Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-03 22:06:51 ·
    KIBU DENIS PROSPA; Mchezaji wa Simbasc KIBU DENIS amerudi Tanzania kuitumikia timu yake kongwe Barani Africa SIMBA SC baada ya uongozi wa Simba sc kumpigia simu bila kutoa majibu sahihi sasa mwamba kajileta mwenye,
    Mpira wetu wa Tanzania bado tuna ugonjwa sugu kiasi kwamba tumeshindwa kuutafutia dawa ili kuponya ambavyo bado nivizima.
    Kuna suala la timu kumtegemea/kumpa kichwa mchezaji kuwa yeye nibora sana, THAT'S A DISEASE ; Niugonjwa sugu ambao hauna dawa kama huna D 2 hutaelewa kabisa ufanyeje ili gonjwa hili lipite mbali na timu yako.
    Sasa naomba nishauri kitu kimoja hapa timu ziwe na misimamo mchezaji akijiona yeye bora namalingo uku bado anamkataba piga chini chezaji hilo tena kwakishindo, maamuzi magumu wakati mwingine yanahitajika kwaajili yakutengeneza mambo mazuri juu ya maisha yako kukataa stress za apa na pale hovyo kabisa.
    Walikuwepo wachezaji wa hivi karibuni kama vile LUIS MIQUESON, BWALYA, MUGALU, RODGERS COLAR, SAIDO, DJUMA SHABAN, BANGALA, OMARY OMORY, MORRISON Nk. Hawa wachezaji waliachwa na timu zao Kwa maamuzi ya kiume na sio Kwa kushuka kiwango Chao sembuse kina KIBU DENIS piga chini shusha mashine.
    #2024PESA
    #sokachampions
    #ManaraTv
    #UBAYAUBWELA
    #junvetus
    KIBU DENIS PROSPA; Mchezaji wa Simbasc KIBU DENIS amerudi Tanzania kuitumikia timu yake kongwe Barani Africa SIMBA SC baada ya uongozi wa Simba sc kumpigia simu bila kutoa majibu sahihi sasa mwamba kajileta mwenye, Mpira wetu wa Tanzania bado tuna ugonjwa sugu kiasi kwamba tumeshindwa kuutafutia dawa ili kuponya ambavyo bado nivizima. Kuna suala la timu kumtegemea/kumpa kichwa mchezaji kuwa yeye nibora sana, THAT'S A DISEASE 🪰; Niugonjwa sugu ambao hauna dawa kama huna D 2 hutaelewa kabisa ufanyeje ili gonjwa hili lipite mbali na timu yako. Sasa naomba nishauri kitu kimoja hapa timu ziwe na misimamo mchezaji akijiona yeye bora namalingo uku bado anamkataba piga chini chezaji hilo tena kwakishindo, maamuzi magumu wakati mwingine yanahitajika kwaajili yakutengeneza mambo mazuri juu ya maisha yako kukataa stress za apa na pale hovyo kabisa. Walikuwepo wachezaji wa hivi karibuni kama vile LUIS MIQUESON, BWALYA, MUGALU, RODGERS COLAR, SAIDO, DJUMA SHABAN, BANGALA, OMARY OMORY, MORRISON Nk. Hawa wachezaji waliachwa na timu zao Kwa maamuzi ya kiume na sio Kwa kushuka kiwango Chao sembuse kina KIBU DENIS piga chini shusha mashine💪. #2024PESA #sokachampions #ManaraTv #UBAYAUBWELA #junvetus
    Like
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-28 21:24:23 ·
    AHMED ALLY; Yaani katika makombe Lile nalo nikombe!!?
    #sokachampions
    #KaizerChiefsFC
    #yangasc
    ##toyotacup
    #ubayaubwela
    #junvetus
    AHMED ALLY; Yaani katika makombe Lile nalo nikombe!!?🤔🤔🤔 #sokachampions #KaizerChiefsFC #yangasc ##toyotacup #ubayaubwela #junvetus
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-27 21:18:10 ·
    AMADOU ONANA; Kiungo wa kati Amadou Onana kutoka UBERIGIJI rasmi amesajiliwa na Aston villa ya UINGEREZA akitokea Everton Kwa mkataba wa miaka mitano ( 5 ).
    #sokachampions
    #junvetus
    #EvertonFC
    #AstonVillafc
    #england
    #amadouonana
    AMADOU ONANA; Kiungo wa kati Amadou Onana kutoka UBERIGIJI rasmi amesajiliwa na Aston villa ya UINGEREZA akitokea Everton Kwa mkataba wa miaka mitano ( 5 ). #sokachampions #junvetus #EvertonFC #AstonVillafc #england #amadouonana
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-23 10:48:12 ·
    BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania.
    #sokachampions
    #junvetus
    #marseille
    #saudiarabia
    BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania. #sokachampions #junvetus #marseille #saudiarabia
    Like
    Love
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·966 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers