• Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England...

    Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille.

    Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League.

    Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    ๐Ÿšจ Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England... Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille. Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League. Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    0 Commenti 0 condivisioni 922 Views
  • Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .

    Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.

    Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.

    #SportsElite
    Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 731 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    ๐Ÿšจ RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 13:30 - SS Lazio โš”๏ธ AS Roma ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 15:00 - Rayo Vallecano โš”๏ธ Celta Vigo ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 15:30 - PSV Eindhoven โš”๏ธ Ajax ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 16:00 - Torino FC โš”๏ธ Atalanta BC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Sunderland โš”๏ธ Aston Villa ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 16:00 - Bournemouth โš”๏ธ Newcastle United ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 16:00 - Mashujaa FC โš”๏ธ Mtibwa Sugar ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 16:30 - Frankfurt โš”๏ธ Union Berlin ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 17:15 - Real Mallorca โš”๏ธ Atletico Madrid ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 17:30 - Partick Thistle โš”๏ธ Celtic FC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 17:45 - Az Alkmaar โš”๏ธ Feyenoord ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 18:15 - AS Monaco โš”๏ธ Metz ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 18:30 - Bayer Leverkusen โš”๏ธ M'gladbach ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 18:30 - Arsenal FC โš”๏ธ Manchester City ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 19:00 - Namungo FC โš”๏ธ Tanzania Prisons ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 19:00 - Fiorentina โš”๏ธ Como FC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท 20:00 - Kasimpasa โš”๏ธ Fenerbahce FK ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 20:30 - Dortmund โš”๏ธ Wolfsburg ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 21:45 - Inter Milan โš”๏ธ Sassuolo ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 21:45 - Marseille โš”๏ธ Paris Saint Germain ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ 22:00 - Barcelona โš”๏ธ Getafe FC
    Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 852 Views
  • Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie

    Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.

    Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
    Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.

    Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis

    Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
    Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
    Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 533 Views
  • ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko.

    Source David Ornstein

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko. ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ Source David Ornstein #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 643 Views
  • ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille!

    Ada ya uhamisho ni €17m
    reports @Gazzetta_it.

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille! ๐Ÿ”ด๐Ÿ”ต Ada ya uhamisho ni €17m reports @Gazzetta_it. ๐Ÿ’ฐโœจ #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 179 Views
  • Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili. ๐Ÿ’™๐Ÿค (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 377 Views
  • Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille , Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League.

    #SportsElite
    ๐Ÿ’ฆKlabu ya NEOM ya Saudi Arabia ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฆ inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท, Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League. #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 426 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจBREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah ๐Ÿ“โœ… #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 574 Views
  • Olympique Marseille wamemrejesha tena Pierre kama free agent ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao kwaajili ya msimu ujao

    #SportsElite
    Olympique Marseille wamemrejesha tena Pierre kama free agent ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao kwaajili ya msimu ujao #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 254 Views
  • Marseille inafanya majadiliano na Lyon juu ya Malick Fofana .

    Pia anafukuziwa na vilabu vya Uingereza..

    (Source: @sebnonda & @Santi_J_FM)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ Marseille inafanya majadiliano na Lyon juu ya Malick Fofana . Pia anafukuziwa na vilabu vya Uingereza.. (Source: @sebnonda & @Santi_J_FM) #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 320 Views
  • ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo..
    Majadiliano yanaendelea baina yao

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐Ÿ’ฃ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo.. Majadiliano yanaendelea baina yao #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 264 Views
  • Angel Gomes (24) amekamilisha usajili ndani ya Marseille....
    ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐Ÿช„ Angel Gomes (24) amekamilisha usajili ndani ya Marseille.... ๐Ÿ˜Ž
    0 Commenti 0 condivisioni 277 Views
  • ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5โšซ๏ธ

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5โšซ๏ธ๐Ÿ”ต๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท #SportsElite
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 395 Views
  • Je wajua: Marseille ndio timu ya kwanza kushinda kombe la klabu bingwa ulaya mwaka 1993 akiwafunga milan mechi ikichezwa nchini ufaransa na ndo michuano ya kwanza ya klabu bingwa..
    Je wajua: Marseille ndio timu ya kwanza kushinda kombe la klabu bingwa ulaya mwaka 1993 akiwafunga milan mechi ikichezwa nchini ufaransa na ndo michuano ya kwanza ya klabu bingwa..
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 579 Views
  • BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania.
    #sokachampions
    #junvetus
    #marseille
    #saudiarabia
    BERTRAND TRAURÉ; Nyota kutoka Burkina Faso Bertrand trauré ( Right winger ) amesajiliwa Ajax ya Netherlands, Kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villarreal ya Hispania. #sokachampions #junvetus #marseille #saudiarabia
    Like
    Love
    5
    0 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • AUBAMEYANG ( Gabon ); Timu ya Saudi Arabia Al qadasiya imemnasa mshambuliaji wa kati AUBAMEYANG akitokea Marseille ( ufaransa ).
    #sokachampions
    #chelsea
    #arsenal
    #premierleague
    AUBAMEYANG ( Gabon ); Timu ya Saudi Arabia Al qadasiya imemnasa mshambuliaji wa kati AUBAMEYANG akitokea Marseille ( ufaransa ). #sokachampions #chelsea #arsenal #premierleague
    Like
    Love
    5
    0 Commenti 0 condivisioni 2K Views