• EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M.

    #SportsElite
    🚨 EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·48 Views
  • Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco.

    Source Barcelona Universal
    🚨 Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco. Source Barcelona Universal
    0 Comments ·0 Shares ·224 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. 👋🏽
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. 👋🏽💣
    0 Comments ·0 Shares ·221 Views
  • Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .

    Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.

    Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.

    #SportsElite
    Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·194 Views
  • Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).

    Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.

    Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?

    FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
    Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
    Mendes
    Ronaldo

    Zubimendi
    Oyarzabal

    #UCL
    Barcelona 1-2 PSG
    19' Torres
    38' Mayulu( Mendes)
    90' Ramos ( Hakimi)


    #SportsElite
    Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. ✍️ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno 🇵🇹 2-2 🇪🇸 Uhispania (P 5-3) ⚽ Mendes ⚽ Ronaldo ⚽ Zubimendi ⚽ Oyarzabal #UCL Barcelona 🇪🇸 1-2 🇫🇷 PSG ⚽ 19' Torres ⚽ 38' Mayulu(🅰️ Mendes) ⚽ 90' Ramos (🅰️ Hakimi) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·566 Views
  • RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    💣 RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    0 Comments ·0 Shares ·186 Views
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·527 Views
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: 🗣️ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."🤯❤️ 🗣️ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·520 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 🇮🇹 13:30 - SS Lazio ⚔️ AS Roma 🇪🇸 15:00 - Rayo Vallecano ⚔️ Celta Vigo 🇳🇱 15:30 - PSV Eindhoven ⚔️ Ajax 🇮🇹 16:00 - Torino FC ⚔️ Atalanta BC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Sunderland ⚔️ Aston Villa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Bournemouth ⚔️ Newcastle United 🇹🇿 16:00 - Mashujaa FC ⚔️ Mtibwa Sugar 🇩🇪 16:30 - Frankfurt ⚔️ Union Berlin 🇪🇸 17:15 - Real Mallorca ⚔️ Atletico Madrid 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 17:30 - Partick Thistle ⚔️ Celtic FC 🇳🇱 17:45 - Az Alkmaar ⚔️ Feyenoord 🇫🇷 18:15 - AS Monaco ⚔️ Metz 🇩🇪 18:30 - Bayer Leverkusen ⚔️ M'gladbach 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 18:30 - Arsenal FC ⚔️ Manchester City 🇹🇿 19:00 - Namungo FC ⚔️ Tanzania Prisons 🇮🇹 19:00 - Fiorentina ⚔️ Como FC 🇹🇷 20:00 - Kasimpasa ⚔️ Fenerbahce FK 🇩🇪 20:30 - Dortmund ⚔️ Wolfsburg 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Sassuolo 🇫🇷 21:45 - Marseille ⚔️ Paris Saint Germain 🇪🇸 22:00 - Barcelona ⚔️ Getafe FC
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·433 Views
  • FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo .

    Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement.

    (Source: El Nacional)
    🚨 FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo . Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement. (Source: El Nacional)
    0 Comments ·0 Shares ·235 Views
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.🇪🇸🔵 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·651 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🔐🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·459 Views
  • Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m.

    Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🚨 Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m. Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️🔵 Source The Touchline T #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·351 Views
  • Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza

    Chelsea
    Paris Saint-Germain
    Eintracht Frankfurt
    Club Brugge
    Olympiacos
    Slavia Prague
    Copenhagen
    Newcastle

    Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu .

    #SportsElite
    🚨Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza ❤️💙 🔥 ✈️ Chelsea 🏠 Paris Saint-Germain 🏠 Eintracht Frankfurt ✈️ Club Brugge 🏠 Olympiacos ✈️ Slavia Prague 🏠 Copenhagen ✈️ Newcastle Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu 🥶. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·514 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona.

    Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M].

    (Source: Jose Alvarez)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona. Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M]. (Source: Jose Alvarez) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·266 Views
  • Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla

    Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.

    Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.

    Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake

    #SportsElite
    🚨🚨Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla ✊🇧🇷 🌀Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa. Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. 💔✨ Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake 😀 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·586 Views
  • “Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” .

    Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti .

    #fcbarcelonaswahilinews

    #SportsElite
    🚨🚨“Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” 😂🤣. Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti 😏. #fcbarcelonaswahilinews #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·621 Views
  • Ratiba ya michezo Barcelona Laliga
    🚨Ratiba ya michezo Barcelona Laliga
    0 Comments ·0 Shares ·272 Views
  • Aston Villa iko mbioni kutuma ofa €30M ili kuona uwezekano wa kumpata Marc Casadó, ambae anatajwa kuondoka FC Barcelona dirisha hili.

    (Source: El País)

    #SportsElite
    🚨 Aston Villa iko mbioni kutuma ofa €30M ili kuona uwezekano wa kumpata Marc Casadó, ambae anatajwa kuondoka FC Barcelona dirisha hili. (Source: El País) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·213 Views
  • FC BARCELONA WOMEN'S
    FC BARCELONA WOMEN'S
    0 Comments ·0 Shares ·152 Views
More Results