• Leonel Ateba "Siwaogopi Yanga na staki kujua wachezaji wao wanacheza vipi ninachojua mimi nitawafunga kwenye derby "

    #paulswai
    Leonel Ateba ๐Ÿ—ฃ๏ธ"Siwaogopi Yanga na staki kujua wachezaji wao wanacheza vipi ninachojua mimi nitawafunga kwenye derby " #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 64 Views
  • ๐Ÿ—ฃ"Sisi tunahitaji kushinda kila mechi zetu iwe mabao manne hadi matano kwa mechi."- Fadlu Davids

    ๐Ÿ—ฃ"Tunaiheshimu Coastal Union najua itakuwa tofauti na tulivyocheza nao awali ngao ya jamii wameongezeka ubora na sisi pia tumekuwa bora, hivyo tutawapa heshima yao."- Fadlu Davids.
    #paulswai
    ๐Ÿ—ฃ"Sisi tunahitaji kushinda kila mechi zetu iwe mabao manne hadi matano kwa mechi."- Fadlu Davids ๐Ÿ—ฃ"Tunaiheshimu Coastal Union najua itakuwa tofauti na tulivyocheza nao awali ngao ya jamii wameongezeka ubora na sisi pia tumekuwa bora, hivyo tutawapa heshima yao."- Fadlu Davids. #paulswai
    Like
    2
    1 Comments 0 Shares 87 Views
  • Tarehe 7/10/2024 itachezeshwa draw ya makundi, siku sio nyingi tutawajua wapinzani wetu
    #paulswai
    Tarehe 7/10/2024 itachezeshwa draw ya makundi, siku sio nyingi tutawajua wapinzani wetu #paulswai
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 87 Views
  • ๐—จ๐—ฃ๐——๐—”๐—ง๐—˜๐—ฆ ||

    Mutale, Mzamiru Kagoma kuwakosa Dodoma Jiji

    Wachezaji wetu Joshua Mutale, Mzamiru Yasini na Yusuph Kagoma wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji FC

    Kocha mkuu Fadlu Davids amesema atawakosa wachezaji hao wakati akiwa Airport kuelekea Dodoma
    #paulswai
    ๐Ÿšจ ๐—จ๐—ฃ๐——๐—”๐—ง๐—˜๐—ฆ || Mutale, Mzamiru Kagoma kuwakosa Dodoma Jiji Wachezaji wetu Joshua Mutale, Mzamiru Yasini na Yusuph Kagoma wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji FC Kocha mkuu Fadlu Davids amesema atawakosa wachezaji hao wakati akiwa Airport kuelekea Dodoma #paulswai
    Haha
    2
    1 Comments 0 Shares 57 Views
  • TUTAWAKAANGA
    #paulswai
    TUTAWAKAANGA #paulswai
    Like
    Love
    4
    0 Comments 0 Shares 78 Views 12
  • “Najionea vituko tu! Kama Marehemu Hans Pope aliadhibiwa kwa kuongea redioni suala la Morisson liliokuwa kwenye Kamati, sembuse hawa walioenda na Mkataba hadharani? TFF isipochukua hatua sitawaelewa!!”

    — Crescentius Magori.
    #paulswai
    ๐Ÿ’ฌ “Najionea vituko tu! Kama Marehemu Hans Pope aliadhibiwa kwa kuongea redioni suala la Morisson liliokuwa kwenye Kamati, sembuse hawa walioenda na Mkataba hadharani? TFF isipochukua hatua sitawaelewa!!” — Crescentius Magori. #paulswai
    Like
    2
    1 Comments 0 Shares 104 Views
  • 15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
    16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
    17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
    18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
    19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
    20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.

    Wakolosai 1:15-20
    15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. 16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake. 17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja. 18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote. 19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake, 20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani. Wakolosai 1:15-20
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 191 Views
  • Kesho kitawaka #ubaya ubwela# Simba nguvu moja
    Kesho kitawaka #ubaya ubwela# Simba nguvu moja
    0 Comments 0 Shares 460 Views
  • CEO wa Bodi ya Ligi ALMAS KASONGO amesema kuwa msimu ujao wa ligi kuu watatoa adhabu kwa maofisa wa habari ambao watakiuka kanuni kwa kushindwa kuzungumzia mpira na kuchekesha.

    "Kuna muda nashangaa najiuliza huyu ni afisa Habari au Comedian,sasa adhabu itawahusu," CEO KASONGO
    ๐ŸšจCEO wa Bodi ya Ligi ALMAS KASONGO amesema kuwa msimu ujao wa ligi kuu watatoa adhabu kwa maofisa wa habari ambao watakiuka kanuni kwa kushindwa kuzungumzia mpira na kuchekesha. "Kuna muda nashangaa najiuliza huyu ni afisa Habari au Comedian,sasa adhabu itawahusu," CEO KASONGO
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 128 Views
  • Waambie sasa wakate tiketi utawaona watakavyotoka mbio #paulswai
    Waambie sasa wakate tiketi utawaona watakavyotoka mbio๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ #paulswai
    Like
    4
    1 Comments 0 Shares 90 Views 20
More Results