• 6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI.

    Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi .
    Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu.

    1samweli 2:2
    *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu*

    Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu .

    Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake .
    Mwanzo 2:27
    *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba*

    Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu.

    Lawi 19:2.
    *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu*

    Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema .

    Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu

    1 Petro 1:15-16
    *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”*
    Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu.
    Yesu mwenyewe anaonyesha
    Mathayo 5:48 NIV
    *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.*

    Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu.

    Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini.

    *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.*

    *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari*

    Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo.

    Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU.

    Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe .

    Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili.

    Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake.

    Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani .

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN

    #build new eden
    #restore men position
    6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI. Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi . Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu. 1samweli 2:2 *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu* Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu . Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake . Mwanzo 2:27 *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba* Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu. Lawi 19:2. *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu* Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa🤣 utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema . Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu 1 Petro 1:15-16 *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”* Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu. Yesu mwenyewe anaonyesha Mathayo 5:48 NIV *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.* Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu. Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini. *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.* *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari* Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo. Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU. Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe . Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili. Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake. Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Jitahidi kuwa bora, si mkamilifu
    Jitahidi kuwa bora, si mkamilifu
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·482 Visualizações
  • Steve Nyerere agusia sakata la Nicole

    "Mstafuuu,.....Nani mkamilifu katika hii Ardhi Ya Mwenyezi Mungu,..

    Napokea sms Simu swala la Nicole Toka juzi kulia na kushoto lakini nikasema Mungu nitangulie nami nione Mwanga kwenye hili,....Ni Ukweli Usio pingika dada kapuyanga Sana Tena sana Ana Makosa Na Ana Kosa la kujibu, lakini nani mkamilifu,....

    Nicole Ana makosa na kibaya zaidi ni kwenda kuchangisha Watu wenye kujipambania kuitafuta kesho yao, Na kibaya zaidi walikuamini kutokana na bland yake wakiamini kuna matokeo sahihi kupitia Nicole,....

    Nicole ni mtu mzima na mwenye akili timamu Alikuwa Anafanya kitu anacho kijua na kujua matokeo na mwisho wa Matokeo lakini tukienda mbali zaidi limesha tokea naye ni Binadamu,..Sipo hapa kumtetea Mwalifu lakini naandika hapa kujaribu kuona haki ya walio fanyiwa ujinga huu wanaipataje,...Je Nicole kukaaa ndani haki ya wadai Itapatikana Maana siku ya Mwisho Nicole Anatakiwa kuwarudishia FEDHA zao wote walio guswa na yeye Anarudishaje Atajua yeye lakini Akiwa nje kwa dhamana na masharti yenye tija basi Anaweza kumaliza jambo hili.,.

    Lakini Ifike mahara hii michezo ya Magroup Inayogusa FEDHA naomba sana kuwe na Utaratibu wa kumsajiri kijumbe kitambulisho chake na wanachama anao wachangisha waridhie kwa maandishi kuwa wamekubaliana kuanzisha group la kusaidia hii itasaidia sana,.lakini sio mtu anatoka tu huko anaanzisha group mara michango sio sawa.,,.

    Niombe sasa Ni wakati wa kusimama na Nicole Tusiangalie kafanya nini Tuangalie Dhamana yake na jinsi ya kumsaidia,....Haijalishi kala mzigo na nani lakini bado ni mwenzetu,....Anapitia kipindi kibaya sana Ambacho Anahitaji faraja,....

    Tusimame kumuombea Dhamana Tunajua na kutambua sheria na kuheshimu sheria kwenye Taifa letu,......

    Niombe Si muda wa kuliangalia kosa ni Muda wa kulitibu kosa Nani mkamilifu hapa Duniani,..Mimi Binafsi kama STEVEN MENGELE (NYERERE) NIPO TAYARI KUMSAIDIA NICOLE ,..KUTOKA NDANI KWA KUFATA TARATIBU ZOTE,..NA AKIPATA DHAMANA BASI ATAMBUE KULIPA KILA JASHO LA MCHANGAJI KURUDISHIWA NA MAISHA KUENDELEA,....HAKUNA MWANADAMU AMBAYE MKAMILIFU HAPA DUNIANI,...." - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

    Steve Nyerere agusia sakata la Nicole "Mstafuuu,.....Nani mkamilifu katika hii Ardhi Ya Mwenyezi Mungu,.. Napokea sms Simu swala la Nicole Toka juzi kulia na kushoto lakini nikasema Mungu nitangulie nami nione Mwanga kwenye hili,....Ni Ukweli Usio pingika dada kapuyanga Sana Tena sana Ana Makosa Na Ana Kosa la kujibu, lakini nani mkamilifu,.... Nicole Ana makosa na kibaya zaidi ni kwenda kuchangisha Watu wenye kujipambania kuitafuta kesho yao, Na kibaya zaidi walikuamini kutokana na bland yake wakiamini kuna matokeo sahihi kupitia Nicole,.... Nicole ni mtu mzima na mwenye akili timamu Alikuwa Anafanya kitu anacho kijua na kujua matokeo na mwisho wa Matokeo lakini tukienda mbali zaidi limesha tokea naye ni Binadamu,..Sipo hapa kumtetea Mwalifu lakini naandika hapa kujaribu kuona haki ya walio fanyiwa ujinga huu wanaipataje,...Je Nicole kukaaa ndani haki ya wadai Itapatikana Maana siku ya Mwisho Nicole Anatakiwa kuwarudishia FEDHA zao wote walio guswa na yeye Anarudishaje Atajua yeye lakini Akiwa nje kwa dhamana na masharti yenye tija basi Anaweza kumaliza jambo hili.,. Lakini Ifike mahara hii michezo ya Magroup Inayogusa FEDHA naomba sana kuwe na Utaratibu wa kumsajiri kijumbe kitambulisho chake na wanachama anao wachangisha waridhie kwa maandishi kuwa wamekubaliana kuanzisha group la kusaidia hii itasaidia sana,.lakini sio mtu anatoka tu huko anaanzisha group mara michango sio sawa.,,. Niombe sasa Ni wakati wa kusimama na Nicole Tusiangalie kafanya nini Tuangalie Dhamana yake na jinsi ya kumsaidia,....Haijalishi kala mzigo na nani lakini bado ni mwenzetu,....Anapitia kipindi kibaya sana Ambacho Anahitaji faraja,.... Tusimame kumuombea Dhamana Tunajua na kutambua sheria na kuheshimu sheria kwenye Taifa letu,...... Niombe Si muda wa kuliangalia kosa ni Muda wa kulitibu kosa Nani mkamilifu hapa Duniani,..Mimi Binafsi kama STEVEN MENGELE (NYERERE) NIPO TAYARI KUMSAIDIA NICOLE ,..KUTOKA NDANI KWA KUFATA TARATIBU ZOTE,..NA AKIPATA DHAMANA BASI ATAMBUE KULIPA KILA JASHO LA MCHANGAJI KURUDISHIWA NA MAISHA KUENDELEA,....HAKUNA MWANADAMU AMBAYE MKAMILIFU HAPA DUNIANI,...." - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·918 Visualizações
  • Kumbuka hili wakati wote…..
    Maisha yanapokuvunja moyo, sio mwisho,ni mwanzo wa kujengeka upya.Kila kipande unachohisi kuvunjika hakipotei. Kinasubiri kutengenezwa upya,kusudi jipya na maana mpya.

    Zile nyufa unazoziona kuwa ni dosari ni sehemu zile zile nuru zitakapomiminika, zitakuponya, zitakubadilisha, na kukufundisha kuwa hata katika kuvunjika, kuna neema.

    Wakati mwingine, inatubidi tugawanyike vipande vipande ili kuunganika pamoja kwa njia ambayo ni imara zaidi, yenye hekima na uthabiti zaidi kuliko hapo awali.

    Ni katika nyakati hizo ngumu ndipo tunapogundua nguvu zetu kubwa zaidi,ujasiri wa kujenga upya, uwezo wa kufikiria upya, na neema ya kufafanua upya na maana ya kweli kuwa mkamilifu.

    Hujavunjwa bali unavunja hofu,shaka na vikwazo ambavyo hapo awali vilikuzuia.Kwa hiyo, amini katika mchakato. Kukumbatia vipande.Na ujue ya kwamba hata katika kipindi ambacho unahisi Maisha yanaenda kukushinda, unaandaliwa kuinuka kwa njia ambazo hukuwahi kufikiria kama zingewezekana.
    Kumbuka hili wakati wote….. Maisha yanapokuvunja moyo, sio mwisho,ni mwanzo wa kujengeka upya.Kila kipande unachohisi kuvunjika hakipotei. Kinasubiri kutengenezwa upya,kusudi jipya na maana mpya. Zile nyufa unazoziona kuwa ni dosari ni sehemu zile zile nuru zitakapomiminika, zitakuponya, zitakubadilisha, na kukufundisha kuwa hata katika kuvunjika, kuna neema. Wakati mwingine, inatubidi tugawanyike vipande vipande ili kuunganika pamoja kwa njia ambayo ni imara zaidi, yenye hekima na uthabiti zaidi kuliko hapo awali. Ni katika nyakati hizo ngumu ndipo tunapogundua nguvu zetu kubwa zaidi,ujasiri wa kujenga upya, uwezo wa kufikiria upya, na neema ya kufafanua upya na maana ya kweli kuwa mkamilifu. Hujavunjwa bali unavunja hofu,shaka na vikwazo ambavyo hapo awali vilikuzuia.Kwa hiyo, amini katika mchakato. Kukumbatia vipande.Na ujue ya kwamba hata katika kipindi ambacho unahisi Maisha yanaenda kukushinda, unaandaliwa kuinuka kwa njia ambazo hukuwahi kufikiria kama zingewezekana.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·971 Visualizações
  • Bob Marley alikuwa sahihi kabisa aliposema: "Huenda usiwe wake wa kwanza, wa mwisho, au wake pekee.
    Amekupenda na anaweza kupenda tena. Lakini ikiwa anakupenda sasa, ni nini kingine muhimu? Yeye si mkamilifu, na wewe pia, na nyinyi wawili hamtakuwa wakamilifu.
    Ikiwa anaweza kukufanya ucheke angalau mara moja, kukufanya ufikiri mara mbili, na kukubali kuwa u binadamu na kufanya makosa, mshikilie na kumpa yaliyo bora uwezavyo.
    Hatakukariri mashairi, hatakufikiria kila wakati, lakini atakupa sehemu yake ambayo anajua unaweza.
    Usiuvunje moyo wake,Usimdhuru, usimbadilishe, na usitarajie zaidi ya awezavyo kutoa,usimchambue.
    Tabasamu anapokufurahisha, piga kelele anapokukasirisha, na umkose wakati hayupo.
    Penda kwa moyo wako wote unapopokea upendo wake. Kwa sababu hakuna wasichana kamili, lakini daima kutakuwa na msichana mmoja ambaye ni kamili kwako."

    #BobMarley
    Bob Marley alikuwa sahihi kabisa aliposema: "Huenda usiwe wake wa kwanza, wa mwisho, au wake pekee. Amekupenda na anaweza kupenda tena. Lakini ikiwa anakupenda sasa, ni nini kingine muhimu? Yeye si mkamilifu, na wewe pia, na nyinyi wawili hamtakuwa wakamilifu. Ikiwa anaweza kukufanya ucheke angalau mara moja, kukufanya ufikiri mara mbili, na kukubali kuwa u binadamu na kufanya makosa, mshikilie na kumpa yaliyo bora uwezavyo. Hatakukariri mashairi, hatakufikiria kila wakati, lakini atakupa sehemu yake ambayo anajua unaweza. Usiuvunje moyo wake,Usimdhuru, usimbadilishe, na usitarajie zaidi ya awezavyo kutoa,usimchambue. Tabasamu anapokufurahisha, piga kelele anapokukasirisha, na umkose wakati hayupo. Penda kwa moyo wako wote unapopokea upendo wake. Kwa sababu hakuna wasichana kamili, lakini daima kutakuwa na msichana mmoja ambaye ni kamili kwako." #BobMarley
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·614 Visualizações
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações