Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Frank Duniano @Duniano πρόσθεσε μια φωτογραφία & είναι Νιώθω.. Χαρούμενος
    2024-08-30 12:14:44 ·
    Yeyooo
    #HipHop
    Yeyooo #HipHop
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·702 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-07-01 02:51:39 ·
    stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama,

    jaribu pima uzikwe mzima mzima,

    nime simama mtu mzima,

    nashanga upo macho pima,

    kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma,

    me superstar hat bado cjavuma,

    mnyao mnachamba wima,

    nawaongoza wafuasi shazi nyuma,

    kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima,

    chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana,

    bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free,

    vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri!

    kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama, jaribu pima uzikwe mzima mzima, nime simama mtu mzima, nashanga upo macho pima, kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma, me superstar hat bado cjavuma, mnyao mnachamba wima, nawaongoza wafuasi shazi nyuma, kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima, chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana, bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free, vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri! kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·870 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-07-01 02:46:16 ·
    Achana na nguvu za giza,
    Nasoma yasiyo andikika,

    Naandika yasiyosomeka,
    Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika,

    Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika,
    Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika,

    Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika,
    Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika,

    Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika,
    Kwa kalamu naandika,
    Mikono inavimba mchiz napigika,

    Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba,

    Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika,

    Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika,
    Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika,

    Me ndo mc mpatashika,
    Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Achana na nguvu za giza, Nasoma yasiyo andikika, Naandika yasiyosomeka, Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika, Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika, Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika, Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika, Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika, Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika, Kwa kalamu naandika, Mikono inavimba mchiz napigika, Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba, Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika, Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika, Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika, Me ndo mc mpatashika, Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·865 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-07-01 02:45:09 ·
    HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA,
    DAR A TOWN HADI BUTIMBA,
    UNA****A UNAKIMBIA MIMBA,
    TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA,

    IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA,
    NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA,
    MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA,

    SKANI TUNA SMOKE,
    SOME PULIZA COKE,

    KAMA PARTY NA WHISKY,
    UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY,
    QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST,
    NOT HIPHOP LYRICS,
    THIS IZ ANOTHER LEVEL,

    U'L NEVER CATCH ME,
    A GOT BLESSES IN ME ,

    LIK KING SOLOMOM,
    AND THE WORDS OF WISDOM,

    SEX WIT CONDOM,
    INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM,

    NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT
    BABBY, WORD UP
    GET HIGH EVERY DAY,
    EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND

    UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA, DAR A TOWN HADI BUTIMBA, UNA****A UNAKIMBIA MIMBA, TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA, IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA, NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA, MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA, SKANI TUNA SMOKE, SOME PULIZA COKE, KAMA PARTY NA WHISKY, UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY, QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST, NOT HIPHOP LYRICS, THIS IZ ANOTHER LEVEL, U'L NEVER CATCH ME, A GOT BLESSES IN ME , LIK KING SOLOMOM, AND THE WORDS OF WISDOM, SEX WIT CONDOM, INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM, NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT BABBY, WORD UP GET HIGH EVERY DAY, EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·755 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-07-01 02:42:21 ·
    napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/
    narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/
    enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/
    kigangsta napambana..bars zinapandana/
    metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/
    mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/
    bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/
    hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/
    mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/
    mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/
    batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/
    naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/
    namwona zomba ameketi peponi akichekelea..
    nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa..
    wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa//
    nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/ narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/ enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/ kigangsta napambana..bars zinapandana/ metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/ mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/ bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/ hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/ mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/ mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/ batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/ naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/ namwona zomba ameketi peponi akichekelea.. nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa.. wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa// nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·996 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-28 04:17:23 ·
    Saka face ya Hiphop zaidi ya face Yangu...
    Face ya mac kwa rap.. ni face ya Nundu...
    Saka face ya Hiphop zaidi ya face Yangu... Face ya mac kwa rap.. ni face ya Nundu...
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·516 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-25 21:21:56 ·
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-25 21:20:56 ·
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·993 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-06-23 00:57:55 ·
    Nimechoka Kupost, Wacha Ni Rest/
    Nimebaka Beat Kotini Nipo Na kesi/
    Hizo Zenu tetesi, Hiphop Hai Lost/
    Mvuvi Usipinge Mbizi Haya Maji Si Ya Utosi/
    Uhuru Kwa Wakimbizi, Garama Zina Cost/






    Nimechoka Kupost, Wacha Ni Rest/ Nimebaka Beat Kotini Nipo Na kesi/ Hizo Zenu tetesi, Hiphop Hai Lost/ Mvuvi Usipinge Mbizi Haya Maji Si Ya Utosi/ Uhuru Kwa Wakimbizi, Garama Zina Cost/
    Like
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·508 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-23 00:00:07 ·
    tangu ni murdane na chuo nikaanza kusaka kazi mfukoni na degree lakini sina gangi/
    ofisini naambiwa tu samahani jamaa nitatoa wapi changu cha kubanza kwa sahani nikapoa basi na kuanza kuchora mistari/
    yaani kujenga verses na kuzipanga tu kiplani/
    mwauliza nani ni... MC flani na kama nyinyi nina nia ya kusaka mali/
    basi tafadhali.... Skiza habari Dom rap phenomenon no longer chini ya maji/
    na spit nice nikisha shika MIC ni the rap resurrector na niko kila sector/
    nabreath life into tha game siwezi acha/
    kuredefine tha... Dom hiphop chapter si fame au name wala praise mi nasaka/
    tangu ni murdane na chuo nikaanza kusaka kazi mfukoni na degree lakini sina gangi/ ofisini naambiwa tu samahani jamaa nitatoa wapi changu cha kubanza kwa sahani nikapoa basi na kuanza kuchora mistari/ yaani kujenga verses na kuzipanga tu kiplani/ mwauliza nani ni... MC flani na kama nyinyi nina nia ya kusaka mali/ basi tafadhali.... Skiza habari Dom rap phenomenon no longer chini ya maji/ na spit nice nikisha shika MIC ni the rap resurrector na niko kila sector/ nabreath life into tha game siwezi acha/ kuredefine tha... Dom hiphop chapter si fame au name wala praise mi nasaka/
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·628 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-22 23:47:07 ·
    Street rap made movement 4real Hiphop...
    Revolution rapper dspute 4rap...
    Bitch talk much them lov in gun...
    Spread Lov Nigga catch em...
    Hiphop iz nation **** get out...
    U must listen union Hiphop revolution consult...
    Street rap made movement 4real Hiphop... Revolution rapper dspute 4rap... Bitch talk much them lov in gun... Spread Lov Nigga catch em... Hiphop iz nation fuck get out... U must listen union Hiphop revolution consult...
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·347 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-22 12:39:13 ·
    wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE
    nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE
    amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE
    emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE
    halafu akupe ukanywe pombE
    nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE
    east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO
    vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO
    redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO
    hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE halafu akupe ukanywe pombE nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    Like
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·631 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Henry Kelvin @kendrick36 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-06-14 04:33:48 ·
    Hiphop nation
    Hiphop nation
    Like
    Love
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·510 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers