• .USIHUKUMU MAPEMA, JIPE MUDA

    Mama alichukuwa simu akampa mwanawe.

    Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari.

    (Mtoto akachukuwa na kupiga)

    Mtoto...Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke.

    (Mama kwa hasira) Akirudi atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarudi, kufika mlangoni tu kapokelewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vizuri mwiko wa pua)

    Mama...Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje??

    Mtoto...Alisema mteja unayempigia hapatikani kwa sasa.

    Baba ikabidi awe mpole tu.
    .USIHUKUMU MAPEMA, JIPE MUDA Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto...Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirudi atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarudi, kufika mlangoni tu kapokelewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vizuri mwiko wa pua) Mama...Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto...Alisema mteja unayempigia hapatikani kwa sasa. Baba ikabidi awe mpole tu. 馃槼馃槼馃槼馃槼
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 368 Views
  • *Faida za kunywa Maji ya kwenye Mtungi*



    1. Sifa za asili za kupoeza: Vyungu vya udongo vina sifa ya asili ya kupoeza ambayo husaidia kuweka maji ya baridi na kuburudisha, hasa wakati wa joto. Hii inaweza kufanya maji ya kunywa kutoka kwenye sufuria ya udongo kufurahisha zaidi.

    2. Maji yenye alkali: Vyungu vya udongo vinaaminika kulainisha maji yaliyohifadhiwa ndani yake, ambayo yanaweza kuwa na manufaa mbalimbali kiafya. Maji ya alkali yanasemekana kusaidia kupunguza viwango vya pH vya asidi katika mwili na kukuza afya na ustawi kwa ujumla.

    3. Uchujaji wa madini: Vyungu vya udongo vinaweza kuingiza madini ndani ya maji yaliyohifadhiwa ndani yake, na kuongeza virutubisho muhimu kama vile kalsiamu, magnesiamu na potasiamu kwenye maji. Hii inaweza kufanya maji kuwa na lishe zaidi na kuboresha ladha yake.

    4. Huondoa uchafu: Vyungu vya udongo vina kuta zenye vinyweleo ambavyo kwa asili hufyonza uchafu na sumu kutoka kwenye maji, hivyo kukuacha na maji safi na yenye afya ya kunywa. Utaratibu huu wa kuchuja unaweza kusaidia kuboresha ubora wa jumla wa maji.

    5. Rafiki wa mazingira: Vyungu vya udongo ni chaguo endelevu na rafiki kwa mazingira kwa kuhifadhi na kunywa maji. Zinaweza kuoza, zinahitaji nishati kidogo kuzalisha ikilinganishwa na vyombo vya plastiki au chuma, na hazichangii taka za plastiki.

    6. Huongeza ladha: Watu wengi wanaamini kuwa maji yaliyohifadhiwa kwenye vyungu vya udongo yana ladha tofauti na ya udongo ambayo huongeza hali ya unywaji kwa ujumla. Asili ya porous ya sufuria ya udongo inaruhusu aeration bora, ambayo inaweza kuboresha ladha na harufu ya maji.

    Kwa ujumla, maji ya kunywa kutoka kwenye sufuria za udongo inaweza kutoa faida nyingi ikiwa ni pamoja na mali ya asili ya baridi, maji ya alkali, uchujaji wa madini, uondoaji wa uchafu, uendelevu wa mazingira, na ladha iliyoimarishwa.
    *Faida za kunywa Maji ya kwenye Mtungi* 1. Sifa za asili za kupoeza: Vyungu vya udongo vina sifa ya asili ya kupoeza ambayo husaidia kuweka maji ya baridi na kuburudisha, hasa wakati wa joto. Hii inaweza kufanya maji ya kunywa kutoka kwenye sufuria ya udongo kufurahisha zaidi. 2. Maji yenye alkali: Vyungu vya udongo vinaaminika kulainisha maji yaliyohifadhiwa ndani yake, ambayo yanaweza kuwa na manufaa mbalimbali kiafya. Maji ya alkali yanasemekana kusaidia kupunguza viwango vya pH vya asidi katika mwili na kukuza afya na ustawi kwa ujumla. 3. Uchujaji wa madini: Vyungu vya udongo vinaweza kuingiza madini ndani ya maji yaliyohifadhiwa ndani yake, na kuongeza virutubisho muhimu kama vile kalsiamu, magnesiamu na potasiamu kwenye maji. Hii inaweza kufanya maji kuwa na lishe zaidi na kuboresha ladha yake. 4. Huondoa uchafu: Vyungu vya udongo vina kuta zenye vinyweleo ambavyo kwa asili hufyonza uchafu na sumu kutoka kwenye maji, hivyo kukuacha na maji safi na yenye afya ya kunywa. Utaratibu huu wa kuchuja unaweza kusaidia kuboresha ubora wa jumla wa maji. 5. Rafiki wa mazingira: Vyungu vya udongo ni chaguo endelevu na rafiki kwa mazingira kwa kuhifadhi na kunywa maji. Zinaweza kuoza, zinahitaji nishati kidogo kuzalisha ikilinganishwa na vyombo vya plastiki au chuma, na hazichangii taka za plastiki. 6. Huongeza ladha: Watu wengi wanaamini kuwa maji yaliyohifadhiwa kwenye vyungu vya udongo yana ladha tofauti na ya udongo ambayo huongeza hali ya unywaji kwa ujumla. Asili ya porous ya sufuria ya udongo inaruhusu aeration bora, ambayo inaweza kuboresha ladha na harufu ya maji. Kwa ujumla, maji ya kunywa kutoka kwenye sufuria za udongo inaweza kutoa faida nyingi ikiwa ni pamoja na mali ya asili ya baridi, maji ya alkali, uchujaji wa madini, uondoaji wa uchafu, uendelevu wa mazingira, na ladha iliyoimarishwa.
    Like
    Love
    5
    0 Comments 0 Shares 415 Views
  • Hata
    #Sufuria
    Ni chombo cha
    Moto
    Hata #Sufuria Ni chombo cha Moto 馃敟 馃槄馃槄馃槄
    Haha
    Like
    4
    1 Comments 0 Shares 298 Views


  • UTAMU WA KUNGUMANGA

    Mwanamke jicho la nyege
    Jicho la mahabaaa
    Jicho la kumuita bwanaaaa


    Jinsi ya kuziandaa


    Nunua kukumanga zako weka ndani zihifadhi kwenye chupa ya kigae zisipate baridi
    Chukua kukumanga zako2 ziponde huku unazisemea kungu nakufunda na nakutuma
    Nataka nitakapokula ww kungu unilegeze jicho liwe la kuvutia
    Nataka huyu mwanaume nimpe style ambazo sijawahi kumpa
    Nataka nimkatie mauno ambayo sijawahi kumkatia

    Na kama unakula na mumeo pia unamnuilia Nataka huyu mwanaume leo anipe raha ambazo hajawahi nipa

    Yaaaani wkt unazifunda unasema hayo maneno huku unakata mauno ya taratiiibu

    Ukimaliza weka kungu zako pembeni
    Chukua kisufuria chako pika uji vikombe viwili
    Tia sukari na chumvi
    Ukiiva mwisho ukiita kuutegua koroga kungu zako tia changanya vzr epua

    Upoze kidogo weka kwenye vikombe nenda kanywe na mumeo
    Kama una mechi usiku kula mchana saa6 au 7
    Mpk usiku utaona macho mazito umekaa kinyegenyege tu

    Kungu inachukua masaa ma4 au 5 kukukamata

    Mwari mda ukifika jipure mamy unukie na vimake up vyako simple na mumeo umfukize udi

    Umvalie shanga
    Uvae vijikanga vyako vyeupeeee uvifukize kipande kimoja chako chengine ajifunge mumeo
    Hayaaa sasa anza kudeka mtoto wa kike

    Vp unakuwa mtamu unapokula kukumanga!!!!!???
    Mwari ukila kukumanga unakuwa mtamu sijuiiiii nikwambie nini mwari wangu tena haswa mkila wote
    Woooow usiku kucha bwana hakuachi ni raha tuuuu na asubuhi kazi moja mpk ziishe nguvu

    Baaas pale mnapoandaana jamani hamtaki kuachiana
    Sikwambii dyudyu likiingia yani havielezekiiii
    Style zinakuja zenyeweee wala huzijui nakwambiaaa

    Kungu zinakufanya uwe very romantic loveee
    Kiuno kinakuwa laini
    Nasema hiviiiiiii kanunue kukumanga ulete mrejesho hapaaaa



    By irwin
    馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀 馃挀UTAMU WA KUNGUMANGA馃挀 馃挀Mwanamke jicho la nyege 馃挀Jicho la mahabaaa 馃挀Jicho la kumuita bwanaaaa 馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀 Jinsi ya kuziandaa 馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀 馃挀Nunua kukumanga zako weka ndani zihifadhi kwenye chupa ya kigae zisipate baridi 馃挀Chukua kukumanga zako2 ziponde huku unazisemea kungu nakufunda na nakutuma 馃挀Nataka nitakapokula ww kungu unilegeze jicho liwe la kuvutia 馃挀Nataka huyu mwanaume nimpe style ambazo sijawahi kumpa 馃挀Nataka nimkatie mauno ambayo sijawahi kumkatia 馃挀Na kama unakula na mumeo pia unamnuilia 馃挀Nataka huyu mwanaume leo anipe raha ambazo hajawahi nipa 馃挀Yaaaani wkt unazifunda unasema hayo maneno huku unakata mauno ya taratiiibu 馃挀Ukimaliza weka kungu zako pembeni 馃挀Chukua kisufuria chako pika uji vikombe viwili 馃挀Tia sukari na chumvi 馃挀Ukiiva mwisho ukiita kuutegua koroga kungu zako tia changanya vzr epua 馃挀Upoze kidogo weka kwenye vikombe nenda kanywe na mumeo 馃挀Kama una mechi usiku kula mchana saa6 au 7 馃挀Mpk usiku utaona macho mazito umekaa kinyegenyege tu 馃挀Kungu inachukua masaa ma4 au 5 kukukamata 馃挀Mwari mda ukifika jipure mamy unukie na vimake up vyako simple na mumeo umfukize udi 馃挀Umvalie shanga 馃挀Uvae vijikanga vyako vyeupeeee uvifukize kipande kimoja chako chengine ajifunge mumeo 馃挀Hayaaa sasa anza kudeka mtoto wa kike 馃挀Vp unakuwa mtamu unapokula kukumanga!!!!!??? 馃挀Mwari ukila kukumanga unakuwa mtamu sijuiiiii nikwambie nini mwari wangu tena haswa mkila wote 馃挀Woooow usiku kucha bwana hakuachi ni raha tuuuu na asubuhi kazi moja mpk ziishe nguvu 馃挀Baaas pale mnapoandaana jamani hamtaki kuachiana 馃挀Sikwambii dyudyu likiingia yani havielezekiiii 馃挀Style zinakuja zenyeweee wala huzijui nakwambiaaa 馃挀Kungu zinakufanya uwe very romantic loveee 馃挀Kiuno kinakuwa laini 馃挀Nasema hiviiiiiii kanunue kukumanga ulete mrejesho hapaaaa 馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀馃挀 By irwin
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 178 Views