• PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    0 Reacties ·0 aandelen ·33 Views
  • EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII...

    Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri.

    Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango.

    Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati.

    Credit
    Rev.Albert Nwosu
    EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII... Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri. Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango. Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati. Credit Rev.Albert Nwosu
    0 Reacties ·0 aandelen ·42 Views
  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema.

    "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita.

    Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto.

    Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar , amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano.

    Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama.

    Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼 sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema. "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita. Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto. Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar 🇶🇦, amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano. Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama. Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.
    0 Reacties ·0 aandelen ·22 Views
  • VITABU VYENYE NGUVU DUNIANI AMBAVYO HAUTAFUNDISHWA SHULENI: SIRI KUBWA YA UTAJIRI WA ULIMWENGU!

    Je, umefundishwa katika dini yako kuwa Biblia na Quran ndio vitabu pekee vyenye nguvu na maajabu? Ni kweli vitabu hivi ni miongoni mwa vitabu vyenye maajabu, ila kuna baddhi ya vitabu vinavyofichwa kutokana na nguvu zake za kubadili maisha ya watu, kwa utajiri ama wakawa masikini wa kutupwa na hata kuwa wenye mikosi mikubwa.

    Dunia imejawa siri ambazo wachache wanazitumia kujinufaisha na kujitajirisha, huku wakiwadanganya wengine Kuwa ili ufanikiwe basi wafaa upate muda wa kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa, uwe mvumilivu, Ufanye kazi kwa bidii na mambo mengine mengi,
    lakini hawakuambii mambo ya siri wanayoyafanya na vitabu vya siri wanavyosoma ili kukuza utajiri wao na mvuto wao katika ulimwengu.

    Leo hii nimekuletea vitabu vya siri zaidi ya Biblia na Quran, vyenye nguvu sana, na vinavyotumika kubadili maisha ya Matajiri wa dunia hii, na imebakia kuwa siri kwao, wakiificha kwa nguvu zote na kuhakikisha wachache wanaifahamu, huku wengi wakitiwa hofu ya kuiogopa siri hii na kuviona vitabu hivi kama vya mashetani.

    1. The Book of Abramelin the Mage – Kitabu cha kale cha uchawi kinachoeleza njia za kuwasiliana na malaika na nguvu za kichawi. Kitabu hiki kina nguvu za kukufundisha ushirikina na upeo wa juu unaopita uwezo wa kawaida wa mwanadamu.

    2.The Lesser Key of Solomon (Lemegeton) – Kitabu cha uchawi kinachodaiwa kuwa na mafundisho ya mfalme Sulemani kuhusu majini na roho. Ni kitabu kinachosadikika kuandikwa na mfalme wa Israel ajulikanaye kama sulemani, kikiwa kimejaa elimu ya kiroho, na namna ya kuyatumia majini katika shughuli za kila siku bila kutumia nguvu kubwa.

    3.Picatrix – Kitabu cha uchawi wa Kiarabu kinachoeleza jinsi ya kutumia nyota na sayari kwa utajiri. Masomo mengi yanayohusiana na nyota pamoja na bahati, hutolewa katika kitabu hiki cha ajabu. Kuna matamshi ya kiarabu katika kitabu hiki yenye nguvu ya kuleta maajabu usiyotarajia, ambayo sitayasema katika makala hii kwa kuwa sifundishi uchawi, nafunua siri zilizofichwa na mabeberu wachache ili waendelee kuitawala dunia hii kiuchumi na kuwa na nguvu ya ushawishi.

    4.The Kybalion – Kitabu cha Hermeticism kinachofundisha sheria saba za ulimwengu zinazodaiwa kuwa na nguvu za kimetafizikia, zinazoleta mvuto kwa watu wanaokutazama, ushawishi kwa wanaokusikiliza na Nguvu ya fedha.

    5. The Secret (Rhonda Byrne) – Kitabu kinachoelezea sheria ya mvutano (Law of Attraction) na jinsi ya kutumia mawazo kuvutia mafanikio na utajiri. Kitabu hiki ni cha ajabu maana kimejawa na siri zenye uwezo wa Kubadili uchumi wako.

    6. Necronomicon – Ingawa ni kitabu cha kubuniwa na H.P. Lovecraft, kimekuwa na hadithi nyingi zinazodai kuwa kina maelezo ya siri za ulimwengu. Usisome kitabu hiki maana kinaweza kuleta shida maishani mwako bila kupata mwongozo kamili.

    7.The Voynich Manuscript – Kitabu cha ajabu kilichoandikwa kwa lugha isiyojulikana na hakijafasiriwa hadi sasa. Kimekosa tafsiri yake kutokana na ukweli kuwa kiliandikwa katika lugha ambayo haipo hapa duniani, ama ilikuwapo ila imepotea.

    Vitabu hivi ndivyo vinavyowafanya watu kuwa na mvuto, na utajiri mkubwa duniani. Kwa kweli huwezi kuwa na mvuto mkubwa ama utajiri mkubwa duniani pasina kusoma vitabu hivi na kufuata kanuni zake, wenda kama utakuwa tajiri kijijini kwenu lakini si duniani.

    Nikiwa namalizia, kuna Vitabu vyenye nguvu ya kukutajirisha, vyenye nguvu ya kukulaani na hata kukuletea mikosi isiyokoma, ambavyo vimekuwa vikihifadhiwa kwa siri sana, ili kutumiwa na wachache kwa malengo mahususi. Wapo watu kadhaa wanaopinga nguvu ya maandishi katika vitabu wakiidharau na kuyaona maandishi kama herufi za kawaida sana, lakini ukweli ni kuwa kuna nguvu katika vitabu, kuna maajabu katika vitabu na kuna watu waliofunga maisha yao kwa kusoma vifungu fulani kimakosa katika vitabu. Hebu kuwa makini na kila kitabu unachosoma. Hakikisha kwanza kitabu usomacho ni salama, maana kuna vitabu kama vile "Necronomicon, The book of Soyga, The grand Grimoire, n.k" vinavyoweza kukuletea shida na hata mikosi maishani mwako.
    VITABU VYENYE NGUVU DUNIANI AMBAVYO HAUTAFUNDISHWA SHULENI: SIRI KUBWA YA UTAJIRI WA ULIMWENGU! Je, umefundishwa katika dini yako kuwa Biblia na Quran ndio vitabu pekee vyenye nguvu na maajabu? Ni kweli vitabu hivi ni miongoni mwa vitabu vyenye maajabu, ila kuna baddhi ya vitabu vinavyofichwa kutokana na nguvu zake za kubadili maisha ya watu, kwa utajiri ama wakawa masikini wa kutupwa na hata kuwa wenye mikosi mikubwa. Dunia imejawa siri ambazo wachache wanazitumia kujinufaisha na kujitajirisha, huku wakiwadanganya wengine Kuwa ili ufanikiwe basi wafaa upate muda wa kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa, uwe mvumilivu, Ufanye kazi kwa bidii na mambo mengine mengi, lakini hawakuambii mambo ya siri wanayoyafanya na vitabu vya siri wanavyosoma ili kukuza utajiri wao na mvuto wao katika ulimwengu. Leo hii nimekuletea vitabu vya siri zaidi ya Biblia na Quran, vyenye nguvu sana, na vinavyotumika kubadili maisha ya Matajiri wa dunia hii, na imebakia kuwa siri kwao, wakiificha kwa nguvu zote na kuhakikisha wachache wanaifahamu, huku wengi wakitiwa hofu ya kuiogopa siri hii na kuviona vitabu hivi kama vya mashetani. 1. The Book of Abramelin the Mage – Kitabu cha kale cha uchawi kinachoeleza njia za kuwasiliana na malaika na nguvu za kichawi. Kitabu hiki kina nguvu za kukufundisha ushirikina na upeo wa juu unaopita uwezo wa kawaida wa mwanadamu. 2.The Lesser Key of Solomon (Lemegeton) – Kitabu cha uchawi kinachodaiwa kuwa na mafundisho ya mfalme Sulemani kuhusu majini na roho. Ni kitabu kinachosadikika kuandikwa na mfalme wa Israel ajulikanaye kama sulemani, kikiwa kimejaa elimu ya kiroho, na namna ya kuyatumia majini katika shughuli za kila siku bila kutumia nguvu kubwa. 3.Picatrix – Kitabu cha uchawi wa Kiarabu kinachoeleza jinsi ya kutumia nyota na sayari kwa utajiri. Masomo mengi yanayohusiana na nyota pamoja na bahati, hutolewa katika kitabu hiki cha ajabu. Kuna matamshi ya kiarabu katika kitabu hiki yenye nguvu ya kuleta maajabu usiyotarajia, ambayo sitayasema katika makala hii kwa kuwa sifundishi uchawi, nafunua siri zilizofichwa na mabeberu wachache ili waendelee kuitawala dunia hii kiuchumi na kuwa na nguvu ya ushawishi. 4.The Kybalion – Kitabu cha Hermeticism kinachofundisha sheria saba za ulimwengu zinazodaiwa kuwa na nguvu za kimetafizikia, zinazoleta mvuto kwa watu wanaokutazama, ushawishi kwa wanaokusikiliza na Nguvu ya fedha. 5. The Secret (Rhonda Byrne) – Kitabu kinachoelezea sheria ya mvutano (Law of Attraction) na jinsi ya kutumia mawazo kuvutia mafanikio na utajiri. Kitabu hiki ni cha ajabu maana kimejawa na siri zenye uwezo wa Kubadili uchumi wako. 6. Necronomicon – Ingawa ni kitabu cha kubuniwa na H.P. Lovecraft, kimekuwa na hadithi nyingi zinazodai kuwa kina maelezo ya siri za ulimwengu. Usisome kitabu hiki maana kinaweza kuleta shida maishani mwako bila kupata mwongozo kamili. 7.The Voynich Manuscript – Kitabu cha ajabu kilichoandikwa kwa lugha isiyojulikana na hakijafasiriwa hadi sasa. Kimekosa tafsiri yake kutokana na ukweli kuwa kiliandikwa katika lugha ambayo haipo hapa duniani, ama ilikuwapo ila imepotea. Vitabu hivi ndivyo vinavyowafanya watu kuwa na mvuto, na utajiri mkubwa duniani. Kwa kweli huwezi kuwa na mvuto mkubwa ama utajiri mkubwa duniani pasina kusoma vitabu hivi na kufuata kanuni zake, wenda kama utakuwa tajiri kijijini kwenu lakini si duniani. Nikiwa namalizia, kuna Vitabu vyenye nguvu ya kukutajirisha, vyenye nguvu ya kukulaani na hata kukuletea mikosi isiyokoma, ambavyo vimekuwa vikihifadhiwa kwa siri sana, ili kutumiwa na wachache kwa malengo mahususi. Wapo watu kadhaa wanaopinga nguvu ya maandishi katika vitabu wakiidharau na kuyaona maandishi kama herufi za kawaida sana, lakini ukweli ni kuwa kuna nguvu katika vitabu, kuna maajabu katika vitabu na kuna watu waliofunga maisha yao kwa kusoma vifungu fulani kimakosa katika vitabu. Hebu kuwa makini na kila kitabu unachosoma. Hakikisha kwanza kitabu usomacho ni salama, maana kuna vitabu kama vile "Necronomicon, The book of Soyga, The grand Grimoire, n.k" vinavyoweza kukuletea shida na hata mikosi maishani mwako.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·180 Views
  • Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC

    Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana

    Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu

    Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana

    Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake

    President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu

    KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"

    Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC ✍️ Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·218 Views
  • Kwenye barua ambayo Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imewajibu Yanga yenye kumbukumbu namba TPLB/2024/625 ya Machi 16,2025 imewaambia Yanga hawawezi kupewa alama tatu kutokana na kuwa hakuna KANUNI ya Ligi Kuu inayoamuru jambo hilo ambapo TPLB imewapa sababu takribani 10, nitazielezea kwa uchache.

    1. Mchezo ulighairishwa na Bodi majira ya saa8 Mchana ambapo baada ya Bodi huo hapakuwa na Afisa yoyote wa mchezo zaidi ya Watu wa Usalama.

    2. Hakuna taratibu zozote za mchezo zilizofanyika uwanjani kwa mujibu wa Kanuni ya 17 ikiwemo timu kukaguliwa na ili timu ipewe alama tatu na mabao matatu ilipaswa ukaguzi kufanyika na Maafisa ww Mchezo.

    3. Bodi ilishindwa kuruhusu mchezo uchezwe sio kwasababu Simba ALIGOMEA mechi bali kupitia Kamati ya Masaa 72 ikaamuru kupitia sababu mbalimbali za Kikanuni kughairisha mchezo huo baada ya kupokea pia ripoti mbalimbali kutoka Maafisa wa mchezo huo.

    4. Yanga SC wameambiwa kwamba hakuna Kanuni inasema Klabu Mgeni anapaswa kuwataarifu wao kwamba wanakuja kufanya mazoezi, hivyo suala la mawasiliano ni MWONGOZO tu wa Bodi hivyo Simba haikuvunja Kanuni kutowasiliana bali ilivunja MIONGOZO.

    5. Yanga SC wamejibiwa kuwa haitowapa alama tatu kwakuwa sababu za kughairisha mchezo zilikuwa ni za kiusalama, ambapo kulikuwa na tuhuma za rushwa, vitisho na kasoro za Kiusalama hivyo ingekuwa ngumu kuruhusu mchezo uendelee ambao ungeleta kasoro, kabla, wakati na baada ya mchezo.

    6. Yanga SC wanalaumiwa na Bodi kitendo cha kupeleka timu uwanjani wakati mechi imeshaghairishwa ni kinyume na Kanuni ya 47(18) na imeonesha kupingana na Mamlaka.

    7. Kuhusu gharama za mchezo ambazo Yanga wameziingia Bodi inasema itazighulikia Kikanuni.

    8. Bodi imewatakia Yanga maandalizi mema ya mchezo ujao wa Derby ambapo watawapangia rasmi tarehe.
    Etc.

    Kwenye barua ambayo Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imewajibu Yanga yenye kumbukumbu namba TPLB/2024/625 ya Machi 16,2025 imewaambia Yanga hawawezi kupewa alama tatu kutokana na kuwa hakuna KANUNI ya Ligi Kuu inayoamuru jambo hilo ambapo TPLB imewapa sababu takribani 10, nitazielezea kwa uchache. 1. Mchezo ulighairishwa na Bodi majira ya saa8 Mchana ambapo baada ya Bodi huo hapakuwa na Afisa yoyote wa mchezo zaidi ya Watu wa Usalama. 2. Hakuna taratibu zozote za mchezo zilizofanyika uwanjani kwa mujibu wa Kanuni ya 17 ikiwemo timu kukaguliwa na ili timu ipewe alama tatu na mabao matatu ilipaswa ukaguzi kufanyika na Maafisa ww Mchezo. 3. Bodi ilishindwa kuruhusu mchezo uchezwe sio kwasababu Simba ALIGOMEA mechi bali kupitia Kamati ya Masaa 72 ikaamuru kupitia sababu mbalimbali za Kikanuni kughairisha mchezo huo baada ya kupokea pia ripoti mbalimbali kutoka Maafisa wa mchezo huo. 4. Yanga SC wameambiwa kwamba hakuna Kanuni inasema Klabu Mgeni anapaswa kuwataarifu wao kwamba wanakuja kufanya mazoezi, hivyo suala la mawasiliano ni MWONGOZO tu wa Bodi hivyo Simba haikuvunja Kanuni kutowasiliana bali ilivunja MIONGOZO. 5. Yanga SC wamejibiwa kuwa haitowapa alama tatu kwakuwa sababu za kughairisha mchezo zilikuwa ni za kiusalama, ambapo kulikuwa na tuhuma za rushwa, vitisho na kasoro za Kiusalama hivyo ingekuwa ngumu kuruhusu mchezo uendelee ambao ungeleta kasoro, kabla, wakati na baada ya mchezo. 6. Yanga SC wanalaumiwa na Bodi kitendo cha kupeleka timu uwanjani wakati mechi imeshaghairishwa ni kinyume na Kanuni ya 47(18) na imeonesha kupingana na Mamlaka. 7. Kuhusu gharama za mchezo ambazo Yanga wameziingia Bodi inasema itazighulikia Kikanuni. 8. Bodi imewatakia Yanga maandalizi mema ya mchezo ujao wa Derby ambapo watawapangia rasmi tarehe. Etc.
    0 Reacties ·0 aandelen ·189 Views
  • Rais wa Nchi ya Rwanda , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda.

    Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema:

    “Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?”

    “Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji”

    “Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza”

    Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali.

    Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.

    Rais wa Nchi ya Rwanda 🇷🇼 , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji 🇧🇪 kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda. Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema: “Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?” “Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji” “Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza” Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali. Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.
    0 Reacties ·0 aandelen ·155 Views
  • Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa.

    Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania , na wengine 100 kutoka Nchini Burundi .

    "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation,"

    Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.

    Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa. Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania 🇹🇿, na wengine 100 kutoka Nchini Burundi 🇧🇮. "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation," Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.
    0 Reacties ·0 aandelen ·136 Views
  • Jumatano ya Machi 17, 2021, Nchi ya Tanzania iligubikwa na simanzi zito ya kumpoteza Rais wao aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hili la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais.

    Dk Magufuli aliyezaliwa Chato Mkoani Geita, Oktoba 29, 1959 alihitimisha utawala wake wa miaka mitano na miezi minne aliouanza Novemba 5, 2015 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyoma Jijini Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo.

    Leo Jumatatu Machi 17, 2025, ndugu, jamaa na marafiki watamkumbuka kwa Ibada itakayofanyikia Chato ambayo imeandaliwa na familia yake.

    Jumatano ya Machi 17, 2021, Nchi ya Tanzania 🇹🇿 iligubikwa na simanzi zito ya kumpoteza Rais wao aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hili la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais. Dk Magufuli aliyezaliwa Chato Mkoani Geita, Oktoba 29, 1959 alihitimisha utawala wake wa miaka mitano na miezi minne aliouanza Novemba 5, 2015 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyoma Jijini Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo. Leo Jumatatu Machi 17, 2025, ndugu, jamaa na marafiki watamkumbuka kwa Ibada itakayofanyikia Chato ambayo imeandaliwa na familia yake.
    0 Reacties ·0 aandelen ·128 Views
  • MAISHA YANAKUWA RAHISI USIPOKERWA NA MAONI YAO ...

    Tunaishi katika ulimwengu ambamo watu wanahangaikia zaidi jinsi mambo yanavyoonekana badala ya jinsi yalivyo kiukweli. Ulimwengu ambamo mazishi ni makubwa kuliko maisha utayokuwa ukiishi, ambapo ndoa husherehekewa zaidi ya upendo unaopaswa kudumishwa, ambapo uzuri wa nje unaabudiwa huku roho ikipuuzwa. Tunaishi katika kizazi ambacho kinathamini ufungashaji juu ya maudhui, lakini jambo la kusikitisha zaidi ni hili: wengi wamenaswa katika udanganyifu huu, wakijitahidi kila mara kukidhi matarajio ya ulimwengu ambao hautatosheka. Ikiwa unataka kuishi kweli na kupata amani, acha kuwa na wasiwasi juu ya maoni ya watu. Kwa sababu ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, mtu atakuwa na la kusema kila wakati. Ukifanikiwa, watasema ulikuwa na bahati. Ukishindwa watasema ulikuwa mjinga. Ukikaa kimya watasema wewe ni dhaifu. Ukiongea watasema unaongea sana. Sasa unaona jinsi inavyochosha kuishi kwa maoni ya watu? Umewahi kuona kuwa mtu akiwa hai hakuna mwenye muda naye ila anapofariki watu hukimbilia kuandaa mazishi ya fujo? Watatumia mamilioni kwenye kasha lakini hawakuweza kumpa chakula alipokuwa na njaa. Wataandika heshima ndefu, lakini hawakuwahi kumwambia "Nakupenda" alipokuwa hai. Kwa nini? Kwa sababu tunaishi katika ulimwengu unaothamini utendakazi kuliko uwepo, mwonekano juu ya uhalisi, na tambiko juu ya ukweli.

    Hii ndio sababu haupaswi kuishi kwa makofi. Usife ukijidhihirisha kwa watu ambao watalia kwenye mazishi yako lakini haujawahi kukujali maishani. Watu wale wale wanaokusifia leo watakukosoa kesho. Midomo hiyo hiyo inayopiga kelele "Hosana!" baadaye atapiga kelele "Msulubishe!" . Hata Yesu, Mwana wa Mungu, hakuepuka asili ya watu wenye nyuso mbili. Wewe ni nani basi hata ufikirie kuwa utafanya hivyo? Katika jamii yetu ya leo, watu huwekeza zaidi kwenye harusi kuliko kwenye ndoa yenyewe. Wenzi wa ndoa wanaweza kutumia mamilioni ya pesa kwenye arusi ili kuuvutia umati, lakini baada ya miezi michache ndoa hiyo inavunjika. Kwa nini? Kwa sababu tunatanguliza sherehe kuliko msingi. Wengi hawaoi kwa ajili ya mapenzi tena; wanaoa kwa hadhi, kwa kujionyesha, na kwa maoni ya jamii. Lakini harusi nzuri si sawa na ndoa yenye furaha. Sherehe ya kupendeza haihakikishii nyumba yenye amani. Tunaishi katika nyakati ambapo uzuri ni sarafu, ambapo kuonekana kwa nje huamua hali ya kijamii. Lakini ni nini thamani ya uso mzuri na roho tupu? Je, ni thamani gani ya kuvutia kimwili wakati hakuna kina cha tabia? Katika ulimwengu wetu wa leo, watu hutumia pesa nyingi kutazama sura lakini wanasahau kulisha roho zao. Wanaongeza miili yao lakini wanapuuza tabia zao. Wanachuja picha zao lakini wanaacha mioyo yao bila kuchujwa.

    Usidanganywe. Uzuri hupotea, lakini tabia inabaki. Sura inaweza kuvutia watu kwako, lakini maadili yako pekee ndiyo yatawahifadhi. Watu wanaweza kustaajabia uso wako, lakini ni kina cha nafsi yako ambacho hakika kitaathiri maisha. Kwa hiyo, wekeza kwenye kile kinachodumu. Kuza akili yako. Imarisha imani yako. Jenga uadilifu wako. Acha kufukuza uthibitisho kutoka kwa watu ambao wenyewe wamevunjika na kuchanganyikiwa. Hukuumbwa ili ufanane na matarajio ya wanadamu; uliumbwa ili kutimiza kusudi la kimungu.

    Mikopo;
    @Fr. Albert Nwosu'
    MAISHA YANAKUWA RAHISI USIPOKERWA NA MAONI YAO ... Tunaishi katika ulimwengu ambamo watu wanahangaikia zaidi jinsi mambo yanavyoonekana badala ya jinsi yalivyo kiukweli. Ulimwengu ambamo mazishi ni makubwa kuliko maisha utayokuwa ukiishi, ambapo ndoa husherehekewa zaidi ya upendo unaopaswa kudumishwa, ambapo uzuri wa nje unaabudiwa huku roho ikipuuzwa. Tunaishi katika kizazi ambacho kinathamini ufungashaji juu ya maudhui, lakini jambo la kusikitisha zaidi ni hili: wengi wamenaswa katika udanganyifu huu, wakijitahidi kila mara kukidhi matarajio ya ulimwengu ambao hautatosheka. Ikiwa unataka kuishi kweli na kupata amani, acha kuwa na wasiwasi juu ya maoni ya watu. Kwa sababu ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, mtu atakuwa na la kusema kila wakati. Ukifanikiwa, watasema ulikuwa na bahati. Ukishindwa watasema ulikuwa mjinga. Ukikaa kimya watasema wewe ni dhaifu. Ukiongea watasema unaongea sana. Sasa unaona jinsi inavyochosha kuishi kwa maoni ya watu? Umewahi kuona kuwa mtu akiwa hai hakuna mwenye muda naye ila anapofariki watu hukimbilia kuandaa mazishi ya fujo? Watatumia mamilioni kwenye kasha lakini hawakuweza kumpa chakula alipokuwa na njaa. Wataandika heshima ndefu, lakini hawakuwahi kumwambia "Nakupenda" alipokuwa hai. Kwa nini? Kwa sababu tunaishi katika ulimwengu unaothamini utendakazi kuliko uwepo, mwonekano juu ya uhalisi, na tambiko juu ya ukweli. Hii ndio sababu haupaswi kuishi kwa makofi. Usife ukijidhihirisha kwa watu ambao watalia kwenye mazishi yako lakini haujawahi kukujali maishani. Watu wale wale wanaokusifia leo watakukosoa kesho. Midomo hiyo hiyo inayopiga kelele "Hosana!" baadaye atapiga kelele "Msulubishe!" . Hata Yesu, Mwana wa Mungu, hakuepuka asili ya watu wenye nyuso mbili. Wewe ni nani basi hata ufikirie kuwa utafanya hivyo? Katika jamii yetu ya leo, watu huwekeza zaidi kwenye harusi kuliko kwenye ndoa yenyewe. Wenzi wa ndoa wanaweza kutumia mamilioni ya pesa kwenye arusi ili kuuvutia umati, lakini baada ya miezi michache ndoa hiyo inavunjika. Kwa nini? Kwa sababu tunatanguliza sherehe kuliko msingi. Wengi hawaoi kwa ajili ya mapenzi tena; wanaoa kwa hadhi, kwa kujionyesha, na kwa maoni ya jamii. Lakini harusi nzuri si sawa na ndoa yenye furaha. Sherehe ya kupendeza haihakikishii nyumba yenye amani. Tunaishi katika nyakati ambapo uzuri ni sarafu, ambapo kuonekana kwa nje huamua hali ya kijamii. Lakini ni nini thamani ya uso mzuri na roho tupu? Je, ni thamani gani ya kuvutia kimwili wakati hakuna kina cha tabia? Katika ulimwengu wetu wa leo, watu hutumia pesa nyingi kutazama sura lakini wanasahau kulisha roho zao. Wanaongeza miili yao lakini wanapuuza tabia zao. Wanachuja picha zao lakini wanaacha mioyo yao bila kuchujwa. Usidanganywe. Uzuri hupotea, lakini tabia inabaki. Sura inaweza kuvutia watu kwako, lakini maadili yako pekee ndiyo yatawahifadhi. Watu wanaweza kustaajabia uso wako, lakini ni kina cha nafsi yako ambacho hakika kitaathiri maisha. Kwa hiyo, wekeza kwenye kile kinachodumu. Kuza akili yako. Imarisha imani yako. Jenga uadilifu wako. Acha kufukuza uthibitisho kutoka kwa watu ambao wenyewe wamevunjika na kuchanganyikiwa. Hukuumbwa ili ufanane na matarajio ya wanadamu; uliumbwa ili kutimiza kusudi la kimungu. Mikopo; @Fr. Albert Nwosu'
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·211 Views
  • "Nimetazama Interview ya Rais wa Marekani na Rais wa Ukraine pale Oval Office ndani ya Ikulu ya Marekani, nimekuja kugundua Rais wa Ukraine anahisi anajadiliana na Mwanasiasa mwenzake ila anachosahau Trump ni Mfanyabiashara na hawezi kufanya kitu cha bure ambacho Taifa lake Marekani halinufaiki na chochote, ndio maan anamsukumia sana kuwa amalizane na Urusi wasaini mkataba wa amani.

    Pale Ukraine kuna madini adimu sana duniani, Mrusi hapigani Kichwa kichwa ndio maana maeneo ya Donbass na Zaporizhia yanabaki kuwa maeneo ya Kimkakati sana kwa Mrusi, hata Marekani hawapo kichwa kichwa maana Secretary Rubio wa Marekani alimwambia Rais wa Ukraine akubali kusaini mkataba wa madini ili wao waendelee kumlinda, Mrusi na Mmarekani wapo rada sana eneo lile na kila mmoja yupo Kitalaam.

    Kwa akili ya kawaida Marekani hataki kuendelea kugharamikia vita hivyo bila faida.

    Juzi kuna website nilisoma ya taarifa za Kiuchunguzi ni kuwa Marekani, China na Urusi kwasasa wapo meza moja na wazo lao kubwa wamekubaliana juu ya MULTIPOLAR WORLD ORDER ambapo Mataifa zaidi ya mawili yanakuwa na nguvu sawa ama yanakaribiana, kwa ufupi sana mataifa haya matatu yanataka kuitawala dunia bila kugusana.

    Ndio maana Trump alivyoingia madarakani akapush agenda chap ya BRICS kuachana na wazo lao la kuibadili dola ya Marekani kuwa sio sarafu rasmi kwenye umoja wao, ndio maana alipoingia wamerudi mezani kwa mengi ikiwemo Trump na Putin wote kukiri kuwa watashirikiana na Trump atasafiri kuelekea Urusi kwenye sherehe za Mei 9, ambapo watakutana Marais wote watatu yani Putin, Xi Jinping na Trump.

    Kifupi sana Marekani ya Donald Trump ina Approach tofauti sana, ndio maana hata Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Stearmer alipofika White House kukutana na Trump kwenye mazungumzo yao akalisifia sana Jeshi la Uingereza ila kuna sehemu akampiga kwa kumwambia huwezi kuichukua Urusi peke yako, hata leo amesisitiza Ukraine wakubali amani nje na hapo bila msaada wake hawamuwezi Mrusi, huyo ndio Donald Trump" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Nimetazama Interview ya Rais wa Marekani na Rais wa Ukraine pale Oval Office ndani ya Ikulu ya Marekani, nimekuja kugundua Rais wa Ukraine anahisi anajadiliana na Mwanasiasa mwenzake ila anachosahau Trump ni Mfanyabiashara na hawezi kufanya kitu cha bure ambacho Taifa lake Marekani halinufaiki na chochote, ndio maan anamsukumia sana kuwa amalizane na Urusi wasaini mkataba wa amani. Pale Ukraine kuna madini adimu sana duniani, Mrusi hapigani Kichwa kichwa ndio maana maeneo ya Donbass na Zaporizhia yanabaki kuwa maeneo ya Kimkakati sana kwa Mrusi, hata Marekani hawapo kichwa kichwa maana Secretary Rubio wa Marekani alimwambia Rais wa Ukraine akubali kusaini mkataba wa madini ili wao waendelee kumlinda, Mrusi na Mmarekani wapo rada sana eneo lile na kila mmoja yupo Kitalaam. Kwa akili ya kawaida Marekani hataki kuendelea kugharamikia vita hivyo bila faida. Juzi kuna website nilisoma ya taarifa za Kiuchunguzi ni kuwa Marekani, China na Urusi kwasasa wapo meza moja na wazo lao kubwa wamekubaliana juu ya MULTIPOLAR WORLD ORDER ambapo Mataifa zaidi ya mawili yanakuwa na nguvu sawa ama yanakaribiana, kwa ufupi sana mataifa haya matatu yanataka kuitawala dunia bila kugusana. Ndio maana Trump alivyoingia madarakani akapush agenda chap ya BRICS kuachana na wazo lao la kuibadili dola ya Marekani kuwa sio sarafu rasmi kwenye umoja wao, ndio maana alipoingia wamerudi mezani kwa mengi ikiwemo Trump na Putin wote kukiri kuwa watashirikiana na Trump atasafiri kuelekea Urusi kwenye sherehe za Mei 9, ambapo watakutana Marais wote watatu yani Putin, Xi Jinping na Trump. Kifupi sana Marekani ya Donald Trump ina Approach tofauti sana, ndio maana hata Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Stearmer alipofika White House kukutana na Trump kwenye mazungumzo yao akalisifia sana Jeshi la Uingereza ila kuna sehemu akampiga kwa kumwambia huwezi kuichukua Urusi peke yako, hata leo amesisitiza Ukraine wakubali amani nje na hapo bila msaada wake hawamuwezi Mrusi, huyo ndio Donald Trump" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Reacties ·0 aandelen ·455 Views
  • #Repost @georgejob_gj
    MASTER KI NI MVP TUSISAHAU.

    Tusisahau kua huyu Aziz Ki ndiye MVP wa ligi yetu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 haya anayo yafanya sio kwa Bahati Mbaya au kwa sababu Pamba ni wabovu Master Ki is a versatile player

    Goli la pili alilo piga ukiangalia mentality yake ilivyo change kwa haraka kutoka kutaka kutoa pasi na kufanya maamuzi ya kupiga shuti la kucave golini utagundua Azizi Ki ni mchezaji Mwenye akili kubwa sana ya Mpira.

    Pamba walizidiwa kimbinu kwenye kila sehemu Substitution walizo fanya ya Nakibinge na Habib Kyombo wallijaribu kutaka kubadilisha mchezo lakini mbinu ya Yanga bado iliendelea kutawala mchezo.

    Yona Amos moja ya Makipa Bora sana nchini bahati mbaya leo kakutana na Yanga iliyo Bora sana kimbinu karibu magoli yote aliyofungwa ni magoli ambayo sio ya kumlaumu ni magoii ya kiufundi.

    NB: Ikangalombo apewe muda au Mali ipo?
    (George Job, Mchambuzi)

    #Repost @georgejob_gj MASTER KI NI MVP TUSISAHAU. Tusisahau kua huyu Aziz Ki ndiye MVP wa ligi yetu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 haya anayo yafanya sio kwa Bahati Mbaya au kwa sababu Pamba ni wabovu Master Ki is a versatile player 🙌 Goli la pili alilo piga ukiangalia mentality yake ilivyo change kwa haraka kutoka kutaka kutoa pasi na kufanya maamuzi ya kupiga shuti la kucave golini utagundua Azizi Ki ni mchezaji Mwenye akili kubwa sana ya Mpira. Pamba walizidiwa kimbinu kwenye kila sehemu Substitution walizo fanya ya Nakibinge na Habib Kyombo wallijaribu kutaka kubadilisha mchezo lakini mbinu ya Yanga bado iliendelea kutawala mchezo. Yona Amos moja ya Makipa Bora sana nchini bahati mbaya leo kakutana na Yanga iliyo Bora sana kimbinu karibu magoli yote aliyofungwa ni magoli ambayo sio ya kumlaumu ni magoii ya kiufundi. NB: Ikangalombo apewe muda au Mali ipo? (George Job, Mchambuzi)
    0 Reacties ·0 aandelen ·434 Views
  • KUWA MAKINI UNAYEMSHIRIKISHA SIRI ZAKO...

    Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone jinsi wanaume waliokomaa wenye ndevu na wanawake wakubwa wenye mawigi ya bei wanavyojidhalilisha. Unapoona jinsi watu wanavyoshiriki mambo ya faragha kwenye maeneo ya umma, utaelewa kwa nini mambo fulani yanakusudiwa kuwa siri. Kutoka kona moja hadi nyingine, kwa nia ya kumrudia aliyewaudhi, watu wanashuka sana, na hawajali jinsi chochote watakachofichua kitawaathiri katika siku zijazo, wanachojali ni kumpiga yule wanayehisi kukanyagwa kwenye vidole vyao. Kuanzia mazungumzo yaliyovuja, video kuvuja, hadi mazungumzo ya faragha, nilichojifunza ni kwamba sio kila mtu anayetabasamu na wewe ana uwezo wa kutunza siri zako. Mitandao ya kijamii imetufundisha somo hili kwa njia ya kikatili zaidi. Tumeona marafiki waliopendana mara moja, mahusiano ya mara moja-tamu, ushirikiano wa mara moja-imara ukiporomoka katika ushindani mkali, na siri zilizomwagika kama maji machafu mitaani. Tumeona maungamo ya kibinafsi yakigeuzwa kuwa fedheha hadharani, na uaminifu mkubwa ukivunjwa na chapisho moja, maoni moja, kufichuliwa mara moja. Watu wengine wana kuhara kwa mdomo. Hawajui jinsi ya kushikilia kile walichoambiwa kwa ujasiri. Hawaoni siri kuwa takatifu; wanaziona kama silaha, kimya kwa sasa, lakini tayari kuachiliwa wakati mawimbi yanabadilika. Na mawimbi hubadilika kila wakati.

    Hakuna kitu kibaya kwa kuwaamini watu, lakini kuna kitu hatari kwa kuamini kwa urahisi sana. Maisha yametufundisha kuwa sio kila anayekusikiliza anakusikiliza kwa mapenzi, wengine wanakusanya data. Wengine wanangojea, kwa subira, kwa wakati sahihi wa kutumia maneno yako dhidi yako. Rafiki leo anaweza kuwa mgeni kesho. Mpenzi leo anaweza kuwa adui wiki ijayo. Huyo mwenzako, huyo jamaa, huyo mtu unayemtajia wakati wote ni mtamu, wanaweza kuficha siri yako wakati mambo yanaharibika? Wengi hawawezi. Wengi hawataweza. Kwa hivyo, weka siri zako, siri. Ikiwa huwezi kuiweka mwenyewe, kwa nini unapaswa kutarajia mtu mwingine? Ikiwa kina kina sana kwako kubeba peke yako, kuwa mwangalifu unaiweka mikononi mwa nani. Baadhi ya watu ni wadogo. Hawaachi tu na kuondoka; lazima wachafue weupe wako kabla hawajaondoka. Ni lazima wakuvute kwenye matope, lazima wafichue kile kilichokusudiwa kuwa kitakatifu, lazima watumie wanachokijua kukuletea aibu. Na ndio maana lazima uwe na hekima. Zingatia kile unachoshiriki wakati jua linawaka katika urafiki wako. Kuwa mwangalifu kile unachosema wakati kila kitu ni cha kimapenzi na cha kupendeza. Kwa sababu upendo ni mtamu, lakini watu wengine wanapoanguka kutoka kwa upendo, hugeuka kuwa mbwa mwitu.

    Wapende watu, lakini usiwe mjinga. Sio kila anayekusikia atakulinda. Na misimu inapobadilika, uhusiano unapovunjika, urafiki unapoisha, utatamani ungejiwekea mambo fulani. Uwe mwenye busara. Uwe na hekima. Zuia nyeupe yako isichafuke.

    KUWA MAKINI UNAYEMSHIRIKISHA SIRI ZAKO... Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone jinsi wanaume waliokomaa wenye ndevu na wanawake wakubwa wenye mawigi ya bei wanavyojidhalilisha. Unapoona jinsi watu wanavyoshiriki mambo ya faragha kwenye maeneo ya umma, utaelewa kwa nini mambo fulani yanakusudiwa kuwa siri. Kutoka kona moja hadi nyingine, kwa nia ya kumrudia aliyewaudhi, watu wanashuka sana, na hawajali jinsi chochote watakachofichua kitawaathiri katika siku zijazo, wanachojali ni kumpiga yule wanayehisi kukanyagwa kwenye vidole vyao. Kuanzia mazungumzo yaliyovuja, video kuvuja, hadi mazungumzo ya faragha, nilichojifunza ni kwamba sio kila mtu anayetabasamu na wewe ana uwezo wa kutunza siri zako. Mitandao ya kijamii imetufundisha somo hili kwa njia ya kikatili zaidi. Tumeona marafiki waliopendana mara moja, mahusiano ya mara moja-tamu, ushirikiano wa mara moja-imara ukiporomoka katika ushindani mkali, na siri zilizomwagika kama maji machafu mitaani. Tumeona maungamo ya kibinafsi yakigeuzwa kuwa fedheha hadharani, na uaminifu mkubwa ukivunjwa na chapisho moja, maoni moja, kufichuliwa mara moja. Watu wengine wana kuhara kwa mdomo. Hawajui jinsi ya kushikilia kile walichoambiwa kwa ujasiri. Hawaoni siri kuwa takatifu; wanaziona kama silaha, kimya kwa sasa, lakini tayari kuachiliwa wakati mawimbi yanabadilika. Na mawimbi hubadilika kila wakati. Hakuna kitu kibaya kwa kuwaamini watu, lakini kuna kitu hatari kwa kuamini kwa urahisi sana. Maisha yametufundisha kuwa sio kila anayekusikiliza anakusikiliza kwa mapenzi, wengine wanakusanya data. Wengine wanangojea, kwa subira, kwa wakati sahihi wa kutumia maneno yako dhidi yako. Rafiki leo anaweza kuwa mgeni kesho. Mpenzi leo anaweza kuwa adui wiki ijayo. Huyo mwenzako, huyo jamaa, huyo mtu unayemtajia wakati wote ni mtamu, wanaweza kuficha siri yako wakati mambo yanaharibika? Wengi hawawezi. Wengi hawataweza. Kwa hivyo, weka siri zako, siri. Ikiwa huwezi kuiweka mwenyewe, kwa nini unapaswa kutarajia mtu mwingine? Ikiwa kina kina sana kwako kubeba peke yako, kuwa mwangalifu unaiweka mikononi mwa nani. Baadhi ya watu ni wadogo. Hawaachi tu na kuondoka; lazima wachafue weupe wako kabla hawajaondoka. Ni lazima wakuvute kwenye matope, lazima wafichue kile kilichokusudiwa kuwa kitakatifu, lazima watumie wanachokijua kukuletea aibu. Na ndio maana lazima uwe na hekima. Zingatia kile unachoshiriki wakati jua linawaka katika urafiki wako. Kuwa mwangalifu kile unachosema wakati kila kitu ni cha kimapenzi na cha kupendeza. Kwa sababu upendo ni mtamu, lakini watu wengine wanapoanguka kutoka kwa upendo, hugeuka kuwa mbwa mwitu. Wapende watu, lakini usiwe mjinga. Sio kila anayekusikia atakulinda. Na misimu inapobadilika, uhusiano unapovunjika, urafiki unapoisha, utatamani ungejiwekea mambo fulani. Uwe mwenye busara. Uwe na hekima. Zuia nyeupe yako isichafuke.
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·677 Views
  • Rais wa Urusi , Vladimir Putin amewaalika Rais China , Xi Jinping na Rais wa Marekani , Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow.

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.

    Rais wa Urusi 🇷🇺, Vladimir Putin amewaalika Rais China 🇨🇳, Xi Jinping na Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow. Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·461 Views
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ameonya kuwa kama kundi la Hamas (Gaza) hawatawaachilia mateka wote wa Nchi ya Israel kufikia Jumamosi ya Wiki hii basi Dunia itashuhudia mashambulizi halisi katika eneo hilo. Onyo la Trump linakuja siku moja baada ya Kundi la Wapiganaji wa Hamas kuvunja makubaliano ya usitishwaji vita na Israel kwa kugoma kuendelea na zoezi la kuwaachia huru mateka wa Israel mpaka watakapotoa taarifa nyingine.

    Uamuzi huo wa Hamas umekuja siku chache baada ya Viongozi wake Wakuu kufanya ziara Nchini Iran na kukutana na Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khemenei ambaye aliwapongeza kwa kuendelea kusimama imara dhidi ya Israel. Trump wiki iliyopita alionya kuwa Gaza haitofaa kuwa eneo la kuishi chini ya Uongozi wa Hamas na kupendekeza kwamba Marekani ingependa kulichukua eneo hilo na kulisimamia huku Wakazi wa eneo hilo wakihamishiwa Nchi za Misri na Jordan .

    Rais huyo wa Marekani alisema Marekani ipo tayari kulinunua eneo hilo na kulimiliki na kuahidi kwamba Marekani italijenga na kulifanya kuwa eneo zuri la mfano Mashariki ya Kati. Kiufupi kundi la Hamas wanacheza na moto kwa sasa, Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ameviagiza Vikosi vya Israel kukaa tayari kwa mashambulizi mapya iwapo Kundi hilo la Hamas likigoma kutii maelekezo ya kuachia mateka.

    Marekani ndio imekuwa Nchi inayoipa misaada mikubwa ya kibinadamu na kiuchumi Gaza pamoja na kuizuia Israel kutokuifutilia mbali Gaza kwa miaka mingi sasa ambapo Hamas imekua ikifanya uchokozi. Ikumbukwe Trump ni kati ya Viongozi wa Marekani ambaye ana msimamo mkali mno dhidi ya kundi la Hamas na tokea kuanza kwa mapigano Oktoba 7 mwaka 2023 Trump alisema Israel inachopaswa kufanya ni kulifutilia mbali kundi hilo.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ameonya kuwa kama kundi la Hamas (Gaza) hawatawaachilia mateka wote wa Nchi ya Israel 🇮🇱 kufikia Jumamosi ya Wiki hii basi Dunia itashuhudia mashambulizi halisi katika eneo hilo. Onyo la Trump linakuja siku moja baada ya Kundi la Wapiganaji wa Hamas kuvunja makubaliano ya usitishwaji vita na Israel kwa kugoma kuendelea na zoezi la kuwaachia huru mateka wa Israel mpaka watakapotoa taarifa nyingine. Uamuzi huo wa Hamas umekuja siku chache baada ya Viongozi wake Wakuu kufanya ziara Nchini Iran 🇮🇷 na kukutana na Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khemenei ambaye aliwapongeza kwa kuendelea kusimama imara dhidi ya Israel. Trump wiki iliyopita alionya kuwa Gaza haitofaa kuwa eneo la kuishi chini ya Uongozi wa Hamas na kupendekeza kwamba Marekani ingependa kulichukua eneo hilo na kulisimamia huku Wakazi wa eneo hilo wakihamishiwa Nchi za Misri 🇪🇬 na Jordan 🇯🇴. Rais huyo wa Marekani alisema Marekani ipo tayari kulinunua eneo hilo na kulimiliki na kuahidi kwamba Marekani italijenga na kulifanya kuwa eneo zuri la mfano Mashariki ya Kati. Kiufupi kundi la Hamas wanacheza na moto kwa sasa, Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ameviagiza Vikosi vya Israel kukaa tayari kwa mashambulizi mapya iwapo Kundi hilo la Hamas likigoma kutii maelekezo ya kuachia mateka. Marekani ndio imekuwa Nchi inayoipa misaada mikubwa ya kibinadamu na kiuchumi Gaza pamoja na kuizuia Israel kutokuifutilia mbali Gaza kwa miaka mingi sasa ambapo Hamas imekua ikifanya uchokozi. Ikumbukwe Trump ni kati ya Viongozi wa Marekani ambaye ana msimamo mkali mno dhidi ya kundi la Hamas na tokea kuanza kwa mapigano Oktoba 7 mwaka 2023 Trump alisema Israel inachopaswa kufanya ni kulifutilia mbali kundi hilo.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·472 Views
  • Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC).

    Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi.

    Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23.

    Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya.

    Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi.

    Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao.

    Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii.

    "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka."

    Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko.

    "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns.

    "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi."

    Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu.

    Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake.
    (BBC Swahili)

    Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC). Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi. Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23. Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya. Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi. Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao. Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii. "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka." Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko. "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns. "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi." Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu. Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake. (BBC Swahili)
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·514 Views
  • #PART5

    Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite.

    Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo.

    Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba.

    Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay.

    April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha.

    March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.

    Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar.

    #MyaTake:
    1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo.

    2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje?

    3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu.

    4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo.

    5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu.

    6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.

    7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi.

    Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.!

    (Malisa GJ )

    #PART5 Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite. Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo. Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba. Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay. April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha. March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa. Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar. #MyaTake: 1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo. 2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje? 3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu. 4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo. 5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu. 6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe. 7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi. Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.! (Malisa GJ ✍️)
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • #PART12

    Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite.

    Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo.

    Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba.

    Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay.

    April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha.

    March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.!
    (Malisa GJ)

    #PART12 Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite. Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo. Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba. Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay. April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha. March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.! (Malisa GJ)
    0 Reacties ·0 aandelen ·956 Views
  • #PART4

    Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali.

    Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja.

    Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi.

    Ndiyo maana wanasema,

    "Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao."

    Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea.

    Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
    #PART4 Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali. Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja. Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi. Ndiyo maana wanasema, "Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao." Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea. Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
    0 Reacties ·0 aandelen ·417 Views
  • Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri.

    Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China.

    Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu.

    China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia.

    Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa?

    Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe.

    Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu.

    Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau.

    Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China.

    Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri. Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China. Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu. China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia. Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa? Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe. Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu. Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau. Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China. Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·679 Views
Zoekresultaten