• BREAKING - Kocha wa Chelsea Enzo Maresca leo amethibitisha kuwa Chelsea itahakikisha Wanasajili mshambuliaji mmoja kabla ya dirisha halijafungwa.

    Source The Touchline
    🚨 BREAKING - Kocha wa Chelsea Enzo Maresca leo amethibitisha kuwa Chelsea itahakikisha Wanasajili mshambuliaji mmoja kabla ya dirisha halijafungwa. Source The Touchline
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·109 Views
  • BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..

    Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·108 Views
  • BREAKING

    Brentford wamekataa ofa ya Newcastle £35million pamoja na nyongeza ya £5million kwa mshambuliaji wao Yoane Wissa raia wa DRC Congo.

    Licha ya Wissa kushinikiza kuondoka klabuni hapo lakini Brentford kwa upande wao wamekataa ofa hiyo nyingine ya Newcastle.

    Brentford pia hawajaweka wazi bei sahihi ambayo wanahitaji ili kumuachia mshambuliaji huyo.

    Mkataba uheshimiwe

    Source {David Ornstein}.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Brentford wamekataa ofa ya Newcastle £35million pamoja na nyongeza ya £5million kwa mshambuliaji wao Yoane Wissa raia wa DRC Congo. Licha ya Wissa kushinikiza kuondoka klabuni hapo lakini Brentford kwa upande wao wamekataa ofa hiyo nyingine ya Newcastle. Brentford pia hawajaweka wazi bei sahihi ambayo wanahitaji ili kumuachia mshambuliaji huyo. Mkataba uheshimiwe😅 Source {David Ornstein}. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·102 Views
  • | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca !

    #SportsElite
    🚨🚨 | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca ! 🔥 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·222 Views
  • #BREAKING

    Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili.

    Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga.

    Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni:

    - Marcus Rashford
    - Joan García
    - Roony Bardghi
    - Gerard Martín
    - Wojciech Szczęsny.

    Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara.

    Source: [ The AthleticFC ]

    #SportsElite
    #BREAKING 🔴 Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga. Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni: - Marcus Rashford - Joan García - Roony Bardghi - Gerard Martín - Wojciech Szczęsny. Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara. Source: [ The AthleticFC ] #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·247 Views
  • BREAKING: West Ham imekamilisha usajili wa Callum Wilson kwa mkataba wa mwaka 1

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: West Ham imekamilisha usajili wa Callum Wilson kwa mkataba wa mwaka 1 🚨 #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·259 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 .

    BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 . 🇳🇱 🔵 ✍️ BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·292 Views
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·349 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah 📝✅ #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·237 Views
  • BREAKING: Nottingham Forest
    imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Nottingham Forest imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m ✅🌳 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·190 Views
  • BREAKING

    Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake.

    Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M.

    Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake. Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M. Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·323 Views
  • BREAKING : FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili.

    FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa 🇨🇵 Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili. FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·319 Views
  • BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali Lassine Kouma (21)

    Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow


    #SportsElite
    BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali 🇲🇱 Lassine Kouma (21)✅ Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·451 Views
  • | BREAKING

    AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza.

    Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza. Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·299 Views
  • BREAKING:

    Manchester United iko tayari kutuma ofa kwa golikipa wa Royal Antwerp Senne Lammens.

    Antwerp tayari wametoa thamani ya golikipa huyo ambayo ni £17M.
    🚨 BREAKING: Manchester United iko tayari kutuma ofa kwa golikipa wa Royal Antwerp Senne Lammens. Antwerp tayari wametoa thamani ya golikipa huyo ambayo ni £17M.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·173 Views
  • | BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨| BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.🇸🇦 💰 Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·271 Views
  • | BREAKING

    Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League.

    Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League. Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·403 Views
  • | BREAKING

    Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29.

    Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021.

    Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29. Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021. Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·322 Views
  • BREAKING : Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa.


    Source: [ MarioCortegana ]

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa. Source: [ MarioCortegana ] #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·218 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    🏟 Michezo - 182
    ⚽️ Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 🕊.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    🇵🇹 😢 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.😢 . Q🚨 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 🚨 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 🏟 Michezo - 182 ⚽️ Mabao - 65 🎯 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 😢 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii😭 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 💔 . 🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"😢 . Weka Alama hii 🙏 Kama kumuombea Diogo Jota. 💔 Mungu Atupe mwisho Mwema 💔🙏🕊. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·629 Views
Sponsorizeaza Paginile