• Adult
    😋😌👂
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·88 Views
  • 🙏😌😌🙏
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·87 Views
  • ✌️😘✌️😅👍
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·69 Views
  • 🙃🎶🙃🎶
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·132 Views
  • 💦💭😍
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·69 Views
  • #UMEENDA KUMCHUNGULIA jirani
    Kaingiza demu geto mara paaaaaa unakuta
    Ni mama yako yupo kazini......

    Utasema pole mama "Au"Hongera "shemeji??¿¿

    #SIYO_KILA_MECHI_ZINATAKA_USHABIKI
    #UMEENDA KUMCHUNGULIA jirani Kaingiza demu geto mara paaaaaa unakuta Ni mama yako yupo kazini...... 👉 Utasema pole mama "Au"Hongera "shemeji??¿¿ #SIYO_KILA_MECHI_ZINATAKA_USHABIKI 👉😆😆😆💔
    Like
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·336 Views
  • Niseme kweli yule Dada mchizi ALIMPENDA..::

    Toka moyoni kwa dhati bila KUMTENDA..::

    Alifanya vyote hadi kwao ALIKWENDA..::

    Yanauma kweli aliyofanyiwa moyoni haku PENDA..::

    vyote kupoteza hakujali kwenye mapenzi hakuJAJI..::

    Lakini mapenzi kwake ilikuwa kama AJALI..::

    Baada ya ndoa vituko masimango hakupata AFADHALI..::

    Sijui zaidi tunguli ama alifanyiwa kipi Zipo DALILI..::

    Nahisi ilikuwa juju Alifanywa kama kuku basi dish ni ZUKU..::

    mwisho alishindwa maumivu uvumilivu shingoni aliweka DUKU..::

    Mapenzi sumu ukithubutu unahitaji TIBA..::
    Niseme kweli yule Dada mchizi ALIMPENDA..:: Toka moyoni kwa dhati bila KUMTENDA..:: Alifanya vyote hadi kwao ALIKWENDA..:: Yanauma kweli aliyofanyiwa moyoni haku PENDA..:: vyote kupoteza hakujali kwenye mapenzi hakuJAJI..:: Lakini mapenzi kwake ilikuwa kama AJALI..:: Baada ya ndoa vituko masimango hakupata AFADHALI..:: Sijui zaidi tunguli ama alifanyiwa kipi Zipo DALILI..:: Nahisi ilikuwa juju Alifanywa kama kuku basi dish ni ZUKU..:: mwisho alishindwa maumivu uvumilivu shingoni aliweka DUKU..:: Mapenzi sumu ukithubutu unahitaji TIBA..::
    Like
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·109 Views
  • Hivi unakumbuka wapi tulipoanZIA,,ilikuwa shule nilipokufata ulinikaZIA..::

    Kwa dharau ulinifyonza ukapuuZIA,,nyodo nyingi kalio ukantingiSHIA..::

    Ilinichoma nami kina nilizama meLI,,sikuwaza kufeli kusema kwaheLI..::

    Mkubwa hachoki nikajifariji nikiamiNI,,kwenye ukame ntakuwa maji utanithamiNI..::

    Ikabidi nijitose mchizi kwako bila iRiZI,,mwisho ulisogea penzI ukaliweka waZI..::

    Ndoto zako ulisema kuwa nami MAISHANI,,ukiwa nami kalibu unaipata AMANI..::

    Nilijituma kweli kama roboti upate utakacho,,nikasimama kama ngongoti uende utakapo..::

    Mwenzangu ukuzingatia yote nayokupatia,,mapenzi kamba ukanikatia doa ukaniachia..::

    nashukuru kwa yote uliyonifanyia,,ipo siku mungu atanilipia..::
    Hivi unakumbuka wapi tulipoanZIA,,ilikuwa shule nilipokufata ulinikaZIA..:: Kwa dharau ulinifyonza ukapuuZIA,,nyodo nyingi kalio ukantingiSHIA..:: Ilinichoma nami kina nilizama meLI,,sikuwaza kufeli kusema kwaheLI..:: Mkubwa hachoki nikajifariji nikiamiNI,,kwenye ukame ntakuwa maji utanithamiNI..:: Ikabidi nijitose mchizi kwako bila iRiZI,,mwisho ulisogea penzI ukaliweka waZI..:: Ndoto zako ulisema kuwa nami MAISHANI,,ukiwa nami kalibu unaipata AMANI..:: Nilijituma kweli kama roboti upate utakacho,,nikasimama kama ngongoti uende utakapo..:: Mwenzangu ukuzingatia yote nayokupatia,,mapenzi kamba ukanikatia doa ukaniachia..:: nashukuru kwa yote uliyonifanyia,,ipo siku mungu atanilipia..::
    Like
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·248 Views
  • Wanashangaa kama tone la mvua lidondokalo jangwANI
    Wanaidanganya jamii kama nabii wa uwongo wakisimama kanisANI
    Mimi ni yule mmoja kati ya wale wa maana naitukuza amANI.
    Wanashangaa kama tone la mvua lidondokalo jangwANI Wanaidanganya jamii kama nabii wa uwongo wakisimama kanisANI Mimi ni yule mmoja kati ya wale wa maana naitukuza amANI.
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·109 Views
  • Maisha fumbo limen'lemea kufumbua..
    Imenikaba koo hadi nimeshindwa kupumua..
    Cha kufanya nitoke nimeshindwa kutambua..
    Kweli ni kitendawili nimpe nani kutegua..
    Si jana leo kesho nashindwa itakuwaje..
    Nimfate nani kwamba sikutoka na mke wa mtu nimweleze ntaanzaje..
    Nina mengi makubwa ya kutatua..
    Mzigo wangu nzito nani atauchukua...
    Maisha fumbo limen'lemea kufumbua.. Imenikaba koo hadi nimeshindwa kupumua.. Cha kufanya nitoke nimeshindwa kutambua.. Kweli ni kitendawili nimpe nani kutegua.. Si jana leo kesho nashindwa itakuwaje.. Nimfate nani kwamba sikutoka na mke wa mtu nimweleze ntaanzaje.. Nina mengi makubwa ya kutatua.. Mzigo wangu nzito nani atauchukua...
    Like
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·107 Views