• *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.*

    Kutoka 15:26
    [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.

    Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu.

    Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa.

    Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana.

    Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata

    Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza.

    Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake.

    Zaburi 91:14-15
    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
    Kwa kuwa amenijua Jina langu.
    .
    [15]Ataniita nami nitamwitikia;
    Nitakuwa pamoja naye taabuni,
    Nitamwokoa na kumtukuza;

    Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha .

    Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake .

    Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye .

    Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua.

    Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine.

    Hesabu 21:2-3
    [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*.

    [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.

    Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba .

    Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo.

    Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda

    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu*

    Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake .

    Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia.

    Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo .

    Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini .

    #build new eden
    #restore men position @
    *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.* Kutoka 15:26 [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye. Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu. Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa. Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana. Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza. Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake. Zaburi 91:14-15 [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu. . [15]Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza; Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha . Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake . Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye . Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua. Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine. Hesabu 21:2-3 [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*. [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma. Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba . Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo. Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu* Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake . Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia. Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo . Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini . #build new eden #restore men position @
    0 Reacties 0 aandelen 92 Views
  • Afya ya akili ni muhimu kama afya ya mwili."
    Afya ya akili ni muhimu kama afya ya mwili."
    0 Reacties 0 aandelen 244 Views
  • "Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani

    Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO

    Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE馃

    Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE馃 Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu馃憫" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 710 Views
  • kwa mujibu wa Jarida la Forbes, hii hapa orodha ya Jamii ya Watu Weusi wenye utajiri mkubwa Duniani kwa Mwaka 2025 ambapo wanakadariwa kumiliki utajiri wa dola bilioni 96.2. Wengi wao utajiri wao unatokana sekta za teknolojia, fedha, nishati na burudani, huku Mfanyabiashara Aliko Dangote wa Nigeria akiongoza kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 23.9.

    1. Aliko Dangote (Nigeria) : $23.9B (Saruji, sukari)
    2. David Steward (Marekani) : $11.4B (Teknolojia)
    3. Robert F. Smith (Marekani) : $10.8B (Uwekezaji binafsi)

    4. Alexander Karp (Marekani) : $8.4B (Programu za uchambuzi wa data)
    5. Mike Adenuga (Nigeria) : $6.8B (Mawasiliano, mafuta)
    6. Abdulsamad Rabiu (Nigeria) : $5.1B (Saruji, sukari)

    7. Michael Jordan (Marekani) : $3.5B (Michezo, matangazo)
    8. Patrice Motsepe (Afrika Kusini) : $3B (Madini)
    9. Oprah Winfrey (Marekani) : $3B (Runinga)

    10. Jay-Z (Marekani) : $2.5B (Muziki, biashara)
    11. Adebayo Ogunlesi (Marekani) :$2.2B (Uwekezaji binafsi)
    12. Magic Johnson (Marekani) : $1.5B (Michezo, uwekezaji)

    13. Femi Otedola (Nigeria) : $1.5B (Nishati)
    14. Tope Awotona (Marekani) : $1.4B (Programu "Calendly")
    15. Tyler Perry (Marekani) : $1.4B (Filamu, Runinga)

    16. Tiger Woods (Marekani) : $1.4B (Gofu)
    17. Rihanna (Barbados) : $1.4B (Muziki, urembo)
    18. Mo Ibrahim (Uingereza) : $1.3B (Mawasiliano)

    19. LeBron James (Marekani) : $1.3B (Kikapu)
    20. Strive Masiyiwa (Zimbabwe) : $1.2B (Mawasiliano)
    21. Michael Lee-Chin (Canada) : $1.1B (Uwekezaji wa fedha)

    22. Herriot Tabuteau (Marekani) : $1.1B (Afya)
    23. Sheila Johnson (Marekani) : $1B (Runinga, hoteli)

    kwa mujibu wa Jarida la Forbes, hii hapa orodha ya Jamii ya Watu Weusi wenye utajiri mkubwa Duniani kwa Mwaka 2025 ambapo wanakadariwa kumiliki utajiri wa dola bilioni 96.2. Wengi wao utajiri wao unatokana sekta za teknolojia, fedha, nishati na burudani, huku Mfanyabiashara Aliko Dangote wa Nigeria 馃嚦馃嚞 akiongoza kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 23.9. 1. Aliko Dangote (Nigeria) : $23.9B (Saruji, sukari) 2. David Steward (Marekani) : $11.4B (Teknolojia) 3. Robert F. Smith (Marekani) : $10.8B (Uwekezaji binafsi) 4. Alexander Karp (Marekani) : $8.4B (Programu za uchambuzi wa data) 5. Mike Adenuga (Nigeria) : $6.8B (Mawasiliano, mafuta) 6. Abdulsamad Rabiu (Nigeria) : $5.1B (Saruji, sukari) 7. Michael Jordan (Marekani) : $3.5B (Michezo, matangazo) 8. Patrice Motsepe (Afrika Kusini) : $3B (Madini) 9. Oprah Winfrey (Marekani) : $3B (Runinga) 10. Jay-Z (Marekani) : $2.5B (Muziki, biashara) 11. Adebayo Ogunlesi (Marekani) :$2.2B (Uwekezaji binafsi) 12. Magic Johnson (Marekani) : $1.5B (Michezo, uwekezaji) 13. Femi Otedola (Nigeria) : $1.5B (Nishati) 14. Tope Awotona (Marekani) : $1.4B (Programu "Calendly") 15. Tyler Perry (Marekani) : $1.4B (Filamu, Runinga) 16. Tiger Woods (Marekani) : $1.4B (Gofu) 17. Rihanna (Barbados) : $1.4B (Muziki, urembo) 18. Mo Ibrahim (Uingereza) : $1.3B (Mawasiliano) 19. LeBron James (Marekani) : $1.3B (Kikapu) 20. Strive Masiyiwa (Zimbabwe) : $1.2B (Mawasiliano) 21. Michael Lee-Chin (Canada) : $1.1B (Uwekezaji wa fedha) 22. Herriot Tabuteau (Marekani) : $1.1B (Afya) 23. Sheila Johnson (Marekani) : $1B (Runinga, hoteli)
    0 Reacties 0 aandelen 903 Views
  • Jarida la Forbes toleo la mwaka huu wa 2025 limemtaja Manyabiashara wa Tanzania Mohamed Dewjl, kuwa miongoni mwa Watu Matajiri Duniani, akiwa na utajiri wa USD 2.2 bilioni sawa na Shilingi Trilioni 5.7 za Kitanzania. Mo Dewji, anakuwa tajiri namba 12 barani Afrika na namba moja Afrika Mashariki kwa kiwango hicho.

    2. Orodha ya mwaka huu inaonyesha utajiri wa Mo
    Dewji umeongezeka na kufikia, dola bilioni 2.2 kutoka dola bilioni 1.8 mwaka jana.

    3. Orodha ya Forbes ya Matajiri wa Afrika kwa mwaka 2024 ilibainisha kuwa utajiri wa Mo Dewji umeongezeka kutoka dola bilioni 1.5 hadi bilioni 1.8.

    4. Licha ya utajiri huo, MO Dewji kupitia kampuni ya Mohamed Entrprises Limited (MeTL) imezalisha ajira 40,000 kwa Watanzania, kupitia biashara 126 zinazofanywa na kampuni hiyo.

    5. Lengo la Mo Dewji ni kuongeza ajira hadi kufikia laki moja kwa Watanzania na wana-Afrika Mashariki.

    6. Mo Dewji kupitia MoDewjl Foundation, imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Maji, kuchimba visima, kukarabati na kutibu maji mkakati uliosaidia Watu zaidi ya 15,000 kupata maji salama ya kunywa.

    7. Utajiri wa Mo Dewji haikushia kwenye maji na afya pekee, umekwenda zaidi na kuwekeza katika tasnia ya michezo ambako ni sehemu ya Mmiliki akiwekeza
    asilimia 49 kwenye klabu ya Simba SC.

    Jarida la Forbes toleo la mwaka huu wa 2025 limemtaja Manyabiashara wa Tanzania Mohamed Dewjl, kuwa miongoni mwa Watu Matajiri Duniani, akiwa na utajiri wa USD 2.2 bilioni sawa na Shilingi Trilioni 5.7 za Kitanzania. Mo Dewji, anakuwa tajiri namba 12 barani Afrika na namba moja Afrika Mashariki kwa kiwango hicho. 2. Orodha ya mwaka huu inaonyesha utajiri wa Mo Dewji umeongezeka na kufikia, dola bilioni 2.2 kutoka dola bilioni 1.8 mwaka jana. 3. Orodha ya Forbes ya Matajiri wa Afrika kwa mwaka 2024 ilibainisha kuwa utajiri wa Mo Dewji umeongezeka kutoka dola bilioni 1.5 hadi bilioni 1.8. 4. Licha ya utajiri huo, MO Dewji kupitia kampuni ya Mohamed Entrprises Limited (MeTL) imezalisha ajira 40,000 kwa Watanzania, kupitia biashara 126 zinazofanywa na kampuni hiyo. 5. Lengo la Mo Dewji ni kuongeza ajira hadi kufikia laki moja kwa Watanzania na wana-Afrika Mashariki. 6. Mo Dewji kupitia MoDewjl Foundation, imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Maji, kuchimba visima, kukarabati na kutibu maji mkakati uliosaidia Watu zaidi ya 15,000 kupata maji salama ya kunywa. 7. Utajiri wa Mo Dewji haikushia kwenye maji na afya pekee, umekwenda zaidi na kuwekeza katika tasnia ya michezo ambako ni sehemu ya Mmiliki akiwekeza asilimia 49 kwenye klabu ya Simba SC.
    0 Reacties 0 aandelen 830 Views
  • Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa , N’Golo Kanté, ameonyesha moyo wa upendo kwa jamii kwa kujenga hospitali ya kisasa yenye thamani ya dola milioni tano (5) Nchini Mali, ikiwa ni msaada kwa Watoto na familia zisizojiweza kupata huduma bora za afya.

    Kanté, ambaye alizaliwa Jijini Paris, Ufaransa, ana asili ya Mali, Wazazi wake wakiwa Wahamiaji waliotoka Nchini Mali mwaka 1980. Jina lake N’Golo linatokana na Mfalme wa zamani wa Mali aliyewahi kutawala. Katika ziara yake Mali, Kanté alitumia muda na familia yake huku akitoa heshima kwa Baba yake na Kaka yake Marehemu.

    Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa 馃嚝馃嚪, N’Golo Kanté, ameonyesha moyo wa upendo kwa jamii kwa kujenga hospitali ya kisasa yenye thamani ya dola milioni tano (5) Nchini Mali, ikiwa ni msaada kwa Watoto na familia zisizojiweza kupata huduma bora za afya. Kanté, ambaye alizaliwa Jijini Paris, Ufaransa, ana asili ya Mali, Wazazi wake wakiwa Wahamiaji waliotoka Nchini Mali mwaka 1980. Jina lake N’Golo linatokana na Mfalme wa zamani wa Mali aliyewahi kutawala. Katika ziara yake Mali, Kanté alitumia muda na familia yake huku akitoa heshima kwa Baba yake na Kaka yake Marehemu.
    0 Reacties 0 aandelen 836 Views
  • Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa , N’Golo Kanté, ameonyesha moyo wa upendo kwa jamii kwa kujenga hospitali ya kisasa yenye thamani ya dola milioni tano (5) Nchini Mali, ikiwa ni msaada kwa Watoto na familia zisizojiweza kupata huduma bora za afya.

    Kanté, ambaye alizaliwa Jijini Paris, Ufaransa, ana asili ya Mali, Wazazi wake wakiwa Wahamiaji waliotoka Nchini Mali mwaka 1980. Jina lake N’Golo linatokana na Mfalme wa zamani wa Mali aliyewahi kutawala. Katika ziara yake Mali, Kanté alitumia muda na familia yake huku akitoa heshima kwa Baba yake na Kaka yake Marehemu.
    Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa 馃嚝馃嚪, N’Golo Kanté, ameonyesha moyo wa upendo kwa jamii kwa kujenga hospitali ya kisasa yenye thamani ya dola milioni tano (5) Nchini Mali, ikiwa ni msaada kwa Watoto na familia zisizojiweza kupata huduma bora za afya. Kanté, ambaye alizaliwa Jijini Paris, Ufaransa, ana asili ya Mali, Wazazi wake wakiwa Wahamiaji waliotoka Nchini Mali mwaka 1980. Jina lake N’Golo linatokana na Mfalme wa zamani wa Mali aliyewahi kutawala. Katika ziara yake Mali, Kanté alitumia muda na familia yake huku akitoa heshima kwa Baba yake na Kaka yake Marehemu.
    0 Reacties 0 aandelen 845 Views
  • Rais wa Nchi ya Ukraine , Volodymyr Zelensky, ametabiri kuea Rais wa Urusi , Vladimir Putin, "atakufa hivi karibuni" huku kukiwa na tetesi kuwa afya ya Kiongozi huyo wa Urusi inazorota. Zelensky alitoa kauli hiyo katika mahojiano na Waandishi wa habari Jijini Paris, Ufaransa baada ya kukutana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kusema kuwa "Putin atakufa hivi karibuni, na hilo ni jambo la uhakika."

    Picha za Putin zilizochunguzwa kwa muda zimezua uvumi kuhusu hali yake ya afya, hasa baada ya kuonekana na macho mekundu na alama ya ajabu kwenye mkono wake. Aidha, picha zingine zimeonyesha kovu shingoni mwake, likizua dhana kuwa huenda alipitia upasuaji wa saratani ya tezi dume.

    Ripoti za awali zilidai kuwa Putin alikuwa akifuatana mara kwa mara na Daktari bingwa wa saratani, huku uvujaji wa taarifa za kijasusi za Marekani ukionyesha kuwa alikuwa akipokea tiba ya saratani. Sanjari na hayo, amekuwa akionekana akiwa na miguu isiyo imara, akishika meza kwa nguvu, au akitikisa mguu wake mara kwa mara, hali inayoongeza mashaka kuhusu afya yake.

    Rais wa Nchi ya Ukraine 馃嚭馃嚘, Volodymyr Zelensky, ametabiri kuea Rais wa Urusi 馃嚪馃嚭, Vladimir Putin, "atakufa hivi karibuni" huku kukiwa na tetesi kuwa afya ya Kiongozi huyo wa Urusi inazorota. Zelensky alitoa kauli hiyo katika mahojiano na Waandishi wa habari Jijini Paris, Ufaransa 馃嚝馃嚪 baada ya kukutana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kusema kuwa "Putin atakufa hivi karibuni, na hilo ni jambo la uhakika." Picha za Putin zilizochunguzwa kwa muda zimezua uvumi kuhusu hali yake ya afya, hasa baada ya kuonekana na macho mekundu na alama ya ajabu kwenye mkono wake. Aidha, picha zingine zimeonyesha kovu shingoni mwake, likizua dhana kuwa huenda alipitia upasuaji wa saratani ya tezi dume. Ripoti za awali zilidai kuwa Putin alikuwa akifuatana mara kwa mara na Daktari bingwa wa saratani, huku uvujaji wa taarifa za kijasusi za Marekani 馃嚭馃嚫 ukionyesha kuwa alikuwa akipokea tiba ya saratani. Sanjari na hayo, amekuwa akionekana akiwa na miguu isiyo imara, akishika meza kwa nguvu, au akitikisa mguu wake mara kwa mara, hali inayoongeza mashaka kuhusu afya yake.
    0 Reacties 0 aandelen 995 Views
  • Mchambuzi Farhan JR.

    Nimeona andiko la Waukae @zakazakazi kuhusu TFF kutengeneza Vijana ambalo lilipaswa kuwa jukumu la Klabu na akienda mbali kusema kwamba TFF ndio Shirikisho pekee duniani ambalo lina kituo ambacho kinazalisha na kulea vipaji vya vijana, kwanza kabla ya kupingana nae kuna kitu kwanza nataka kukiweka sawa kwenye eneo hilo.

    Duniani kote Mashirikisho kama TFF yamejikita zaidi kwenye DEVELOPMENT PROJECTS yaani Miradi ya maendeleo kisha wakaachia Mashindano kadhaa yasimamiwe na Bodi zao za Ligi kwa 90% bila kuyaingilia, TFF anachokifanya ni sahihi lakini pia sio sahihi sana kufanya yeye alipaswa kuwa na CLINICS tu ila kuna changamoto sehemu ambayo imeletwa na TFF wenyewe.

    Duniani Klabu zinaweza kuendesha miradi ya Vijana kwasababu kuna kitu kinaitwa FALSAFA ya nchi kwenye mpira, kuanzia mifumo, afya tiba, afya lishe na miundo yote ambayo portifolio hutoka Shirikisho (TFF) Klabu zinaenda kutekeleza mifumo hiyo na kuadjust baadhi ya maeneo halafu Vijana wakienda Clinics za Kitaifa wanaenda kukazia tu.

    Swali linakuja Je Waukaye @zakazakazi FALSAFA ya Tanzania kwenye mpira wa Miguu ni ipi? Iliwasilishwa lini? Anayo nani? Hilo ni Jukumu la TFF ambalo halijatekelezwa, kuna kitu kinaitwa TALENT ID FRAMEWORK ili kupata Vijana je tunayo? Ipoje, anayo nani? Inasemaje? Klabu hazina Mwongozo kutoka kwa TFF? Academy zote nchini zipite humo LAZIMA TFF wafanye wanachoweza, tupo katikati, TFF ASIMAMIE HILO KIKAMILIFU.

    TFF wasiende mbali waende tu hapo Uganda ilipo FUFA, wana Talent ID Framework ambayo Mashirikisho yoote yalipigwa huo Msasa sambamba na Kamati zao tendaji, ndio maana Uganda wapo mbali mno kwenye soka la Vijana kwenye Klabu zao na National Team, kwasababu wana ramani wanaifuata, wameintergrate mfumo wao na FIFA Talent Development Schemes (TDS) je sisi lini tutaforce Klabu zipite humo?

    TFF anajipa majukumu ambayo mengine sio ya kwake, kujadili mikataba ya kibiashara sio Jukumu lake bali Vilabu na Bodi yao, TFF anabaki kama Baba pekee, duniani kote TFF zao zina majukumu yao ukitoa michuano ya FA na Ngao basi Ligi Kuu sio mali yao, TFF ASIMAMIE HASWA JUKUMU LA MAENDELEO NI LAKE.

    Mchambuzi Farhan JR. Nimeona andiko la Waukae @zakazakazi kuhusu TFF kutengeneza Vijana ambalo lilipaswa kuwa jukumu la Klabu na akienda mbali kusema kwamba TFF ndio Shirikisho pekee duniani ambalo lina kituo ambacho kinazalisha na kulea vipaji vya vijana, kwanza kabla ya kupingana nae kuna kitu kwanza nataka kukiweka sawa kwenye eneo hilo. Duniani kote Mashirikisho kama TFF yamejikita zaidi kwenye DEVELOPMENT PROJECTS yaani Miradi ya maendeleo kisha wakaachia Mashindano kadhaa yasimamiwe na Bodi zao za Ligi kwa 90% bila kuyaingilia, TFF anachokifanya ni sahihi lakini pia sio sahihi sana kufanya yeye alipaswa kuwa na CLINICS tu ila kuna changamoto sehemu ambayo imeletwa na TFF wenyewe. Duniani Klabu zinaweza kuendesha miradi ya Vijana kwasababu kuna kitu kinaitwa FALSAFA ya nchi kwenye mpira, kuanzia mifumo, afya tiba, afya lishe na miundo yote ambayo portifolio hutoka Shirikisho (TFF) Klabu zinaenda kutekeleza mifumo hiyo na kuadjust baadhi ya maeneo halafu Vijana wakienda Clinics za Kitaifa wanaenda kukazia tu. Swali linakuja Je Waukaye @zakazakazi FALSAFA ya Tanzania kwenye mpira wa Miguu ni ipi? Iliwasilishwa lini? Anayo nani? Hilo ni Jukumu la TFF ambalo halijatekelezwa, kuna kitu kinaitwa TALENT ID FRAMEWORK ili kupata Vijana je tunayo? Ipoje, anayo nani? Inasemaje? Klabu hazina Mwongozo kutoka kwa TFF? Academy zote nchini zipite humo LAZIMA TFF wafanye wanachoweza, tupo katikati, TFF ASIMAMIE HILO KIKAMILIFU. TFF wasiende mbali waende tu hapo Uganda ilipo FUFA, wana Talent ID Framework ambayo Mashirikisho yoote yalipigwa huo Msasa sambamba na Kamati zao tendaji, ndio maana Uganda wapo mbali mno kwenye soka la Vijana kwenye Klabu zao na National Team, kwasababu wana ramani wanaifuata, wameintergrate mfumo wao na FIFA Talent Development Schemes (TDS) je sisi lini tutaforce Klabu zipite humo? TFF anajipa majukumu ambayo mengine sio ya kwake, kujadili mikataba ya kibiashara sio Jukumu lake bali Vilabu na Bodi yao, TFF anabaki kama Baba pekee, duniani kote TFF zao zina majukumu yao ukitoa michuano ya FA na Ngao basi Ligi Kuu sio mali yao, TFF ASIMAMIE HASWA JUKUMU LA MAENDELEO NI LAKE.
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 827 Views
  • Mazoezi ni muhimu kwa Afya
    Mazoezi ni muhimu kwa Afya
    Like
    Love
    2
    0 Reacties 0 aandelen 458 Views
  • (E)
    Kwa miaka mingi, Shipman aliendelea na mauaji yake bila kugundulika.

    Lakini mnamo 1998, alifanya kosa moja kubwa—alijaribu kughushi wosia wa mgonjwa wake mmoja, Kathleen Grundy.

    Kathleen alikuwa mama mwenye afya njema mwenye umri wa miaka 81. Alipoaga dunia ghafla, binti yake, Angela Woodruff, alishangazwa na jinsi kifo hicho kilivyotokea bila onyo.

    Lakini mshangao mkubwa zaidi ulikuja alipogundua kuwa mama yake alikuwa ameandika wosia mpya, ukisema kuwa mali yake yote iende kwa daktari wake—Harold Shipman!

    Huo ulikuwa ushahidi wa kwanza wa kweli kwamba huyu hakuwa daktari wa kawaida—alikuwa muuaji.
    (E) Kwa miaka mingi, Shipman aliendelea na mauaji yake bila kugundulika. Lakini mnamo 1998, alifanya kosa moja kubwa—alijaribu kughushi wosia wa mgonjwa wake mmoja, Kathleen Grundy. Kathleen alikuwa mama mwenye afya njema mwenye umri wa miaka 81. Alipoaga dunia ghafla, binti yake, Angela Woodruff, alishangazwa na jinsi kifo hicho kilivyotokea bila onyo. Lakini mshangao mkubwa zaidi ulikuja alipogundua kuwa mama yake alikuwa ameandika wosia mpya, ukisema kuwa mali yake yote iende kwa daktari wake—Harold Shipman! Huo ulikuwa ushahidi wa kwanza wa kweli kwamba huyu hakuwa daktari wa kawaida—alikuwa muuaji.
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 889 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS 鉁嶏笍 HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Rais wa Marekani , Donlad Trump ametangaza kuwa Nchi yake imedhamiria kununua na kumiliki Ukanda wa Gaza na kuhamisha Wapalestina zaidi ya milioni mbili (2) wanaoishi huko, licha ya pendekezo hilo kupingwa vikali na Jumuiya ya Kimataifa. Rais huyo amewaambia Wanahabari kuwa huenda akaruhusu mataifa ya kiarabu kuhusika katika kukarabati upya sehemu mbalimbali na kuwa atahakikisha Raia wa Palestina wataishi maisha mazuri.

    Mamlaka ya Palestina na kikundi kilicho na silaha cha Hamas ambao wamekuwa vitani kwa miezi (16) na Israel na kusababisha maafa Gaza, wamemjibu wakisema ardhi ya Palestina sio ya kuuzwa''. Lakini waziri Mkuu mkuu wa Israel , Benjamin Netanyahu ameipigia upatu pendekezo hilo la Trump akilitaja ni ''mwamko mpya na bunifu''.

    Haya yamekuja Wiki tatu (3) baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza Huku Kundi la Hamas likiachilia huru baadhi ya Mateka wa Nchi ya Israel inayowazuia ili kubadilishana na Wafungwa wa Palestina walioko katika Magerezani Nchini Israel.

    Wanajeshi wa Israel walianzisha kampeni ya kuvamia na kuharibu Gaza wakijibu shambulizi la kushtukizia la mwezi Oktoba tarehe 7 2023, ambapo watu 1,200 waliuawa na 251 wakatekwa nyara. Zaidi ya Watu 48,180 wameuliwa Gaza tangu mapigano hayo yaanze , hii ni kwa mujibu wa wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas lililokuwa likipigana na Nchi ya Israel.

    Rais wa Marekani 馃嚭馃嚫, Donlad Trump ametangaza kuwa Nchi yake imedhamiria kununua na kumiliki Ukanda wa Gaza na kuhamisha Wapalestina zaidi ya milioni mbili (2) wanaoishi huko, licha ya pendekezo hilo kupingwa vikali na Jumuiya ya Kimataifa. Rais huyo amewaambia Wanahabari kuwa huenda akaruhusu mataifa ya kiarabu kuhusika katika kukarabati upya sehemu mbalimbali na kuwa atahakikisha Raia wa Palestina wataishi maisha mazuri. Mamlaka ya Palestina na kikundi kilicho na silaha cha Hamas ambao wamekuwa vitani kwa miezi (16) na Israel na kusababisha maafa Gaza, wamemjibu wakisema ardhi ya Palestina sio ya kuuzwa''. Lakini waziri Mkuu mkuu wa Israel 馃嚠馃嚤, Benjamin Netanyahu ameipigia upatu pendekezo hilo la Trump akilitaja ni ''mwamko mpya na bunifu''. Haya yamekuja Wiki tatu (3) baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza Huku Kundi la Hamas likiachilia huru baadhi ya Mateka wa Nchi ya Israel inayowazuia ili kubadilishana na Wafungwa wa Palestina walioko katika Magerezani Nchini Israel. Wanajeshi wa Israel walianzisha kampeni ya kuvamia na kuharibu Gaza wakijibu shambulizi la kushtukizia la mwezi Oktoba tarehe 7 2023, ambapo watu 1,200 waliuawa na 251 wakatekwa nyara. Zaidi ya Watu 48,180 wameuliwa Gaza tangu mapigano hayo yaanze , hii ni kwa mujibu wa wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas lililokuwa likipigana na Nchi ya Israel.
    Like
    Love
    2
    0 Reacties 0 aandelen 804 Views
  • Rais wa Rwanda , Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanaendelea.

    Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui.

    "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda.

    Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita.

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.

    Rais wa Rwanda 馃嚪馃嚰, Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 yanaendelea. Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui. "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda. Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita. Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.
    0 Reacties 0 aandelen 770 Views
  • #PART7

    Baada ya kundi la RCD kuvunjika, yalizaliwa makundi mawili ambayo ni RCD Goma (liliungwa mkono na Rwanda) na RCD Kisangani (likiungwa mkono na Uganda). Aliyekua Kiongozi wa RCD Ernest Wamba Dia Wamba akaamua kukaa pembeni baada ya kugundua wanatumika kupigana kwa maslahi ya watu wengine.

    Kwahiyo makundi haya yakapata viongozi wapya. RCD-Goma ikaongozwa na Kanali Emile Ilunga na RCD-Kisangani, ikaongozwa na Jenerali Mbusa Nyamwisi. Ikumbukwe kabla kundi la RCD halijavunjika, lilikuwa limeshikilia maeneo mengi ya migodi huko Goma, Bukavu, na Katanga. Sasa baada ya kuvunjika, ukatokea mgogoro wa kugawana maeneo. Mgodi upi uende RCD Goma na upi uende RCD Kisangani.

    Kwa hiyo wakaanza kupigana tena wao kwa wao. Ikapigwa vita moja kali sana pale Kisangani, ikabatizwa jina la ‘Six Day War’ maana ilipiganwa kwa siku sita. RCD-Goma, ikawatandika vibaya sana RCD-Kisangani. Tar.10 June 2000 RCD Kisangani ikaachia migodi yote na kukimbia. RCD-Goma wakataka RCD-Kisangani wabadili jina lao maana mji wa Kisangani haukuwa chini yao tena. Hatimaye, RCD-Kisangani wakabadili na kujiita RCD-ML, yaani Rally for Congolese Democracy - Liberation Movement.

    RCD - ML walikimbilia kwenye milima Mikeno karibu na hifadhi ya Virunga kujipanga upya. RCD-Goma wakaendeleza mapigano kuelekea Kinshasa. Lakini kufika Bukavu wakakumbana na upinzani kutoka wanamgambo wa Maï-Maï waliokua wamepewa silaha na serikali za majimbo kupigana na askari yoyote mgeni kwenye ardhi yao.

    Maï-Maï waliongozwa na Kanali Musa Sindi upande wa Kivu Kusini na Sheikh Ntabo Ntaberi kwa Kivu Kaskazini. Kwa hiyo safari ya RCD Goma kwenda Kinshasa kumng’oa Laurent Kabila ikakutana na kizuizi cha Maï-Maï. Wakachapana sana. Watu zaidi ya 1,000 wakapoteza maisha.

    Kwahiyo vita ya kumng'oa Laurent Kabila ikawa ngumu maana vikundi vingi vya waasi vilianza kupigana vyenyewe kwa vyenyewe. Hali hiyo ilifanya vita kuwa ngumu zaidi, maana watu walipigana bila mpangilio. Risasi zikafyatuliwa hovyo hovyo na wananchi wengi wakapoteza maisha.
    (Malisa GJ)

    #PART7 Baada ya kundi la RCD kuvunjika, yalizaliwa makundi mawili ambayo ni RCD Goma (liliungwa mkono na Rwanda) na RCD Kisangani (likiungwa mkono na Uganda). Aliyekua Kiongozi wa RCD Ernest Wamba Dia Wamba akaamua kukaa pembeni baada ya kugundua wanatumika kupigana kwa maslahi ya watu wengine. Kwahiyo makundi haya yakapata viongozi wapya. RCD-Goma ikaongozwa na Kanali Emile Ilunga na RCD-Kisangani, ikaongozwa na Jenerali Mbusa Nyamwisi. Ikumbukwe kabla kundi la RCD halijavunjika, lilikuwa limeshikilia maeneo mengi ya migodi huko Goma, Bukavu, na Katanga. Sasa baada ya kuvunjika, ukatokea mgogoro wa kugawana maeneo. Mgodi upi uende RCD Goma na upi uende RCD Kisangani. Kwa hiyo wakaanza kupigana tena wao kwa wao. Ikapigwa vita moja kali sana pale Kisangani, ikabatizwa jina la ‘Six Day War’ maana ilipiganwa kwa siku sita. RCD-Goma, ikawatandika vibaya sana RCD-Kisangani. Tar.10 June 2000 RCD Kisangani ikaachia migodi yote na kukimbia. RCD-Goma wakataka RCD-Kisangani wabadili jina lao maana mji wa Kisangani haukuwa chini yao tena. Hatimaye, RCD-Kisangani wakabadili na kujiita RCD-ML, yaani Rally for Congolese Democracy - Liberation Movement. RCD - ML walikimbilia kwenye milima Mikeno karibu na hifadhi ya Virunga kujipanga upya. RCD-Goma wakaendeleza mapigano kuelekea Kinshasa. Lakini kufika Bukavu wakakumbana na upinzani kutoka wanamgambo wa Maï-Maï waliokua wamepewa silaha na serikali za majimbo kupigana na askari yoyote mgeni kwenye ardhi yao. Maï-Maï waliongozwa na Kanali Musa Sindi upande wa Kivu Kusini na Sheikh Ntabo Ntaberi kwa Kivu Kaskazini. Kwa hiyo safari ya RCD Goma kwenda Kinshasa kumng’oa Laurent Kabila ikakutana na kizuizi cha Maï-Maï. Wakachapana sana. Watu zaidi ya 1,000 wakapoteza maisha. Kwahiyo vita ya kumng'oa Laurent Kabila ikawa ngumu maana vikundi vingi vya waasi vilianza kupigana vyenyewe kwa vyenyewe. Hali hiyo ilifanya vita kuwa ngumu zaidi, maana watu walipigana bila mpangilio. Risasi zikafyatuliwa hovyo hovyo na wananchi wengi wakapoteza maisha. (Malisa GJ)
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Baada ya Rais wa Marekani , Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90.

    Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi.

    Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.

    Baada ya Rais wa Marekani 馃嚭馃嚫, Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90. Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi. Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 718 Views
  • Baada ya Rais wa Marekani , Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90.

    Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi.

    Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.

    Baada ya Rais wa Marekani 馃嚭馃嚫, Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90. Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi. Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 679 Views
  • Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto),

    Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake,

    Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee

    Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,,

    Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,,

    Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao,

    Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha,

    Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda

    Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich

    Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,,

    Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter

    La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto), Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake, Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee馃憞馃憞 Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,, Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,, Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao, Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha, Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,, Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Shampoo ya Aloe Vera - Nywele Zenye Afya na Nguvu
    Je, unatamani nywele zenye kung'aa, laini na zenye afya?
    Shampoo yetu ya Aloe Vera ni suluhisho lako!
    * Faida:
    * Inalisha na kunyonyesha nywele zako kutoka ndani.
    * Inarudisha unyevu na kuzuia ukavu.
    * Inasaidia kupambana na dandruff na kuwasha.
    * Inatoa ulaini na uangaze wa ajabu.
    * Inafaa kwa aina zote za nywele.
    Pata shampoo bora zaidi ya Aloe Vera kwa bei ya Tsh. 5,000 tu kwa nusu lita na Tsh 3000 kwa robo lita
    Wasiliana nasi kwa:
    * Simu: [+255743347591/+255656888290/+255782270911]
    * WhatsApp: [+255743347591]

    #ShampooYaAloeVera #NyweleZenyeAfya #UtunzajiWaNywele #UzuriWaAsili
    Shampoo ya Aloe Vera - Nywele Zenye Afya na Nguvu Je, unatamani nywele zenye kung'aa, laini na zenye afya? Shampoo yetu ya Aloe Vera ni suluhisho lako! * Faida: * Inalisha na kunyonyesha nywele zako kutoka ndani. * Inarudisha unyevu na kuzuia ukavu. * Inasaidia kupambana na dandruff na kuwasha. * Inatoa ulaini na uangaze wa ajabu. * Inafaa kwa aina zote za nywele. Pata shampoo bora zaidi ya Aloe Vera kwa bei ya Tsh. 5,000 tu kwa nusu lita na Tsh 3000 kwa robo lita Wasiliana nasi kwa: * Simu: [+255743347591/+255656888290/+255782270911] * WhatsApp: [+255743347591] #ShampooYaAloeVera #NyweleZenyeAfya #UtunzajiWaNywele #UzuriWaAsili
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Taarifa kutoka Nchini Pakistan kwenye Mji uitwao Karachi unakabiliwa na ongezeko la visa vya Wagonjwa wa Covid -19 (Corona ) huku asilimia 25% mpaka 30% ya Wagonjwa hao wakionyesha kuwa na dalili za kikohozi na kukutwa na virusi baada ya kufanyiwa vipimo.

    Ripoti hiyo imetolewa na Shirika la ARY News, inasema Profesa Saeed Khan kutoka Hospitali ya Dow alitangaza kupokea Wagonjwa wenye dalili za homa, baridi na kikohozi huku wengine wakigundulika kuwa na changamoto ya "influenza" pamoja na changamoto ya kupumua kwa shida.

    Kwa sasa Nchini Pakistan kuna baridi, hivyo Ugonjwa huo unasambaa kwa kasi. Wataalamu wa afya wanahimiza kuvaa barakoa, kudumisha usafi, kuwa na joto na kupata chanjo dhidi ya mafua ili kuzuia maambukizi.

    Taarifa kutoka Nchini Pakistan kwenye Mji uitwao Karachi unakabiliwa na ongezeko la visa vya Wagonjwa wa Covid -19 (Corona ) huku asilimia 25% mpaka 30% ya Wagonjwa hao wakionyesha kuwa na dalili za kikohozi na kukutwa na virusi baada ya kufanyiwa vipimo. Ripoti hiyo imetolewa na Shirika la ARY News, inasema Profesa Saeed Khan kutoka Hospitali ya Dow alitangaza kupokea Wagonjwa wenye dalili za homa, baridi na kikohozi huku wengine wakigundulika kuwa na changamoto ya "influenza" pamoja na changamoto ya kupumua kwa shida. Kwa sasa Nchini Pakistan kuna baridi, hivyo Ugonjwa huo unasambaa kwa kasi. Wataalamu wa afya wanahimiza kuvaa barakoa, kudumisha usafi, kuwa na joto na kupata chanjo dhidi ya mafua ili kuzuia maambukizi.
    0 Reacties 0 aandelen 607 Views
Zoekresultaten