• Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC)

    SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA

    Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa.

    Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo.

    1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa.

    pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo.

    Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma

    MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja.

    #PapillonTz
    Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC) SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa. Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo. 1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa. pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo. Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja. #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 754 Views
  • Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara.

    #PapillonTz
    Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara. #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 690 Views
  • Timu ya taifa ya Uganda imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu.

    Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi.

    FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville
    FT' : Burundi 0-0 Malawi

    #PapillonTz
    Timu ya taifa ya Uganda 馃嚭馃嚞 imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville 馃嚚馃嚞 kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini 馃嚫馃嚫 kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu. Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi. FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville FT' : Burundi 0-0 Malawi #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 758 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 682 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 694 Views
  • #zuchu #papillontz
    #zuchu #papillontz
    0 Commentarios 0 Acciones 1K Views
  • “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka”

    “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC.

    #PapillonTz
    “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka” “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC. #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 805 Views
  • Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025)

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棓:
    Tunisia
    Madagascar
    Comoros
    Gambia

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棔:
    Morocco
    Gabon
    Jahm. Afrika ya Kati
    Lesotho

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棖:
    Misri
    Cape Verde
    Mauritania
    Botswana

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棗:
    Nigeria
    Benin
    Libya
    Rwanda

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棙:
    Algeria
    Equatorial Guinea
    Togo
    Liberia

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棛:
    Ghana
    Angola
    Sudan
    Niger

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棜:
    馃嚚馃嚠 Côté d'Ivoire
    Zambia
    Sierra Leone
    Chad

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棝:
    DR Congo
    Guinea
    Tanzania
    Ethiopia

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棞:
    Mali
    Msumbiji
    Guinea-Bissau
    Eswatini

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棟:
    Cameroon
    Namibia
    Kenya
    Zimbabwe

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棡:
    Afrika Kusini
    Uganda
    Congo Brazzaville
    Sudan ya Kusini

    饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棢:
    Senegal
    Burkina Faso
    Malawi
    Burundi

    #PapillonTz
    Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025) 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棓: 馃嚬馃嚦 Tunisia 馃嚥馃嚞 Madagascar 馃嚢馃嚥 Comoros 馃嚞馃嚥 Gambia 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棔: 馃嚥馃嚘 Morocco 馃嚞馃嚘 Gabon 馃嚚馃嚝 Jahm. Afrika ya Kati 馃嚤馃嚫 Lesotho 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棖: 馃嚜馃嚞 Misri 馃嚚馃嚮 Cape Verde 馃嚥馃嚪 Mauritania 馃嚙馃嚰 Botswana 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棗: 馃嚦馃嚞 Nigeria 馃嚙馃嚡 Benin 馃嚤馃嚲 Libya 馃嚪馃嚰 Rwanda 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棙: 馃嚛馃嚳 Algeria 馃嚞馃嚩 Equatorial Guinea 馃嚬馃嚞 Togo 馃嚤馃嚪 Liberia 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棛: 馃嚞馃嚟 Ghana 馃嚘馃嚧 Angola 馃嚫馃嚛 Sudan 馃嚦馃嚜 Niger 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棜: 馃嚚馃嚠 Côté d'Ivoire 馃嚳馃嚥 Zambia 馃嚫馃嚤 Sierra Leone 馃嚬馃嚛 Chad 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棝: 馃嚚馃嚛 DR Congo 馃嚞馃嚦 Guinea 馃嚬馃嚳 Tanzania 馃嚜馃嚬 Ethiopia 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棞: 馃嚥馃嚤 Mali 馃嚥馃嚳 Msumbiji 馃嚞馃嚰 Guinea-Bissau 馃嚫馃嚳 Eswatini 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棟: 馃嚚馃嚥 Cameroon 馃嚦馃嚘 Namibia 馃嚢馃嚜 Kenya 馃嚳馃嚰 Zimbabwe 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棡: 馃嚳馃嚘 Afrika Kusini 馃嚭馃嚞 Uganda 馃嚚馃嚞 Congo Brazzaville 馃嚫馃嚫 Sudan ya Kusini 饾棜饾棩饾棦饾棬饾棧 饾棢: 馃嚫馃嚦 Senegal 馃嚙馃嚝 Burkina Faso 馃嚥馃嚰 Malawi 馃嚙馃嚠 Burundi #PapillonTz
    0 Commentarios 0 Acciones 937 Views