Upgrade to Pro

  • Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao.

    Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m.

    Source Barcelona Universal
    🚨 Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao. Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m. 🇪🇸 Source Barcelona Universal
    ·313 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wanarejea 𝐒𝐩𝐨𝐭𝐢𝐟𝐲 𝐂𝐚𝐦𝐩 𝐨𝐨 kitakuwa uwanja mpya. 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐭𝐮𝐫𝐝𝐚𝐲 dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga!

    SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA!
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Barcelona wanarejea 𝐒𝐩𝐨𝐭𝐢𝐟𝐲 𝐂𝐚𝐦𝐩 𝐨𝐨 kitakuwa uwanja mpya. 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐒𝐚𝐭𝐮𝐫𝐝𝐚𝐲 dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga! 🤩 SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA! ❤️💙
    ·170 Ansichten
  • FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu.

    Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    🚨 FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu. Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    ·411 Ansichten
  • Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.🏟

    Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao .

    Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. ✅️
    🚨 Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.🏟 Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao . Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. ✅️
    ·438 Ansichten
  • Lionel Messi usiku wa jana alitembelea tena Camp Nou kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka FC Barcelona na kuandika ana furaha sana kufika hapo akiamini Kuna siku atarudi tena FC Barcelona

    The Best ever
    Lionel Messi usiku wa jana alitembelea tena Camp Nou kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka FC Barcelona na kuandika ana furaha sana kufika hapo akiamini Kuna siku atarudi tena FC Barcelona💙❤️ The Best ever 🙌
    ·376 Ansichten
  • EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M.

    #SportsElite
    🚨 EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M. #SportsElite
    ·396 Ansichten
  • Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco.

    Source Barcelona Universal
    🚨 Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco. Source Barcelona Universal
    ·376 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. 👋🏽
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. 👋🏽💣
    ·432 Ansichten
  • Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .

    Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.

    Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.

    #SportsElite
    Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite
    ·521 Ansichten
  • Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).

    Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.

    Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?

    FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
    Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
    Mendes
    Ronaldo

    Zubimendi
    Oyarzabal

    #UCL
    Barcelona 1-2 PSG
    19' Torres
    38' Mayulu( Mendes)
    90' Ramos ( Hakimi)


    #SportsElite
    Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. ✍️ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno 🇵🇹 2-2 🇪🇸 Uhispania (P 5-3) ⚽ Mendes ⚽ Ronaldo ⚽ Zubimendi ⚽ Oyarzabal #UCL Barcelona 🇪🇸 1-2 🇫🇷 PSG ⚽ 19' Torres ⚽ 38' Mayulu(🅰️ Mendes) ⚽ 90' Ramos (🅰️ Hakimi) #SportsElite
    ·883 Ansichten
  • RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    💣 RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    ·238 Ansichten
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    ·819 Ansichten
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: 🗣️ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."🤯❤️ 🗣️ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    ·806 Ansichten
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 🇮🇹 13:30 - SS Lazio ⚔️ AS Roma 🇪🇸 15:00 - Rayo Vallecano ⚔️ Celta Vigo 🇳🇱 15:30 - PSV Eindhoven ⚔️ Ajax 🇮🇹 16:00 - Torino FC ⚔️ Atalanta BC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Sunderland ⚔️ Aston Villa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Bournemouth ⚔️ Newcastle United 🇹🇿 16:00 - Mashujaa FC ⚔️ Mtibwa Sugar 🇩🇪 16:30 - Frankfurt ⚔️ Union Berlin 🇪🇸 17:15 - Real Mallorca ⚔️ Atletico Madrid 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 17:30 - Partick Thistle ⚔️ Celtic FC 🇳🇱 17:45 - Az Alkmaar ⚔️ Feyenoord 🇫🇷 18:15 - AS Monaco ⚔️ Metz 🇩🇪 18:30 - Bayer Leverkusen ⚔️ M'gladbach 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 18:30 - Arsenal FC ⚔️ Manchester City 🇹🇿 19:00 - Namungo FC ⚔️ Tanzania Prisons 🇮🇹 19:00 - Fiorentina ⚔️ Como FC 🇹🇷 20:00 - Kasimpasa ⚔️ Fenerbahce FK 🇩🇪 20:30 - Dortmund ⚔️ Wolfsburg 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Sassuolo 🇫🇷 21:45 - Marseille ⚔️ Paris Saint Germain 🇪🇸 22:00 - Barcelona ⚔️ Getafe FC
    Love
    1
    ·683 Ansichten
  • FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo .

    Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement.

    (Source: El Nacional)
    🚨 FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo . Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement. (Source: El Nacional)
    ·278 Ansichten
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.🇪🇸🔵 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    ·840 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🔐🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite
    ·485 Ansichten
  • Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m.

    Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🚨 Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m. Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️🔵 Source The Touchline T #SportsElite
    ·515 Ansichten
  • Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza

    Chelsea
    Paris Saint-Germain
    Eintracht Frankfurt
    Club Brugge
    Olympiacos
    Slavia Prague
    Copenhagen
    Newcastle

    Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu .

    #SportsElite
    🚨Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza ❤️💙 🔥 ✈️ Chelsea 🏠 Paris Saint-Germain 🏠 Eintracht Frankfurt ✈️ Club Brugge 🏠 Olympiacos ✈️ Slavia Prague 🏠 Copenhagen ✈️ Newcastle Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu 🥶. #SportsElite
    ·755 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona.

    Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M].

    (Source: Jose Alvarez)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona. Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M]. (Source: Jose Alvarez) #SportsElite
    ·321 Ansichten
Suchergebnis