• Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.🇪🇸🔵 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·217 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡

    BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡 🚨BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m🇸🇳 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·304 Vue
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·208 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚

    BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..!

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    🇦🇷🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 🚨 BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..! Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·263 Vue
  • RATIBA YA LEO JUMAMOSI YA AGOSTI 30 - 2025

    14:30 - Chelsea FC Fulham FC

    16:30 - RB Leipzig FC Heidenhein

    16:30 - Weder Bremen Leverkusen

    17:00 - Sunderland Brentford FC

    17:00 - Wolverhampton Everton FC

    17:00 - Tottenham Bournemouth

    17:00 - Manchester United Burnley FC

    17:30 - FC Volendam Ajax Amsterdam

    🏟 18:00 - Madagascar Morocco

    18:00 - Deportivo Alaves Atletico Madrid

    19:30 - Augsburg Bayern Munich

    19:30 - Leeds United Newcastle United

    21:00 - PSV Eindhoven Telstar

    21:00 - Al Akholood Al Ittihad FC

    21:30 - Galatasaray FK Rizespor

    21:45 - Pisa AS Roma

    21:45 - SSC Napoli Cagliari FC

    22:05 - Toulouse Paris Saint Germain

    22:30 - Sporting CP FC Porto

    22:30 - Real Madrid CF Real Mallorca

    #SportsElite
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAMOSI YA AGOSTI 30 - 2025 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 14:30 - Chelsea FC ⚔️ Fulham FC 🇩🇪 16:30 - RB Leipzig ⚔️ FC Heidenhein 🇩🇪 16:30 - Weder Bremen ⚔️ Leverkusen 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Sunderland ⚔️ Brentford FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Wolverhampton ⚔️ Everton FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Tottenham ⚔️ Bournemouth 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Manchester United ⚔️ Burnley FC 🇳🇱 17:30 - FC Volendam ⚔️ Ajax Amsterdam 🏟 18:00 - Madagascar 🇲🇬 ⚔️ Morocco 🇲🇦 🇪🇸 18:00 - Deportivo Alaves ⚔️ Atletico Madrid 🇩🇪 19:30 - Augsburg ⚔️ Bayern Munich 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 19:30 - Leeds United ⚔️ Newcastle United 🇳🇱 21:00 - PSV Eindhoven ⚔️ Telstar 🇸🇦 21:00 - Al Akholood ⚔️ Al Ittihad FC 🇹🇷 21:30 - Galatasaray FK ⚔️ Rizespor 🇮🇹 21:45 - Pisa ⚔️ AS Roma 🇮🇹 21:45 - SSC Napoli ⚔️ Cagliari FC 🇫🇷 22:05 - Toulouse ⚔️ Paris Saint Germain 🇵🇹 22:30 - Sporting CP ⚔️ FC Porto 🇪🇸 22:30 - Real Madrid CF ⚔️ Real Mallorca #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·221 Vue
  • Chelsea wamevunja rekodi ya mauzo ya wachezaji kuwahi kutokea katika dirisha la uhamisho hili.

    Chelsea imeuza wachezaji wenye thamani ya £263M.

    Source LDN London

    #SportsElite
    🚨Chelsea wamevunja rekodi ya mauzo ya wachezaji kuwahi kutokea katika dirisha la uhamisho hili.💰🔵 Chelsea imeuza wachezaji wenye thamani ya £263M. Source LDN London #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·211 Vue
  • Alejandro Garnacho tayari amewasilsha London kukamilisha Usajili wake wa Kujiunga na Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032..

    Man United na Chelsea tayari wamesaini nyaraka zote za Usajili huo na Garnacho atafanyiwa vipimo leo. .

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🇦🇷🚨 Alejandro Garnacho tayari amewasilsha London kukamilisha Usajili wake wa Kujiunga na Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032.. Man United na Chelsea tayari wamesaini nyaraka zote za Usajili huo na Garnacho atafanyiwa vipimo leo. 🔒. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·181 Vue
  • OFFICIAL Alejandro Garnacho atafanyiwa vipimo vya afya leo kama mchezaji mpya wa Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 OFFICIAL Alejandro Garnacho atafanyiwa vipimo vya afya leo kama mchezaji mpya wa Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·171 Vue
  • BREAKING Chelsea imeongeza Jina la Kiungo wa Crystal Palace Adam Wharton kwenye orodha yao ya wachezaji itakaowasajili kabla ya Dirisha Kufungwa.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨💰BREAKING Chelsea imeongeza Jina la Kiungo wa Crystal Palace Adam Wharton kwenye orodha yao ya wachezaji itakaowasajili kabla ya Dirisha Kufungwa. Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·220 Vue
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚! Kuna mambo mengi yamefanyika usiku kuhusu Xavi Simons;

    Spurs wametoa ushindani mkubwa na kuonyesha dalili za kumtaka Simons baada ya kupoteza Wiki kadhaa za kusubiri Chelsea.

    Spurs wako tayari kukamilisha maswali ya stakabadhi leo asubuhi na ikiwezekana 'HERE WE GO' ipatikane!

    (Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚!🚨 Kuna mambo mengi yamefanyika usiku kuhusu Xavi Simons; Spurs wametoa ushindani mkubwa na kuonyesha dalili za kumtaka Simons baada ya kupoteza Wiki kadhaa za kusubiri Chelsea. Spurs wako tayari kukamilisha maswali ya stakabadhi leo asubuhi na ikiwezekana 'HERE WE GO' ipatikane! (Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·166 Vue
  • Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m.

    Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🚨 Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m. Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️🔵 Source The Touchline T #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·133 Vue
  • Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza

    Chelsea
    Paris Saint-Germain
    Eintracht Frankfurt
    Club Brugge
    Olympiacos
    Slavia Prague
    Copenhagen
    Newcastle

    Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu .

    #SportsElite
    🚨Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza ❤️💙 🔥 ✈️ Chelsea 🏠 Paris Saint-Germain 🏠 Eintracht Frankfurt ✈️ Club Brugge 🏠 Olympiacos ✈️ Slavia Prague 🏠 Copenhagen ✈️ Newcastle Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu 🥶. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·229 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Chelsea imefikia makubaliano ya kumsaini Alejandro Garnacho kutoka Man United!

    Garnacho ili hitaji kwenda Chelsea na atasaini miaka 7 kwa ada ya £40m 🤝🏻⚡️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Chelsea imefikia makubaliano ya kumsaini Alejandro Garnacho kutoka Man United! 💙💣 Garnacho ili hitaji kwenda Chelsea na atasaini miaka 7 kwa ada ya £40m 🤝🏻⚡️🇦🇷 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·116 Vue


  • Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie.

    Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha.

    Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa.
    #d1905_usajili

    #SportsElite
    🚨🚨 Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie. Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha. Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa. #d1905_usajili #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·233 Vue
  • Chelsea inahitaji £20M ili kumuuza Raheem Sterling dirisha hili la usajili.

    Na Beşiktaş imeonesha nia ya kumuhitaji winga huyo, mbali na hapo pia vilabu vya Uingereza Fulham na West Ham vinahitaji huduma yake.

    (Source: CaughtOffside)

    #SportsElite
    🚨 Chelsea inahitaji £20M ili kumuuza Raheem Sterling dirisha hili la usajili. Na Beşiktaş imeonesha nia ya kumuhitaji winga huyo, mbali na hapo pia vilabu vya Uingereza Fulham na West Ham vinahitaji huduma yake. (Source: CaughtOffside) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·166 Vue
  • BREAKING - Kocha wa Chelsea Enzo Maresca leo amethibitisha kuwa Chelsea itahakikisha Wanasajili mshambuliaji mmoja kabla ya dirisha halijafungwa.

    Source The Touchline
    🚨 BREAKING - Kocha wa Chelsea Enzo Maresca leo amethibitisha kuwa Chelsea itahakikisha Wanasajili mshambuliaji mmoja kabla ya dirisha halijafungwa. Source The Touchline
    0 Commentaires ·0 Parts ·306 Vue
  • Borussia Dortmund wako karibu kumsajili kiungo Carney Chukwuemeka kwa usajili wa kudumu kutoka Chelsea na Beki Aaron Anselmino kwa mkopo.

    Source Pletti Goal

    #SportsElite
    🚨 Borussia Dortmund wako karibu kumsajili kiungo Carney Chukwuemeka kwa usajili wa kudumu kutoka Chelsea na Beki Aaron Anselmino kwa mkopo. 🟡 🇩🇪 Source Pletti Goal #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·261 Vue
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka.

    Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo.

    (Source: x/JacobsBen)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka. Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo. (Source: x/JacobsBen) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·265 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea

    Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032.

    Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032.

    Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea 🚨Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032. Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032. Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·255 Vue
  • Winga wa Brighton Julio Enciso sasa yuko njiani kuelekea Uingereza kukamilisha usajili wa kujiunga na BlueCo kisha msimu ujao atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2031 na nyongeza hadi June 2032

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 Winga wa Brighton Julio Enciso sasa yuko njiani kuelekea Uingereza kukamilisha usajili wa kujiunga na BlueCo kisha msimu ujao atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2031 na nyongeza hadi June 2032 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·181 Vue
Plus de résultats