• RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 🇮🇹 13:30 - SS Lazio ⚔️ AS Roma 🇪🇸 15:00 - Rayo Vallecano ⚔️ Celta Vigo 🇳🇱 15:30 - PSV Eindhoven ⚔️ Ajax 🇮🇹 16:00 - Torino FC ⚔️ Atalanta BC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Sunderland ⚔️ Aston Villa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Bournemouth ⚔️ Newcastle United 🇹🇿 16:00 - Mashujaa FC ⚔️ Mtibwa Sugar 🇩🇪 16:30 - Frankfurt ⚔️ Union Berlin 🇪🇸 17:15 - Real Mallorca ⚔️ Atletico Madrid 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 17:30 - Partick Thistle ⚔️ Celtic FC 🇳🇱 17:45 - Az Alkmaar ⚔️ Feyenoord 🇫🇷 18:15 - AS Monaco ⚔️ Metz 🇩🇪 18:30 - Bayer Leverkusen ⚔️ M'gladbach 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 18:30 - Arsenal FC ⚔️ Manchester City 🇹🇿 19:00 - Namungo FC ⚔️ Tanzania Prisons 🇮🇹 19:00 - Fiorentina ⚔️ Como FC 🇹🇷 20:00 - Kasimpasa ⚔️ Fenerbahce FK 🇩🇪 20:30 - Dortmund ⚔️ Wolfsburg 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Sassuolo 🇫🇷 21:45 - Marseille ⚔️ Paris Saint Germain 🇪🇸 22:00 - Barcelona ⚔️ Getafe FC
    0 Comments ·0 Shares ·169 Views
  • Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie

    Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.

    Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
    Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.

    Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis

    Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
    Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
    Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    0 Comments ·0 Shares ·188 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko.

    Source David Ornstein

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko. 🇺🇦 Source David Ornstein #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·410 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille!

    Ada ya uhamisho ni €17m
    reports @Gazzetta_it.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille! 🔴🔵 Ada ya uhamisho ni €17m reports @Gazzetta_it. 💰✨ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·100 Views
  • Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    🚨 Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili. 💙🤍 (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·249 Views
  • Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille , Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League.

    #SportsElite
    💦Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia 🇸🇦 inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille 🇫🇷, Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal 🇪🇸 tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·252 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah 📝✅ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·426 Views
  • Olympique Marseille wamemrejesha tena Pierre kama free agent ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao kwaajili ya msimu ujao

    #SportsElite
    Olympique Marseille wamemrejesha tena Pierre kama free agent ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao kwaajili ya msimu ujao #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·207 Views
  • Marseille inafanya majadiliano na Lyon juu ya Malick Fofana .

    Pia anafukuziwa na vilabu vya Uingereza..

    (Source: @sebnonda & @Santi_J_FM)

    #SportsElite
    🚨 Marseille inafanya majadiliano na Lyon juu ya Malick Fofana . Pia anafukuziwa na vilabu vya Uingereza.. (Source: @sebnonda & @Santi_J_FM) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·257 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo..
    Majadiliano yanaendelea baina yao

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo.. Majadiliano yanaendelea baina yao #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·216 Views
  • Angel Gomes (24) amekamilisha usajili ndani ya Marseille....
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🪄 Angel Gomes (24) amekamilisha usajili ndani ya Marseille.... 😎
    0 Comments ·0 Shares ·229 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️🔵🇧🇷 #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·346 Views
  • Je wajua: Marseille ndio timu ya kwanza kushinda kombe la klabu bingwa ulaya mwaka 1993 akiwafunga milan mechi ikichezwa nchini ufaransa na ndo michuano ya kwanza ya klabu bingwa..
    Je wajua: Marseille ndio timu ya kwanza kushinda kombe la klabu bingwa ulaya mwaka 1993 akiwafunga milan mechi ikichezwa nchini ufaransa na ndo michuano ya kwanza ya klabu bingwa..
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·538 Views
  • BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania.
    #sokachampions
    #junvetus
    #marseille
    #saudiarabia
    BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania. #sokachampions #junvetus #marseille #saudiarabia
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • AUBAMEYANG ( Gabon ); Timu ya Saudi Arabia Al qadasiya imemnasa mshambuliaji wa kati AUBAMEYANG akitokea Marseille ( ufaransa ).
    #sokachampions
    #chelsea
    #arsenal
    #premierleague
    AUBAMEYANG ( Gabon ); Timu ya Saudi Arabia Al qadasiya imemnasa mshambuliaji wa kati AUBAMEYANG akitokea Marseille ( ufaransa ). #sokachampions #chelsea #arsenal #premierleague
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Kikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024:

    Atalanta : wachezaji 4
    B' Leverkusen : wachezaji 4
    Roma : 2
    Marseille : 1

    #EURO2024#UELfinal#EuropaLeague

    #Sportsview
    Kikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024: Atalanta 🏆: wachezaji 4 B' Leverkusen : wachezaji 4 Roma : 2 Marseille : 1 #EURO2024#UELfinal#EuropaLeague #Sportsview
    Like
    Love
    7
    · 1 Comments ·0 Shares ·2K Views