• Zaburi 34:8-9
    [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;
    Heri mtu yule anayemtumaini.
    .
    [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
    Yaani, wamchao hawahitaji kitu.
    .
    Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza.

    Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati.

    Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu.

    Zaburi 23:6
    [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata
    Siku zote za maisha yangu;
    Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.

    Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote.

    Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe.

    #Mit 3:5-6 SUV
    Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli.
    Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako

    Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote.

    Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena.

    Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako .

    Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii.

    Nikutakie jion njema na siku njem .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden.

    Mawasiliano 0622625340.

    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 34:8-9 [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. . [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Yaani, wamchao hawahitaji kitu. . Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza. Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati. Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu. Zaburi 23:6 [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele. Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote. Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe. #Mit 3:5-6 SUV Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli. Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote. Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena. Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako . Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii. Nikutakie jion njema na siku njem . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden. Mawasiliano 0622625340. #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·72 Views
  • Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza

    RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.

    Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni

    Source Ben Jacobs


    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.🔴 Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·102 Views
  • Ask 1 Question Astrology - Ask a Question Astrology

    Visit: https://bejandaruwalla.com/pages/ask-1-questions

    Our personalized horoscope predictions are based on a thorough analysis of your birth chart or kundli as well as dasha patterns and current planetary transits. Personal Ask 1 astrology question, we assure you will have a better answer. Whatever you share with us will be interpreted in the given astrological context to determine how to best solve your problem. If there is no stability in your house, someone is ill, you are worried about your job, you are not able to progress in education, there is something wrong in the Vaastu of the house, no work is getting done or there is any other problem. There are problems for which you are unable to find solutions. If you believe in astrology then you can send us your questions.
    Ask 1 Question Astrology - Ask a Question Astrology Visit: https://bejandaruwalla.com/pages/ask-1-questions Our personalized horoscope predictions are based on a thorough analysis of your birth chart or kundli as well as dasha patterns and current planetary transits. Personal Ask 1 astrology question, we assure you will have a better answer. Whatever you share with us will be interpreted in the given astrological context to determine how to best solve your problem. If there is no stability in your house, someone is ill, you are worried about your job, you are not able to progress in education, there is something wrong in the Vaastu of the house, no work is getting done or there is any other problem. There are problems for which you are unable to find solutions. If you believe in astrology then you can send us your questions.
    Ask 1 Question Astrology | Ask a Question Astrology
    bejandaruwalla.com
    Ask a question related to marriage, career, or finance. Ask 1 astrology question which is troubling you & get an accurate answer with remedies from the astrologer.
    0 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • MICHAEL OWEN KUHUSU METHIUS CUNHA

    "Swali langu pekee juu ya Cunha ni tabia yake. Alipewa kadi nyekundu mara nyingi, anarusha sana mikono, na tayari una mtu kama huyo ambaye ni Bruno Fernandes. Labda kuwa Man United, kuwa katika klabu kubwa kama hii, inaweza kumuongezea Cunha kuwa na baadhi ya tabia mbaya zingine."

    #SportsElite
    🚨🚨MICHAEL OWEN KUHUSU METHIUS CUNHA "Swali langu pekee juu ya Cunha ni tabia yake. Alipewa kadi nyekundu mara nyingi, anarusha sana mikono, na tayari una mtu kama huyo ambaye ni Bruno Fernandes. Labda kuwa Man United, kuwa katika klabu kubwa kama hii, inaweza kumuongezea Cunha kuwa na baadhi ya tabia mbaya zingine." #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·61 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe.

    Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena

    Source Mike Keagan

    #SportsElite
    🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe. Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena Source Mike Keagan #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·56 Views
  • | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita.

    Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo.
    Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji .

    Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny

    Via (): @alexlunafut [MD]

    #FCBlive #Transfers

    #SportsElite
    🚨🇪🇸 | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita. 🔵🔴 Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo. 💰 Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji . 👉 Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny 📎 Via (🟢): @alexlunafut [MD] #FCBlive #Transfers #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·52 Views
  • Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini?

    Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake.

    Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili.

    Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana

    #SportsElite
    🚨🚨Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini? Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake. Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili. ✍️Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana🤕 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·92 Views
  • Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026.
    Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho.
    De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi.

    Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja.


    #SportsElite
    🚨🚨Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026. Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho. De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi. Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·38 Views
  • Hakuna namna tutaweza kuficha ukweli kuwa utofauti wa Arsenal na Copenhagen ni jezi,ligi wanayoshiriki na mataifa wanayotokea pekee.

    Ubishi sio kipaji kubali kujuzwa ujifunze mengi, na ukichagua kubisha njoo na facts .

    #SportsElite
    🚨🚨Hakuna namna tutaweza kuficha ukweli kuwa utofauti wa Arsenal na Copenhagen ni jezi,ligi wanayoshiriki na mataifa wanayotokea pekee. Ubishi sio kipaji kubali kujuzwa ujifunze mengi, na ukichagua kubisha njoo na facts 😑. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·103 Views
  • Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe...

    Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike

    #SportsElite
    Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe... Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·104 Views
  • Mshambuliaji wa Atalanta Ademola Lookman amerudi kwenye uwanja wa mazoezi katika klabu yake ya Atalanta baada ya dili lake la kwenda Inter Milan kufeli.

    Mnigeria huyo alitaka kujiunga na Inter lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa na Atalanta, hivyo hatua hiyo imeshindikana.

    Lookman sasa amerejea katika uwanja wa mazoezi wa Atalanta na itabidi azungumze na klabu na kocha kurekebisha uhusiano uliokuwepo hapo awali kwani aligomea mazoezi akishinikiza kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo Sky Sport)


    #SportsElite
    🚨🔵⚪Mshambuliaji wa Atalanta Ademola Lookman amerudi kwenye uwanja wa mazoezi katika klabu yake ya Atalanta baada ya dili lake la kwenda Inter Milan kufeli. Mnigeria huyo alitaka kujiunga na Inter lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa na Atalanta, hivyo hatua hiyo imeshindikana. ❌ Lookman sasa amerejea katika uwanja wa mazoezi wa Atalanta na itabidi azungumze na klabu na kocha kurekebisha uhusiano uliokuwepo hapo awali kwani aligomea mazoezi akishinikiza kuondoka klabuni hapo. (Chanzo Sky Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·51 Views
  • "tunayo furaha na kuwa habarisha kuwa Cristian Romero ameongeza mkataba mpya kusalia White Heart"
    "tunayo furaha na kuwa habarisha kuwa Cristian Romero ameongeza mkataba mpya kusalia White Heart" ✍️
    0 Comments ·0 Shares ·78 Views
  • Nyota mpya wa Real Madrid Franco Manstantuono(18), amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza hii leo dhidi ya Osasuna akiingia dakika ya 68' ya mchezo.

    Manstantuono amesajiliwa na Madrid akitokea River plate na ni moja ya vijana wenye vipaji vikubwa na ni kesho njema kwa Argentina.

    Mchezo umemalizika kwa Real Madrid kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣.

    Kesho inaandaliwa

    #SportsElite
    🚨🚨Nyota mpya wa Real Madrid Franco Manstantuono(18)🇦🇷, amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza hii leo dhidi ya Osasuna akiingia dakika ya 68' ya mchezo. Manstantuono amesajiliwa na Madrid akitokea River plate na ni moja ya vijana wenye vipaji vikubwa na ni kesho njema kwa Argentina. Mchezo umemalizika kwa Real Madrid kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣. Kesho inaandaliwa🇦🇷🔥 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·41 Views
  • Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio.
    "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia.
    Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika.

    Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?"
    Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu.

    Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu."

    Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule.

    Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu.

    Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine.

    Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao.

    Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu?

    Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu."

    Sadio Mané

    #SportsElite
    🗣️🎙️😢🇸🇳Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio. "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia. Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika. Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?" Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu. Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu." Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule. Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu. Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine. Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao. Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu? Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu." Sadio Mané🇸🇳 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·131 Views
  • ...Klabu ya namungo imekamilisha usajili wa golikipa wa kvz ya Zanzibar,Suleiman Said kwa mkataba wa miaka miwili.

    Unaambiwa jamaa anataka vibaya mnoo

    #SportsElite
    ✍️...Klabu ya namungo imekamilisha usajili wa golikipa wa kvz ya Zanzibar,Suleiman Said kwa mkataba wa miaka miwili. 🏅Unaambiwa jamaa anataka vibaya mnoo #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·52 Views
  • UPADATE: Jonathan Sowah ataikosa mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mechi ya fainali ya FA akiwa na Singida.

    Ukipewa kadi nyekundu kwenye mechi ya FA unatakiwa kutumikia adhabu kwenye mechi za ligi kuu,FA na Ngao ya jamii.

    #SportsElite
    🚨🚨UPADATE: Jonathan Sowah ataikosa mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mechi ya fainali ya FA akiwa na Singida. Ukipewa kadi nyekundu kwenye mechi ya FA unatakiwa kutumikia adhabu kwenye mechi za ligi kuu,FA na Ngao ya jamii. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·45 Views
  • LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO

    Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote
    1: Etoo
    2: Ibrahimovic
    3: Vila
    4: Suarez
    5:Aguero
    6:Auba
    7: lewandowski

    kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9


    #SportsElite
    LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote 1: Etoo 2: Ibrahimovic 3: Vila 4: Suarez 5:Aguero 6:Auba 7: lewandowski kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·301 Views
  • Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita.

    Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana.

    Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita. Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana. Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    0 Comments ·0 Shares ·343 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani..

    (Source: MARCA)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani.. (Source: MARCA) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·218 Views
  • #BREAKING

    Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili.

    Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga.

    Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni:

    - Marcus Rashford
    - Joan García
    - Roony Bardghi
    - Gerard Martín
    - Wojciech Szczęsny.

    Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara.

    Source: [ The AthleticFC ]

    #SportsElite
    #BREAKING 🔴 Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga. Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni: - Marcus Rashford - Joan García - Roony Bardghi - Gerard Martín - Wojciech Szczęsny. Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara. Source: [ The AthleticFC ] #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·241 Views
More Results