• Asante Aishi Manula muda wote uliokuwa sehemu ya kikosi cha Mnyama. Historia yako itadumu milele. #NguvuMoja

    #paulswai
    Asante Aishi Manula muda wote uliokuwa sehemu ya kikosi cha Mnyama. Historia yako itadumu milele. #NguvuMoja #paulswai
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·6 Views
  • ⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid!

    Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote.

    Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: Champions League – 5
    La Liga – 4
    Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup...

    Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye.

    #SportsElite
    🇪🇸⚪️ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid! Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote. 🗓️ Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: 🏆 Champions League – 5 🇪🇸 La Liga – 4 🎖️ Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup... 🔜 Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye. #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·25 Views
  • 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·83 Views
  • La kihistoria! Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao!

    🏟 Mechi: 63
    ⚽️ Mabao: 52
    Pasi za mabao: 29

    Takwimu za Messi katika taaluma yake:

    Mechi: 1108
    ⚽️ Mabao: 868
    Pasi za mabao: 385
    Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13

    Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea.

    #SportsElite
    La kihistoria! 🤯 Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao! 🐐 🏟 Mechi: 63 ⚽️ Mabao: 52 🎯 Pasi za mabao: 29 Takwimu za Messi katika taaluma yake: ✅ Mechi: 1108 ⚽️ Mabao: 868 🅰️ Pasi za mabao: 385 🔥 Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13 Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea. 🐐 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·64 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    🏟 Michezo - 182
    ⚽️ Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 🕊.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    🇵🇹 😢 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.😢 . Q🚨 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 🚨 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 🏟 Michezo - 182 ⚽️ Mabao - 65 🎯 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 😢 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii😭 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 💔 . 🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"😢 . Weka Alama hii 🙏 Kama kumuombea Diogo Jota. 💔 Mungu Atupe mwisho Mwema 💔🙏🕊. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Commentarios ·0 Acciones ·211 Views
  • Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1

    Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo

    Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play .

    (Source: Diario Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1 🔙 Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play . 💰 (Source: Diario Sport) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·120 Views
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Jayden Addai amekamilisha vipimo vya afya na atakuwa tayari kujiunga na Como muda wowote kwanzia sasa kwa ada ya €14m kutoka AZ⚪️

    #SportsElite
    🚨𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Jayden Addai amekamilisha vipimo vya afya na atakuwa tayari kujiunga na Como muda wowote kwanzia sasa kwa ada ya €14m kutoka AZ🔵⚪️ #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·69 Views
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 Commentarios ·0 Acciones ·597 Views
  • PETER TOSH (1944-1987)

    Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani.

    Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae.

    Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa.

    Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War."

    Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42.

    Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    PETER TOSH (1944-1987) Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani. Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae. Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa. Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War." Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42. Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·598 Views
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Commentarios ·0 Acciones ·641 Views
  • *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili*

    Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako .

    Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani..

    Mwanzo 27:27-29
    [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema,
    Tazama, harufu ya mwanangu
    Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana:

    [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
    Na ya manono ya nchi,
    Na wingi wa nafaka na mvinyo.
    :
    [29]Mataifa na wakutumikie
    Na makabila wakusujudie,
    Uwe bwana wa ndugu zako,
    Na wana wa mama yako na wakusujudie.
    alaaniwe,
    Na atakayekubariki abarikiwe.

    Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi

    Mwanzo 28:12-15
    [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake.
    And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it.
    [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako.

    [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.
    .
    [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.

    Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo .

    Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli .

    Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?)
    Mwanzo 29:18,21-22,25
    [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako

    [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    .
    [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali
    .
    [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


    Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe.

    Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha

    Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia.

    Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti.

    Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri.

    Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako.

    Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao.

    Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye .

    Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."*

    Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe.

    Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave .

    Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri.

    Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza .

    Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu .

    Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    #year of reformation and revival
    *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili* Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako . Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani.. Mwanzo 27:27-29 [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana: [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo. : [29]Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe. Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi Mwanzo 28:12-15 [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it. [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako. [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. . [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia. Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo . Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli . Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?) Mwanzo 29:18,21-22,25 [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake. . [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali . [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda? Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe. Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia. Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti. Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri. Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako. Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao. Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye . Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."* Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe. Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave . Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri. Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza . Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu . Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position #year of reformation and revival
    0 Commentarios ·0 Acciones ·643 Views
  • Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .

    Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.

    Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.

    Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .

    Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.

    Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.

    Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.

    Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.

    1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.

    Waamuzi 6:15

    [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*

    Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .

    Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .

    Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .

    Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.

    Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .

    Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .

    Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.

    Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.

    Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    #build new eden
    #restore men position
    Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·670 Views
  • Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe.

    Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa .

    Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu.

    Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa).

    1.love
    Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba.

    Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua .

    Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri .

    Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu.

    Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love.

    Kipindi cha pili kinaitwa realization.

    Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha .

    Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje.

    Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha .

    Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana .

    Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah.

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Kipindi cha tatu: Redemption period

    Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa .

    Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love .

    Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi.

    Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake.

    Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano

    Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa .

    Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho.

    Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry)

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe. Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa . Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu. Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa). 1.love Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba. Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua . Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri . Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu. Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love. Kipindi cha pili kinaitwa realization. Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha . Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje. Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha . Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana . Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah. Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Kipindi cha tatu: Redemption period Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa . Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love . Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi. Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake. Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa . Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho. Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry) Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·641 Views
  • Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·587 Views
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·704 Views
  • Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.


    Mithali 8:4
    [4]Enyi watu, nawaita ninyi;
    Na sauti yangu ni kwa wanadamu.

    Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.

    Mwanzo 1:26
    [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

    Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .

    Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.

    Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.

    Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.

    Mithali 8:13
    [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
    Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
    Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .

    Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    0 Commentarios ·0 Acciones ·633 Views
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·657 Views
  • Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha.

    Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena!

    Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi.

    Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha. Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena! Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi. Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Love
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·563 Views
  • Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·645 Views
  • 1 Yohana 3:1-3
    [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
    .
    [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.

    [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

    Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.

    Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.

    Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.

    Yohana 1:12-13
    [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

    [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

    Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.

    Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.

    Yohana 20:17
    [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

    Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.

    Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.

    Yohana 16:4
    [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.

    Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .

    Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)

    #Restoremenposition
    #Buildneweden
    1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden
    Yay
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·696 Views
Resultados de la búsqueda