Passa a Pro

  • Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao.

    Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m.

    Source Barcelona Universal
    ๐Ÿšจ Barcelona sasa wanafikilia kusajili beki wa Kushoto na Jina la Beki wa Leverkusen Alex Grimaldo ndio chaguo lao. Alex Grimaldo anakipengele cha kuuzwa cha €15-20m. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Source Barcelona Universal
    ยท347 Views
  • ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: Barcelona wanarejea ๐’๐ฉ๐จ๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฒ ๐‚๐š๐ฆ๐ฉ ๐จ๐จ kitakuwa uwanja mpya. ๐ญ๐ก๐ข๐ฌ ๐’๐š๐ญ๐ฎ๐ซ๐๐š๐ฒ dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga!

    SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA!
    ๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: Barcelona wanarejea ๐’๐ฉ๐จ๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฒ ๐‚๐š๐ฆ๐ฉ ๐จ๐จ kitakuwa uwanja mpya. ๐ญ๐ก๐ข๐ฌ ๐’๐š๐ญ๐ฎ๐ซ๐๐š๐ฒ dhidi ya Athletic Club kwenye La Liga! ๐Ÿคฉ SIKU YA KIHISTORIA KWA BARÇA! โค๏ธ๐Ÿ’™
    ยท181 Views
  • FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu.

    Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    ๐Ÿšจ FC Barcelona wamepanga kujenga sanamu la Mchezaji wao Bora wa Muda Wote Mwamba Lionel Messi mbele ya Dimba lao jipya la Spotify Camp Neu. Rasi wa Barcelona Juan Laporta amethibitisha Hilo na kusema wanatambua mchango mkubwa wa Lionel Messi na hivyo sanamu Hilo litakuwa ni Heshima Kubwa kwao kwa Mwamba huyo
    ยท433 Views
  • Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.๐ŸŸ

    Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao .

    Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. โœ…๏ธ
    ๐Ÿšจ Taarifa njemaa kuelekea mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Spotify Camp Nou wa Barcelona November 22 mwaka 2025.๐ŸŸ Barcelona imethibitisha Winga Raphinha na Golikipa wao Joan Garcia watakuwepo kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Athletic Club November 22 baada ya wote wawili kupona Majeraha yao . Barcelona imepanga kuuzindua Uwanja wao wa Spotify Camp Nou November 22 ambapo watacheza dhdi ya Athletic Club. โœ…๏ธ
    ยท447 Views
  • Lionel Messi usiku wa jana alitembelea tena Camp Nou kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka FC Barcelona na kuandika ana furaha sana kufika hapo akiamini Kuna siku atarudi tena FC Barcelona

    The Best ever
    Lionel Messi usiku wa jana alitembelea tena Camp Nou kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka FC Barcelona na kuandika ana furaha sana kufika hapo akiamini Kuna siku atarudi tena FC Barcelona๐Ÿ’™โค๏ธ The Best ever ๐Ÿ™Œ
    ยท395 Views
  • EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M.

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ EXCL: Arsenal imetuma ofa kwa Barcelona kumuhitaji winga Ferran Torres kwa ada €50M. #SportsElite
    ยท429 Views
  • Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco.

    Source Barcelona Universal
    ๐Ÿšจ Kiungo wa Barcelona Frankie De Jong hajafanya mazoezi na kikosi cha Barcelona kujiandaa na mchezo wa El Clasco. Source Barcelona Universal
    ยท381 Views
  • ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. ๐Ÿ‘‹๐Ÿฝ
    ๐Ÿšจ๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Ter Stegen huwenda akaondoka Barcelona January kwa mkopo , reports Sky Sports. ๐Ÿ‘‹๐Ÿฝ๐Ÿ’ฃ
    ยท439 Views
  • Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .

    Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.

    Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.

    #SportsElite
    Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite
    ยท546 Views
  • Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).

    Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.

    Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?

    FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
    Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
    Mendes
    Ronaldo

    Zubimendi
    Oyarzabal

    #UCL
    Barcelona 1-2 PSG
    19' Torres
    38' Mayulu( Mendes)
    90' Ramos ( Hakimi)


    #SportsElite
    Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. โœ๏ธ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น 2-2 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Uhispania (P 5-3) โšฝ Mendes โšฝ Ronaldo โšฝ Zubimendi โšฝ Oyarzabal #UCL Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 1-2 ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท PSG โšฝ 19' Torres โšฝ 38' Mayulu(๐Ÿ…ฐ๏ธ Mendes) โšฝ 90' Ramos (๐Ÿ…ฐ๏ธ Hakimi) #SportsElite
    ยท944 Views
  • RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    ๐Ÿ’ฃ RASHFORD!!!! RASHFORD!!!! RASHFORD!!! MARCUS RASHFORD,,,. Ameifungulia bao la kuendelae kuongea (2-1) mchezo ukiwa ni mapumziko ameendelea Kuwa boraaa katika kikosi cha Barcelona
    ยท243 Views
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili ๐Ÿ˜Ž. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    ยท851 Views
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: ๐Ÿ—ฃ๏ธ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."๐Ÿคฏโค๏ธ ๐Ÿ—ฃ๏ธ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    ยท848 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    ๐Ÿšจ RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 13:30 - SS Lazio โš”๏ธ AS Roma ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 15:00 - Rayo Vallecano โš”๏ธ Celta Vigo ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 15:30 - PSV Eindhoven โš”๏ธ Ajax ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 16:00 - Torino FC โš”๏ธ Atalanta BC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Sunderland โš”๏ธ Aston Villa ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Bournemouth โš”๏ธ Newcastle United ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 16:00 - Mashujaa FC โš”๏ธ Mtibwa Sugar ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 16:30 - Frankfurt โš”๏ธ Union Berlin ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 17:15 - Real Mallorca โš”๏ธ Atletico Madrid ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 17:30 - Partick Thistle โš”๏ธ Celtic FC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 17:45 - Az Alkmaar โš”๏ธ Feyenoord ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 18:15 - AS Monaco โš”๏ธ Metz ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 18:30 - Bayer Leverkusen โš”๏ธ M'gladbach ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 18:30 - Arsenal FC โš”๏ธ Manchester City ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 19:00 - Namungo FC โš”๏ธ Tanzania Prisons ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 19:00 - Fiorentina โš”๏ธ Como FC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท 20:00 - Kasimpasa โš”๏ธ Fenerbahce FK ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 20:30 - Dortmund โš”๏ธ Wolfsburg ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 21:45 - Inter Milan โš”๏ธ Sassuolo ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 21:45 - Marseille โš”๏ธ Paris Saint Germain ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 22:00 - Barcelona โš”๏ธ Getafe FC
    Love
    1
    ยท706 Views
  • FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo .

    Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement.

    (Source: El Nacional)
    ๐Ÿšจ FC Barcelona inapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane kwenye dilisha dogo . Kane huwenda akawa mbadala wa Robert Lewandowski replacement. (Source: El Nacional)
    ยท287 Views
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    ๐Ÿ’ฐ๐Ÿšจ Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ๐Ÿ”ต Source Fabrizio Romano #SportsElite
    ยท862 Views
  • ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    ๐Ÿ”๐Ÿšจ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite
    ยท492 Views
  • Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m.

    Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. โŽ๏ธ

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m. Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. โŽ๏ธ๐Ÿ”ต Source The Touchline T #SportsElite
    ยท523 Views
  • Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza

    Chelsea
    Paris Saint-Germain
    Eintracht Frankfurt
    Club Brugge
    Olympiacos
    Slavia Prague
    Copenhagen
    Newcastle

    Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu .

    #SportsElite
    ๐ŸšจMechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza โค๏ธ๐Ÿ’™ ๐Ÿ”ฅ โœˆ๏ธ Chelsea ๐Ÿ  Paris Saint-Germain ๐Ÿ  Eintracht Frankfurt โœˆ๏ธ Club Brugge ๐Ÿ  Olympiacos โœˆ๏ธ Slavia Prague ๐Ÿ  Copenhagen โœˆ๏ธ Newcastle Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu ๐Ÿฅถ. #SportsElite
    ยท782 Views
  • ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona.

    Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M].

    (Source: Jose Alvarez)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Newcastle United iko kwenye hatua nzuri zaidi ili kukamilisha uhamisho wa Fermín López kutoka Barcelona. Newcastle wako tayari kutoa kiasi cha €100M [£86M]. (Source: Jose Alvarez) #SportsElite
    ยท343 Views
Pagine in Evidenza