• Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini?

    Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake.

    Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili.

    Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana

    #SportsElite
    🚨🚨Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini? Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake. Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili. ✍️Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana🤕 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·142 Views
  • Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026.
    Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho.
    De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi.

    Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja.


    #SportsElite
    🚨🚨Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026. Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho. De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi. Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·74 Views
  • Barcelona imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Oriol Romeu

    (Source: MARCA)
    🚨 Barcelona imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Oriol Romeu👋 (Source: MARCA)
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·41 Views
  • Siku kama ya leo mwaka 2020

    FC Barcelona walimtambulisha Pedri Gonzalez kama mchezaji mpya wa klabu hiyo

    #SportsElite
    📆 Siku kama ya leo mwaka 2020 🙌 FC Barcelona walimtambulisha Pedri Gonzalez kama mchezaji mpya wa klabu hiyo 💙♥️ #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·45 Views
  • Wolverhampton na West Ham United zinamtaka kiungo wa kazi chafu kutoka klabu ya FC Barcelona Marc Casado

    Lakini mchezaji huyo hana mpango wa kuachana na klabu hiyo

    🚨🚨Wolverhampton na West Ham United zinamtaka kiungo wa kazi chafu kutoka klabu ya FC Barcelona Marc Casado 🙌 Lakini mchezaji huyo hana mpango wa kuachana na klabu hiyo 🙌
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·31 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·92 Views
  • | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca !

    #SportsElite
    🚨🚨 | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca ! 🔥 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·224 Views
  • Imeelezwa kuwa Klabu ya FC Barcelona inashika namba moja kwa Subscribers huko YouTube
    🚨Imeelezwa kuwa Klabu ya FC Barcelona inashika namba moja kwa Subscribers huko YouTube 🔵🔴
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·107 Views
  • #BREAKING

    Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili.

    Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga.

    Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni:

    - Marcus Rashford
    - Joan García
    - Roony Bardghi
    - Gerard Martín
    - Wojciech Szczęsny.

    Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara.

    Source: [ The AthleticFC ]

    #SportsElite
    #BREAKING 🔴 Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga. Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni: - Marcus Rashford - Joan García - Roony Bardghi - Gerard Martín - Wojciech Szczęsny. Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara. Source: [ The AthleticFC ] #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·252 Views
  • Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga

    Rashford
    Joan Garcia
    Roony Bardghji
    Szczesny
    Gerrard Martin
    🚨🚨Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga 🔵🔴 Rashford 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Joan Garcia 🇪🇸 Roony Bardghji 🇸🇪 Szczesny 🇵🇱 Gerrard Martin 🇪🇸
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·58 Views
  • Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake
    🚨💙❤️ Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake🇸🇦
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·103 Views
  • Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United.

    Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco.

    (Source: Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United. Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco. (Source: Sport) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·150 Views
  • Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami

    Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini.

    Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi.

    Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi:

    1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga.

    2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia.

    3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote.

    #SportsElite
    ❌⛔🇪🇸Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini. Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi. Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi: 1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga. 2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia. 3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·231 Views
  • Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M.

    (Source: El Nacional)

    #SportsElite
    🚨 Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M. (Source: El Nacional) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·163 Views
  • Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia.

    Anahitaji kusalia Barcelona.

    (Source: x/santiovalle)

    #SportsElite
    🚨 Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia. Anahitaji kusalia Barcelona. (Source: x/santiovalle) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·75 Views
  • RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa

    1️⃣ Real Madrid
    2️⃣ Bayern Munich
    3️⃣ Inter Milan
    4️⃣ Manchester City
    5️⃣ Liverpool
    6️⃣ Paris Saint-Germain
    7️⃣ Bayer Leverkusen
    8️⃣ Borussia Dortmund
    9️⃣ Barcelona
    AS Roma
    🚨 RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa 1️⃣ Real Madrid 🇪🇸 2️⃣ Bayern Munich 🇩🇪 ⬆️ 3️⃣ Inter Milan 🇮🇹 ⬆️ 4️⃣ Manchester City 🏴⬇️ 5️⃣ Liverpool 🏴⬇️ 6️⃣ Paris Saint-Germain 🇫🇷 ⬇️ 7️⃣ Bayer Leverkusen 🇩🇪 ⬆️ 8️⃣ Borussia Dortmund 🇩🇪 ⬆️ 9️⃣ Barcelona 🇪🇸 ⬆️ 🔟 AS Roma 🇮🇹 ⬇️
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·153 Views
  • BREAKING : FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili.

    FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa 🇨🇵 Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili. FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·324 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030.

    @FabriceHawkins

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030. 🇫🇷 ℹ️ @FabriceHawkins #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·145 Views
  • SC Braga wamekamilisha usajili wa Pau Victor akitokea Fc Barcelona kwa ada ya €12M pamoja na nyongeza ya €3M.

    Pia kutakuwa na asilimia watakazopokea Barcelona kwenye mauzo yoyote ya Pau Victor hapo baadae kama sehemu ya makubaliano.

    #SportsElite
    SC Braga wamekamilisha usajili wa Pau Victor akitokea Fc Barcelona kwa ada ya €12M pamoja na nyongeza ya €3M. Pia kutakuwa na asilimia watakazopokea Barcelona kwenye mauzo yoyote ya Pau Victor hapo baadae kama sehemu ya makubaliano. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·146 Views
  • Marcus Rashford ameonekana kwenye mazoezi ya Fc Barcelona baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo akitokea Manchester united.

    #SportsElite
    Marcus Rashford ameonekana kwenye mazoezi ya Fc Barcelona baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo akitokea Manchester united. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·117 Views
Sponsorizeaza Paginile