• EXCL: Aston Villa inatupia jicho kwa Mjapan Takefusa Kubo (24) kutoka Real Sociedad!

    #TheAthleticFC
    🚨 EXCL: Aston Villa inatupia jicho kwa Mjapan Takefusa Kubo (24) kutoka Real Sociedad! #TheAthleticFC
    0 Comments 0 Shares 653 Views
  • EXCL: Manchester imeanza kuulizia huduma ya kinda wa Borussia Dortmund Jobe Bellingham.

    #TheAthleticFC
    🚨 EXCL: Manchester imeanza kuulizia huduma ya kinda wa Borussia Dortmund Jobe Bellingham. #TheAthleticFC
    0 Comments 0 Shares 275 Views
  • #BREAKING

    Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili.

    Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga.

    Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni:

    - Marcus Rashford
    - Joan García
    - Roony Bardghi
    - Gerard Martín
    - Wojciech SzczΔ™sny.

    Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara.

    Source: [ The AthleticFC ]

    #SportsElite
    #BREAKING πŸ”΄ Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga. Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni: - Marcus Rashford - Joan García - Roony Bardghi - Gerard Martín - Wojciech SzczΔ™sny. Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara. Source: [ The AthleticFC ] #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 821 Views
  • 🚨️ Juventus hawako tayari kumuuza Mturuki Kenan Yildiz ✨️ ambae anawindwa na #Chelsea
    #CFC
    🚨️ Juventusβšͺ⚫ hawako tayari kumuuza Mturuki Kenan Yildiz ✨️ ambae anawindwa na #Chelsea πŸ”΅βšͺ #CFC
    0 Comments 0 Shares 489 Views
  • ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    πŸš¨πŸ’£ ππ‘π„π€πŠπˆππ†: πŸ‡ΊπŸ‡Έ Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County. Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    0 Comments 0 Shares 483 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 π†πŽ! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham

    Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs

    Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London
    @theathleticfc reports.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 π†πŽ! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham πŸ€πŸ’£ Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London @theathleticfc reports. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 600 Views
  • ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu..
    @MarioCortegana @TheAthleticFC

    #SportsElite
    πŸš¨πŸ’£ ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Real Madrid haita usajili mbadala wa Rodrygo kama ataondoka klabuni hapo baada ya nafasi yake kuwa finyu.. @MarioCortegana @TheAthleticFC #SportsElite
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 425 Views
  • ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu...

    @TheAthleticFC

    #SportsElite
    🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu... @TheAthleticFC #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 341 Views