• Privaldinho akijibu hoja pichani.

    "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.

    Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
    Idara ya Masoko na Wadau
    Idara ya masoko na jamii

    Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.

    Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr

    Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech

    Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.

    Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.

    Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe

    Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.

    Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.

    Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.

    Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP

    Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.

    Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.

    Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.

    Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 884 Views
  • Movie Name: Bridget Jones: Mad About the Boy (2025)
    Rating: 31
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 124 min.
    Language: English
    Subtitles: English
    Credit Cast: Renée Zellweger Universal Pictures
    Stars: Renée Zellweger, Chiwetel Ejiofor, Leo Woodall, Hugh Grant, Jim Broadbent, Gemma Jones
    Genres: Comedy, Drama, Romance

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/1272149/BridgetJonesMadAbouttheBoy
    Movie Name: Bridget Jones: Mad About the Boy (2025) Rating: 31 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 124 min. Language: English Subtitles: English Credit Cast: Renée Zellweger Universal Pictures Stars: Renée Zellweger, Chiwetel Ejiofor, Leo Woodall, Hugh Grant, Jim Broadbent, Gemma Jones Genres: Comedy, Drama, Romance Download link 馃憠 https://leakedcinema.com/en/movie/1272149/BridgetJonesMadAbouttheBoy
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024
    1 Comments 0 Shares 445 Views
  • Best Azam tv bus for 2025
    #anyone #azamtv #socialpop #friends #amies #everyone #followers #comedy
    Best Azam tv bus for 2025 #anyone #azamtv #socialpop #friends #amies #everyone #followers #comedy
    Like
    2
    3 Comments 0 Shares 1K Views
  • #comedy
    #comedy
    Like
    Love
    4
    0 Comments 0 Shares 562 Views 49
  • #socialpop #comedy
    #socialpop #comedy
    Like
    Love
    Haha
    5
    0 Comments 0 Shares 565 Views 65
  • Nabii kayachanyanya #comedy
    Nabii kayachanyanya #comedy
    Love
    Like
    3
    3 Comments 0 Shares 592 Views 41
  • What? #comedy
    What馃? #comedy
    Love
    Like
    8
    2 Comments 0 Shares 625 Views 78
  • Follow me tumefika social pop comedy
    Follow me 馃檹 tumefika social pop 馃槑 comedy
    Like
    Love
    2
    2 Comments 0 Shares 573 Views
  • Unamaswali mengi kwani we ni polisi

    #comedy
    #funny
    #socialpop
    #tanzaniasocialmedia
    Unamaswali mengi kwani we ni polisi 馃槅馃槅馃槅馃槅馃槅馃槅馃槅馃槅馃槅 #comedy #funny #socialpop #tanzaniasocialmedia
    Like
    Love
    Haha
    4
    1 Comments 2 Shares 1K Views 60
  • #socialpoptz
    [Neemadish]
    #tanzaniasocialmedia
    #comedy #funny #cheka
    #socialpoptz [Neemadish] #tanzaniasocialmedia #comedy #funny #cheka馃槅
    Like
    Love
    Haha
    4
    1 Comments 0 Shares 1K Views 18
  • UCHAWI DUUH! | Bidada ana anza kuhisi kwamba ndoto zake hazitatimia tena

    Humu tunakutana na msichana mdogo anayeitwa Sonia anayeishi katika mji mdogo wa Marekani. Sonia ana ndoto ya kuwa mpishi maarufu, lakini anakumbana na changamoto nyingi katika njia yake. Mama yake Sonia ni mgonjwa sana, na Sonia analazimika kutunza familia yake huku akifanya kazi katika mgahawa wa kienyeji. Kazi yake ni ngumu, na bosi wake ni mkali sana. Sonia anaanza kuhisi kama ndoto yake haiwezekani... anakubali kuwa mchawi ili kutimiza ndoto zake Bira kujua kuwa, uchawi huwa na gharama zake. mzigo ni Comedy/Horror

    Telegram 馃憞馃徎馃憞馃徎
    https://t.me/HFilam_Official/1304
    馃槵UCHAWI DUUH! | Bidada ana anza kuhisi kwamba ndoto zake hazitatimia tena 馃‍鈾傦笍Humu tunakutana na msichana mdogo anayeitwa Sonia anayeishi katika mji mdogo wa Marekani. Sonia ana ndoto ya kuwa mpishi maarufu, lakini anakumbana na changamoto nyingi katika njia yake. Mama yake Sonia ni mgonjwa sana, na Sonia analazimika kutunza familia yake huku akifanya kazi katika mgahawa wa kienyeji. Kazi yake ni ngumu, na bosi wake ni mkali sana. Sonia anaanza kuhisi kama ndoto yake haiwezekani... anakubali kuwa mchawi ili kutimiza ndoto zake Bira kujua kuwa, uchawi huwa na gharama zake. mzigo ni Comedy/Horror Telegram 馃憞馃徎馃憞馃徎 https://t.me/HFilam_Official/1304
    Like
    Love
    6
    1 Comments 0 Shares 2K Views
  • KILIANZA NINI | Mbunge kaibiwa, kama unafanya biashara ya kuuza mafenesi funga biashara na usepe....

    馃馃徏Picha linaanza msako mkali unaendelea soko adi soko mafenesi Yaliyo ibiwa yamepigwa picha yana tafutwa kama mtu alie potea so, baada ya shamba la mbunge kuvamiwa na wezi na waka vuna mafenesi yote kesi imefika Police. Hii movie daah wahindi kudadeq zao.. ukiwa unatizama hii movie hakikisha unapesa za akiba za kukupeleka hospitali maana mbavu zako hazitabaki salama ni comedy

    jeUnaitaji Tukuunge na wewe V.I.P
    Gusa Hapa https://t.me/vifulushi Tuma neno "NIUNGE


    KILIANZA NINI 鉂搢 Mbunge kaibiwa, kama unafanya biashara ya kuuza mafenesi funga biashara na usepe馃槵.... 馃馃徏Picha linaanza msako mkali unaendelea soko adi soko mafenesi Yaliyo ibiwa yamepigwa picha馃摳 yana tafutwa kama mtu alie potea 馃槀馃槀 so, baada ya shamba la mbunge kuvamiwa na wezi na waka vuna mafenesi yote kesi imefika 馃殧Police. Hii movie daah wahindi kudadeq zao.. ukiwa unatizama hii movie hakikisha unapesa za akiba za kukupeleka hospitali馃き maana mbavu zako hazitabaki salama 馃槀 ni comedy je鉂揢naitaji Tukuunge na wewe V.I.P Gusa Hapa https://t.me/vifulushi Tuma neno "馃コNIUNGE
    Love
    Like
    7
    0 Comments 0 Shares 793 Views