Passa a Pro

  • Ladeena.com is an online store focused on beauty, skincare, body care, hair fragrance, and home fragrance products. The website presents a carefully selected range of items such as body creams, lotions, scrubs, perfumes, oils and gift sets, making it simple for visitors to browse and shop all in one place. The brand was created to bring together quality personal care essentials with a focus on natural, safe and thoughtfully crafted formulations. Products are made in Saudi Arabia and designed to appeal to customers looking for premium self-care options backed by clear descriptions and customer feedback.
    Ladeena.com is an online store focused on beauty, skincare, body care, hair fragrance, and home fragrance products. The website presents a carefully selected range of items such as body creams, lotions, scrubs, perfumes, oils and gift sets, making it simple for visitors to browse and shop all in one place. The brand was created to bring together quality personal care essentials with a focus on natural, safe and thoughtfully crafted formulations. Products are made in Saudi Arabia and designed to appeal to customers looking for premium self-care options backed by clear descriptions and customer feedback.
    ·113 Views
  • Ladeena.com is an online store focused on beauty, skincare, body care, hair fragrance, and home fragrance products. The website presents a carefully selected range of items such as body creams, lotions, scrubs, perfumes, oils and gift sets, making it simple for visitors to browse and shop all in one place. The brand was created to bring together quality personal care essentials with a focus on natural, safe and thoughtfully crafted formulations. Products are made in Saudi Arabia and designed to appeal to customers looking for premium self-care options backed by clear descriptions and customer feedback.
    Ladeena.com is an online store focused on beauty, skincare, body care, hair fragrance, and home fragrance products. The website presents a carefully selected range of items such as body creams, lotions, scrubs, perfumes, oils and gift sets, making it simple for visitors to browse and shop all in one place. The brand was created to bring together quality personal care essentials with a focus on natural, safe and thoughtfully crafted formulations. Products are made in Saudi Arabia and designed to appeal to customers looking for premium self-care options backed by clear descriptions and customer feedback.
    ·171 Views
  • Ikulu ya Marekani yatangaza Nchi zitakazoshiriki mkutano wa kwanza wa “Baraza la Amani”.

    White House imetangaza rasmi orodha ya nchi zitakazotuma wawakilishi katika mkutano wa uzinduzi wa kile kinachoitwa “Baraza la Amani,” unaofanyika leo kwenye Ukumbi Donald J. Trump Institute for Peace.

    Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mkutano huo unalenga kuwakutanisha wadau wa kimataifa kwa ajili ya kujadili ajenda za ushirikiano wa usalama, diplomasia na utatuzi wa migogoro katika maeneo mbalimbali ya dunia.

    Orodha iliyotolewa inaonesha uwakilishi mpana kutoka Mabara tofauti, ikiashiria uzito wa mkutano huo katika medani ya siasa za kimataifa.

    - Albania
    - Austria
    - Azerbaijan
    - Bulgaria
    - Croatia
    - Cyprus
    - Jamhuri ya Czech
    - Finland
    - Ujerumani
    - Ugiriki
    - Hungaria
    - Italia
    - Poland
    - Romania
    - Slovakia
    - Uswisi
    - Uingereza
    - Norway
    - Uholanzi
    - Kosovo
    - Umoja wa Ulaya (EU)

    - Armenia
    - Bahrain
    - Cambodia
    - India
    - Indonesia
    - Israel
    - Japan
    - Jordan
    - Kazakhstan
    - Kuwait
    - Mongolia
    - Oman
    - Pakistan
    - Qatar
    - Korea Kusini
    - Saudi Arabia
    - Thailand
    - Uturuki
    - Falme za Kiarabu (UAE)
    - Uzbekistan
    - Vietnam

    - Argentina
    - El Salvador
    - Mexico

    Afrika

    - Misri
    - Morocco

    Ushiriki wa nchi kutoka kanda zenye mvutano wa kisiasa na kiusalama unaashiria kwamba mkutano huo unaweza kuwa jukwaa la mazungumzo kuhusu masuala ya usalama wa kimataifa, diplomasia ya kiuchumi na ushirikiano wa kimkakati.

    Hata hivyo, Wachambuzi wa siasa za kimataifa wanasema mafanikio ya “Baraza la Amani” yatategemea uwazi wa ajenda zake, ushirikishwaji wa pande zote na utekelezaji wa maazimio yatakayopitishwa.

    Mkutano huu wa kwanza unatarajiwa kuweka msingi wa vikao vingine vijavyo, huku macho ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa Washington kuona iwapo utazaa matokeo yenye tija katika kudumisha amani na utulivu wa dunia.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Ikulu ya Marekani yatangaza Nchi zitakazoshiriki mkutano wa kwanza wa “Baraza la Amani”. White House imetangaza rasmi orodha ya nchi zitakazotuma wawakilishi katika mkutano wa uzinduzi wa kile kinachoitwa “Baraza la Amani,” unaofanyika leo kwenye Ukumbi Donald J. Trump Institute for Peace. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mkutano huo unalenga kuwakutanisha wadau wa kimataifa kwa ajili ya kujadili ajenda za ushirikiano wa usalama, diplomasia na utatuzi wa migogoro katika maeneo mbalimbali ya dunia. Orodha iliyotolewa inaonesha uwakilishi mpana kutoka Mabara tofauti, ikiashiria uzito wa mkutano huo katika medani ya siasa za kimataifa. - Albania - Austria - Azerbaijan - Bulgaria - Croatia - Cyprus - Jamhuri ya Czech - Finland - Ujerumani - Ugiriki - Hungaria - Italia - Poland - Romania - Slovakia - Uswisi - Uingereza - Norway - Uholanzi - Kosovo - Umoja wa Ulaya (EU) - Armenia - Bahrain - Cambodia - India - Indonesia - Israel - Japan - Jordan - Kazakhstan - Kuwait - Mongolia - Oman - Pakistan - Qatar - Korea Kusini - Saudi Arabia - Thailand - Uturuki - Falme za Kiarabu (UAE) - Uzbekistan - Vietnam - Argentina - El Salvador - Mexico Afrika - Misri - Morocco Ushiriki wa nchi kutoka kanda zenye mvutano wa kisiasa na kiusalama unaashiria kwamba mkutano huo unaweza kuwa jukwaa la mazungumzo kuhusu masuala ya usalama wa kimataifa, diplomasia ya kiuchumi na ushirikiano wa kimkakati. Hata hivyo, Wachambuzi wa siasa za kimataifa wanasema mafanikio ya “Baraza la Amani” yatategemea uwazi wa ajenda zake, ushirikishwaji wa pande zote na utekelezaji wa maazimio yatakayopitishwa. Mkutano huu wa kwanza unatarajiwa kuweka msingi wa vikao vingine vijavyo, huku macho ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa Washington kuona iwapo utazaa matokeo yenye tija katika kudumisha amani na utulivu wa dunia. Toa maoni yako #Habari
    ·554 Views
  • Saudi Arabia thibitisha kuonekana kwa Mwezi wa Ramadhani 1447 AH, kufunga kuanza Kesho.

    Mamlaka nchini Saudi Arabia yamethibitisha rasmi kwamba mwezi wa Ramadhani umeonekana, jambo linalothibitisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa kufunga. Kwa mujibu wa tamko rasmi na kuthibitishwa kuonekana kwa Mwezi, na hivyo kesho, Jumatano, tarehe 18 Februari 2026, itakuwa siku ya kwanza ya Ramadhani 1447 Hijiria

    Ramadhani, mwezi ni wa tisa katika kalenda ya Kiislamu, hufungwa na Waislamu duniani kote kwa kuswali, kufanya ibada, na kufunga (kujizuia) kuanzia alfajiri hadi machweo ya jua. Kuonekana kwa mwezi wa Ramadhani ni kiashiria cha kuanza kwa ibada hii ya kiroho.

    Mamlaka za kidini katika mataifa mengine ya GCC pia zimethibitisha uamuzi huu, huku baadhi ya nchi zikitarajiwa kuanza kufunga siku moja baadae, kulingana na muda na mahali ambapo mwezi umeonekana. Hii ni kuonyesha umuhimu wa kalenda ya Kiislamu (Hijiria) katika kuamua siku za ibada na sherehe za kidini.

    Waislamu wanashauriwa kujiandaa kwa siku ya kwanza ya kufunga, kuimarisha imani na kufanya matendo mema, huku wakizingatia tamko la mamlaka husika.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Saudi Arabia thibitisha kuonekana kwa Mwezi wa Ramadhani 1447 AH, kufunga kuanza Kesho. Mamlaka nchini Saudi Arabia yamethibitisha rasmi kwamba mwezi wa Ramadhani umeonekana, jambo linalothibitisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa kufunga. Kwa mujibu wa tamko rasmi na kuthibitishwa kuonekana kwa Mwezi, na hivyo kesho, Jumatano, tarehe 18 Februari 2026, itakuwa siku ya kwanza ya Ramadhani 1447 Hijiria Ramadhani, mwezi ni wa tisa katika kalenda ya Kiislamu, hufungwa na Waislamu duniani kote kwa kuswali, kufanya ibada, na kufunga (kujizuia) kuanzia alfajiri hadi machweo ya jua. Kuonekana kwa mwezi wa Ramadhani ni kiashiria cha kuanza kwa ibada hii ya kiroho. Mamlaka za kidini katika mataifa mengine ya GCC pia zimethibitisha uamuzi huu, huku baadhi ya nchi zikitarajiwa kuanza kufunga siku moja baadae, kulingana na muda na mahali ambapo mwezi umeonekana. Hii ni kuonyesha umuhimu wa kalenda ya Kiislamu (Hijiria) katika kuamua siku za ibada na sherehe za kidini. Waislamu wanashauriwa kujiandaa kwa siku ya kwanza ya kufunga, kuimarisha imani na kufanya matendo mema, huku wakizingatia tamko la mamlaka husika. Toa maoni yako #Habari
    ·189 Views
  • Cristiano Ronaldo arejea Uwanjani baada ya mvutano Al Nassr na Saudi PIF.

    Ripoti zinazonukuliwa kutoka vyanzo mbalimbali nchini Saudi Arabia zinaeleza kuwa Staa wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amesitisha rasmi mgomo wake na yuko tayari kurejea Uwanjani kuitumikia klabu ya Al Nassr. Hatua hiyo inakuja baada ya Wafanyakazi wote wa klabu hiyo kulipwa mishahara yao pamoja na posho walizokuwa wakidai kwa muda.

    Kwa mujibu wa taarifa hizo, mgomo wa Ronaldo ulihusishwa na mvutano uliokuwepo kati yake na Tume ya Uwekezaji ya Saudi Arabia, maarufu kama Saudi PIF. Inadaiwa kuwa Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ureno alikuwa akilalamikia kile kilichoelezwa kuwa ni upendeleo kwa baadhi ya klabu, hususan katika masuala ya usajili wa Wachezaji na uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye timu fulani.

    Zaidi ya hayo, chanzo cha mgomo huo hakikujikita tu kwenye masuala ya usajili aliyoyaona kuwa hayaridhishi, bali pia katika kuhakikisha haki za Wafanyakazi wa klabu zinalindwa. Ronaldo alisisitiza kuwa Wafanyakazi wote, hasa wale wa ngazi za chini, walipaswa kulipwa stahiki zao kwa wakati na kwa ukamilifu.

    Hatua ya kulipwa kwa Wafanyakazi wote imeonekana kufungua ukurasa mpya ndani ya Al Nassr, na kurejesha hali ya utulivu kambini. Mashabiki wengi sasa wanasubiri kwa hamu kumuona Ronaldo akirejea Uwanjani, wakitumaini kuwa tukio hilo litaleta mabadiliko chanya ndani ya klabu hiyo na kwenye ligi kwa ujumla.

    Kwa kurejea kwake, Ronaldo anaonekana si tu kama Mchezaji mkubwa Uwanjani, bali pia kama sauti ya Wafanyakazi na mdau anayeonyesha kujali masuala ya haki na usawa ndani ya soka la kulipwa.

    Toa maoni yako
    #Tarifazauwakika
    Cristiano Ronaldo arejea Uwanjani baada ya mvutano Al Nassr na Saudi PIF. Ripoti zinazonukuliwa kutoka vyanzo mbalimbali nchini Saudi Arabia zinaeleza kuwa Staa wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amesitisha rasmi mgomo wake na yuko tayari kurejea Uwanjani kuitumikia klabu ya Al Nassr. Hatua hiyo inakuja baada ya Wafanyakazi wote wa klabu hiyo kulipwa mishahara yao pamoja na posho walizokuwa wakidai kwa muda. Kwa mujibu wa taarifa hizo, mgomo wa Ronaldo ulihusishwa na mvutano uliokuwepo kati yake na Tume ya Uwekezaji ya Saudi Arabia, maarufu kama Saudi PIF. Inadaiwa kuwa Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ureno alikuwa akilalamikia kile kilichoelezwa kuwa ni upendeleo kwa baadhi ya klabu, hususan katika masuala ya usajili wa Wachezaji na uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye timu fulani. Zaidi ya hayo, chanzo cha mgomo huo hakikujikita tu kwenye masuala ya usajili aliyoyaona kuwa hayaridhishi, bali pia katika kuhakikisha haki za Wafanyakazi wa klabu zinalindwa. Ronaldo alisisitiza kuwa Wafanyakazi wote, hasa wale wa ngazi za chini, walipaswa kulipwa stahiki zao kwa wakati na kwa ukamilifu. Hatua ya kulipwa kwa Wafanyakazi wote imeonekana kufungua ukurasa mpya ndani ya Al Nassr, na kurejesha hali ya utulivu kambini. Mashabiki wengi sasa wanasubiri kwa hamu kumuona Ronaldo akirejea Uwanjani, wakitumaini kuwa tukio hilo litaleta mabadiliko chanya ndani ya klabu hiyo na kwenye ligi kwa ujumla. Kwa kurejea kwake, Ronaldo anaonekana si tu kama Mchezaji mkubwa Uwanjani, bali pia kama sauti ya Wafanyakazi na mdau anayeonyesha kujali masuala ya haki na usawa ndani ya soka la kulipwa. Toa maoni yako #Tarifazauwakika
    ·271 Views
  • Trusted Tensile Strength Tester Supplier in Saudi Arabia: Presto Instruments
    Presto Instruments is a reliable tensile strength tester supplier in Saudi Arabia, offering high-precision testing solutions for plastics, rubber, metals, packaging, and industrial labs. Our tensile testing machines comply with international standards and ensure accurate, repeatable results for quality control and R&D applications. Contact Presto Instruments for advanced tensile testing equipment, competitive pricing, and dependable after-sales support in Saudi Arabia. #TensileStrengthTester #TensileStrengthTesterSaudiArabia https://prestoinstruments.com/products/tensile-testing-machine-cap-10000-kgf-digital/saudi-arabia
    Trusted Tensile Strength Tester Supplier in Saudi Arabia: Presto Instruments Presto Instruments is a reliable tensile strength tester supplier in Saudi Arabia, offering high-precision testing solutions for plastics, rubber, metals, packaging, and industrial labs. Our tensile testing machines comply with international standards and ensure accurate, repeatable results for quality control and R&D applications. Contact Presto Instruments for advanced tensile testing equipment, competitive pricing, and dependable after-sales support in Saudi Arabia. #TensileStrengthTester #TensileStrengthTesterSaudiArabia https://prestoinstruments.com/products/tensile-testing-machine-cap-10000-kgf-digital/saudi-arabia
    Love
    1
    ·777 Views
  • HAYA HAPA MATAIFA YALIYOFUZU KOMBE LA DUNIA FIFA WORLD CUP 2026

    OFFICIAL Timu Zilizofuzu kucheza Kombe La Dunia 2026

    DUA Nyingi Kwa Sasa DR Congo wametoboa na sasa wanaendelea na PlayOff kama wawakilishi wa Afrika kwenye Intercontinental PlayOff.

    Mexico
    United States
    Canada

    Japan
    Iran
    South Korea
    Australia
    Qatar
    Uzbekistan
    Saudi Arabia
    Jordan
    Morocco
    Senegal
    Egypt
    Algeria
    🇨🇮 Ivory Coast
    Tunisia
    South Africa
    Cabo Verde
    Ghana
    ARGENTINA
    Brazil
    Colombia
    Uruguay
    Ecuador
    Paraguay
    New Zealand
    England
    FRANCE
    Croatia
    Portugal
    Norway
    HAYA HAPA MATAIFA YALIYOFUZU KOMBE LA DUNIA FIFA WORLD CUP 2026 OFFICIAL Timu Zilizofuzu kucheza Kombe La Dunia 2026 DUA Nyingi Kwa Sasa DR Congo 🇨🇩 wametoboa na sasa wanaendelea na PlayOff kama wawakilishi wa Afrika kwenye Intercontinental PlayOff. 🇲🇽 Mexico 🇺🇸 United States 🇨🇦 Canada 🇯🇵 Japan 🇮🇷 Iran 🇰🇷 South Korea 🇦🇺 Australia 🇶🇦 Qatar 🇺🇿 Uzbekistan 🇸🇦 Saudi Arabia 🇯🇴 Jordan 🇲🇦 Morocco 🇸🇳 Senegal 🇪🇬 Egypt 🇩🇿 Algeria 🇨🇮 Ivory Coast 🇹🇳 Tunisia 🇿🇦 South Africa 🇨🇻 Cabo Verde 🇬🇭 Ghana 🇦🇷 ARGENTINA 🏆 🇧🇷 Brazil 🇨🇴 Colombia 🇺🇾 Uruguay 🇪🇨 Ecuador 🇵🇾 Paraguay 🇳🇿 New Zealand 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England 🇫🇷 FRANCE 🥈 🇭🇷 Croatia 🇵🇹 Portugal 🇳🇴 Norway
    ·2K Views
  • RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025

    🏟 13:20 - Japan Ghana

    🏟 14:00 - South Korea Bolivia

    🏟 16:00 - Burkina Faso Niger

    🏟 18:00 - Kenya Equatorial Guinea

    🏟 19:00 - Angola Argentina

    🏟 19:00 - Uzbekistan Egypt

    🏟 19:30 - Saudi Arabia Ivory Coast

    🏟 21:00 - Kuwait Tanzania

    🏟 22:00 - Morocco Mozambique

    🏟 22:45 - Luxembourg Germany

    🏟 22:45 - Croatia Faroe Island

    🏟 22:45 - Poland Netherlands

    Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08

    #sportpesaushindiuendelee
    #sportpesaTZ
    🚨 RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025 🏟 13:20 - Japan 🇯🇵 ⚔️ Ghana 🇬🇭 🏟 14:00 - South Korea 🇰🇷 ⚔️ Bolivia 🇧🇴 🏟 16:00 - Burkina Faso 🇧🇫 ⚔️ Niger 🇳🇪 🏟 18:00 - Kenya 🇰🇪 ⚔️Equatorial Guinea 🇬🇶 🏟 19:00 - Angola 🇦🇴 ⚔️ Argentina 🇦🇷 🏟 19:00 - Uzbekistan 🇺🇿 ⚔️ Egypt 🇪🇬 🏟 19:30 - Saudi Arabia 🇸🇦 ⚔️ Ivory Coast 🇮🇪 🏟 21:00 - Kuwait 🇰🇼 ⚔️ Tanzania 🇹🇿 🏟 22:00 - Morocco 🇲🇦 ⚔️ Mozambique 🇲🇿 🏟 22:45 - Luxembourg 🇱🇺 ⚔️ Germany 🇩🇪 🏟 22:45 - Croatia 🇭🇷 ⚔️ Faroe Island 🇫🇴 🏟 22:45 - Poland 🇵🇱 ⚔️ Netherlands 🇳🇱 ✍️ Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08 #sportpesaushindiuendelee #sportpesaTZ
    ·2K Views
  • RASMI

    Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli.

    Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo.

    #SportsElite
    RASMI ✍️ Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli. Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo. #SportsElite
    ·607 Views
  • Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia.

    Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani.

    #SportsElite
    🚨🚨Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia. Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani. #SportsElite
    ·907 Views
  • Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille , Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League.

    #SportsElite
    💦Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia 🇸🇦 inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille 🇫🇷, Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal 🇪🇸 tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League. #SportsElite
    ·572 Views
  • Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United.

    Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco.

    (Source: Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United. Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco. (Source: Sport) #SportsElite
    ·453 Views
  • Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M.

    (Source: El Nacional)

    #SportsElite
    🚨 Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M. (Source: El Nacional) #SportsElite
    ·466 Views
  • Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia.

    Anahitaji kusalia Barcelona.

    (Source: x/santiovalle)

    #SportsElite
    🚨 Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia. Anahitaji kusalia Barcelona. (Source: x/santiovalle) #SportsElite
    ·367 Views
  • AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez!

    Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro , lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi .

    Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni , huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya .

    #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro

    #SportsElite
    🚨 AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez! Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro 🏟️, lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia 🇸🇦 ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi 💰. Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni 💸, huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya 🌍. #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro #SportsElite
    Like
    Love
    2
    ·1K Views
  • | BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨| BREAKING: Saudi Arabia iko tayari kutoa ofa ya €350M kwa Real Madrid ili kumsajili Vinicius Jr.🇸🇦 💰 Source Ben Jacobs #SportsElite
    ·578 Views
  • ⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid!

    Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote.

    Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: Champions League – 5
    La Liga – 4
    Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup...

    Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye.

    #SportsElite
    🇪🇸⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid! Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote. 🗓️ Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: 🏆 Champions League – 5 🇪🇸 La Liga – 4 🎖️ Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup... 🔜 Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye. #SportsElite
    ·834 Views
  • “Siku yangu ya kwanza nilipoenda kufanya majaribio nilichekwa sana, nilivalia suruali ndefu na viatu vyangu vilichanika sana, watu waliniona kama kituko, sikuonekana kama mcheza soka” - Sadio Mane, Mchezaji wa kimataifa wa Senegal na klabu ya Al Nasr ya Saudi Arabia .

    Rekodi yake.

    - Mechi : 686.
    - Mabao : 277.
    - "Assists" : 136.

    “Siku yangu ya kwanza nilipoenda kufanya majaribio nilichekwa sana, nilivalia suruali ndefu na viatu vyangu vilichanika sana, watu waliniona kama kituko, sikuonekana kama mcheza soka” - Sadio Mane, Mchezaji wa kimataifa wa Senegal 🇸🇳 na klabu ya Al Nasr ya Saudi Arabia 🇸🇦. Rekodi yake. - Mechi : 686. - Mabao : 277. - "Assists" : 136.
    Like
    1
    ·553 Views
  • Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine na Nchi ya Urusi kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua.

    Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza.

    Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.

    Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine 🇺🇦 na Nchi ya Urusi 🇷🇺 kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani 🇺🇸 chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua. Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza. Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China 🇨🇳 Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.
    ·1K Views
  • Rais wa Marekani , Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina.

    Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina.

    Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.”

    Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu.

    - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi.

    "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki."

    "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump.

    “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza

    Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina. Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina. Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.” Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu. - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi. "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki." "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump. “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.
    Like
    1
    ·1K Views
Pagine in Evidenza