• Simba ina habari njema juu ya beki wake wa kati, Abdulrazack Hamza ambaye alipata majeraha muda mfupi baada ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa Stars’ hivi karibuni kwa ajili ya maandalizi ya mechi 2 dhidi ya DR Congo za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025.

    Baada ya matibabu ambayo ameyapata chini ya uangalizi wa jopo la madaktari wa Simba, beki huyo yupo katika maendeleo mazuri kiafya na leo Jumatatu ataungana na wenzake kikosini kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Yanga.
    #paulswai
    Simba ina habari njema juu ya beki wake wa kati, Abdulrazack Hamza ambaye alipata majeraha muda mfupi baada ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa Stars’ hivi karibuni kwa ajili ya maandalizi ya mechi 2 dhidi ya DR Congo za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025. Baada ya matibabu ambayo ameyapata chini ya uangalizi wa jopo la madaktari wa Simba, beki huyo yupo katika maendeleo mazuri kiafya na leo Jumatatu ataungana na wenzake kikosini kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Yanga. #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 43 Views
  • .WEWE UNAYEJISAHAU!
    Naomba Nikukumbushe!

    Umepata Maisha !
    Umejipata Sio!
    Unajiweza sana Ndugu!

    Acha Madharau Kwa Wengine!
    Acha kuwapuuza Watu Acha kufunga tinted kwa watu Mliofahamiana nao Kabla ya Hali yako ya Sasa!
    Unapigiwa Simu Hupokei!
    Unawapita Watu bila Salamu!
    Uko bize!
    Kila atakaye kusalimu unahisi anataka kukuomba! Au ana shida !
    Unaanza kukunja uso na kuweka Userious ili kujenga Mazingira ya kutokaribiwa!
    Unachagua Kushiriki Matukio ya Watu kwa Kuangalia Hali zao!

    Wewe ni Tajiri sio!
    Wewe una Mamlaka Sio!
    Wewe ni Maarufu sio!

    Nisikilize Ndugu yangu huenda Ukabadilika!

    Kwenye Maisha hakuna aliyefanikiwa bila ya Mkono wa Mtu( Ukiachana na Kudra za Mwenyezi Mungu).

    Sote tuna historia huko nyuma juu fulani na namna alivyotenda wema kwako na huwa unaukumbuka msaada wake!
    Ingawa wako pia wasiokumbuka mema ya waliowasaidia!
    Lakini kama Ulisaidika kwanini unafunga Milango kwa wengine?

    Sasa hawa unaowadharau na kuwaona sio katika hadhi yako huenda pia wengine dua zao huko nyuma zilikuwa msaada kwako!
    Hakuna mwanadamu asiye na maana, kila mwanadamu ana nafasi yake katika dunia hii ! Hivyo kumdharau mtu bila kosa yoyote kisa tu ana hali duni ! Kisa hana uwezo ulio nao wewe! Hilo ni kosa kubwa!
    Wako Watu wanaoharibikiwa kisa ni Kiburi cha Kuona wana mafanikio!
    Wako watu Walionguka na kuwa madhalili sababu ya kuwadharau viumbe wa mungu!

    Unaweza Ukawa na Kila Kitu Cheo , Mali, Umaaarufu , Afya Njema n.k, lakini ukakosa furaha kabisa, kila mara unajiona huna amani, unaishi kwa hofu , unaogopa kukutana na watu!

    Fahamu ya kuwa wewe unapitia magumu hayo sababu una Kiburi cha Mafanikio na Mungu akaamua akunyang’anye amani ya nafsi! Akaamua akupe Mali akupe vyote lakini ukose kufaidi kwa raha!
    Tabia na Matendo mabaya ya Mtu humfanya mungu abadilishe ile neema aliyokupa kuwa adhabu!

    Kwanini hupokei simu ya wenzako ! Unaogopa kuombwa! Unaogopa wanaokuzunguka watakuona mshamba ? Hao unaowaona ni level yako umewahi kujiuliza wanakuthamini kwa lipi? Je? Wanakuthamini sababu ni binadamu kama wao au kwasababu ya kile unachomiliki!
    Ukigundua sasa weka fikra zako je kitu hicho kikiondoka utakuwa mgeni wa nani?

    Acha Kuiigiza maisha baki katika Uhalisia wako, Usikubali Mazingira Yakubadilishe bali wewe yabadilishe mazingira!

    Salimia watu ! Pokea Simu zao, kumbuka ulipotoka fahamu ya kuwa unaweza kurudi kama zamani ! Wewe sio kwanza kuwa hivyo! Ongea na watu Lugha nzuri hata iwe kweli kuwa anataka kukuomba na hutaki kutoa tafuta njia ya kiistarabu kumkwepa ili hata kama amekosa alichojia basi abaki na tabasamu!

    Watu wengi wanapenda kuheshimika bila kujali hali zao! Heshima ya Mtu ni kitu kikubwa sana! Na haipaswi kuvunjwa kwa namna yoyote ile!

    Ofisi ya Uma ! Nafasi za kuchaguliwa zina mwisho! Watu wengi hustaafu kisha hushindwa kurudi walikotoka, hujikuta wanaishia kuishi ugenini! Ukichunguza utakuta wengi wao sababu kuu ni kwamba hawakuwapa heshima iliyostahili wale waliowaacha huko makwao!hawakuwathamini, waliwadharau!

    Nakukumbusha Acha Kiburi, Acha Madharau! Acha Kujiona Umefika! Acha kuhisi kuwa hakuna wa kukueleza kitu!

    Hii Dunia iliumbwa ili sote tufurahie Maisha! Hao unaowakimbia kwa hofu ya kuwa watataka kitu kwako ! Kumbe na wao wala hata hawana habari na hicho unachodhani wanatufa tu furaha ya dunia! Na wengine Wanaangalia tu Sarakasi na Maigizo yako!

    Watu wengi wenye tabia ya aina hiii ni washamba wa maisha! Wengi Wamekutana Fedha za ghafla Ukubwani! Hivyo kinachowasumbua ni Ushamba wa Maisha!
    Kama gari uliizizoea kuziona toka zamani sidhani kama zitakupa kiherehere sasa ,eti mpaka Uwapite Watu bila ya Salamu!

    Juzi ulikuwa unasota na wenzako Kwenye Magheto au kwenye Nyumba za Kupanga! Eti Leo Umejenga yako basi unawaona wote wasio na nyumba wajinga wala hawana cha kukushauri katika Maisha!

    Eti Umepenya umekuwa Mbunge , Diwani , RC, DC , Waziri basi wengine wote hawawezi kukuambia kitu ! Wewe ndiye Mwenye kauli ya mwisho mjini hamna wa kukushauri iwe ni kwenye Familia au Mitaani! Wewe ndiye alfa na Omega!
    Huo ni Ushamba wa Madaraka Ndugu! Vyeo hivi huja na kuondoka! Na wewe sio wa kwanza kupata na kuikosa ! Kwanini Uvimbe Kichwa! Kwanini Uwadharau watu!

    Ishi Ukifahamu Ya Kuwa Cheo Chako , Mali yako ni Kwa Manufaa yako!
    Hakuna Mtu mwenye akili timamu atayejisifu au kuishi kwa kutegemea vitu vya mtu mwingine!

    Wanachohitaji watu kutoka kwako ni Heshima tu!

    Acha hizo Ndugu yangu ! !!
    .WEWE UNAYEJISAHAU! Naomba Nikukumbushe! Umepata Maisha ! Umejipata Sio! Unajiweza sana Ndugu! Acha Madharau Kwa Wengine! Acha kuwapuuza Watu Acha kufunga tinted kwa watu Mliofahamiana nao Kabla ya Hali yako ya Sasa! Unapigiwa Simu Hupokei! Unawapita Watu bila Salamu! Uko bize! Kila atakaye kusalimu unahisi anataka kukuomba! Au ana shida ! Unaanza kukunja uso na kuweka Userious ili kujenga Mazingira ya kutokaribiwa! Unachagua Kushiriki Matukio ya Watu kwa Kuangalia Hali zao! Wewe ni Tajiri sio! Wewe una Mamlaka Sio! Wewe ni Maarufu sio! Nisikilize Ndugu yangu huenda Ukabadilika! Kwenye Maisha hakuna aliyefanikiwa bila ya Mkono wa Mtu( Ukiachana na Kudra za Mwenyezi Mungu). Sote tuna historia huko nyuma juu fulani na namna alivyotenda wema kwako na huwa unaukumbuka msaada wake! Ingawa wako pia wasiokumbuka mema ya waliowasaidia! Lakini kama Ulisaidika kwanini unafunga Milango kwa wengine? Sasa hawa unaowadharau na kuwaona sio katika hadhi yako huenda pia wengine dua zao huko nyuma zilikuwa msaada kwako! Hakuna mwanadamu asiye na maana, kila mwanadamu ana nafasi yake katika dunia hii ! Hivyo kumdharau mtu bila kosa yoyote kisa tu ana hali duni ! Kisa hana uwezo ulio nao wewe! Hilo ni kosa kubwa! Wako Watu wanaoharibikiwa kisa ni Kiburi cha Kuona wana mafanikio! Wako watu Walionguka na kuwa madhalili sababu ya kuwadharau viumbe wa mungu! Unaweza Ukawa na Kila Kitu Cheo , Mali, Umaaarufu , Afya Njema n.k, lakini ukakosa furaha kabisa, kila mara unajiona huna amani, unaishi kwa hofu , unaogopa kukutana na watu! Fahamu ya kuwa wewe unapitia magumu hayo sababu una Kiburi cha Mafanikio na Mungu akaamua akunyang’anye amani ya nafsi! Akaamua akupe Mali akupe vyote lakini ukose kufaidi kwa raha! Tabia na Matendo mabaya ya Mtu humfanya mungu abadilishe ile neema aliyokupa kuwa adhabu! Kwanini hupokei simu ya wenzako ! Unaogopa kuombwa! Unaogopa wanaokuzunguka watakuona mshamba ? Hao unaowaona ni level yako umewahi kujiuliza wanakuthamini kwa lipi? Je? Wanakuthamini sababu ni binadamu kama wao au kwasababu ya kile unachomiliki! Ukigundua sasa weka fikra zako je kitu hicho kikiondoka utakuwa mgeni wa nani? Acha Kuiigiza maisha baki katika Uhalisia wako, Usikubali Mazingira Yakubadilishe bali wewe yabadilishe mazingira! Salimia watu ! Pokea Simu zao, kumbuka ulipotoka fahamu ya kuwa unaweza kurudi kama zamani ! Wewe sio kwanza kuwa hivyo! Ongea na watu Lugha nzuri hata iwe kweli kuwa anataka kukuomba na hutaki kutoa tafuta njia ya kiistarabu kumkwepa ili hata kama amekosa alichojia basi abaki na tabasamu! Watu wengi wanapenda kuheshimika bila kujali hali zao! Heshima ya Mtu ni kitu kikubwa sana! Na haipaswi kuvunjwa kwa namna yoyote ile! Ofisi ya Uma ! Nafasi za kuchaguliwa zina mwisho! Watu wengi hustaafu kisha hushindwa kurudi walikotoka, hujikuta wanaishia kuishi ugenini! Ukichunguza utakuta wengi wao sababu kuu ni kwamba hawakuwapa heshima iliyostahili wale waliowaacha huko makwao!hawakuwathamini, waliwadharau! Nakukumbusha Acha Kiburi, Acha Madharau! Acha Kujiona Umefika! Acha kuhisi kuwa hakuna wa kukueleza kitu! Hii Dunia iliumbwa ili sote tufurahie Maisha! Hao unaowakimbia kwa hofu ya kuwa watataka kitu kwako ! Kumbe na wao wala hata hawana habari na hicho unachodhani wanatufa tu furaha ya dunia! Na wengine Wanaangalia tu Sarakasi na Maigizo yako! Watu wengi wenye tabia ya aina hiii ni washamba wa maisha! Wengi Wamekutana Fedha za ghafla Ukubwani! Hivyo kinachowasumbua ni Ushamba wa Maisha! Kama gari uliizizoea kuziona toka zamani sidhani kama zitakupa kiherehere sasa ,eti mpaka Uwapite Watu bila ya Salamu! Juzi ulikuwa unasota na wenzako Kwenye Magheto au kwenye Nyumba za Kupanga! Eti Leo Umejenga yako basi unawaona wote wasio na nyumba wajinga wala hawana cha kukushauri katika Maisha! Eti Umepenya umekuwa Mbunge , Diwani , RC, DC , Waziri basi wengine wote hawawezi kukuambia kitu ! Wewe ndiye Mwenye kauli ya mwisho mjini hamna wa kukushauri iwe ni kwenye Familia au Mitaani! Wewe ndiye alfa na Omega! Huo ni Ushamba wa Madaraka Ndugu! Vyeo hivi huja na kuondoka! Na wewe sio wa kwanza kupata na kuikosa ! Kwanini Uvimbe Kichwa! Kwanini Uwadharau watu! Ishi Ukifahamu Ya Kuwa Cheo Chako , Mali yako ni Kwa Manufaa yako! Hakuna Mtu mwenye akili timamu atayejisifu au kuishi kwa kutegemea vitu vya mtu mwingine! Wanachohitaji watu kutoka kwako ni Heshima tu! Acha hizo Ndugu yangu ! !!
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 203 Views
  • Tatizo la Afya ya Akili
    Tatizo la Afya ya Akili
    Like
    Love
    5
    1 Comments 0 Shares 149 Views 31
  • JALI AFYA YAKO YA AKILI
    #mosessadaty #socialpop #jaliafyayako #afyayako
    JALI AFYA YAKO YA AKILI #mosessadaty #socialpop #jaliafyayako #afyayako
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 311 Views 24
  • USICHUKULIE POA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI
    #mosessadaty #afyayako #afyayakonimali #afyayakonimtaji #bernaldpeter #socialpop
    USICHUKULIE POA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI #mosessadaty #afyayako #afyayakonimali #afyayakonimtaji #bernaldpeter #socialpop
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 332 Views 54
  • Jitahidi kutengeneza furaha yako mwenyewe, usimtegemee mtu mwingine, kwanini uwe na huzuni?? #Maishaplus #Afyayako #drmosessadaty
    Jitahidi kutengeneza furaha yako mwenyewe, usimtegemee mtu mwingine, kwanini uwe na huzuni?? #Maishaplus #Afyayako #drmosessadaty
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 422 Views
  • Itunze afya yako
    #AfyaYako
    #AfyaYakoNiMtajiWako
    #AfyaYakoNiMaliYako
    Itunze afya yako #AfyaYako #AfyaYakoNiMtajiWako #AfyaYakoNiMaliYako
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 385 Views
  • Moja kati ya vitu vyakuzingatia ni pamoja na afya, jitahidi uitunze afya, afya ndio kilakitu
    #Socialpop, #bernaldpeter, #viral
    Moja kati ya vitu vyakuzingatia ni pamoja na afya, jitahidi uitunze afya, afya ndio kilakitu #Socialpop, #bernaldpeter, #viral
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 238 Views
  • Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    🩺 Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    Love
    3
    2 Comments 0 Shares 116 Views 37
  • CONFIRMED: Mshambuliaji Leonel Ateba amejiunga na kikosi cha Simba kutoka USM Alger ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili.

    Ateba ambaye ana umri wa miaka 25 raia wa Cameroon amewasili nchini leo na tayari amefanyiwa vipimo vya Afya na amefuzu.
    🚨 CONFIRMED: Mshambuliaji Leonel Ateba amejiunga na kikosi cha Simba kutoka USM Alger ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili. Ateba ambaye ana umri wa miaka 25 raia wa Cameroon 🇨🇲 amewasili nchini leo na tayari amefanyiwa vipimo vya Afya na amefuzu.
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 163 Views
More Results