• Ac Milan wamekamilisha usajili wa Pervis Estupinan (27) kutoka Brighton kama mbadala wa Theo Hernandez aliyetimkia Al hilal ya nchini Saudia.

    Uhamisho wa beki huyo wa pembeni umegharimu kiasi cha €17M pamoja na nyongeza ya €2M ili kukamilisha dili hilo.

    #SportsElite
    Ac Milan wamekamilisha usajili wa Pervis Estupinan (27) kutoka Brighton kama mbadala wa Theo Hernandez aliyetimkia Al hilal ya nchini Saudia. Uhamisho wa beki huyo wa pembeni umegharimu kiasi cha €17M pamoja na nyongeza ya €2M ili kukamilisha dili hilo. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·9 Views
  • Fertomid: Understanding The Uses, Benefits, And How To Take
    Fertomid: Understanding The Uses, Benefits, And How To Take
    0 Commenti ·0 condivisioni ·33 Views
  • Manchester United imeripotiwa kuwasilisha ombi la kupata taarifa kuhusu mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Šeško, ambaye huenda akaondoka katika klabu hiyo msimu huu.

    #SportsElite
    Manchester United imeripotiwa kuwasilisha ombi la kupata taarifa kuhusu mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Šeško, ambaye huenda akaondoka katika klabu hiyo msimu huu. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·37 Views
  • PAUL POGBA: "Rashford kwenda Barcelona? Ni nzuri. Ninafurahi kwa ajili yake. Manchester United imepoteza mchezaji mzuri. Hiyo ni nzuri sana kwa Barcelona."

    SPEED KWA PAUL POGBA: "Ikiwa ningekuwa kocha wa Barça, mimi binafsi Rashford asingekuwepo hata kwenye benchi langu"

    #SportsElite
    PAUL POGBA: 🗣️"Rashford kwenda Barcelona? Ni nzuri. Ninafurahi kwa ajili yake. Manchester United imepoteza mchezaji mzuri. Hiyo ni nzuri sana kwa Barcelona." SPEED KWA PAUL POGBA: 🗣️"Ikiwa ningekuwa kocha wa Barça, mimi binafsi Rashford asingekuwepo hata kwenye benchi langu" #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·41 Views
  • Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.

    Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao.

    #SportsElite
    🚨 Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.💰 Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·39 Views
  • | BREAKING

    AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza.

    Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza. Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·60 Views
  • Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden...

    Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ?

    Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ?

    Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao..

    Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream...

    Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja...

    Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari...

    Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza...

    #SportsElite
    Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden... Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ? Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ? Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao.. Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream... Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja... Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari... Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza... #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·56 Views
  • RASMI West Ham wamethibitisha kumsajili Kyle Walker-Peters kwa mkataba wa miaka mitatu. ✍🏼

    Beki huyo wa pembeni amejiunga kama mchezaji huru baada ya kuondoka Southampton mwishoni mwa msimu uliopita kufuatia kushuka daraja kutoka Premier League.

    #SportsElite
    🚨 RASMI ✅ West Ham wamethibitisha kumsajili Kyle Walker-Peters kwa mkataba wa miaka mitatu. ✍🏼🏴 Beki huyo wa pembeni amejiunga kama mchezaji huru baada ya kuondoka Southampton mwishoni mwa msimu uliopita kufuatia kushuka daraja kutoka Premier League. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·44 Views


  • - Nottingham Forest wanapima uwezekano wa kumsajili Jadon Sancho, ambaye hana nafasi Manchester United.

    - Rais wa Benfica anapanga kusafiri kwenda Brazil mwisho wa wiki hii kukamilisha dili la Richard Rios. Klabu ya Palmeiras imeweka bei ya €30m.

    - RASMI:Leeds United wamesajili kiungo Sean Longstaff kutoka

    #SportsElite
    - Nottingham Forest wanapima uwezekano wa kumsajili Jadon Sancho, ambaye hana nafasi Manchester United. - Rais wa Benfica anapanga kusafiri kwenda Brazil mwisho wa wiki hii kukamilisha dili la Richard Rios. Klabu ya Palmeiras imeweka bei ya €30m. - RASMI✅:Leeds United wamesajili kiungo Sean Longstaff kutoka #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·48 Views
  • Mkurugenzi wa michezo wa Benfica Lisbon amewasili nchini Brazil leo kufatilia dili la mchezaji wa Palmeiras Richard Rios

    Palmeiras wamethibitisha kuwa AS Roma wameshindwa kuendana na dau walilolihitaji la €30M, Sasa wamefungua milango kwa Benfica Lisbon

    #SportsElite
    🚨 Mkurugenzi wa michezo wa Benfica Lisbon amewasili nchini Brazil 🇧🇷 leo kufatilia dili la mchezaji wa Palmeiras Richard Rios 🙌 Palmeiras wamethibitisha kuwa AS Roma wameshindwa kuendana na dau walilolihitaji la €30M, Sasa wamefungua milango kwa Benfica Lisbon 🙌 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·75 Views
  • Sexual Benefit of Vidalista
    Sexual Benefit of Vidalista
    0 Commenti ·0 condivisioni ·67 Views
  • | BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨| BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.🇸🇦 💰 Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·174 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Benfica imetuma ofa ya €25M kwa Palmeiras kuipata huduma ya Richard Ríos, says @Glongari.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Benfica imetuma ofa ya €25M kwa Palmeiras kuipata huduma ya Richard Ríos, says @Glongari. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·116 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid imethibitisha usajili wa Álvaro Carreras kwa kandarasi hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟏!

    Muhispani huyo anarudi tena baada ya kuondoka miaka 6, Benfica atavuna €50m ..

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid imethibitisha usajili wa Álvaro Carreras kwa kandarasi hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟏! 🤍 Muhispani huyo anarudi tena baada ya kuondoka miaka 6, Benfica atavuna €50m .. 🔙🏡 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·157 Views
  • Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .

    1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*

    #Mathayo 25:14-30.
    Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.

    2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.

    #Wafalme 4:1-7
    Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.

    3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa

    #waamuzi 6:14

    4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .

    #2wafalme 4:2
    Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.

    5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.

    #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.

    6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.

    Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.

    Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
    #Malaki 3:10

    7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.

    #Mithali 10:22

    8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .

    Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.

    9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.

    Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.

    Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.

    #isaya 43:4

    10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .

    #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
    #yeremia 29:11

    Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340

    Ili uendelee kujifunza katika group zetu .

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #build new eden
    #Restore men position
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio . 1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production* #Mathayo 25:14-30. Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza. 2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini. #Wafalme 4:1-7 Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini. 3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa #waamuzi 6:14 4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia . #2wafalme 4:2 Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta. 5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe. #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri. 6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi. Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi. Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu. #Malaki 3:10 7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana. #Mithali 10:22 8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho . Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki. 9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao. Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe. Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana. #isaya 43:4 10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri . #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu. #yeremia 29:11 Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340 Ili uendelee kujifunza katika group zetu . Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #build new eden #Restore men position
    0 Commenti ·0 condivisioni ·370 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. .
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. . ⚫⚪
    0 Commenti ·0 condivisioni ·122 Views
  • Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina.

    Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG.

    #SportsElite
    Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina. Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG. #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·180 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Thiago Almada yuko mbioni kujiunga na Benfica akitokea Botafogo, na mkataba hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Thiago Almada yuko mbioni kujiunga na Benfica akitokea Botafogo, na mkataba hadi 2030. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·77 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ruben Van Bommel amerejea PSV Eindhoven baada ya AZ Alkmaar kumuuza tena €16M 2030.

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Ruben Van Bommel amerejea PSV Eindhoven baada ya AZ Alkmaar kumuuza tena €16M 2030. 🥶 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·124 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Besiktas imefikia dili la kumsajiri Orkun Kökçü kutoka Benfica, na dili hilo limekamilika ⚪️⚫️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Besiktas imefikia dili la kumsajiri Orkun Kökçü kutoka Benfica, na dili hilo limekamilika ⚪️⚫️🦅 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·72 Views
Pagine in Evidenza