"Mpira ni mchezo wa makosa ndiyo, lakini makosa yanayojirudia rudia na kusababisha mabao ni hatari sana hasa yakiwa yanafanywa na mlinzi tena mlinzi wa kati. Che-Malone hili ni kosa lake la 5 kubwa kwenye CAFCC msimu huu na ni kosa la 2 ambalo limezaa bao la moja kwa moja, mchezo na CS Sfaxien alichoma kama leo. Anapaswa kujiangalia sana kocha asimchoke akaangalia chaguo lingine" - Jemedari Said, Mchambuzi.
Read plus
"Mpira ni mchezo wa makosa ndiyo, lakini makosa yanayojirudia rudia na kusababisha mabao ni hatari sana hasa yakiwa yanafanywa na mlinzi tena mlinzi wa kati. Che-Malone hili ni kosa lake la 5 kubwa kwenye CAFCC msimu huu na ni kosa la 2 ambalo limezaa bao la moja kwa moja, mchezo na CS Sfaxien alichoma kama leo. Anapaswa kujiangalia sana kocha asimchoke akaangalia chaguo lingine" - Jemedari Said, Mchambuzi.