• 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    0 Commenti ·0 condivisioni ·67 Views
  • #SportsElite 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    #SportsElite🇪🇸 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    Yay
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·162 Views
  • Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama
    Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama🔥❤️👈👈👈🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Haha
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·126 Views
  • #SportsElite 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Pau Cubarsí ameingeza kandarasi mpya hadi June 2029, club clabu ya Barcelona imethibitisha hilo
    #SportsElite🇪🇸 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Pau Cubarsí ameingeza kandarasi mpya hadi June 2029, club clabu ya Barcelona imethibitisha hilo 🔵🔴✨
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·175 Views
  • Miongon mwa ndugu walio wai kucheza soka ligi Moja ipi ni couple Yako bora kuwai kuishuhudia ###@
    Miongon mwa ndugu walio wai kucheza soka ligi Moja ipi ni couple Yako bora kuwai kuishuhudia ###@🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    0 Commenti ·0 condivisioni ·122 Views
  • #SportsElite𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid wamemuondoa Vazquez kwenye list ya wachezaji watakao cheza mechi dhidi ya Man City kutokana na jeraha alilonalo....na mbadala wake ni Chema...
    #SportsElite🇪🇸𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid wamemuondoa Vazquez kwenye list ya wachezaji watakao cheza mechi dhidi ya Man City kutokana na jeraha alilonalo....na mbadala wake ni Chema...
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·201 Views
  • #SportsElite𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wamepoa taarifa kwa beki wake Ronald Araujo siku ya leo atafanyiwa vipimo kutokana na jeraha alilo umia katika mchezo wa Sevilla.
    #SportsElite🇪🇸𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wamepoa taarifa kwa beki wake Ronald Araujo siku ya leo atafanyiwa vipimo kutokana na jeraha alilo umia katika mchezo wa Sevilla.
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·201 Views
  • MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE
    ✦Magonjwa ya macho
    ✦Kukunjana kwa ngozi
    ✦Magonjwa ya masikio
    ✦Saratani ya ngozi
    ✦Magonjwa ya meno
    ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu.
    ✦Magonjwa ya ngozi.

    𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞.

    #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈
    ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE
    https://wa.me/c/255767607724

    ✦Instagram:
    https://www.instagram.com/twaibherbs

    ✦Facebook:
    https://www.facebook.com/twaibherbs

    ✦Google/blog.
    https://www.twaibherbs.blogspot.com
    MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE ✦Magonjwa ya macho ✦Kukunjana kwa ngozi ✦Magonjwa ya masikio ✦Saratani ya ngozi ✦Magonjwa ya meno ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu. ✦Magonjwa ya ngozi. 𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞. #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈 ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE https://wa.me/c/255767607724 ✦Instagram: https://www.instagram.com/twaibherbs ✦Facebook: https://www.facebook.com/twaibherbs ✦Google/blog. https://www.twaibherbs.blogspot.com
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·407 Views

  • unamjua Azizi mapenzi wewe?

    #paulswai
    unamjua Azizi mapenzi wewe? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #paulswai
    Like
    3
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·495 Views
  • Yangaaaaaaa hoyeeee #
    Yangaaaaaaa hoyeeee🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞🤞 #
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·219 Views
  • muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu

    huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi

    Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten)

    anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana

    wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba.


    #paulswai
    muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten) anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba. 👍👍👍👍🦁🦁🦁🦁 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·656 Views
  • ...||TANZANIA NJIA NYEUPE KWENYE KUNDI C AFCON 2025.

    Haya hapa Makundi yote ya Afcon 2025,

    KUNDI A
    Morocco
    Comoros
    Zambia
    Mali

    KUNDI B
    Zimbabwe
    Angola
    South Africa
    Egypt

    KUNDI C
    Tanzania
    Uganda
    Tunisia
    Nigeria

    KUNDI D
    Botswana
    Benin
    Dr Congo
    Senegal

    KUNDI E
    Sudan
    Equatorial Guinea
    Burkina Faso
    Algeria

    KUNDI F
    Cameroon
    Mozambique
    Gabon
    Cotê D'Ivoire 🇨🇮

    Kila la kheri Tanzania
    🚨...||TANZANIA 🇹🇿 NJIA NYEUPE KWENYE KUNDI C AFCON 2025. 💎Haya hapa Makundi yote ya Afcon 2025, KUNDI A Morocco🇲🇦 Comoros🇰🇲 Zambia🇿🇲 Mali🇲🇱 KUNDI B Zimbabwe 🇿🇼 Angola🇦🇴 South Africa🇿🇦 Egypt🇪🇬 KUNDI C Tanzania🇹🇿 Uganda🇺🇬 Tunisia🇹🇳 Nigeria🇳🇬 KUNDI D Botswana🇧🇼 Benin🇧🇯 Dr Congo🇨🇩 Senegal🇸🇳 KUNDI E Sudan🇸🇸 Equatorial Guinea🇬🇶 Burkina Faso🇧🇫 Algeria🇩🇿 KUNDI F Cameroon🇨🇲 Mozambique🇲🇿 Gabon🇬🇦 Cotê D'Ivoire 🇨🇮 💎Kila la kheri Tanzania 🇹🇿🇹🇿🙏👊💪💙🤍🖤
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·466 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Man United iko tayari kutoa ofa mpya ya €30m kumsajili beki wa Lecce Patrick Dorgu,

    Patrick Dorgu mwenye miaka 20 raia wa Denmark tayari amekubali masharti ya kibinafsi na Man United

    Source Fabrizio Romano
    𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Man United iko tayari kutoa ofa mpya ya €30m kumsajili beki wa Lecce Patrick Dorgu, 🇩🇰 Patrick Dorgu mwenye miaka 20 raia wa Denmark tayari amekubali masharti ya kibinafsi na Man United Source Fabrizio Romano
    Like
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·187 Views
  • 𝐁𝐋𝐎𝐎𝐃 𝐂𝐋𝐄𝐀𝐍𝐒𝐄𝐑
    𝐃𝐚𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐊𝐮𝐬𝐚𝐟𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐃𝐚𝐦𝐮
    -𝐇𝐮𝐭𝐨𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐮,𝐛𝐚𝐤𝐭𝐞𝐫𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐭𝐢𝐛𝐚 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐳𝐢𝐨(𝐀𝐥𝐥𝐞𝐫𝐠𝐲)
    +255767607724
    𝐁𝐋𝐎𝐎𝐃 𝐂𝐋𝐄𝐀𝐍𝐒𝐄𝐑 𝐃𝐚𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐊𝐮𝐬𝐚𝐟𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐃𝐚𝐦𝐮 -𝐇𝐮𝐭𝐨𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐮,𝐛𝐚𝐤𝐭𝐞𝐫𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐭𝐢𝐛𝐚 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐳𝐢𝐨(𝐀𝐥𝐥𝐞𝐫𝐠𝐲) +255767607724
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·484 Views
  • UNAWEZA KUKUTA MZAZI ALIKUPA JINA LA EX WAKE
    UNAWEZA KUKUTA MZAZI ALIKUPA JINA LA EX WAKE😅😅😅😅😅😂😂😂
    0 Commenti ·0 condivisioni ·234 Views
  • *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA*

    Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!.

    Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra.

    Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6.

    Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi.

    Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5.

    Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!.

    Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!.

    Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu!

    Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine.
    Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake!

    Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!.

    Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke!

    Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!.

    Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako.

    Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!.

    Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu.
    Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine.

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
    Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine
    *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*🏃🏽
    *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA* Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!. Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra. Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6. Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi. Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5. Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!. Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!. Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu! Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine. Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake! Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!. Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke! Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!. Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako. Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!. Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu. Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine. 😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine 😅👀 *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*🏃🏽
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • SHIGETAKA KURITA.... Mvumbuzi WA Emoji

    Kama ulikuwa hujui...... Ni hivi emoji zilianza kutumika mwaka 1999 nchini Japan

    Mvumbuzi wa Emoji aliitwa Shigetaka Kurita aliyekuwa anafanya kazi katika kampuni ya na mawasiliano iliyoitwa DECOMO

    Shigetaka Kurita alikuwa ndio mbunifu mkuu wa kampuni hiyo ya decomo ....kampuni hiyo iliyokuwa na malengo ya kuanzisha namna mpya ya kuwasiliana

    Shigetaka alikuwa na kiu ya kufanya mawasiliano ya mitandao yawe yakuvutia na kurahisisha ujumbe kueleweka kwa haraka ndipo alipobuni emoji 176 zilizokuwa zinaelezea maana mbali mbali.... Kama vile hali ya hewa...msongamano wa magari ...na teknolojia mbali mbali

    Baada ya kuanzishwa emoji hizo katika miaka ya 1999 ilianza kutumika nchini Japan tu.

    Baada ya miaka michache emoji ikaanza kutumika Katika nchi nyingine huku kampuni ya Apple nayo ikaanza kutumia emoji

    Inakadiriwa hadi sasa hivi kuna zaidi ya emoji 3178

    Comment emoji yoyote ile ambayo hujawahi kuitumia kisha mtag rafiki yako kipenzi....... 🏕🏖

    Tafadhali share na wengine wajue
    SHIGETAKA KURITA.... Mvumbuzi WA Emoji Kama ulikuwa hujui...... Ni hivi emoji zilianza kutumika mwaka 1999 nchini Japan Mvumbuzi wa Emoji aliitwa Shigetaka Kurita aliyekuwa anafanya kazi katika kampuni ya na mawasiliano iliyoitwa DECOMO Shigetaka Kurita alikuwa ndio mbunifu mkuu wa kampuni hiyo ya decomo ....kampuni hiyo iliyokuwa na malengo ya kuanzisha namna mpya ya kuwasiliana Shigetaka alikuwa na kiu ya kufanya mawasiliano ya mitandao yawe yakuvutia na kurahisisha ujumbe kueleweka kwa haraka ndipo alipobuni emoji 176 zilizokuwa zinaelezea maana mbali mbali.... Kama vile hali ya hewa...msongamano wa magari ...na teknolojia mbali mbali Baada ya kuanzishwa emoji hizo katika miaka ya 1999 ilianza kutumika nchini Japan tu. Baada ya miaka michache emoji ikaanza kutumika Katika nchi nyingine huku kampuni ya Apple nayo ikaanza kutumia emoji Inakadiriwa hadi sasa hivi kuna zaidi ya emoji 3178 Comment emoji yoyote ile ambayo hujawahi kuitumia kisha mtag rafiki yako kipenzi....... 💵📦🛂🛃🏕🌋🏖🇦🇷🇦🇺🇦🇶 Tafadhali share na wengine wajue
    0 Commenti ·0 condivisioni ·453 Views
  • 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Haha
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·216 Views
  • 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·229 Views
  • Tanzania nchi yangu
    Tanzania nchi yangu 🇹🇿🇹🇿😂😂😂🙌🙌
    0 Commenti ·0 condivisioni ·463 Views
Pagine in Evidenza