• "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa.
    .
    Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi.

    Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira.

    Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu.

    Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi.

    - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa. . Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi. 😀 Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira. Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu. Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi. - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·86 Views
  • Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia.

    Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

    Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho.

    "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei.

    Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa:

    "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran."

    Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema:

    "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!"

    Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu.

    Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru.

    Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa?

    Toa maoni yako
    Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia. Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho. "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei. Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa: "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran." Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema: "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!" Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu. Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru. Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa? Toa maoni yako
    0 Comments ·0 Shares ·79 Views
  • Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).

    Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury).

    Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu.

    Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia.

    Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha.

    Toa maoni yako
    Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs). Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury). Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu. Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia. Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha. Toa maoni yako
    0 Comments ·0 Shares ·174 Views
  • AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”.

    Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo.

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema:

    “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.”

    Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube.

    - Calm Down : Rema
    - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode
    - Love Nwantiti : CKay
    - Magic In The Air : Magic System

    Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr.

    Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa.

    “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr

    Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”. Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo. Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema: “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.” Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube. - Calm Down : Rema - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode - Love Nwantiti : CKay - Magic In The Air : Magic System Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr. Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa. “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    0 Comments ·0 Shares ·220 Views
  • Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani.

    Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema:

    “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.”

    Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi.

    Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama:

    “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.”

    Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi.

    Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa.

    Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu:

    - Usawa katika chaguzi,
    - Usalama wa mfumo wa upigaji kura,
    - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo.

    Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani. Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema: “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.” Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi. Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama: “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.” Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi. Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa. Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu: - Usawa katika chaguzi, - Usalama wa mfumo wa upigaji kura, - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo. Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    0 Comments ·0 Shares ·179 Views
  • Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu".

    Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe.

    Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.”

    Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi.

    Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko.

    Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.”

    Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao.

    Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu". Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe. Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.” Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi. Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko. Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.” Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao. Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    0 Comments ·0 Shares ·203 Views
  • Alloyce Nyanda

    Mtani wangu @gersonmsigwa mbona umekanusha kwa herufi kubwa hivyo ku likes Picha ya Mange

    Unajua acha nikusaidie Mtani ufahamu kuwa katika Hii Dunia Serikali zote Duniani huwa zinajaribu kuhakikisha zina “control information

    Uki Control Informatio utakuwa na nguvu ya kumuita Malaika-Shetani na shetani ukamuita Malaika na dunia itatii na haitahoji.

    Wenye nguvu za utoaji wa taarifa za dunia waliwahi ku control Information na kuuambia ulimwengu kuwa Muammar al-Gaddafi ni gaidi na dunia ikatii amri

    Waliandika kwa lugha zao nasi tukatafsiri kwa lugha yetu na tukamuita mwana wa Afrika Gadafi ni Gaidi.

    “Information is power”. Sasa wewe badala ya Kupambana ku Control Information wewe unapambana Kukanusha haitakusaidia wewe wala serikali yetu.

    Na Ku control Information huwa sio kuzima Internet au kufunga Mitandao kwa sababu wanaotaka taarifa wameshajua watapataje ndio wana VPN na wapo tayari Kulipia

    nataka nikushauri Msemaji ukifanyie kazi kwa haraka badala ya kukanusha na kulalamika jenga uwezo wa kumiliki nguvu ya Taarifa iliyokaribu na umma.

    Jitaidi Pages za serikali zenye kutoa taarifa zifanye ziwe na nguvu ili ziwe karibu na jamii yake sasa haiwezekani Mange Kimambi awe na ukaribu na jamii kiasi hicho kuliko serikali yenyewe.

    Unakuta wizara ya Afya badala ya kutengeneza maudhui yenye kuisogeza jamii karibu nayo wao wanaweza hata kupost picha waziri anasalimiana na Dkt na kuigeuza kuwa jambo la maana kupeleka kwa watu .

    Sasa kwa hulka hiyo utawezaje Ku control Power ya Taarifa? ukimkuta Mange amechapa Hospital X haina Vifaa wananchi wanaona huyu ndiye anatusaidia na wewe @gersonmsigwa unabakiza kazi ya kukanusha tu wakati unayo nafasi ya kueleza situation ya Hospital hata kabla ya wengine kupost

    Lazima idara za serikali zigeuzwe kuwa na uwezo wa kufanya Visibility kubwa , unadhani wewe Msigwa utaweza peke yako? Utachekwa tu

    Utakanusha ma ngapi na utapinga Ma ngapi? maana hata leo kuonekana umelikes page umehaha mbaya why? Wewe Pambana kuifanya Jamii kuiamini serikali zaidi ili wampuuze Mange

    Unataka kweli U contol Information kwa mbinu ya Mwijaku au Mzee wangu au Mafufu? (Utaishia kuchekesha tu)

    Power of Informations
    Alloyce Nyanda ✍️ Mtani wangu @gersonmsigwa mbona umekanusha kwa herufi kubwa hivyo ku likes Picha ya Mange Unajua acha nikusaidie Mtani ufahamu kuwa katika Hii Dunia Serikali zote Duniani huwa zinajaribu kuhakikisha zina “control information Uki Control Informatio utakuwa na nguvu ya kumuita Malaika-Shetani na shetani ukamuita Malaika na dunia itatii na haitahoji. Wenye nguvu za utoaji wa taarifa za dunia waliwahi ku control Information na kuuambia ulimwengu kuwa Muammar al-Gaddafi ni gaidi na dunia ikatii amri Waliandika kwa lugha zao nasi tukatafsiri kwa lugha yetu na tukamuita mwana wa Afrika Gadafi ni Gaidi. “Information is power”. Sasa wewe badala ya Kupambana ku Control Information wewe unapambana Kukanusha haitakusaidia wewe wala serikali yetu. Na Ku control Information huwa sio kuzima Internet au kufunga Mitandao kwa sababu wanaotaka taarifa wameshajua watapataje ndio wana VPN na wapo tayari Kulipia nataka nikushauri Msemaji ukifanyie kazi kwa haraka badala ya kukanusha na kulalamika jenga uwezo wa kumiliki nguvu ya Taarifa iliyokaribu na umma. Jitaidi Pages za serikali zenye kutoa taarifa zifanye ziwe na nguvu ili ziwe karibu na jamii yake sasa haiwezekani Mange Kimambi awe na ukaribu na jamii kiasi hicho kuliko serikali yenyewe. Unakuta wizara ya Afya badala ya kutengeneza maudhui yenye kuisogeza jamii karibu nayo wao wanaweza hata kupost picha waziri anasalimiana na Dkt na kuigeuza kuwa jambo la maana kupeleka kwa watu . Sasa kwa hulka hiyo utawezaje Ku control Power ya Taarifa? ukimkuta Mange amechapa Hospital X haina Vifaa wananchi wanaona huyu ndiye anatusaidia na wewe @gersonmsigwa unabakiza kazi ya kukanusha tu wakati unayo nafasi ya kueleza situation ya Hospital hata kabla ya wengine kupost Lazima idara za serikali zigeuzwe kuwa na uwezo wa kufanya Visibility kubwa , unadhani wewe Msigwa utaweza peke yako? Utachekwa tu Utakanusha ma ngapi na utapinga Ma ngapi? maana hata leo kuonekana umelikes page umehaha mbaya why? Wewe Pambana kuifanya Jamii kuiamini serikali zaidi ili wampuuze Mange Unataka kweli U contol Information kwa mbinu ya Mwijaku au Mzee wangu au Mafufu? (Utaishia kuchekesha tu) Power of Informations
    0 Comments ·0 Shares ·200 Views
  • je unaona kama mimi
    je unaona kama mimi
    0 Comments ·0 Shares ·102 Views
  • Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional

    “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha”

    “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote”

    Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile

    #SportsElite
    Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha” “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote” Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·464 Views
  • Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG).

    Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza.

    Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa?

    FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE
    Ureno 2-2 Uhispania (P 5-3)
    Mendes
    Ronaldo

    Zubimendi
    Oyarzabal

    #UCL
    Barcelona 1-2 PSG
    19' Torres
    38' Mayulu( Mendes)
    90' Ramos ( Hakimi)


    #SportsElite
    Lamine Yamal ni mmoja wa mawinga bora kabisa wa kulia kwenye soka kwa sasa huku Nuno Mendes akiwa beki bora kabisa wa kushoto kwa sasa Duniani wakati wawili hawa wakikutana mara mbili hivi karibuni kwenye mchezo wa UEFA Nations League (Fainali, Ureno vs Uhispania) na kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), (Barcelona vs PSG). Kwenye mechi zote mbili Yamal ameshindwa kutamba mbele ya Mreno huyo ambaye alifunga goli na kutoa 'assist' na kuwa nyota wa mchezo huku timu yake ikishinda mara zote wakati Yamal akitoka patupu bila goli huku timu yake ikipoteza. ✍️ Je unadhani kuna winga anaweza kummudu Nuno Mendes kwa sasa? FAINALI: #UEFANATIONS LEAGUE Ureno 🇵🇹 2-2 🇪🇸 Uhispania (P 5-3) ⚽ Mendes ⚽ Ronaldo ⚽ Zubimendi ⚽ Oyarzabal #UCL Barcelona 🇪🇸 1-2 🇫🇷 PSG ⚽ 19' Torres ⚽ 38' Mayulu(🅰️ Mendes) ⚽ 90' Ramos (🅰️ Hakimi) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·522 Views
  • Leonardo Bonucci : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.”

    Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia."

    Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi."

    #SportsElite
    🎙️Leonardo Bonucci🇮🇹 : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.” Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia." Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi." #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·519 Views
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·469 Views
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: 🗣️ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."🤯❤️ 🗣️ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·486 Views
  • 5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA.

    Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu .

    Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua.

    Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha.

    Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha .

    1 Samweli 16:17-18
    [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.

    [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye.

    Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia.

    Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia .

    Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha

    Mwanzo 41:9-14
    [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo.

    [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji.

    [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota.
    .
    [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake.
    .
    [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa.
    .
    [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao.

    Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu.

    Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika

    Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha.

    Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha.

    Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu

    Sylvester Mwakabende
    Build new eden
    0622625340
    5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA. Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu . Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua. Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha. Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha . 1 Samweli 16:17-18 [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee. [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye. Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia. Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia . Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha Mwanzo 41:9-14 [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo. [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji. [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota. . [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake. . [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa. . [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao. Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu. Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha. Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha. Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu Sylvester Mwakabende Build new eden 0622625340
    0 Comments ·0 Shares ·708 Views
  • Kuna jamaa alisema... kama hapa duniani unatafuta hela kwa lengo la kula, kunywa, na kulala, basi huna utofauti sana na chura au kunguru

    Ouch! Unfiltered, brutal, reality.
    Kuna jamaa alisema... kama hapa duniani unatafuta hela kwa lengo la kula, kunywa, na kulala, basi huna utofauti sana na chura au kunguru Ouch! Unfiltered, brutal, reality.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·338 Views
  • Victor Boniface: 🎙 "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani"

    "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika."

    Iman Sport News
    Victor Boniface: 🇳🇬🎙 "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani" "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika." Iman Sport News
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·478 Views
  • | Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. "

    Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi.

    "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri.

    "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho."

    Source ::[@ManCity]

    FOLLOW US
    🗣️| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. " Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi. "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri. "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho." Source ::[@ManCity] FOLLOW US
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·331 Views
  • Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete

    Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC.

    THE SAGA…!
    Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…!

    Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa.

    Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal.

    Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️

    Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde!

    Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea!

    Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco

    95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free!

    MTAZAMO WANGU!?
    Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi.

    Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza!

    Salaaam!
    Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete ✍️ Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC. THE SAGA…! Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…! Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa. Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal. Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️ Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde! Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea! Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco ✍️ 95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free! MTAZAMO WANGU!? Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi. Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza! Salaaam!
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·580 Views
  • Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024.

    Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi.

    United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon.

    Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni.

    Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja:

    > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani."

    Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani.

    #SportsElite
    ⚽ Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024. Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi. United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon. Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni. Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja: > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani." 📌 Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·680 Views
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·876 Views
More Results