• Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England

    David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu.

    Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham.

    Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto:

    Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.

    Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024.

    UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024.

    Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja.

    Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo

    Usinisahau kunifollow basi familia yangu -----follow Csmahona update
    🚨 Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu. Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham. Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto: Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp. Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024. UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024. Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja. Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo 🤕 Usinisahau kunifollow basi familia yangu 👉-----follow Csmahona update
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·114 Ansichten
  • Tetesi Zinazovuma

    Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili.

    Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake.

    Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari.

    Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez.

    Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru.

    Chanzo: ESPN
    👀Tetesi Zinazovuma 👉Liverpool wako tayari kuipuuza Crystal Palace na kusubiri hadi mwisho wa msimu kumsajili Marc Guéhi kwa uhamisho huru, kwa mujibu wa Daily Mirror. Uhamisho wa Guéhi kutoka London kwenda Merseyside ulivunjika dakika za mwisho katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili. 👉Ilikuwa inatarajiwa sana kuwa mabingwa wa Premier League wangerudi tena Januari, jambo ambalo lingeiwezesha Palace kupata ada ya uhamisho kwa nahodha wao, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake. 👉Hata hivyo, Liverpool wanaamini Palace wanajaribu kuchochea nia kutoka kwa klabu pinzani ili kuwashinikiza, lakini hawana mpango wa kutoa ofa mwezi Januari. 👉Mchezaji mwenyewe ameweka wazi kuwa hana nia ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Selhurst Park, na anaweza kujiunga na Liverpool kama mchezaji huru majira ya kiangazi yajayo, kuchukua nafasi ya mabeki wanaotarajiwa kuondoka — Ibrahima Konaté na Joe Gomez. 👉Kwa mujibu wa Marca, uamuzi wa Konaté kukataa ofa ya tatu na ya mwisho ya mkataba mpya Liverpool unafungua njia kwa Real Madrid kumsajili beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 26 mwaka 2026 kwa uhamisho huru. Chanzo: ESPN
    0 Kommentare ·0 Anteile ·66 Ansichten
  • Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia

    AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza.

    Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan.

    Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023.

    Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League.

    Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    👀Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia 👉AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza. 👉Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan. 👉Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023. 👉Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo. 👉Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League. 👉Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·39 Ansichten
  • ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa.
    https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/
    ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa. https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/
    0 Kommentare ·0 Anteile ·62 Ansichten
  • Kwa sauti zetu mtu wa Mungu tunapaswa kumuita Bwana mpaka asikie kwani BWANA kwa asili yake anataka mwanadamu amwite .

    Zaburi 3:4-6

    Zaburi 3:4
    [4]Kwa sauti yangu namwita BWANA
    Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.

    Kanuni ya Mungu ni kuwa niiteni nami nitasikia na nitafuteni nanyi mtaniona .

    Kumbe ili Mungu akusikie kwa uhuru anataka upaze sauti yako kumtafuta kwa kuomba na kumpendeza yeye naye ana asili ya kuwasikia walio wake .

    Ni wanao mwita Bwana peke yake ndiyo Bwana anawategemeza na Bwana akikutegemeza unakuwa na jjasiri nakutembea kifua mbele bila kuogopa mabaya.

    Ndipo daudi anasema naaam
    Zaburi 23:4
    [4]Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
    Sitaogopa mabaya;
    Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
    Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

    Changamoto yetu katika magumu yetu hatumwiti Bwana bali tunawaita watu tunasahau hata hao tunao wategemea nao ni kazi ya mikono yake ,ni Bwana peke yake unakuwa na ujasiri na amani akikutegemeza,

    Mwanadamu usalama wake upo katika kuwa na Bwana, MTU akimkosa Mungu hana ujasiri wa kusema yuko salama kwani sauti yake inageuka kuwa kelele machoni pa watu na hata machoni pa Mungu.

    #Zaburi 4:8
    [8]Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara,
    Maana Wewe, BWANA, peke yako,
    Ndiwe unijaliaye kukaa salama.

    Salama ya mwanadamu kulala na kuamka ni katika kumpazia Mungu sauti yake na ni vizuri sana kumpazia Mungu sauti kwa kuomba ili uweze kuwa salama .

    #Mithali 3:23-24
    [23]Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama,
    Wala mguu wako hautakwaa.
    .
    [24]Ulalapo hutaona hofu;
    Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

    Ahsante sana , nikutakie jioni njema na siku njema.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi karibu katika group la watsap.

    Tuma nenl Add kwenda 0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    Kwa sauti zetu mtu wa Mungu tunapaswa kumuita Bwana mpaka asikie kwani BWANA kwa asili yake anataka mwanadamu amwite . Zaburi 3:4-6 Zaburi 3:4 [4]Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu. Kanuni ya Mungu ni kuwa niiteni nami nitasikia na nitafuteni nanyi mtaniona . Kumbe ili Mungu akusikie kwa uhuru anataka upaze sauti yako kumtafuta kwa kuomba na kumpendeza yeye naye ana asili ya kuwasikia walio wake . Ni wanao mwita Bwana peke yake ndiyo Bwana anawategemeza na Bwana akikutegemeza unakuwa na jjasiri nakutembea kifua mbele bila kuogopa mabaya. Ndipo daudi anasema naaam Zaburi 23:4 [4]Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Changamoto yetu katika magumu yetu hatumwiti Bwana bali tunawaita watu tunasahau hata hao tunao wategemea nao ni kazi ya mikono yake ,ni Bwana peke yake unakuwa na ujasiri na amani akikutegemeza, Mwanadamu usalama wake upo katika kuwa na Bwana, MTU akimkosa Mungu hana ujasiri wa kusema yuko salama kwani sauti yake inageuka kuwa kelele machoni pa watu na hata machoni pa Mungu. #Zaburi 4:8 [8]Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama. Salama ya mwanadamu kulala na kuamka ni katika kumpazia Mungu sauti yake na ni vizuri sana kumpazia Mungu sauti kwa kuomba ili uweze kuwa salama . #Mithali 3:23-24 [23]Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa. . [24]Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu. Ahsante sana , nikutakie jioni njema na siku njema. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi karibu katika group la watsap. Tuma nenl Add kwenda 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Kommentare ·0 Anteile ·240 Ansichten
  • Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu.

    Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini.

    #warumi 10:8-10.

    Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri.

    Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda.

    Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda .

    # 2 Corinth 4:4

    Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa.

    Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay.

    #mathayo 28:18

    Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka.

    Nikutakie jion njema
    Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    #restore men position
    #build new eden
    Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu. Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini. #warumi 10:8-10. Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri. Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda. Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda . # 2 Corinth 4:4 Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa. Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay. #mathayo 28:18 Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka. Nikutakie jion njema Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #restore men position #build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·340 Ansichten
  • Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae

    haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini
    🚨🚨Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini😂😂😂😂
    0 Kommentare ·0 Anteile ·297 Ansichten
  • Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.”

    “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.”

    “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.” 🗣️ “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.” 🗣️ “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.” #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·440 Ansichten
  • Slot: Ekitike tayari ana mchango mkubwa kwenye safu ya ushambuliaji

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Tayari amekuwa na mchango mkubwa kwenye sehemu ya ushambuliaji ya mchezo wetu—si tu kwa kufunga mabao, bali pia kwa kushiriki katika ujenzi wa mashambulizi, akiwa mmoja wa wanaoanzisha hatari.”

    “Jibu rahisi kuhusu anachoweza kuboresha ni uwezo wa kuhimili mechi kwa dakika zote. Natarajia afanye mengi zaidi bila mpira kuliko anavyofanya sasa, ingawa tayari anajitahidi.”

    “Hii ni hali ya kawaida kabisa kwa mchezaji anayehama kutoka ligi tofauti na mtindo wa uchezaji tofauti. Frankfurt hawakuwa wakishambulia kwa presha kama tunavyofanya sisi, na sasa akiwa kwenye ligi mpya, kuna mengi ya kukabiliana nayo.”

    “Ili kuzoea kiwango cha nguvu na kasi bila mpira, kuna hatua ndogo anazopaswa kuchukua.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Ekitike tayari ana mchango mkubwa kwenye safu ya ushambuliaji 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Tayari amekuwa na mchango mkubwa kwenye sehemu ya ushambuliaji ya mchezo wetu—si tu kwa kufunga mabao, bali pia kwa kushiriki katika ujenzi wa mashambulizi, akiwa mmoja wa wanaoanzisha hatari.” 🗣️ “Jibu rahisi kuhusu anachoweza kuboresha ni uwezo wa kuhimili mechi kwa dakika zote. Natarajia afanye mengi zaidi bila mpira kuliko anavyofanya sasa, ingawa tayari anajitahidi.” 🗣️ “Hii ni hali ya kawaida kabisa kwa mchezaji anayehama kutoka ligi tofauti na mtindo wa uchezaji tofauti. Frankfurt hawakuwa wakishambulia kwa presha kama tunavyofanya sisi, na sasa akiwa kwenye ligi mpya, kuna mengi ya kukabiliana nayo.” 🗣️ “Ili kuzoea kiwango cha nguvu na kasi bila mpira, kuna hatua ndogo anazopaswa kuchukua.” #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·415 Ansichten
  • Kocha Ruben Amorim amethibitisha Hakuna nafasi ya Kumuachia Kobbie Mainoo kuondoka klabuni.❎️

    Ruben Amorim amesema anataka kumuona Mainoo akipambania nafasi yake na anataka abakie klabuni.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨Kocha Ruben Amorim amethibitisha Hakuna nafasi ya Kumuachia Kobbie Mainoo kuondoka klabuni.❎️🔒 Ruben Amorim amesema anataka kumuona Mainoo akipambania nafasi yake na anataka abakie klabuni. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·190 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Xavi Simons amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham kwa kandarasi hadi 2030 na nyongeza ya miaka 2 mbele.

    €60m ndio RB Leipzig watavuna.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Xavi Simons amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham kwa kandarasi hadi 2030 na nyongeza ya miaka 2 mbele. €60m ndio RB Leipzig watavuna. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·91 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚! Kuna mambo mengi yamefanyika usiku kuhusu Xavi Simons;

    Spurs wametoa ushindani mkubwa na kuonyesha dalili za kumtaka Simons baada ya kupoteza Wiki kadhaa za kusubiri Chelsea.

    Spurs wako tayari kukamilisha maswali ya stakabadhi leo asubuhi na ikiwezekana 'HERE WE GO' ipatikane!

    (Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚!🚨 Kuna mambo mengi yamefanyika usiku kuhusu Xavi Simons; Spurs wametoa ushindani mkubwa na kuonyesha dalili za kumtaka Simons baada ya kupoteza Wiki kadhaa za kusubiri Chelsea. Spurs wako tayari kukamilisha maswali ya stakabadhi leo asubuhi na ikiwezekana 'HERE WE GO' ipatikane! (Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·184 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni.


    #SportsElite
    🚨🇳🇬💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·123 Ansichten
  • Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote... Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu

    Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani
    🌀Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote...✊ Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu😀 Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani ❔❓😀
    0 Kommentare ·0 Anteile ·308 Ansichten
  • “Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” .

    Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti .

    #fcbarcelonaswahilinews

    #SportsElite
    🚨🚨“Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” 😂🤣. Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti 😏. #fcbarcelonaswahilinews #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·257 Ansichten
  • Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti:

    “Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.”

    #SportsElite
    🚨🚨Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti: “Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.” #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·222 Ansichten
  • Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·591 Ansichten
  • BREAKING: Mazungumzo sasa yapo keenye hatua za juu kati ya Man United na Napoli kwa mkataba wa mkopo na ada ya mkopo yenye thamani ya € 5m pamoja na chaguo la € 45m kununua.

    Napoli wako tayari kulipa mshahara mzima wa Rasmus Højlund.

    Napoli inaamini kushiriki kwao Ligi ya Mabingwa kunaweza kumshawishi Højlund kujiunga nao.

    Source the athletic

    #SportsElite
    🚨 BREAKING: Mazungumzo sasa yapo keenye hatua za juu kati ya Man United na Napoli kwa mkataba wa mkopo na ada ya mkopo yenye thamani ya € 5m pamoja na chaguo la € 45m kununua. Napoli wako tayari kulipa mshahara mzima wa Rasmus Højlund. Napoli inaamini kushiriki kwao Ligi ya Mabingwa kunaweza kumshawishi Højlund kujiunga nao. Source the athletic #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·231 Ansichten
  • Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna.

    @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC

    #SportsElite
    🚨 Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna. @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·176 Ansichten
  • Zaburi 34:8-9
    [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;
    Heri mtu yule anayemtumaini.
    .
    [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
    Yaani, wamchao hawahitaji kitu.
    .
    Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza.

    Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati.

    Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu.

    Zaburi 23:6
    [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata
    Siku zote za maisha yangu;
    Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.

    Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote.

    Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe.

    #Mit 3:5-6 SUV
    Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli.
    Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako

    Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote.

    Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena.

    Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako .

    Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii.

    Nikutakie jion njema na siku njem .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden.

    Mawasiliano 0622625340.

    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 34:8-9 [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. . [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Yaani, wamchao hawahitaji kitu. . Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza. Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati. Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu. Zaburi 23:6 [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele. Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote. Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe. #Mit 3:5-6 SUV Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli. Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote. Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena. Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako . Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii. Nikutakie jion njema na siku njem . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden. Mawasiliano 0622625340. #build new eden #restore men position
    0 Kommentare ·0 Anteile ·541 Ansichten
Suchergebnis