• Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama.

    Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais.

    Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine.

    Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani.

    Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema

    Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama.

    Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda.

    Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala.

    Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama. Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais. Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine. Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani. Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama. Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda. Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala. Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 219 Ansichten
  • Serikali ya Kenya yachukua hatua kali dhidi ya tuhuma za Raia wa Urusi kusambaza video za faragha.

    Serikali ya Kenya imeibuka hadharani na kulaani vikali tuhuma zinazomhusu raia mmoja wa Urusi anayeshukiwa kurekodi na kusambaza video zenye maudhui ya faragha zikihusisha Wanawake wa Kenya bila ridhaa yao.

    Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa Jijini Nairobi, mamlaka za Kenya zimeeleza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na haliwezi kuvumiliwa katika jamii inayoheshimu utu na haki za binadamu.

    Katika tamko hilo, serikali imeeleza kuwa tukio hilo ni “kubwa na lisilokubalika”, ikisisitiza kuwa hatua zote muhimu zitachukuliwa ili ukweli ujulikane na haki itendeke. Aidha, imewahakikishia waathirika wanaodaiwa kuwa watapatiwa msaada stahiki wa kisheria na kisaikolojia.

    Vilevile, mamlaka hizo zimeweka bayana kuwa Wahusika wote watakaobainika kuhusika na kitendo hicho watawajibishwa kwa mujibu wa sheria. Serikali imeongeza kuwa haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anayekiuka faragha na heshima ya wananchi.

    Kashfa hiyo imezua hasira kubwa katika mitandao ya kijamii na miongoni mwa Wananchi, huku wengi wakitaka sheria kali zaidi zichukuliwe dhidi ya wanaosambaza maudhui ya faragha bila idhini. Tukio hili limeibua tena mjadala mpana kuhusu ulinzi wa maisha binafsi na mapambano dhidi ya usambazaji wa maudhui ya faragha bila ridhaa nchini Kenya.

    Mamlaka husika zimebainisha kuwa uchunguzi rasmi unaendelea, na matokeo yake yatatangazwa pindi yatakapokamilika.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Serikali ya Kenya yachukua hatua kali dhidi ya tuhuma za Raia wa Urusi kusambaza video za faragha. Serikali ya Kenya imeibuka hadharani na kulaani vikali tuhuma zinazomhusu raia mmoja wa Urusi anayeshukiwa kurekodi na kusambaza video zenye maudhui ya faragha zikihusisha Wanawake wa Kenya bila ridhaa yao. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa Jijini Nairobi, mamlaka za Kenya zimeeleza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na haliwezi kuvumiliwa katika jamii inayoheshimu utu na haki za binadamu. Katika tamko hilo, serikali imeeleza kuwa tukio hilo ni “kubwa na lisilokubalika”, ikisisitiza kuwa hatua zote muhimu zitachukuliwa ili ukweli ujulikane na haki itendeke. Aidha, imewahakikishia waathirika wanaodaiwa kuwa watapatiwa msaada stahiki wa kisheria na kisaikolojia. Vilevile, mamlaka hizo zimeweka bayana kuwa Wahusika wote watakaobainika kuhusika na kitendo hicho watawajibishwa kwa mujibu wa sheria. Serikali imeongeza kuwa haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anayekiuka faragha na heshima ya wananchi. Kashfa hiyo imezua hasira kubwa katika mitandao ya kijamii na miongoni mwa Wananchi, huku wengi wakitaka sheria kali zaidi zichukuliwe dhidi ya wanaosambaza maudhui ya faragha bila idhini. Tukio hili limeibua tena mjadala mpana kuhusu ulinzi wa maisha binafsi na mapambano dhidi ya usambazaji wa maudhui ya faragha bila ridhaa nchini Kenya. Mamlaka husika zimebainisha kuwa uchunguzi rasmi unaendelea, na matokeo yake yatatangazwa pindi yatakapokamilika. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 107 Ansichten
  • Denis Mukwege ataka “Mazungumzo ya Kitaifa” kutatua tatizo la uongozi DRC.

    Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Dkt. Denis Mukwege, amesema kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inahitaji haraka “Mazungumzo ya Kitaifa” ili kupata suluhisho la kudumu kwa changamoto zinazoikabili nchi hiyo, hususan katika eneo la uongozi.

    Akizungumza kuhusu hali ya sasa ya nchi yake, Dkt. Mukwege alieleza kuwa kiini cha matatizo mengi yanayoikumba Congo ni ukosefu wa uongozi bora.

    “Iwapo leo Congo inapitia mateso yote tunayoshuhudia, ni kwa sababu tu ya uwepo wa uongozi mbovu. Kama kungekuwa na uongozi mzuri, kwa kawaida Congo ingeweza kulinda raia wake na kusimamia ipasavyo rasilimali zake za madini ambazo kwa sasa zinavunwa na kila aina ya walafi wanaozunguka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.”

    Kauli hiyo imekuja wakati nchi hiyo ikiendelea kukabiliwa na changamoto za kiusalama, migogoro ya silaha katika maeneo ya mashariki, pamoja na lawama za muda mrefu kuhusu usimamizi wa rasilimali asilia.

    Kwa mujibu wa Dkt. Mukwege, suluhisho la kweli halitapatikana kwa hatua za juu juu, bali kupitia mchakato mpana wa kitaifa utakaowaleta pamoja wadau wote muhimu—serikali, vyama vya siasa, Asasi za kiraia na Wawakilishi wa wananchi.

    Anaamini kuwa kupitia jukwaa hilo, taifa linaweza kujadili kwa uwazi matatizo ya kiutawala, uwajibikaji wa Viongozi, pamoja na namna bora ya kusimamia utajiri mkubwa wa madini uliopo nchini humo.

    DRC ni miongoni mwa mataifa yenye utajiri mkubwa wa madini duniani, ikiwemo cobalt, dhahabu na coltan. Hata hivyo, kwa miaka mingi, rasilimali hizo zimehusishwa na migogoro, rushwa na uingiliaji wa maslahi ya ndani na nje ya nchi.

    Kauli ya Dkt. Mukwege inachukuliwa na Wachambuzi wengi kama wito wa mageuzi ya kina katika mifumo ya uongozi na uwajibikaji, ili kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Wananchi badala ya makundi machache yenye nguvu.

    Kwa sasa, macho ya wengi yanaelekezwa kuona iwapo wito huo wa “Mazungumzo ya Kitaifa” utapokelewa na mamlaka husika na kuwa mwanzo wa mabadiliko yanayohitajika nchini Congo.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Denis Mukwege ataka “Mazungumzo ya Kitaifa” kutatua tatizo la uongozi DRC. Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Dkt. Denis Mukwege, amesema kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inahitaji haraka “Mazungumzo ya Kitaifa” ili kupata suluhisho la kudumu kwa changamoto zinazoikabili nchi hiyo, hususan katika eneo la uongozi. Akizungumza kuhusu hali ya sasa ya nchi yake, Dkt. Mukwege alieleza kuwa kiini cha matatizo mengi yanayoikumba Congo ni ukosefu wa uongozi bora. “Iwapo leo Congo inapitia mateso yote tunayoshuhudia, ni kwa sababu tu ya uwepo wa uongozi mbovu. Kama kungekuwa na uongozi mzuri, kwa kawaida Congo ingeweza kulinda raia wake na kusimamia ipasavyo rasilimali zake za madini ambazo kwa sasa zinavunwa na kila aina ya walafi wanaozunguka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.” Kauli hiyo imekuja wakati nchi hiyo ikiendelea kukabiliwa na changamoto za kiusalama, migogoro ya silaha katika maeneo ya mashariki, pamoja na lawama za muda mrefu kuhusu usimamizi wa rasilimali asilia. Kwa mujibu wa Dkt. Mukwege, suluhisho la kweli halitapatikana kwa hatua za juu juu, bali kupitia mchakato mpana wa kitaifa utakaowaleta pamoja wadau wote muhimu—serikali, vyama vya siasa, Asasi za kiraia na Wawakilishi wa wananchi. Anaamini kuwa kupitia jukwaa hilo, taifa linaweza kujadili kwa uwazi matatizo ya kiutawala, uwajibikaji wa Viongozi, pamoja na namna bora ya kusimamia utajiri mkubwa wa madini uliopo nchini humo. DRC ni miongoni mwa mataifa yenye utajiri mkubwa wa madini duniani, ikiwemo cobalt, dhahabu na coltan. Hata hivyo, kwa miaka mingi, rasilimali hizo zimehusishwa na migogoro, rushwa na uingiliaji wa maslahi ya ndani na nje ya nchi. Kauli ya Dkt. Mukwege inachukuliwa na Wachambuzi wengi kama wito wa mageuzi ya kina katika mifumo ya uongozi na uwajibikaji, ili kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Wananchi badala ya makundi machache yenye nguvu. Kwa sasa, macho ya wengi yanaelekezwa kuona iwapo wito huo wa “Mazungumzo ya Kitaifa” utapokelewa na mamlaka husika na kuwa mwanzo wa mabadiliko yanayohitajika nchini Congo. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 91 Ansichten
  • Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba.

    Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika.

    Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa.

    Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje.

    “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.”

    Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa.

    Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba.

    Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika.

    Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama.

    Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria.

    Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba. Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika. Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa. Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje. “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.” Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa. Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba. Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika. Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama. Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria. Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 95 Ansichten
  • ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele .

    1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa .

    2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo .

    3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho .

    ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) .

    ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza .

    1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira .

    2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi )

    3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien .

    4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana .

    NOTE :

    1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira )

    2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi

    3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni .

    4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi .

    5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma

    FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien

    - Kelvin Rabson, Mchambuzi.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele . 1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa . 2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo . 3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho . ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) . ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza . 1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira . 2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi ) 3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien . 4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana . NOTE : 1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira ) 2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi 🔥 3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni . 4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi . 5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma ✅ FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien - Kelvin Rabson, Mchambuzi. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 251 Ansichten
  • Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”.

    Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili.

    Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda.

    Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.”

    Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa.

    Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.”

    Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.”

    Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.”

    Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja.

    Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”. Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili. Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda. Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.” Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa. Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.” Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.” Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.” Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja. Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 154 Ansichten
  • Kim Jong Un ampandisha Binti yake Kim Ju Ae kuwa Mrithi wa uongozi wa Korea Kaskazini.

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, anatarajiwa kumtangaza rasmi Binti yake, Kim Ju Ae, kuwa Mrithi wake wa uongozi wa taifa hilo lenye utawala wa kifamilia unaodumu kwa miongo kadhaa.

    Hatua hiyo, iwapo itathibitishwa rasmi, itaashiria mabadiliko makubwa katika siasa za Pyongyang, ambako uongozi umekuwa ukirithishwa ndani ya familia ya Kim tangu kuanzishwa kwa taifa hilo mwaka 1948.

    Kwa mujibu wa taarifa zinazoibuka kutoka duru za kisiasa na Wachambuzi wa masuala ya Korea Kaskazini, Kim Jong Un anaelekea kumpa Binti yake nafasi ya juu katika mfumo wa uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Korea, hatua itakayomuweka wazi kama Mrithi halali wa madaraka.

    Chanzo kimoja cha kisiasa kimenukuliwa kikisema: "Maandalizi ya kumtambulisha Kim Ju Ae kama Mrithi yamekuwa yakifanyika kimyakimya kwa muda sasa."

    Katika miezi ya hivi karibuni, Kim Ju Ae ameonekana mara kadhaa katika hafla za kijeshi na kitaifa akiwa sambamba na Baba yake, jambo lililotafsiriwa na Wachambuzi kama ishara ya maandalizi ya kisiasa.

    Mchambuzi mmoja wa siasa za Asia Mashariki amesema: "Kuonekana kwake hadharani katika matukio ya kijeshi ni ujumbe wa wazi kwa ndani na nje ya nchi kwamba anajengwa kama kiongozi ajaye."

    Iwapo Kim Ju Ae atatangazwa rasmi kuwa Mrithi, atakuwa Mwanamke wa kwanza katika historia ya Korea Kaskazini kurithi uongozi wa taifa hilo linaloongozwa kwa mfumo wa kifalme wa kisiasa.

    Hata hivyo, serikali ya Korea Kaskazini bado haijatoa tamko rasmi kuthibitisha hatua hiyo.

    Wachambuzi wanaamini kuwa tangazo rasmi linaweza kuwa na athari kubwa kwa siasa za ndani ya nchi pamoja na uhusiano wa kimataifa, hasa kwa mataifa yenye mvutano wa muda mrefu na Pyongyang.

    Kwa sasa, dunia inasubiri kuona ikiwa hatua hiyo itathibitishwa rasmi na mamlaka za Korea Kaskazini.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Kim Jong Un ampandisha Binti yake Kim Ju Ae kuwa Mrithi wa uongozi wa Korea Kaskazini. Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, anatarajiwa kumtangaza rasmi Binti yake, Kim Ju Ae, kuwa Mrithi wake wa uongozi wa taifa hilo lenye utawala wa kifamilia unaodumu kwa miongo kadhaa. Hatua hiyo, iwapo itathibitishwa rasmi, itaashiria mabadiliko makubwa katika siasa za Pyongyang, ambako uongozi umekuwa ukirithishwa ndani ya familia ya Kim tangu kuanzishwa kwa taifa hilo mwaka 1948. Kwa mujibu wa taarifa zinazoibuka kutoka duru za kisiasa na Wachambuzi wa masuala ya Korea Kaskazini, Kim Jong Un anaelekea kumpa Binti yake nafasi ya juu katika mfumo wa uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Korea, hatua itakayomuweka wazi kama Mrithi halali wa madaraka. Chanzo kimoja cha kisiasa kimenukuliwa kikisema: "Maandalizi ya kumtambulisha Kim Ju Ae kama Mrithi yamekuwa yakifanyika kimyakimya kwa muda sasa." Katika miezi ya hivi karibuni, Kim Ju Ae ameonekana mara kadhaa katika hafla za kijeshi na kitaifa akiwa sambamba na Baba yake, jambo lililotafsiriwa na Wachambuzi kama ishara ya maandalizi ya kisiasa. Mchambuzi mmoja wa siasa za Asia Mashariki amesema: "Kuonekana kwake hadharani katika matukio ya kijeshi ni ujumbe wa wazi kwa ndani na nje ya nchi kwamba anajengwa kama kiongozi ajaye." Iwapo Kim Ju Ae atatangazwa rasmi kuwa Mrithi, atakuwa Mwanamke wa kwanza katika historia ya Korea Kaskazini kurithi uongozi wa taifa hilo linaloongozwa kwa mfumo wa kifalme wa kisiasa. Hata hivyo, serikali ya Korea Kaskazini bado haijatoa tamko rasmi kuthibitisha hatua hiyo. Wachambuzi wanaamini kuwa tangazo rasmi linaweza kuwa na athari kubwa kwa siasa za ndani ya nchi pamoja na uhusiano wa kimataifa, hasa kwa mataifa yenye mvutano wa muda mrefu na Pyongyang. Kwa sasa, dunia inasubiri kuona ikiwa hatua hiyo itathibitishwa rasmi na mamlaka za Korea Kaskazini. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 154 Ansichten
  • URUSI YAONYA KUCHUKUA HATUA ZA KIJESHI IWAPO GREENLAND ITAWEKWA KIJESHI

    Urusi imeonya kwamba itachukua hatua za kijeshi iwapo Greenland itawekwa miundombinu ya kijeshi itakayochukuliwa kuwa tishio kwa usalama wake, katika hatua inayoongeza tahadhari ya kiusalama katika eneo la Arctic.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow haitakaa kimya endapo kutakuwa na ongezeko la uwepo wa kijeshi katika kisiwa hicho kilicho chini ya utawala wa Denmark.

    “Endapo Greenland itawekwa kijeshi na uwezo huo kuelekezwa dhidi ya Urusi, tutachukua hatua stahiki za kulinganisha, ikiwemo za kijeshi na kiufundi.”

    Lavrov amesisitiza kuwa suala la mustakabali wa Greenland linapaswa kuamuliwa na wahusika wakuu wanaohusika moja kwa moja.

    “Marekani, Denmark na Greenland wanapaswa kushughulikia suala hili wenyewe.”

    Greenland, ambayo ina mamlaka ya ndani lakini iko chini ya Ufalme wa Denmark, imekuwa na umuhimu wa kimkakati kutokana na nafasi yake katika eneo la Arctic. Ukanda huo umeendelea kuwa kitovu cha ushindani wa kijiografia na kijeshi kati ya mataifa makubwa, hasa katika muktadha wa mabadiliko ya tabianchi na njia mpya za usafirishaji pamoja na rasilimali asilia.

    Urusi imekuwa ikisisitiza mara kwa mara kwamba eneo la Arctic linapaswa kubaki kuwa eneo la ushirikiano na amani.

    “Tunataka Arctic ibaki eneo la amani na ushirikiano.”

    Hadi sasa, hakujakuwa na tangazo rasmi la uwekaji mpya wa kijeshi Greenland, lakini kauli ya Moscow inaashiria kuongezeka kwa mvutano wa kimkakati katika eneo hilo.

    Toa maoni yako
    #Habari
    URUSI YAONYA KUCHUKUA HATUA ZA KIJESHI IWAPO GREENLAND ITAWEKWA KIJESHI Urusi imeonya kwamba itachukua hatua za kijeshi iwapo Greenland itawekwa miundombinu ya kijeshi itakayochukuliwa kuwa tishio kwa usalama wake, katika hatua inayoongeza tahadhari ya kiusalama katika eneo la Arctic. Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow haitakaa kimya endapo kutakuwa na ongezeko la uwepo wa kijeshi katika kisiwa hicho kilicho chini ya utawala wa Denmark. “Endapo Greenland itawekwa kijeshi na uwezo huo kuelekezwa dhidi ya Urusi, tutachukua hatua stahiki za kulinganisha, ikiwemo za kijeshi na kiufundi.” Lavrov amesisitiza kuwa suala la mustakabali wa Greenland linapaswa kuamuliwa na wahusika wakuu wanaohusika moja kwa moja. “Marekani, Denmark na Greenland wanapaswa kushughulikia suala hili wenyewe.” Greenland, ambayo ina mamlaka ya ndani lakini iko chini ya Ufalme wa Denmark, imekuwa na umuhimu wa kimkakati kutokana na nafasi yake katika eneo la Arctic. Ukanda huo umeendelea kuwa kitovu cha ushindani wa kijiografia na kijeshi kati ya mataifa makubwa, hasa katika muktadha wa mabadiliko ya tabianchi na njia mpya za usafirishaji pamoja na rasilimali asilia. Urusi imekuwa ikisisitiza mara kwa mara kwamba eneo la Arctic linapaswa kubaki kuwa eneo la ushirikiano na amani. “Tunataka Arctic ibaki eneo la amani na ushirikiano.” Hadi sasa, hakujakuwa na tangazo rasmi la uwekaji mpya wa kijeshi Greenland, lakini kauli ya Moscow inaashiria kuongezeka kwa mvutano wa kimkakati katika eneo hilo. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 121 Ansichten
  • Mbunge wa Congo aibua taharuki baada ya kudaiwa kuchaguliwa pia Uganda.

    Kashfa ya kisiasa imeibuka na kuzua mjadala mzito katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baada ya taarifa kudai kuwa Mbunge wa kitaifa aliyechaguliwa mwaka 2023 nchini humo, amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa kitaifa nchini Uganda mwaka 2026.

    Robert Agenonga, ambaye alichaguliwa mwaka 2023 katika jimbo la Mahagi, Mkoani Ituri, kwa takribani kura 20,000, sasa anatajwa kuwa katikati ya mzozo mkubwa wa kisiasa.

    Agenonga aliingia Bungeni kupitia Muungano wa kisiasa wa 4AC, unaohusishwa kwa karibu na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa zamani, Peter Kazadi, pamoja na Waziri Msaidizi wa sasa wa Ulinzi, Eliezer Ntambwe.

    Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vinavyoelezwa kuwa vinafanana katika taarifa zao, Mbunge huyo wa Congo alichaguliwa kuwa Mbunge wa kitaifa nchini Uganda mwaka 2026. Ikiwa madai hayo yatathibitishwa rasmi, hali hiyo inaweza kuibua maswali mazito ya kisheria na kisiasa.

    Wachambuzi wa masuala ya utawala wanaeleza kuwa tukio hilo linaweza kugusa moja kwa moja hoja ya uraia wa nchi mbili, uaminifu wa kikatiba kwa taasisi za taifa, pamoja na uhalali wa mchakato wa uchaguzi katika nchi zote mbili. Sheria za uchaguzi na katiba za mataifa hayo zina masharti yanayohusu utiifu wa Viongozi kwa dola moja, jambo linaloweza kuathiri hadhi ya uwakilishi wake.

    Hadi kufikia sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa na Robert Agenonga mwenyewe wala mamlaka za Congo kuhusiana na taarifa hizo. Hata hivyo, sakata hili linaelezwa kuwa linaweza kuchukua sura ya kitaifa na hata kuathiri uhusiano wa kidiplomasia kati ya Kinshasa na Kampala iwapo litathibitishwa.

    Maendeleo zaidi yanatarajiwa huku umma ukisubiri kauli ya Wahusika na taasisi husika kuhusu uhalali wa madai hayo.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Mbunge wa Congo aibua taharuki baada ya kudaiwa kuchaguliwa pia Uganda. Kashfa ya kisiasa imeibuka na kuzua mjadala mzito katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baada ya taarifa kudai kuwa Mbunge wa kitaifa aliyechaguliwa mwaka 2023 nchini humo, amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa kitaifa nchini Uganda mwaka 2026. Robert Agenonga, ambaye alichaguliwa mwaka 2023 katika jimbo la Mahagi, Mkoani Ituri, kwa takribani kura 20,000, sasa anatajwa kuwa katikati ya mzozo mkubwa wa kisiasa. Agenonga aliingia Bungeni kupitia Muungano wa kisiasa wa 4AC, unaohusishwa kwa karibu na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa zamani, Peter Kazadi, pamoja na Waziri Msaidizi wa sasa wa Ulinzi, Eliezer Ntambwe. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vinavyoelezwa kuwa vinafanana katika taarifa zao, Mbunge huyo wa Congo alichaguliwa kuwa Mbunge wa kitaifa nchini Uganda mwaka 2026. Ikiwa madai hayo yatathibitishwa rasmi, hali hiyo inaweza kuibua maswali mazito ya kisheria na kisiasa. Wachambuzi wa masuala ya utawala wanaeleza kuwa tukio hilo linaweza kugusa moja kwa moja hoja ya uraia wa nchi mbili, uaminifu wa kikatiba kwa taasisi za taifa, pamoja na uhalali wa mchakato wa uchaguzi katika nchi zote mbili. Sheria za uchaguzi na katiba za mataifa hayo zina masharti yanayohusu utiifu wa Viongozi kwa dola moja, jambo linaloweza kuathiri hadhi ya uwakilishi wake. Hadi kufikia sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa na Robert Agenonga mwenyewe wala mamlaka za Congo kuhusiana na taarifa hizo. Hata hivyo, sakata hili linaelezwa kuwa linaweza kuchukua sura ya kitaifa na hata kuathiri uhusiano wa kidiplomasia kati ya Kinshasa na Kampala iwapo litathibitishwa. Maendeleo zaidi yanatarajiwa huku umma ukisubiri kauli ya Wahusika na taasisi husika kuhusu uhalali wa madai hayo. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 140 Ansichten
  • Venezuela yapeleka mafuta kwa mara ya kwanza Israel baada ya kutolewa madarakani kwa Maduro.

    Caracas, Venezuela, Venezuela imesafirisha kwa mara ya kwanza shehena ya mafuta kwenda Israel, hatua ambayo inakadiria kuashiria mabadiliko katika sera zake za kigeni na biashara baada ya kuondolewa madarakani kwa Rais Nicolás Maduro.

    Kwa miaka mingi, Venezuela haikuwa na uhusiano wa kibiashara na Israel. Hii ilianza mwaka 2009 wakati Rais Hugo Chávez alipotangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel, uamuzi ambao ulidumu chini ya utawala wa Maduro.

    Taarifa za hivi karibuni zinaonyesha kuwa shehena ya mafuta kutoka Venezuela imepelekwa kwa Bazan Group, kampuni ya kusafisha mafuta ya Israel, ikionyesha kuwa licha ya kutokuwepo kwa uhusiano rasmi wa kidiplomasia, masoko ya mafuta yameanza kufunguka.

    Uchunguzi wa historia unaonesha kuwa mafuta ya Venezuela yalifikia Israel mara ya mwisho mnamo mwaka 2020, na takriban bareli 470,000 zikiwa zimepelekwa. Hatua hii ya sasa inaashiria juhudi za Venezuela kupanua masoko yake ya mafuta nje ya soko la Asia, ambalo limekuwa likitumia mafuta mengi ya Venezuela kwa miaka ya karibuni.

    Wachambuzi wa masuala ya kimataifa wanashauri kufuatilia hatua hii, kwani inaweza kuwa ishara ya mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi katika mwelekeo wa sera za nje za Venezuela.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Venezuela yapeleka mafuta kwa mara ya kwanza Israel baada ya kutolewa madarakani kwa Maduro. Caracas, Venezuela, Venezuela imesafirisha kwa mara ya kwanza shehena ya mafuta kwenda Israel, hatua ambayo inakadiria kuashiria mabadiliko katika sera zake za kigeni na biashara baada ya kuondolewa madarakani kwa Rais Nicolás Maduro. Kwa miaka mingi, Venezuela haikuwa na uhusiano wa kibiashara na Israel. Hii ilianza mwaka 2009 wakati Rais Hugo Chávez alipotangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel, uamuzi ambao ulidumu chini ya utawala wa Maduro. Taarifa za hivi karibuni zinaonyesha kuwa shehena ya mafuta kutoka Venezuela imepelekwa kwa Bazan Group, kampuni ya kusafisha mafuta ya Israel, ikionyesha kuwa licha ya kutokuwepo kwa uhusiano rasmi wa kidiplomasia, masoko ya mafuta yameanza kufunguka. Uchunguzi wa historia unaonesha kuwa mafuta ya Venezuela yalifikia Israel mara ya mwisho mnamo mwaka 2020, na takriban bareli 470,000 zikiwa zimepelekwa. Hatua hii ya sasa inaashiria juhudi za Venezuela kupanua masoko yake ya mafuta nje ya soko la Asia, ambalo limekuwa likitumia mafuta mengi ya Venezuela kwa miaka ya karibuni. Wachambuzi wa masuala ya kimataifa wanashauri kufuatilia hatua hii, kwani inaweza kuwa ishara ya mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi katika mwelekeo wa sera za nje za Venezuela. Toa maoni yako #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 216 Ansichten
  • Heathrow Airport to Brighton Taxi – Britway Airport Transfer

    Travel from Heathrow to Brighton in comfort and style . Our reliable taxi service offers smooth, stress-free transfers with professional drivers and fixed pricing . Perfect for business trips or seaside getaways!

    Explore now: [email protected]

    Call us: +44 203 627 2111
    Visit: https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-brighton-taxi/

    On-time pickups
    Clean, comfortable vehicles
    24/7 service

    #HeathrowToBrighton #AirportTaxiUK #BritwayTransfers #BrightonTaxi #AirportTransfer #TravelInComfort
    🚕🌊 Heathrow Airport to Brighton Taxi – Britway Airport Transfer Travel from Heathrow to Brighton in comfort and style 😌🧳. Our reliable taxi service offers smooth, stress-free transfers with professional drivers and fixed pricing 🚦✨. Perfect for business trips or seaside getaways! 📧 Explore now: [email protected] 📞 Call us: +44 203 627 2111 🌐 Visit: https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-brighton-taxi/ ✔️ On-time pickups ✔️ Clean, comfortable vehicles ✔️ 24/7 service #HeathrowToBrighton #AirportTaxiUK #BritwayTransfers #BrightonTaxi #AirportTransfer #TravelInComfort
    0 Kommentare 0 Anteile 317 Ansichten
  • Dr. Owuor wa Kenya azua gumzo Mitandaoni baada ya kudai kuwa na mazungumzo na Mungu kupitia WhatsApp.

    Mhubiri maarufu kutoka Nchini Kenya, Dr. David Owuor, ameibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii baada ya kudai tena kuwa ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu kupitia mtandao wa WhatsApp.

    Kupitia ujumbe na vielelezo vinavyosambaa mitandaoni, Dr. Owuor ameonyesha kile anachodai kuwa ni mazungumzo yake na Mungu, jambo lililozua mshangao, maswali na mitazamo tofauti miongoni mwa waumini na Watumiaji wa mitandao ya kijamii.

    Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, Mhubiri huyo amesema kuwa si mara ya kwanza kwa yeye kuwasiliana na Mungu kwa njia hiyo, akieleza kuwa sasa imekuwa ni mawasiliano ya karibu yanayotokea mara kwa mara.

    “Nimekuwa nikizungumza na Mungu kila siku kupitia WhatsApp,” imedaiwa kuwa ni kauli inayohusishwa na Mhubiri huyo, kauli ambayo imezua mjadala mpana kuhusu mipaka ya imani, teknolojia na tafsiri ya mawasiliano ya kiroho katika zama za kisasa.

    Wapo wanaomuunga mkono wakisema kuwa Mungu anaweza kutumia njia yoyote kuwasiliana na Wanadamu, huku wengine wakipinga vikali wakidai madai hayo hayana uthibitisho wa wazi na yanaweza kuwapotosha Waumini.

    Hadi sasa, Dr. Owuor hajaweka wazi kwa kina namna mawasiliano hayo yanavyofanyika wala kutoa uthibitisho rasmi unaothibitisha madai yake, lakini tukio hilo limeendelea kutawala mijadala katika majukwaa mbalimbali ya kijamii Afrika Mashariki na kwingineko.

    Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu huku likizua maswali mapya kuhusu nafasi ya teknolojia katika masuala ya kiimani na kiroho.

    Toa maoni yako
    Dr. Owuor wa Kenya azua gumzo Mitandaoni baada ya kudai kuwa na mazungumzo na Mungu kupitia WhatsApp. Mhubiri maarufu kutoka Nchini Kenya, Dr. David Owuor, ameibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii baada ya kudai tena kuwa ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu kupitia mtandao wa WhatsApp. Kupitia ujumbe na vielelezo vinavyosambaa mitandaoni, Dr. Owuor ameonyesha kile anachodai kuwa ni mazungumzo yake na Mungu, jambo lililozua mshangao, maswali na mitazamo tofauti miongoni mwa waumini na Watumiaji wa mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, Mhubiri huyo amesema kuwa si mara ya kwanza kwa yeye kuwasiliana na Mungu kwa njia hiyo, akieleza kuwa sasa imekuwa ni mawasiliano ya karibu yanayotokea mara kwa mara. “Nimekuwa nikizungumza na Mungu kila siku kupitia WhatsApp,” imedaiwa kuwa ni kauli inayohusishwa na Mhubiri huyo, kauli ambayo imezua mjadala mpana kuhusu mipaka ya imani, teknolojia na tafsiri ya mawasiliano ya kiroho katika zama za kisasa. Wapo wanaomuunga mkono wakisema kuwa Mungu anaweza kutumia njia yoyote kuwasiliana na Wanadamu, huku wengine wakipinga vikali wakidai madai hayo hayana uthibitisho wa wazi na yanaweza kuwapotosha Waumini. Hadi sasa, Dr. Owuor hajaweka wazi kwa kina namna mawasiliano hayo yanavyofanyika wala kutoa uthibitisho rasmi unaothibitisha madai yake, lakini tukio hilo limeendelea kutawala mijadala katika majukwaa mbalimbali ya kijamii Afrika Mashariki na kwingineko. Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu huku likizua maswali mapya kuhusu nafasi ya teknolojia katika masuala ya kiimani na kiroho. Toa maoni yako
    0 Kommentare 0 Anteile 150 Ansichten
  • Dr. Owuor wa Kenya azua gumzo Mitandaoni baada ya kudai kuwa na mazungumzo na Mungu kupitia WhatsApp.

    Mhubiri maarufu kutoka Nchini Kenya, Dr. David Owuor, ameibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii baada ya kudai tena kuwa ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu kupitia mtandao wa WhatsApp.

    Kupitia ujumbe na vielelezo vinavyosambaa mitandaoni, Dr. Owuor ameonyesha kile anachodai kuwa ni mazungumzo yake na Mungu, jambo lililozua mshangao, maswali na mitazamo tofauti miongoni mwa waumini na Watumiaji wa mitandao ya kijamii.

    Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, Mhubiri huyo amesema kuwa si mara ya kwanza kwa yeye kuwasiliana na Mungu kwa njia hiyo, akieleza kuwa sasa imekuwa ni mawasiliano ya karibu yanayotokea mara kwa mara.

    “Nimekuwa nikizungumza na Mungu kila siku kupitia WhatsApp,” imedaiwa kuwa ni kauli inayohusishwa na Mhubiri huyo, kauli ambayo imezua mjadala mpana kuhusu mipaka ya imani, teknolojia na tafsiri ya mawasiliano ya kiroho katika zama za kisasa.

    Wapo wanaomuunga mkono wakisema kuwa Mungu anaweza kutumia njia yoyote kuwasiliana na Wanadamu, huku wengine wakipinga vikali wakidai madai hayo hayana uthibitisho wa wazi na yanaweza kuwapotosha Waumini.

    Hadi sasa, Dr. Owuor hajaweka wazi kwa kina namna mawasiliano hayo yanavyofanyika wala kutoa uthibitisho rasmi unaothibitisha madai yake, lakini tukio hilo limeendelea kutawala mijadala katika majukwaa mbalimbali ya kijamii Afrika Mashariki na kwingineko.

    Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu huku likizua maswali mapya kuhusu nafasi ya teknolojia katika masuala ya kiimani na kiroho.

    Toa maoni yako
    Dr. Owuor wa Kenya azua gumzo Mitandaoni baada ya kudai kuwa na mazungumzo na Mungu kupitia WhatsApp. Mhubiri maarufu kutoka Nchini Kenya, Dr. David Owuor, ameibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii baada ya kudai tena kuwa ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu kupitia mtandao wa WhatsApp. Kupitia ujumbe na vielelezo vinavyosambaa mitandaoni, Dr. Owuor ameonyesha kile anachodai kuwa ni mazungumzo yake na Mungu, jambo lililozua mshangao, maswali na mitazamo tofauti miongoni mwa waumini na Watumiaji wa mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, Mhubiri huyo amesema kuwa si mara ya kwanza kwa yeye kuwasiliana na Mungu kwa njia hiyo, akieleza kuwa sasa imekuwa ni mawasiliano ya karibu yanayotokea mara kwa mara. “Nimekuwa nikizungumza na Mungu kila siku kupitia WhatsApp,” imedaiwa kuwa ni kauli inayohusishwa na Mhubiri huyo, kauli ambayo imezua mjadala mpana kuhusu mipaka ya imani, teknolojia na tafsiri ya mawasiliano ya kiroho katika zama za kisasa. Wapo wanaomuunga mkono wakisema kuwa Mungu anaweza kutumia njia yoyote kuwasiliana na Wanadamu, huku wengine wakipinga vikali wakidai madai hayo hayana uthibitisho wa wazi na yanaweza kuwapotosha Waumini. Hadi sasa, Dr. Owuor hajaweka wazi kwa kina namna mawasiliano hayo yanavyofanyika wala kutoa uthibitisho rasmi unaothibitisha madai yake, lakini tukio hilo limeendelea kutawala mijadala katika majukwaa mbalimbali ya kijamii Afrika Mashariki na kwingineko. Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu huku likizua maswali mapya kuhusu nafasi ya teknolojia katika masuala ya kiimani na kiroho. Toa maoni yako
    0 Kommentare 0 Anteile 105 Ansichten
  • Dubai Abu Dhabi vacation packages from My Travel Vibes are ideal for a relaxing and adventurous getaway. Experience world-famous attractions, scenic beaches, shopping hubs, and cultural sites. Our vacation packages offer flexible itineraries, quality hotels, and personalized services, ensuring a perfect balance of excitement and relaxation throughout your trip.

    Book Now - https://mytravelvibes.in
    Dubai Abu Dhabi vacation packages from My Travel Vibes are ideal for a relaxing and adventurous getaway. Experience world-famous attractions, scenic beaches, shopping hubs, and cultural sites. Our vacation packages offer flexible itineraries, quality hotels, and personalized services, ensuring a perfect balance of excitement and relaxation throughout your trip. Book Now - https://mytravelvibes.in
    MYTRAVELVIBES.IN
    Book Dubai & Abu Dhabi Tour Packages - MyTravelVibes
    Book Dubai & Abu Dhabi tours with MyTravelVibes. Best packages with visa, hotels, desert safari & city tours. Get instant quotes now!
    0 Kommentare 0 Anteile 736 Ansichten
  • Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

    Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani.

    Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema:

    “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.”

    Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza.

    Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita.

    Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo:

    “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.”

    Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel.

    Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya.

    Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi?

    Toa maoni yako
    Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita. Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani. Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema: “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.” Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza. Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita. Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo: “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.” Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel. Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya. Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi? Toa maoni yako
    Love
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 2KB Ansichten
  • Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema amejificha “mahali salama” baada ya jaribio la kumuua, kufuatia wiki kadhaa za maandamano yanayomtaka ajiuzulu.

    Kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye Facebook, Rajoelina (51) alidai kuwa kundi la wanajeshi na wanasiasa lilipanga kumuua, bila kufichua alipo. Ripoti ambazo hazijathibitishwa zinadai huenda alitoroka nchini kwa ndege ya kijeshi ya Ufaransa.

    Maandamano makubwa yanayoongozwa na vijana yamekuwa yakiendelea kote nchini, wakilalamikia hali ngumu ya kiuchumi na utawala wa kiimla. Serikali haijatoa tamko rasmi kuhusu jaribio hilo, huku hali ya taharuki ikiendelea katika mji mkuu, Antananarivo.

    Tufuatilie kupitia YouTube ya NIOKOE TV
    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema amejificha “mahali salama” baada ya jaribio la kumuua, kufuatia wiki kadhaa za maandamano yanayomtaka ajiuzulu. Kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye Facebook, Rajoelina (51) alidai kuwa kundi la wanajeshi na wanasiasa lilipanga kumuua, bila kufichua alipo. Ripoti ambazo hazijathibitishwa zinadai huenda alitoroka nchini kwa ndege ya kijeshi ya Ufaransa. Maandamano makubwa yanayoongozwa na vijana yamekuwa yakiendelea kote nchini, wakilalamikia hali ngumu ya kiuchumi na utawala wa kiimla. Serikali haijatoa tamko rasmi kuhusu jaribio hilo, huku hali ya taharuki ikiendelea katika mji mkuu, Antananarivo. 🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya NIOKOE TV
    0 Kommentare 0 Anteile 834 Ansichten
  • Discover autumn luxury in Vale do Lobo, where golden sunshine, serene beaches, and world-class golf courses await. Escape the crowds and enjoy private villa living, fine dining, and breathtaking sunsets. Perfect for a refined seasonal getaway, it’s the ultimate destination for relaxation and indulgence. Read more here about - https://www.regencyluxuryvillas.com/news/posts/2025/september/12/why-vale-do-lobo-is-the-ultimate-destination-for-a-luxury-villa-autumn-holiday/
    Discover autumn luxury in Vale do Lobo, where golden sunshine, serene beaches, and world-class golf courses await. Escape the crowds and enjoy private villa living, fine dining, and breathtaking sunsets. Perfect for a refined seasonal getaway, it’s the ultimate destination for relaxation and indulgence. Read more here about - https://www.regencyluxuryvillas.com/news/posts/2025/september/12/why-vale-do-lobo-is-the-ultimate-destination-for-a-luxury-villa-autumn-holiday/
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • When it comes to planning the perfect getaway, holiday rentals in Algarve have become a top choice for travelers who seek a blend of sun, sea, luxury, and leisure. Known for its golden beaches, charming towns, and exclusive resorts, the Algarve is a magnet for holidaymakers worldwide. Among its crown jewels are Vilamoura holiday rentals and the celebrated golf courses in Quinta do Lago, Vilamoura, and across the Algarve, making this region a paradise for those who love both relaxation and recreation. Read more here about - https://clik.social/read-blog/81227
    When it comes to planning the perfect getaway, holiday rentals in Algarve have become a top choice for travelers who seek a blend of sun, sea, luxury, and leisure. Known for its golden beaches, charming towns, and exclusive resorts, the Algarve is a magnet for holidaymakers worldwide. Among its crown jewels are Vilamoura holiday rentals and the celebrated golf courses in Quinta do Lago, Vilamoura, and across the Algarve, making this region a paradise for those who love both relaxation and recreation. Read more here about - https://clik.social/read-blog/81227
    CLIK.SOCIAL
    Holiday Rentals in Algarve: Explore Luxury Villas and World-Class Golf Courses
    When it comes to planning the perfect getaway, holiday rentals in Algarve have become a top choice for travelers who seek a blend of sun, sea, luxury, and leisure. Known for its golden beaches, charming towns, and exclusive resorts, the Algarve is a magnet for holidaymakers worldwide.
    0 Kommentare 0 Anteile 966 Ansichten
  • Victor Boniface: 🎙 "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani"

    "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika."

    Iman Sport News
    Victor Boniface: 🇳🇬🎙 "Kuidharau mili yenu na kupoteza pesa zenu kwa wanawake wengi hakutawapeleka popote maishani" "Sijui ni lini mtakuwa na hekima. Tafuteni mwanamke mmoja, au wawili, mkae nao vizuri! Ama Watatu na kama unapitia wakati mgumu sana, basi wanne wanakubalika." Iman Sport News
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • Zlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli.

    Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio.

    Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye”

    Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.”

    FOLLOW US
    🎙️Zlatan Ibrahimovic: "Katika Inter Milan, kulikuwa na sheria hii: ukipoteza michezo miwili mfululizo, mishahara yako ya kila wiki itacheleweshwa hadi tutakapofanya sawa. Lakini sheria hiyo ilivunjwa na Mario Balotelli. Tulipoteza kombe na mechi ya Seria A ndani ya siku tatu. Sote tulijua mishahara yetu ya kila wiki ingecheleweshwa. Wakati wa mazoezi, Balotelli hakupatikana popote. Mourinho alimpigia simu bila mafanikio. Dakika 30 baadaye, rais alikuja na Balotelli akiwa amekasirika na kutuambia, ‘Je, Mario anaweza kusoma Kiitaliano?’.. tukasema ‘Ndiyo’ .. lakini alikuja ofisini kwangu kutafuta pesa zake. Nikamwambia ni kushindwa mara mbili mfululizo na ni kucheleweshwa kwa mshahara. Aliniambia, Yeye hajali ikiwa ni 100 mfululizo; anataka malipo yake tu. Kuanzia leo nitawalipa na kuwaachilia wote mkitenda kama yeye” Tulilipwa kwa mara ya kwanza baada ya hasara mbili mfululizo. Tulianza kumpasia mpira zaidi ili kufunga kwa sababu alikuwa bora kuliko rais.” FOLLOW US
    Love
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 815 Ansichten
Suchergebnis