• Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC)

    SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA

    Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa.

    Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo.

    1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa.

    pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo.

    Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma

    MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja.

    #PapillonTz
    Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC) SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa. Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo. 1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa. pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo. Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja. #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 754 Views
  • Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara.

    #PapillonTz
    Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara. #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 690 Views
  • Timu ya taifa ya Uganda imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu.

    Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi.

    FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville
    FT' : Burundi 0-0 Malawi

    #PapillonTz
    Timu ya taifa ya Uganda đŸ‡ēđŸ‡Ŧ imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville 🇨đŸ‡Ŧ kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini 🇸🇸 kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu. Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi. FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville FT' : Burundi 0-0 Malawi #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 758 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 682 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 694 Views
  • #zuchu #papillontz
    #zuchu #papillontz
    0 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka”

    “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC.

    #PapillonTz
    “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka” “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC. #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 805 Views
  • Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025)

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗔:
    Tunisia
    Madagascar
    Comoros
    Gambia

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗕:
    Morocco
    Gabon
    Jahm. Afrika ya Kati
    Lesotho

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗖:
    Misri
    Cape Verde
    Mauritania
    Botswana

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗗:
    Nigeria
    Benin
    Libya
    Rwanda

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗘:
    Algeria
    Equatorial Guinea
    Togo
    Liberia

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗙:
    Ghana
    Angola
    Sudan
    Niger

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗚:
    🇨🇮 Côté d'Ivoire
    Zambia
    Sierra Leone
    Chad

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗛:
    DR Congo
    Guinea
    Tanzania
    Ethiopia

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗜:
    Mali
    Msumbiji
    Guinea-Bissau
    Eswatini

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗝:
    Cameroon
    Namibia
    Kenya
    Zimbabwe

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗞:
    Afrika Kusini
    Uganda
    Congo Brazzaville
    Sudan ya Kusini

    𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗟:
    Senegal
    Burkina Faso
    Malawi
    Burundi

    #PapillonTz
    Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025) 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗔: đŸ‡šđŸ‡ŗ Tunisia 🇲đŸ‡Ŧ Madagascar 🇰🇲 Comoros đŸ‡Ŧ🇲 Gambia 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗕: 🇲đŸ‡Ļ Morocco đŸ‡ŦđŸ‡Ļ Gabon 🇨đŸ‡Ģ Jahm. Afrika ya Kati 🇱🇸 Lesotho 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗖: đŸ‡ĒđŸ‡Ŧ Misri 🇨đŸ‡ģ Cape Verde 🇲🇷 Mauritania 🇧đŸ‡ŧ Botswana 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗗: đŸ‡ŗđŸ‡Ŧ Nigeria đŸ‡§đŸ‡¯ Benin 🇱🇾 Libya 🇷đŸ‡ŧ Rwanda 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗘: 🇩đŸ‡ŋ Algeria đŸ‡ŦđŸ‡ļ Equatorial Guinea 🇹đŸ‡Ŧ Togo 🇱🇷 Liberia 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗙: đŸ‡Ŧ🇭 Ghana đŸ‡Ļ🇴 Angola 🇸🇩 Sudan đŸ‡ŗđŸ‡Ē Niger 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗚: 🇨🇮 Côté d'Ivoire đŸ‡ŋ🇲 Zambia 🇸🇱 Sierra Leone 🇹🇩 Chad 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗛: 🇨🇩 DR Congo đŸ‡ŦđŸ‡ŗ Guinea 🇹đŸ‡ŋ Tanzania đŸ‡Ē🇹 Ethiopia 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗜: 🇲🇱 Mali 🇲đŸ‡ŋ Msumbiji đŸ‡ŦđŸ‡ŧ Guinea-Bissau 🇸đŸ‡ŋ Eswatini 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗝: 🇨🇲 Cameroon đŸ‡ŗđŸ‡Ļ Namibia 🇰đŸ‡Ē Kenya đŸ‡ŋđŸ‡ŧ Zimbabwe 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗞: đŸ‡ŋđŸ‡Ļ Afrika Kusini đŸ‡ēđŸ‡Ŧ Uganda 🇨đŸ‡Ŧ Congo Brazzaville 🇸🇸 Sudan ya Kusini 𝗚đ—Ĩđ—ĸđ—¨đ—Ŗ 𝗟: đŸ‡¸đŸ‡ŗ Senegal 🇧đŸ‡Ģ Burkina Faso 🇲đŸ‡ŧ Malawi 🇧🇮 Burundi #PapillonTz
    0 Reacties 0 aandelen 937 Views