0 Comments
路0 Shares
路34 Views
-
-
Wakati kuna baadhi ya Wachezaji wanaenda kufanya maombi kwa viongozi wa dini ili kurudisha viwango vyao Mwamba wa uwagadugu anachage tuh nywele nyeusi kwenda nyeupe kiwango kimerudi
Mechi 2 za mwisho CAF Champions magoli 2, Ki Aziz Kujiamini kumerudi, mashuti yamerudi namuona akiendelea na makali yake ya msimu uliopita
#muslehelbarcaupdates
#yangasc #CAFChampionsLeagueWakati kuna baadhi ya Wachezaji wanaenda kufanya maombi kwa viongozi wa dini ili kurudisha viwango vyao Mwamba wa uwagadugu anachage tuh nywele nyeusi kwenda nyeupe kiwango kimerudi 馃槀 Mechi 2 za mwisho CAF Champions magoli 2, Ki Aziz Kujiamini kumerudi, mashuti yamerudi namuona akiendelea na makali yake ya msimu uliopita 馃敟 #muslehelbarcaupdates 馃懡 #yangasc #CAFChampionsLeague -
Licha ya jana Klabu ya Yanga SC kushinda mechi yake muhimu dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal omdurman lakini kuna huyu mwamba wa kuitwa Jean Claude Giramugisha, hapa kibwana Shomari nahisi usingizi wake ulikuwa wa Mashaka (kuweweseka) maana sio kwa kuburuzwa kule
Dogo ana speed ya ajabu mpaka nikasema dah huyu sio ndo yule kasongo lakini? achana na speed ana vyenga pia ana pumzi hachoki, Kuna muda akuwa upande wa kushoto kumxhosha kibwana sometime anabadilishana possition na adama Coulibaly, anaenda tena kumnyanyasa Shadrack Boka
Cha ajabu huyu dogo ni mburundi tuh sijui Tanzania tulicherewa nini kusema huyu dogo ni MUHA wa Kigoma na akatupa faida Tanzania kwenye NT na vilabu
Oya huyu dogo ni moto
#muslehelbarcaupdates
#Alhilalomdurman #CAFChampionsLeague #TotalEnergiesCAFCLLicha ya jana Klabu ya Yanga SC kushinda mechi yake muhimu dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal omdurman lakini kuna huyu mwamba wa kuitwa Jean Claude Giramugisha, hapa kibwana Shomari nahisi usingizi wake ulikuwa wa Mashaka (kuweweseka) maana sio kwa kuburuzwa kule 馃檮 Dogo ana speed ya ajabu mpaka nikasema dah huyu sio ndo yule kasongo lakini? achana na speed ana vyenga pia ana pumzi hachoki, Kuna muda akuwa upande wa kushoto kumxhosha kibwana sometime anabadilishana possition na adama Coulibaly, anaenda tena kumnyanyasa Shadrack Boka 馃敟 Cha ajabu huyu dogo ni mburundi tuh sijui Tanzania tulicherewa nini kusema huyu dogo ni MUHA wa Kigoma na akatupa faida Tanzania kwenye NT na vilabu 馃槀 Oya huyu dogo ni moto 馃敟 #muslehelbarcaupdates 馃懡 #Alhilalomdurman #CAFChampionsLeague #TotalEnergiesCAFCL -
-
Baadhi ya watu klabuni tayari wanamwona Nico Williams kama mchezaji wa Barcelona. Wachezaji wa Barca waliopo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Uhispania pia wanajaribu kumshawishi winga huyo ajiunge na Barca. Nico anafahamu kuwa atapokelewa vyema Barcelona.
##Sportsview鉂桞aadhi ya watu klabuni tayari wanamwona Nico Williams kama mchezaji wa Barcelona. Wachezaji wa Barca waliopo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Uhispania pia wanajaribu kumshawishi winga huyo ajiunge na Barca. Nico anafahamu kuwa atapokelewa vyema Barcelona. ##Sportsview