Tiktok account @barakalopoi every where Baraka Lopoi
-
45 Articoli
-
25 Foto
-
0 Video
-
Shop alle Mombasa
-
Vive a Mombasa
-
Dal Kiteto manyara
-
Ha studiato PCB alle Kisimiri high schoolClass of Form 6
-
Male
-
In una relazione
-
16/08/1996
-
Seguito da 14 people
Aggiornamenti recenti
-
Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
-
-
Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamianeWazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane0 Commenti 0 condivisioni 927 Views2
-
-
Nliwamiss sana family ya #socialAppNliwamiss sana family ya #socialApp0 Commenti 0 condivisioni 1K Views2
-
-
https://barakalopoi.blogspot.com/2024/07/athari-za-ujio-wa-waarabu-tanganyika.htmlBARAKALOPOI.BLOGSPOT.COMATHARI ZA UJIO WA WAARABU TANGANYIKAATHARI ZA UJIO WA WAARABU TANGANYIKA —Watanganyika wengi waliuwawa zaidi wakati wakishindania uhuru wao. wengi walivikwa minyororo wakauzwe...0 Commenti 0 condivisioni 944 Views
3
-
Kenya nchi yang ya pili, mbinguni mtapaskia tu kwetu sisi watzKenya nchi yang ya pili, mbinguni mtapaskia tu kwetu sisi watz 😄😄😄4 Commenti 0 condivisioni 775 Views4
-
Kula maasai flavourKula maasai flavour3 Commenti 0 condivisioni 754 Views 6
4
-
Hbr za humu wakulungwaHbr za humu wakulungwa2 Commenti 0 condivisioni 731 Views
4
-
Goodmorning all of youGoodmorning all of you1 Commenti 0 condivisioni 829 Views1
-
Good afternoon #SocialApp familyGood afternoon #SocialApp family1 Commenti 0 condivisioni 1K Views
3
-
Mazoezi ya kuingia jeshiniMazoezi ya kuingia jeshini0 Commenti 0 condivisioni 746 Views2
-
-
-
Maasai worrierMaasai worrier0 Commenti 0 condivisioni 781 Views2
-
WHY ALWAYS ME?WHY ALWAYS ME? 😪0 Commenti 0 condivisioni 756 Views1
-
-
YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON.
1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.
2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana.
3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.
4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55
5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.
6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo.
7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi.
8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.
9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni.
10: Green anaconda
Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi.
11: poison dork frog
Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON. 1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. 2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana. 3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo. 4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55 5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo. 6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo. 7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi. 8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon👏 acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia. 9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni. 10: Green anaconda Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi. 11: poison dork frog Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..0 Commenti 0 condivisioni 1K Views1
-
Sis hatuhtaj pesa km mahar ya dogo, ngombe 100 tu mchukueSis hatuhtaj pesa km mahar ya dogo, ngombe 100 tu mchukue0 Commenti 0 condivisioni 795 Views
2
-
Mpk hapo al ahly 1 yanga 0 kabla ya uwanjanMpk hapo al ahly 1 yanga 0 kabla ya uwanjan1 Commenti 0 condivisioni 720 Views
2
-
MnyamaaaMnyamaaa0 Commenti 0 condivisioni 713 Views
2
-
Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 3-0 Croatia dkk 82Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 🇪🇸 3-0 Croatia 🇭🇷 dkk 820 Commenti 0 condivisioni 700 Views
2
-
Kuna group la whatsapp la bettwinners liko hoto na odds ni free, hakuna kuuziwaKuna group la whatsapp la bettwinners liko hoto na odds ni free, hakuna kuuziwa0 Commenti 0 condivisioni 721 Views
2
-
Wazee wa kubet je mpo niwape mchongo?Wazee wa kubet je mpo niwape mchongo?0 Commenti 0 condivisioni 939 Views
2
Altre storie