• Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC)

    SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA

    Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa.

    Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo.

    1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa.

    pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo.

    Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma

    MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja.

    #PapillonTz
    Ameandika Mwalimu Yanga (Shabiki kindakindaki wa Yanga SC) SIMBA MARA WALITAKIWA KUSHUKA DARAJA Hii ndio maana halisi ya kaka kuwa muungwana kwa mdogo wake hata kama mdogo wake hampendi, kuna muda ilibidi kaka afanye uungwana ajishushe kumkubalia mdogo wake amshinde ili kumuokoa na kuna muda bro ilibidi ajishushe uwezo ili mpinzani achukue ubingwa ilimradi mdogo apone, yote haya yaliwahi kutokea kwenye ligi kuu ya hapa Tz, fatilia mkasa. Mara Tatu mfufululizo Simba ilinusurika kushuka daraja, na mara mbili Yanga iliinusuru katika michezo ya mwisho kabisa ya ligi hiyo. 1989 Yanga iliinusuru Simba kushuka daraja kwa kukubali suluhu kwenye mechi ya mwisho ya iliyokuwa Ligi daraja la kwanza (Leo ikiitwa Ligi kuu) ingetokea Simba wangefungwa tu, wangeshuka daraja na kwenda kuanzia kwenye ligi ya Mkoa. pia msimu wa 1988 Yanga ilikubali kukosa ubingwa ili tu Simba isishuke kwa kukukubali kichapo cha 2-1 ilhali ingetoa droo tu ingekuwa Bingwa wa mwaka huo. Halikadhalika msimu wa mwaka 1987 Tukuyu Stars a.ka Bhanyambala ilitoa ushirikiano na kuwaruhusu Simba kutoa sare ya 5-5 ili kuwanusuru kushuka darakja, Tukuyu Stars ilikuwa bado ipo kwenye form hasa ukizingatia kwamba mwaka uliopita 1986 walipanda daraja kuingia ligi kuu na kuchukua ubingwa mwaka huo huo, 1987 walikutana na Simba iliyokuwa ikichechemwa waliwavurumishia magoli bila huruma MUHIMU: Yanga ikikosa Ubingwa basi sanasana itakuwa ya Pili, Simba mara kadhaa wameponea Chupu Chupu kushuka daraja. #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 747 Views
  • Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara.

    #PapillonTz
    Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ametakaa kurudi kwa aliyekuwa Beki wao zamani Sergio Ramos (38) licha ya Mchezaji huyo kusema kuwa yuko tayari kujitolea kuichezea Real Madrid bila hata mshahara. #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 687 Views
  • Timu ya taifa ya Uganda imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu.

    Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi.

    FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville
    FT' : Burundi 0-0 Malawi

    #PapillonTz
    Timu ya taifa ya Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ imefanikiwa kufuzu AFCON 2025 kwa mara ya tisa (9) katika historia ya Timu hiyo. Uganda imefikia hatua hiyo baada ya Timu ya Congo Brazaville ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ kufungwa mabao 3-2 na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ kisha kuondoa kabisa uwezekano wa Congo kufuzu. Ikumbukwe kwamba kwenye kundi la Uganda, Timu hiyo imefuzu na pamoja na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini huku ikiwa na michezo miwili mkononi. FT': Sudan Kusini 3-2 Congo Brazzaville FT' : Burundi 0-0 Malawi #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 755 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 679 Views
  • #PapillonTz
    #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 691 Views
  • #zuchu #papillontz
    #zuchu #papillontz
    0 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka”

    “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC.

    #PapillonTz
    “Kocha ni sehemu ya timu na timu ndio inayosajili mchezaji , lakini pia kama timu mnapata ripoti mnakuwa mnajua kabisa ni wachezaji gani mnawataka na wachezaji gani wataondoka” “Anayetafuta wachezqji sio kocha ni scout , scout ndio ambaye anatafuta wachezaji wanaokidhi mahitaji yako ndio maana unaona Simba kuna MVP wa Ivory Coast “ - Imani Kajula, Mtendaji Mkuu wa wa klabu ya Simba SC. #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 792 Views
  • Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025)

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—”:
    Tunisia
    Madagascar
    Comoros
    Gambia

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—•:
    Morocco
    Gabon
    Jahm. Afrika ya Kati
    Lesotho

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—–:
    Misri
    Cape Verde
    Mauritania
    Botswana

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐——:
    Nigeria
    Benin
    Libya
    Rwanda

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—˜:
    Algeria
    Equatorial Guinea
    Togo
    Liberia

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—™:
    Ghana
    Angola
    Sudan
    Niger

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—š:
    ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Côté d'Ivoire
    Zambia
    Sierra Leone
    Chad

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—›:
    DR Congo
    Guinea
    Tanzania
    Ethiopia

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—œ:
    Mali
    Msumbiji
    Guinea-Bissau
    Eswatini

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—:
    Cameroon
    Namibia
    Kenya
    Zimbabwe

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—ž:
    Afrika Kusini
    Uganda
    Congo Brazzaville
    Sudan ya Kusini

    ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—Ÿ:
    Senegal
    Burkina Faso
    Malawi
    Burundi

    #PapillonTz
    Droo ya makundi ya michuano ya kufuzu kucheza Kombe la Mataifa barani Afrika (AFCON 2025) ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—”: ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ Madagascar ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒ Comoros ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ Gambia ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—•: ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Morocco ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฆ Gabon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ซ Jahm. Afrika ya Kati ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ธ Lesotho ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—–: ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Misri ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ป Cape Verde ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท Mauritania ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ Botswana ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐——: ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Nigeria ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ Benin ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Libya ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ Rwanda ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—˜: ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ถ Equatorial Guinea ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌ Togo ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ท Liberia ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—™: ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ Ghana ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Angola ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช Niger ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—š: ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Côté d'Ivoire ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Zambia ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฑ Sierra Leone ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฉ Chad ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—›: ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ DR Congo ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Guinea ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Tanzania ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น Ethiopia ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—œ: ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Msumbiji ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ผ Guinea-Bissau ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Eswatini ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—: ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ Cameroon ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฆ Namibia ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Kenya ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ Zimbabwe ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—ž: ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Afrika Kusini ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Uganda ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ Congo Brazzaville ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ Sudan ya Kusini ๐—š๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ฃ ๐—Ÿ: ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Senegal ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ Burkina Faso ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ Malawi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Burundi #PapillonTz
    0 Commenti 0 condivisioni 908 Views