Directory
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
Historia ilianzishwa na waasisi wa mataifa yetu na sisi tuko hapa kuendeleza
Tukutane kwenye Simba App leo saa 2:00 usiku. Utafurahi #WenyeNchi NguvuMojaHistoria ilianzishwa na waasisi wa mataifa yetu na sisi tuko hapa kuendeleza 🇹🇿🇿🇦 Tukutane kwenye Simba App leo saa 2:00 usiku. Utafurahi 👋 #WenyeNchi NguvuMoja1 Comments 0 Shares 257 Views 261
-
OFFICIAL: Fadlu Davids ndiye kocha Mkuu Simba
.
Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wao Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Kabla ya kujiunga na Simba msimu uliopita Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini Morocco Raja Club Athletic maarufu Raja Casablanca.🚨 OFFICIAL: Fadlu Davids ndiye kocha Mkuu Simba . Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wao Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili. . Kabla ya kujiunga na Simba msimu uliopita Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini Morocco Raja Club Athletic maarufu Raja Casablanca.0 Comments 0 Shares 321 Views1
-
MFUMO WA KOCHA MPYA SIMBA . Fadlu ni kocha wa kisasa anayependelea zaidi kutumia mfumo wa mabeki wanne, viungo wakabaji wawili, viungo washambuliaji watatu na straika mmoja yaani 4-2-3-1 mfumo ambao kwa Simba umetumika na makocha wawili waliopita mfululizo yaani Robertinho na Benchikha. . Kocha huyo ambaye aliwahi kuwa straika wa Vasco Da Gama, Avendale Athletico, Silver Stars, Maritzburg United zote za Afrika Kusini kabla ya kustaafu soka rasmi 2012, ametua Simba akitokea Raja Casablanca ya Morocco alikokuwa kocha msaidizi tangu mwaka jana chini ya Mjerumani Josef Zinnbauer aliyemaliza ligi kwa kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi sambamba na Kombe la Mfalme.🚨 MFUMO WA KOCHA MPYA SIMBA . Fadlu ni kocha wa kisasa anayependelea zaidi kutumia mfumo wa mabeki wanne, viungo wakabaji wawili, viungo washambuliaji watatu na straika mmoja yaani 4-2-3-1 mfumo ambao kwa Simba umetumika na makocha wawili waliopita mfululizo yaani Robertinho na Benchikha. . Kocha huyo ambaye aliwahi kuwa straika wa Vasco Da Gama, Avendale Athletico, Silver Stars, Maritzburg United zote za Afrika Kusini kabla ya kustaafu soka rasmi 2012, ametua Simba akitokea Raja Casablanca ya Morocco alikokuwa kocha msaidizi tangu mwaka jana chini ya Mjerumani Josef Zinnbauer aliyemaliza ligi kwa kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi sambamba na Kombe la Mfalme.0 Comments 0 Shares 102 Views1
-
-
Kocha kijana wachezaji vijana Moto utawakaKocha kijana wachezaji vijana Moto utawaka 🔥🔥🔥0 Comments 0 Shares 129 Views
-
-
Klabu ya Simba SC imemtangaza Fadlu Davids (43) ambaye ni Raia wa Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu wao mpya kwa mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyekuwa akiifundisha klabu hiyo kwa muda.
Fadlu ambaye anachukua nafasi ya Adelhak Benchikha aliyeondoka katikati ya msimu uliopita, na alikuwa Kocha Msaidizi wa klabu Raja Casablanca ya Morocco kabla ya kujiunga na Simba SC.Klabu ya Simba SC imemtangaza Fadlu Davids (43) ambaye ni Raia wa Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu wao mpya kwa mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyekuwa akiifundisha klabu hiyo kwa muda. Fadlu ambaye anachukua nafasi ya Adelhak Benchikha aliyeondoka katikati ya msimu uliopita, na alikuwa Kocha Msaidizi wa klabu Raja Casablanca ya Morocco kabla ya kujiunga na Simba SC.0 Comments 0 Shares 300 Views -
Comments za mashabiki wengi kutoka sehemu tofauti duniani ambao waliudhuria tamasha la Afronation wakiisuta vibaya baada ya kumpa Diamond Platnumz dakika chache jukwaani.
Comments za mashabiki wengi kutoka sehemu tofauti duniani ambao waliudhuria tamasha la Afronation wakiisuta vibaya baada ya kumpa Diamond Platnumz dakika chache jukwaani.0 Comments 0 Shares 309 Views -