• VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·131 Visualizações
  • Nguvu iliyoko kwenye neno part 3.

    #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe.

    Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu.

    Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema.

    #Warumi 12:2
    [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

    Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako .

    Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi .

    #Mithali 29:18
    [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.*

    Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake.

    #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu.

    Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati.

    #Yeremia 29:11
    [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo.

    Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno .

    Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema.

    Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako .

    Karibu katika group

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry

    #restore men position
    #build new eden
    Nguvu iliyoko kwenye neno part 3. #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe. Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu. Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema. #Warumi 12:2 [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako . Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi . #Mithali 29:18 [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.* Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake. #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu. Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati. #Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo. Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno . Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema. Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako . Karibu katika group https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry #restore men position #build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·379 Visualizações
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·542 Visualizações
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·647 Visualizações
  • Power of choice part 5.

    Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26

    Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua.

    Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo.
    Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa .

    2.SAMSON

    Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 .

    Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi.

    Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake .

    Waamuzi 14:16
    [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?

    Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili .

    Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena .

    Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi.

    Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa)

    Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28
    [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.

    Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao .

    Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu.

    [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili
    Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema .

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden )

    #build new eden
    Power of choice part 5. Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26 Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua. Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo. Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa . 2.SAMSON Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 . Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi. Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua. Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake . Waamuzi 14:16 [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe? Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili . Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena . Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi. Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa) Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28 [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu. Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao . Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu. [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema . Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden ) #build new eden
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·552 Visualizações
  • Power of choise part 4.

    Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26

    Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha.

    Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata.

    Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza .

    Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate.

    1.Sauil
    Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja ..

    Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea.


    1 Samweli 13:11-14
    [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi;

    [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
    .
    [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele.

    [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.


    Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    1 Samweli 15:23
    [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi,
    Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago;
    Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA,
    Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.

    Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua.

    Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua .

    Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri .

    Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua.

    Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu.

    Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha .

    Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Power of choise part 4. Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26 Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha. Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata. Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza . Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate. 1.Sauil Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja .. Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea. 1 Samweli 13:11-14 [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi; [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa. . [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele. [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru. Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua. 1 Samweli 15:23 [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme. Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua. Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua . Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri . Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua. Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu. Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha . Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·570 Visualizações
  • Power of choise part 3.

    Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio.

    Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua.

    Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili

    Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana."

    Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia .

    Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua.

    Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia .

    Zaburi 27:4-6
    Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, .

    Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia

    Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana .

    Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia.

    Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia.

    Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia.

    Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia.

    Yoshua 24:15
    Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.

    Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #Restoremenposition
    Power of choise part 3. Maisha ni kanuni uwezi kufanikiwa kama uzijui kanuni za mafanikio. Na kwa kuwa Mungu wetu ni Mungu wa kanuni na utaratibu basi moja ya kanuni hizo ni NGUVU ya kuchagua. Tunaendelea kuongozwa na neno la msingi hili Torati 11:26 "Angalia nawawekea mbele yenu baraka na laana." Vyote viwili viko mbele yako yaani baraka na laana pia . Kila matokeo utakayo yapata duniani yameyokana na nguvu iliyo ndani yako na nguvu hiyo ni nguvu ya kuchagua. Hata kuokoka ni matokeo ya kuchagua pia . Zaburi 27:4-6 Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, . Kumbe hata kupata nguvu na kukaa uweponi pia ni matokeo ya kuchagua pia Eliya alisimamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu kwa kuwa tu aliweza kuijua nguvu ya kuchagua na akachagua kutembea na Bwana . Katikati ya Mungu wa bahari jabari la Mungu eliya aliamua kumdhiiriaha Mungu na moto ulishuka ukasababisha hata wasio amini wachague kumwamini Mungu wa Elia. Matokeo ya kuchagua kwa eliya ndiyo yalileta matokeo ya maamuzi ya watu kusema anaye paswa kuabudiwa ni Mungu wa Elia. Ukikosea kuchagua au kuto kujua nguvu ya kuchagua ni kumkosea Mungu wako pia. Yoshua pia aliiijua nguvu hii ndiyo alipo wapa machaguo wana wa islaeri kwamba chagueni hivi leo mtakaye mtumikia. Yoshua 24:15 Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. Ahsante sana naimani kuna kitu umejifunza katika nguvu ya kuchagua Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·559 Visualizações
  • 21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA*

    Maisha ni kuchagua.
    Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua.

    Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya.

    Kumbukumbu la Torati 11:26
    [26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;

    Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo .

    Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako.

    Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya.

    Kumbukumbu la Torati 11:27
    [27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo;


    Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka.

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    3.lazima uchague kumjua sana Mungu.

    Ayubu 22:21
    [21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
    Ndivyo mema yatakavyokujia.

    Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo.

    Kumbukumbu la Torati 11:28
    [28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.

    Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu .

    Kumbukumbu la Torati 28:15-17
    [15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

    [16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.
    .
    [17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.

    Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia..

    Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu.

    Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU.

    Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden)
    #build new eden
    #restore men position
    21/21.*NGUVU YA KUCHAGUA* Maisha ni kuchagua. Kila matokeo au jambo linalo onekana katika miasha limejengwa na msingi wa kuchagua. Ukikosea kuchagua ,umekosea kuishi . Watu wengi sana wanazani maisha ni bahati na hivyo uishia kuona kuwa wao hawana bahati kumbe bahati njema ni matokeo ya chaguo jema na bahati mbaya ni matokeo ya chaguo baya. Kumbukumbu la Torati 11:26 [26]Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana; Ndicho Mungu alicho kifanya katika maisha ameweka mbele yetu baraka na laana , kustawi au kutokustawi kutaamuliwa na nguvu ya chaguo . Kumbe nguvu ya kuchagua ndiyo itakayo kuamulia kiwango cha baraka zako au laana yako. Hii ni moja ya kanuni ya kuzitaka baraka baada ya kuchagua kutenda haya. Kumbukumbu la Torati 11:27 [27]baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, niwaagizayo leo; Ukichagua kutii maagizo, kuwa na bidii ya bwana ndipo utakuwa umechagua baraka. Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. 3.lazima uchague kumjua sana Mungu. Ayubu 22:21 [21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Chagua kumjua Mungu ili mema yakufuate lakini pia usipo chagua hivyo pia lazima utapata matokeo. Kumbukumbu la Torati 11:28 [28]na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua. Laaana ni matokeo ya kujiongoza vibaya na ndipo matokeo lazima uyapate tu . Kumbukumbu la Torati 28:15-17 [15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata. [16]Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani. . [17]Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia. Utakuja kuona kuna watu tunaishi copy za maisha yetu sababu tu ya kutokuchagua vyema au kuichagua dunia.. Yoshua alitangaza nguvu ya kuchagua lakini yeye alishachagua kuwa yeye na nyumba yake watamtumikia Mungu. Namaliza kwa kusema hakuna baraka zinazo weza kukujia ikiwa wewe uko nje ya agano la Mungu ambalo ni WOKOVU. Naitwa sylvester mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·634 Visualizações
  • Matendo ya Mitume 23:11
    [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.

    Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.

    Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .

    Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .

    Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .


    Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
    Yoshua 1:6
    [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa

    Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .

    Waamuzi 6:12-14
    [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.

    [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
    .
    [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?

    Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·747 Visualizações
  • Nguvu ya damu ya Yesu.

    Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.

    Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.

    Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
    Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*

    Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.

    Ebrania 9:21
    "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"

    Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.

    Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19

    Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .

    Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.

    Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .

    Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
    maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)

    kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.

    Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo

    Ebrania 10:16-19
    16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
    Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
    Na katika nia zao nitaziandika;
    ndipo anenapo,
    17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
    18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
    Wito wa kuwa Wavumilivu
    19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,

    Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.

    Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.

    #build new eden
    #restore men position
    Nguvu ya damu ya Yesu. Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano. Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake. Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake. Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.* Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani. Ebrania 9:21 "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo" Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi. Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19 Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane . Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu. Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi . Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11) kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha. Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo Ebrania 10:16-19 16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, 17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. 18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi. Wito wa kuwa Wavumilivu 19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako. Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako. #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·598 Visualizações
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·969 Visualizações
  • WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ?

    Yohana 8:3-11
    Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu .

    *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .*

    Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika.

    *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.*

    *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.*
    Yohana 8:7
    [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

    Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu.

    *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao*

    Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena*

    Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa.

    Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo.

    Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo.

    *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.*

    *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,*

    Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo.

    Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni
    kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu..

    Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza.

    Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN

    #RESTORE MEN POSITION
    WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ? Yohana 8:3-11 Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu . *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .* Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika. *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.* *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.* Yohana 8:7 [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu. *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao* Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena* Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa. Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo. Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo. *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.* *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,* Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo. Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu.. Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza. Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN #RESTORE MEN POSITION
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·898 Visualizações
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·890 Visualizações
  • NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO.

    TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe.

    Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa"

    Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo.

    Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa)

    Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani.

    Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa.

    Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani.

    Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja.

    Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28.

    Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi.

    Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka.

    Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi.

    Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho.

    Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos).

    Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa.

    Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia.

    Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao.

    Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia.

    Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands.

    Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi.

    Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi.

    Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO. TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe. Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa" Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo. Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa) Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani. Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa. Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani. Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja. Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28. Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi. Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka. Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi. Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho. Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos). Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa. Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia. Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao. Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia. Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands. Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi. Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi. Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ
    Mwanaume: sister mambo
    Sister: mambo kwa yesu
    Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi?
    Sister: hapana sihitaji mpenzi!
    Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio
    vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia
    msaidizi.
    Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu!
    Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema
    anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni
    mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake
    amwonaye atampendaje mungu asiyemwona?
    Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo
    ni kweli
    Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka
    akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU
    mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya
    Ila mimi Kinywa changu huongea maneno
    yaliyoujaza moyo wangu
    Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli?
    Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita
    lakini maneno yangu hayatapita kamwe
    Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana
    kwanini umeniambia Mimi tu??
    Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi
    wamefanya mema lakini wewe umewapita wote!
    Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si
    wengne nimekuvutia nini ?
    Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani
    yako Hamna hila
    Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na
    wewe !!
    Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya
    na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana
    ndiye atakaye sifiwa
    Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio!
    Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha
    wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na
    hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili
    mmoja.
    Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir
    mchungaji
    Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati
    kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno
    yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha
    njia zako
    Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu
    Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana
    ni mwema heri MTU yule anayemtumainia
    Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ Mwanaume: sister mambo Sister: mambo kwa yesu Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi? Sister: hapana sihitaji mpenzi! Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia msaidizi. Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu! Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake amwonaye atampendaje mungu asiyemwona? Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo ni kweli Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya Ila mimi Kinywa changu huongea maneno yaliyoujaza moyo wangu Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli? Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana kwanini umeniambia Mimi tu?? Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi wamefanya mema lakini wewe umewapita wote! Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si wengne nimekuvutia nini ? Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani yako Hamna hila Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na wewe !! Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana ndiye atakaye sifiwa Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio! Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili mmoja. Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir mchungaji Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha njia zako Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana ni mwema heri MTU yule anayemtumainia Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    Like
    Love
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·577 Visualizações
  • Je, Ni Sahihi Kuombea Marehemu/Mtu Aliyekufa?

    = Mtu akishakufa huwezi tena kumwombea chochote, haifai hata kumwombea apumzike kwa amani au awekwe mahala pema peponi. Hiyo nafasi haipo kabisa maana mara baada ya kufa ni hukumu.

    = Mara mtu akifa, hukumu hufanyika halafu wafu huwekwa eneo la mangojeo yaani kuzimu Kwa wenye dhambi na peponi kwa watakatifu wakingojea ujio wa Yesu Kristo. Baada ya hapo kutakuwa na mauti ya pili kwa wenye dhambi, yaani kutupwa kwenye ziwa la moto.

    >> Waebrania 9:27
    Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;

    = Kwa hiyo, mtu asipotengeneza maisha yake akiwa hai asitarajie kuombewa aende peponi akiisha kufa. Pia waliokufa hata kama waliishi maisha matakatifu hatuwezi kuwaomba watuombee maana tutakuwa tunaomba wafu. Ibada ya wafu ni chukizo kwa Mungu.

    >> Kumbukumbu la Torati 18:10-11
    10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

    11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

    = Tunao waombezi wawili wakuu kule mbinguni; Yesu Kristo na Roho Mtakatifu.

    = Mtu akishakufa mawasiliano hukatwa kati ya walio hai na waliokufa. Hakuna namna unaweza kumwombea chochote ili kubadilisha chochote wala huwezi kumwomba akuombee.

    >> Mhubiri 9:5
    5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

    = Mfano sahihi angalia kwa tajiri na masikini Lazaro;
    >>Luka 16: 20-30
    19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.

    20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,

    21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.

    22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.

    23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

    24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.

    25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.

    26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.

    27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,

    28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.

    29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.

    30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.

    31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
    Je, Ni Sahihi Kuombea Marehemu/Mtu Aliyekufa? = Mtu akishakufa huwezi tena kumwombea chochote, haifai hata kumwombea apumzike kwa amani au awekwe mahala pema peponi. Hiyo nafasi haipo kabisa maana mara baada ya kufa ni hukumu. = Mara mtu akifa, hukumu hufanyika halafu wafu huwekwa eneo la mangojeo yaani kuzimu Kwa wenye dhambi na peponi kwa watakatifu wakingojea ujio wa Yesu Kristo. Baada ya hapo kutakuwa na mauti ya pili kwa wenye dhambi, yaani kutupwa kwenye ziwa la moto. >> Waebrania 9:27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; = Kwa hiyo, mtu asipotengeneza maisha yake akiwa hai asitarajie kuombewa aende peponi akiisha kufa. Pia waliokufa hata kama waliishi maisha matakatifu hatuwezi kuwaomba watuombee maana tutakuwa tunaomba wafu. Ibada ya wafu ni chukizo kwa Mungu. >> Kumbukumbu la Torati 18:10-11 10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, 11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. = Tunao waombezi wawili wakuu kule mbinguni; Yesu Kristo na Roho Mtakatifu. = Mtu akishakufa mawasiliano hukatwa kati ya walio hai na waliokufa. Hakuna namna unaweza kumwombea chochote ili kubadilisha chochote wala huwezi kumwomba akuombee. >> Mhubiri 9:5 5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. = Mfano sahihi angalia kwa tajiri na masikini Lazaro; >>Luka 16: 20-30 19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, 21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake. 22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. 23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. 24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. 25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. 26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu. 27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu, 28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso. 29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao. 30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu. 31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·926 Visualizações
  • Uganga maana yake ni kumtibu mtu, mtu anaumwa ukamtibu akapona; unapata malipo kwa mwenyezi Mungu kwa hiyo uganga haujakatazwa katika vitabu vyote vinne (4) vya mwenyezi Mungu; Torati, Zaburi, Injili,Quran. Lakini kilichokatazwa ni ushirikina'' - Sheikh Kipozeo
    Uganga maana yake ni kumtibu mtu, mtu anaumwa ukamtibu akapona; unapata malipo kwa mwenyezi Mungu kwa hiyo uganga haujakatazwa katika vitabu vyote vinne (4) vya mwenyezi Mungu; Torati, Zaburi, Injili,Quran. Lakini kilichokatazwa ni ushirikina'' - Sheikh Kipozeo
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·475 Visualizações

  • Walianza Enril, Annunaki na Enki
    Ndio ikaja Bible, Quran na Torati
    Ukitaka kujifunza usianzi katikati
    Anaanzaje mtoto kabla ya wazazi?








    Walianza Enril, Annunaki na Enki Ndio ikaja Bible, Quran na Torati Ukitaka kujifunza usianzi katikati Anaanzaje mtoto kabla ya wazazi?
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·63 Visualizações
  • Wakikumbuka kujiheshimu na sisi tutawaheshimu Wahuni 9 mstari wa 9
    .
    TORATI Haipingwi
    Wakikumbuka kujiheshimu na sisi tutawaheshimu 📌 Wahuni 9 mstari wa 9 . TORATI 🔏 Haipingwi
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·119 Visualizações
  • Waliokimbilia kukaa Seat za Mbele!! waambie Gari haliondoki tena!
    .
    TORATI ni kubwa!! Haipingwi
    Waliokimbilia kukaa Seat za Mbele!! waambie Gari haliondoki tena! ⚠️ . TORATI ni kubwa!! Haipingwi 🔏
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·115 Visualizações
Páginas Impulsionadas