• 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea FC imefika makubaliano kamili na RB Leipzig kumsajili Xavu Simons kwa ada ya €60m na mkataba wa muda mrefu. .

    Chelsea kwa sasa inasubiri kuuza mchezaji kupata nafasi ya kukamilisha Usajili huo mapema. .

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea FC imefika makubaliano kamili na RB Leipzig kumsajili Xavu Simons kwa ada ya €60m na mkataba wa muda mrefu. 🇳🇱 🔵. Chelsea kwa sasa inasubiri kuuza mchezaji kupata nafasi ya kukamilisha Usajili huo mapema. 💰 🔵. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 .

    BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 𝐉𝐚𝐫𝐫𝐞𝐥 𝐇𝐚𝐭𝐨 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 . 🇳🇱 🔵 ✍️ BREAKING - Chelsea imefika makubaliano kamili na Ajax kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya €40🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·242 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea sasa inawataka Wote kwa Pamoja Alejandro Garnacho na Xavi Simons. .

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea sasa inawataka Wote kwa Pamoja Alejandro Garnacho na Xavi Simons. 🇳🇱 🇦🇷. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·201 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea ❤️🤍🇪🇸 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·216 Views
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·240 Views
  • Chelsea bado wanashinikiza uhamisho wa Alejandro Garnacho lakini Manchester United inahitaji £40M ili kukamilisha dili hilo..

    (Source: talkSPORT)

    #SportsElite
    🚨 Chelsea bado wanashinikiza uhamisho wa Alejandro Garnacho lakini Manchester United inahitaji £40M ili kukamilisha dili hilo.. (Source: talkSPORT) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Chelsea haitaweza kulipa zaidi ya £30M kwa Alejandro Garnacho.

    (Source: The Independent)

    #SportsElite
    🚨 Chelsea haitaweza kulipa zaidi ya £30M kwa Alejandro Garnacho. (Source: The Independent) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • Chelsea wako tayari kuwapa Nicolas Jackson na Tosin Adarabioyo Aston Villa na Pesa kama Sehemu ya kumpata winga wa Aston Villa Morgan Rogers.

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨Chelsea wako tayari kuwapa Nicolas Jackson na Tosin Adarabioyo Aston Villa na Pesa kama Sehemu ya kumpata winga wa Aston Villa Morgan Rogers.💰😳 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·146 Views
  • ✍🏿RASMI:Klabu ya soka ya Al-Nassr imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji João Félix,kutoka Chelsea kwa uhamisho wa €30M kwa mkataba ambao utamweka katika klabu hiyo hadi Juni 2027.


    #SportsElite
    🚨📜✍🏿RASMI:Klabu ya soka ya Al-Nassr imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji João Félix,kutoka Chelsea kwa uhamisho wa €30M kwa mkataba ambao utamweka katika klabu hiyo hadi Juni 2027. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·121 Views
  • 🚨️ Juventus hawako tayari kumuuza Mturuki Kenan Yildiz ✨️ ambae anawindwa na #Chelsea
    #CFC
    🚨️ Juventus⚪⚫ hawako tayari kumuuza Mturuki Kenan Yildiz ✨️ ambae anawindwa na #Chelsea 🔵⚪ #CFC
    0 Comments ·0 Shares ·197 Views
  • Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike)

    #SportsElite
    🚨🚨Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·157 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız.

    (Source: Gazzetta dello Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·188 Views
  • Fulham imeulizia usajili wa Kiernan Dewsbury-Hall wa Chelsea.

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Fulham imeulizia usajili wa Kiernan Dewsbury-Hall wa Chelsea. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·124 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Jorrel Hato yuko mbioni kujiunga na Chelsea kutoka Ajax kwa ada ya uhamisho £50M

    Beki huyo wa kushoto tayari wamefikia makubaliano binafsi ya kimasrahi na atadumu hadi 2033 ndani ya Chelsea.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Jorrel Hato yuko mbioni kujiunga na Chelsea kutoka Ajax kwa ada ya uhamisho £50M Beki huyo wa kushoto tayari wamefikia makubaliano binafsi ya kimasrahi na atadumu hadi 2033 ndani ya Chelsea. ⚪🔵 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea!

    #SportsElite
    ✍️🇳🇱Mazungumzo kati ya Chelsea na Leipzig yataanza kesho rasmi baada ya Mchezaji huyo kusema kuwa anataka kujiunga na Chelsea! #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·179 Views
  • Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso.

    Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid;

    - Rodri (Manchester city)
    - Nicolo Barella (Inter Milan)
    - Enzo Fernandes (Chelsea)
    - Alexis Mac Allister ( Liverpool)

    Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city.

    #SportsElite
    Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso. Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid; - Rodri (Manchester city) - Nicolo Barella (Inter Milan) - Enzo Fernandes (Chelsea) - Alexis Mac Allister ( Liverpool) Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·204 Views
  • Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu.

    Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka.

    #SportsElite
    🚨 Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu. Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·236 Views
  • Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu.

    #SportsElite
    Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·216 Views
  • Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo

    #SportsElite
    Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·208 Views
  • Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.

    Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao.

    #SportsElite
    🚨 Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.💰 Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·201 Views
More Results