• Hip hop haina kava hainati kwa sauti ya lava.. lava..
    Wameikimbia vilaza.. wabovu wakuchora zenye laza..
    Changamsha ndonga uwape laza.. vina kukaza kichwani nina ubalaza..
    Mwana hip hop wakiniona wananyamaza utamu zaidi ya b*o la nyet*..
    Vina toka depo punga hasimami hata akitumia dettol..
    Wengi waniita me to mana vina vikali zaidi ya zambi za Petro..
    Ngoma zao naona kiza hip hop inaleta Nuru nashukuru..
    Hip hop Kama lulu.. jah bless nifike mbali kwahiki kipaji nakushukuru..
    Hip hop haina kava hainati kwa sauti ya lava.. lava.. Wameikimbia vilaza.. wabovu wakuchora zenye laza.. Changamsha ndonga uwape laza.. vina kukaza kichwani nina ubalaza.. Mwana hip hop wakiniona wananyamaza utamu zaidi ya b*o la nyet*.. Vina toka depo punga hasimami hata akitumia dettol.. Wengi waniita me to mana vina vikali zaidi ya zambi za Petro.. Ngoma zao naona kiza hip hop inaleta Nuru nashukuru.. Hip hop Kama lulu.. jah bless nifike mbali kwahiki kipaji nakushukuru..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·155 Views
  • Hip hop haina kava hainati kwa sauti ya lava.. lava..
    Wameikimbia vilaza.. wabovu wakuchora zenye laza..
    Changamsha ndonga uwape laza.. vina kukaza kichwani nina ubalaza..
    Mwana hip hop wakiniona wananyamaza utamu zaidi ya b*o la nyet*..
    Vina toka depo punga hasimami hata akitumia dettol..
    Wengi waniita me to mana vina vikali zaidi ya zambi za Petro..
    Ngoma zao naona kiza hip hop inaleta Nuru nashukuru..
    Hip hop Kama lulu.. jah bless nifike mbali kwahiki kipaji nakushukuru..
    Hip hop haina kava hainati kwa sauti ya lava.. lava.. Wameikimbia vilaza.. wabovu wakuchora zenye laza.. Changamsha ndonga uwape laza.. vina kukaza kichwani nina ubalaza.. Mwana hip hop wakiniona wananyamaza utamu zaidi ya b*o la nyet*.. Vina toka depo punga hasimami hata akitumia dettol.. Wengi waniita me to mana vina vikali zaidi ya zambi za Petro.. Ngoma zao naona kiza hip hop inaleta Nuru nashukuru.. Hip hop Kama lulu.. jah bless nifike mbali kwahiki kipaji nakushukuru..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·170 Views
  • walipiga na maneno wakahalibu mwil wangu..
    Namm vile muoga nikahalibu fikra zangu..
    Wanadam ni wadudu cheka nao hiv hv..
    Wengi wana roho mbaya we waone hiv hiv..
    Ata ukisema zuli wata kusema ubaya..
    Binadam cc nyoka tuna uma hadi taya..
    Wakanipa ushujaa waka sema nikomae..
    Hip hop inalipa nikomae nitusue..
    Nazid kaza suli..wananiita mjeuli..
    Ata ndugu zangu awaniombei mazuli..
    Mama naye kaokoka.. Akasema imba kwaya..
    Apo ndipo nkachoka.. kwel bongo bahat mbaya..
    Sikumzalu mother.. Nikarap hadi gospel..
    Nikaongeza na radha.. church nikapata soko..
    Ira bado waliloga.. wali mwaga hadi mboga..
    Nikaondoka na ugali nika waambia mm soja..
    Sikuchoka kuandika.. biti nikatandika..
    Mpak zile za kihindi.. Zote nikachanika..
    walipiga na maneno wakahalibu mwil wangu.. Namm vile muoga nikahalibu fikra zangu.. Wanadam ni wadudu cheka nao hiv hv.. Wengi wana roho mbaya we waone hiv hiv.. Ata ukisema zuli wata kusema ubaya.. Binadam cc nyoka tuna uma hadi taya.. Wakanipa ushujaa waka sema nikomae.. Hip hop inalipa nikomae nitusue.. Nazid kaza suli..wananiita mjeuli.. Ata ndugu zangu awaniombei mazuli.. Mama naye kaokoka.. Akasema imba kwaya.. Apo ndipo nkachoka.. kwel bongo bahat mbaya.. Sikumzalu mother.. Nikarap hadi gospel.. Nikaongeza na radha.. church nikapata soko.. Ira bado waliloga.. wali mwaga hadi mboga.. Nikaondoka na ugali nika waambia mm soja.. Sikuchoka kuandika.. biti nikatandika.. Mpak zile za kihindi.. Zote nikachanika..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·914 Views
  • Rapper mbaya mwenye roho #nzuri
    Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri
    Napambania point japo #niposifuri
    Mafanikio yapombali #nakiburi
    Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya
    unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri Napambania point japo #niposifuri Mafanikio yapombali #nakiburi Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • Rapper mbaya mwenye roho #nzuri
    Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri
    Napambania point japo #niposifuri
    Mafanikio yapombali #nakiburi
    Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya
    unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri Napambania point japo #niposifuri Mafanikio yapombali #nakiburi Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • We Dada Ukifanywa Mwamvuli,Unakumbukwa Wakati Wa Mvua..
    Na Wewe Mfanye Kimvuli,Mkumbuke Wakati Wa Jua..
    We Dada Ukifanywa Mwamvuli,Unakumbukwa Wakati Wa Mvua.. Na Wewe Mfanye Kimvuli,Mkumbuke Wakati Wa Jua..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·75 Views
  • Kama mjeda saluti na shusha..
    Nipo depo kuruta kuwafundisha..
    Hip hop kwako nimefika..
    Ukishindwa kula basi jifunze kupika..
    Yani ukishindwa kuimba we katika..
    Hizi tungo adabu za kila rika..
    Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika..
    Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    Kama mjeda saluti na shusha.. Nipo depo kuruta kuwafundisha.. Hip hop kwako nimefika.. Ukishindwa kula basi jifunze kupika.. Yani ukishindwa kuimba we katika.. Hizi tungo adabu za kila rika.. Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika.. Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    0 Reacties ·0 aandelen ·76 Views
  • Kama mjeda saluti na shusha..
    Nipo depo kuruta kuwafundisha..
    Hip hop kwako nimefika..
    Ukishindwa kula basi jifunze kupika..
    Yani ukishindwa kuimba we katika..
    Hizi tungo adabu za kila rika..
    Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika..
    Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    Kama mjeda saluti na shusha.. Nipo depo kuruta kuwafundisha.. Hip hop kwako nimefika.. Ukishindwa kula basi jifunze kupika.. Yani ukishindwa kuimba we katika.. Hizi tungo adabu za kila rika.. Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika.. Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·75 Views
  • Kama mjeda saluti na shusha..
    Nipo depo kuruta kuwafundisha..
    Hip hop kwako nimefika..
    Ukishindwa kula basi jifunze kupika..
    Yani ukishindwa kuimba we katika..
    Hizi tungo adabu za kila rika..
    Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika..
    Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    Kama mjeda saluti na shusha.. Nipo depo kuruta kuwafundisha.. Hip hop kwako nimefika.. Ukishindwa kula basi jifunze kupika.. Yani ukishindwa kuimba we katika.. Hizi tungo adabu za kila rika.. Cheki mbumbu kusoma anavyo taabika.. Ukiweza kukalili pw na hizi shika..
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·90 Views
  • Wakati mwengine hawakupendi ila wanapenda jinsi unavyowapenda
    Wakati mwengine hawakupendi ila wanapenda jinsi unavyowapenda
    Like
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·500 Views