• OFFICIAL Alejandro Garnacho atafanyiwa vipimo vya afya leo kama mchezaji mpya wa Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 OFFICIAL Alejandro Garnacho atafanyiwa vipimo vya afya leo kama mchezaji mpya wa Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·109 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya
    🚨🇳🇬 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya ❌
    0 Kommentare ·0 Anteile ·91 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea

    Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032.

    Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032.

    Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea 🚨Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032. Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032. Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·232 Ansichten
  • Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030.

    Source Sacha Tavolieri

    #SportsElite
    🚨Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030. Source Sacha Tavolieri #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·250 Ansichten
  • BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..

    Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·223 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Douglas Luiz atafanyiwa vipimo vya afya Leo ili kukamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest hadi 2030 na atakuwa analipwa €5M/mwaka pamoja na bonasi zote

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Douglas Luiz atafanyiwa vipimo vya afya Leo ili kukamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest hadi 2030 na atakuwa analipwa €5M/mwaka pamoja na bonasi zote #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·94 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa,

    Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa, 🤍🖤 Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya 🔜 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·213 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! AS Roma imekamilisha uhamisho wa kiungo Neil El Aynaoui kutoka Lens

    Ada ya uhamisho ikiwa ni €23m na nyongeza ya €2m kiungo huyo wa Morocco atasafiri kuelekea Roma Jumamosi hii kwaajili ya vipimo vya afya na mkataba wa miaka 5..

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! AS Roma imekamilisha uhamisho wa kiungo Neil El Aynaoui kutoka Lens ❤️💛🇲🇦 Ada ya uhamisho ikiwa ni €23m na nyongeza ya €2m kiungo huyo wa Morocco atasafiri kuelekea Roma Jumamosi hii kwaajili ya vipimo vya afya na mkataba wa miaka 5.. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·270 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! RB Leipzig imefikia makubaliano ya kumsaini winga Johan Bakayoko kutoka PSV

    Uhamisho huo umegharimu €22M na vipimo vya afya atafanyiwa ndani ya wiki hii..
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! RB Leipzig imefikia makubaliano ya kumsaini winga Johan Bakayoko kutoka PSV ❤️🤍 Uhamisho huo umegharimu €22M na vipimo vya afya atafanyiwa ndani ya wiki hii..
    0 Kommentare ·0 Anteile ·247 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇺🇸 Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County. Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    0 Kommentare ·0 Anteile ·297 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović

    Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović 🍒 Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·289 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Morgan Gibbs-White yuko mbioni kujiunga Tottenham Hotspur baada ya vipimo vya afya hapo kesho.

    Tottenham Hotspur itatakiwa kulipa £60m kama Ada ya uhamisho Nottingham Forest.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Morgan Gibbs-White yuko mbioni kujiunga Tottenham Hotspur baada ya vipimo vya afya hapo kesho. ⚪⚫ Tottenham Hotspur itatakiwa kulipa £60m kama Ada ya uhamisho Nottingham Forest. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·243 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham

    Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs

    Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London
    @theathleticfc reports.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham 🤍💣 Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London @theathleticfc reports. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·303 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo
    @SkySportsNews.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇫🇷 Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo @SkySportsNews. ✈️ #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·274 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard.

    Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein].

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard🇩🇰. Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi. Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein]. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·323 Ansichten
  • Winga machachari raia wa Sweden Roony Bardghji amekamilisha vipimo vya afya na kuwa mchezaji mpya wa FC Barcelona akitokea FC Copenhagen ya Denmark

    #SportsElite
    💈💈 Winga machachari raia wa Sweden 🇸🇪 Roony Bardghji amekamilisha vipimo vya afya na kuwa mchezaji mpya wa FC Barcelona akitokea FC Copenhagen ya Denmark 🇩🇰 🙌 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·263 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Crystal Palace iko mbioni kukamilisha usajiri wa Borna Sosa kutoka Ajax kwa ada ya €4M.

    Na ndani ya massa 48 atakuwa amekamilisha taratibu za uhamisho pamoja na vipimo vya afya...

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Crystal Palace iko mbioni kukamilisha usajiri wa Borna Sosa kutoka Ajax kwa ada ya €4M. 🔴🔵 Na ndani ya massa 48 atakuwa amekamilisha taratibu za uhamisho pamoja na vipimo vya afya... #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·252 Ansichten
  • Hatari ya Joto Kali Kombe la Dunia 2026!

    ⛔️ FIFPRO (umoja wa wachezaji duniani) wametoa wito wa mabadiliko ya haraka kuelekea Kombe la Dunia 2026 kutokana na joto kali linalotarajiwa kipindi cha mashindano hayo.

    Mapendekezo yao ni pamoja na:
    • Kupumzika kila baada ya dakika 15
    • Mapumziko ya dakika 20 kipindi cha mapumziko
    • Mechi kuchezwa katika muda wa hali ya hewa ya wastani
    • Ukaguzi wa afya kwa kina kwa wachezaji kabla ya mashindano
    • Mpango wa dharura endapo kutakuwa na onyo la hali ya hewa

    Follow us Elly Sport
    🌡️⚠️ Hatari ya Joto Kali Kombe la Dunia 2026! ⛔️ FIFPRO (umoja wa wachezaji duniani) wametoa wito wa mabadiliko ya haraka kuelekea Kombe la Dunia 2026 kutokana na joto kali linalotarajiwa kipindi cha mashindano hayo. ✅ Mapendekezo yao ni pamoja na: • Kupumzika kila baada ya dakika 15 🧊 • Mapumziko ya dakika 20 kipindi cha mapumziko ⏱️ • Mechi kuchezwa katika muda wa hali ya hewa ya wastani 🌥️ • Ukaguzi wa afya kwa kina kwa wachezaji kabla ya mashindano 🏥 • Mpango wa dharura endapo kutakuwa na onyo la hali ya hewa 🚨 Follow us Elly Sport
    0 Kommentare ·0 Anteile ·509 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎:Juventus imekamilisha usajiri wa Jonathan David kama mchezaji huru

    Hii ni baada ya mazungumzo kutamatika hapo Jana na muda sio mrefu Jonathan David atafanyiwa vipimo vya kiafya....

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎:Juventus imekamilisha usajiri wa Jonathan David kama mchezaji huru 🤍🖤 Hii ni baada ya mazungumzo kutamatika hapo Jana na muda sio mrefu Jonathan David atafanyiwa vipimo vya kiafya.... 🇨🇦 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·388 Ansichten
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Jayden Addai amekamilisha vipimo vya afya na atakuwa tayari kujiunga na Como muda wowote kwanzia sasa kwa ada ya €14m kutoka AZ⚪️

    #SportsElite
    🚨𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Jayden Addai amekamilisha vipimo vya afya na atakuwa tayari kujiunga na Como muda wowote kwanzia sasa kwa ada ya €14m kutoka AZ🔵⚪️ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·282 Ansichten
Suchergebnis