku nikifa..
    Wasionipenda waambieni npo Arusha bado naishi..
    Tena siwawazi nikila nashushia na kushi..
    Manigger mwendokasi xyoo ubitozi..
    Nashangaa wanapanga kikosi kunisaka wamekosa kazi..
    Gari limeshawashwa katikati ya sheli..
    Uvutaji wa sigara ni hatari ukiwa mmbovu wa seli..
    Wauni tulio peace hatuishi kwa masifa.. Naishinao mm mbishi sifa zitakuja siku nikifa.. Wasionipenda waambieni npo Arusha bado naishi.. Tena siwawazi nikila nashushia na kushi.. Manigger mwendokasi xyoo ubitozi.. Nashangaa wanapanga kikosi kunisaka wamekosa kazi.. Gari limeshawashwa katikati ya sheli.. Uvutaji wa sigara ni hatari ukiwa mmbovu wa seli..
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·584 مشاهدة
  • HIP Hop Hisia Nyingi Ma balz Mingi Napokuwa Narap..
    Najiona Zaidi Dingi Demu Kiganja Napigi Safu..
    Umenipa Nini Hip Hop Nafanya Vingi Juu Yako..
    Bila Shilingi Me Mbavu Najiamini Nikiwa Kwako..
    Nilishakana Kubana Pua Wote Mashoga Bongo Wanazingua..
    Siko Dom Arusha Nakichafua Nakwako Ndo Nimeshatua..
    Hip Hop Nikupe Nini Usiwafate Maemce Shilingi..
    HIP Hop Hisia Nyingi Ma balz Mingi Napokuwa Narap.. Najiona Zaidi Dingi Demu Kiganja Napigi Safu.. Umenipa Nini Hip Hop Nafanya Vingi Juu Yako.. Bila Shilingi Me Mbavu Najiamini Nikiwa Kwako.. Nilishakana Kubana Pua Wote Mashoga Bongo Wanazingua.. Siko Dom Arusha Nakichafua Nakwako Ndo Nimeshatua.. Hip Hop Nikupe Nini Usiwafate Maemce Shilingi..
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·858 مشاهدة
  • Henock Inonga Baka kwenda FA Rabat inayoshiriki Ligi Kuu nchini Morocco
    .
    Kwa mujibu wa Simba Inonga raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amebakisha Mkataba wa mwaka mmoja unaomalizika 2025 lakini kutokana na klabu kujali maslahi ya wachezaji, wamemruhusu beki huyo kuondoka kwenda kujiunga na FA Rabat. Inonga alijiunga na kikosi cha Simba mwaka 2021 akitokea DC Motema Pembe ya Congo.
    Henock Inonga Baka kwenda FA Rabat inayoshiriki Ligi Kuu nchini Morocco 🇲🇦 . Kwa mujibu wa Simba Inonga raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amebakisha Mkataba wa mwaka mmoja unaomalizika 2025 lakini kutokana na klabu kujali maslahi ya wachezaji, wamemruhusu beki huyo kuondoka kwenda kujiunga na FA Rabat. Inonga alijiunga na kikosi cha Simba mwaka 2021 akitokea DC Motema Pembe ya Congo.
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·71 مشاهدة
  • Kuna picha mbili tofautii!!
    Kati ya aliesema nakuongea mtafute mnafiki!!
    Alie tizama na alio jionea!!
    Ni yupi atakua shahidii!!
    Tungo masimuliziii nyie mlisimulia wapi!!
    Tamathali za sauti so ngonjera!!
    Kwa hadhira aitadumu kama masimulizi!!
    Kitendo kwa mtendajii!!
    Ni unyama kwa mwindajii!!
    Kuna picha mbili tofautii!! Kati ya aliesema nakuongea mtafute mnafiki!! Alie tizama na alio jionea!! Ni yupi atakua shahidii!! Tungo masimuliziii nyie mlisimulia wapi!! Tamathali za sauti so ngonjera!! Kwa hadhira aitadumu kama masimulizi!! Kitendo kwa mtendajii!! Ni unyama kwa mwindajii!!
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·613 مشاهدة
  • maadui .....wapo wengi...Wengine ni ndugu....
    Ishi nao kwa amani...usioneshe ata gubu....
    Awakupend ilo jua.... Watataka kukuua .....
    We kaa kia askali... Pia omba sana dua....
    Adui sio ndugu.... Ata awe ndugu...
    Adui sio rafiki .... Anaweza kukusulubu...
    Maadui awaishi ... Afu ni wagumu kufa
    wengio wao masnichi roho mbaya kama Lucifer....
    ish kwa tahadhali.... Mwanadam ana ng'ata...
    Watu wana sura mzuri.......kiroho awajatakata....
    Watakuchekea....mixer kukuimbia
    Uku nyuma ya pazia .... Kifo wana kuandalia....
    Maadui sio wana....Careful sana....
    Wafanyie kila kitu....... ila kwao huna maana....
    maadui .....wapo wengi...Wengine ni ndugu.... Ishi nao kwa amani...usioneshe ata gubu.... Awakupend ilo jua.... Watataka kukuua ..... We kaa kia askali... Pia omba sana dua.... Adui sio ndugu.... Ata awe ndugu... Adui sio rafiki .... Anaweza kukusulubu... Maadui awaishi ... Afu ni wagumu kufa wengio wao masnichi roho mbaya kama Lucifer.... ish kwa tahadhali.... Mwanadam ana ng'ata... Watu wana sura mzuri.......kiroho awajatakata.... Watakuchekea....mixer kukuimbia Uku nyuma ya pazia .... Kifo wana kuandalia.... Maadui sio wana....Careful sana.... Wafanyie kila kitu....... ila kwao huna maana....
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·618 مشاهدة
  • Bila ya kujuwa, kumbe wananisema..
    Et sitopiga hatua, sitofanya vyema..
    Marafiki pika pakua, kumbe sio wema..
    Mwisho nimekuja kujua, yupi m'baya yupi mwema..
    Nashukuru kuipata hii neema ya mungu..
    Binadamu sio wema wanaleta majungu..
    Mbele giza umejaa ukungu..
    Kuigiza kwingi wanaleta uzungu..
    Marafiki nungunungu kuwakumbatia ni hatari..
    Kuikataa dom il kufanya harakati nyingine fresh tu mi sijali..
    Bila ya kujuwa, kumbe wananisema.. Et sitopiga hatua, sitofanya vyema.. Marafiki pika pakua, kumbe sio wema.. Mwisho nimekuja kujua, yupi m'baya yupi mwema.. Nashukuru kuipata hii neema ya mungu.. Binadamu sio wema wanaleta majungu.. Mbele giza umejaa ukungu.. Kuigiza kwingi wanaleta uzungu.. Marafiki nungunungu kuwakumbatia ni hatari.. Kuikataa dom il kufanya harakati nyingine fresh tu mi sijali..
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·296 مشاهدة