• Love
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 69 Visualizações

  • Historia ilianzishwa na waasisi wa mataifa yetu na sisi tuko hapa kuendeleza

    Tukutane kwenye Simba App leo saa 2:00 usiku. Utafurahi #WenyeNchi NguvuMoja
    Historia ilianzishwa na waasisi wa mataifa yetu na sisi tuko hapa kuendeleza 🇹🇿🇿🇦 Tukutane kwenye Simba App leo saa 2:00 usiku. Utafurahi 👋 #WenyeNchi NguvuMoja
    Like
    1
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 258 Visualizações 26
  • OFFICIAL: Fadlu Davids ndiye kocha Mkuu Simba
    .
    Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wao Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.
    .
    Kabla ya kujiunga na Simba msimu uliopita Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini Morocco Raja Club Athletic maarufu Raja Casablanca.
    🚨 OFFICIAL: Fadlu Davids ndiye kocha Mkuu Simba . Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wao Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili. . Kabla ya kujiunga na Simba msimu uliopita Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini Morocco Raja Club Athletic maarufu Raja Casablanca.
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 322 Visualizações
  • MFUMO WA KOCHA MPYA SIMBA . Fadlu ni kocha wa kisasa anayependelea zaidi kutumia mfumo wa mabeki wanne, viungo wakabaji wawili, viungo washambuliaji watatu na straika mmoja yaani 4-2-3-1 mfumo ambao kwa Simba umetumika na makocha wawili waliopita mfululizo yaani Robertinho na Benchikha. . Kocha huyo ambaye aliwahi kuwa straika wa Vasco Da Gama, Avendale Athletico, Silver Stars, Maritzburg United zote za Afrika Kusini kabla ya kustaafu soka rasmi 2012, ametua Simba akitokea Raja Casablanca ya Morocco alikokuwa kocha msaidizi tangu mwaka jana chini ya Mjerumani Josef Zinnbauer aliyemaliza ligi kwa kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi sambamba na Kombe la Mfalme.
    🚨 MFUMO WA KOCHA MPYA SIMBA . Fadlu ni kocha wa kisasa anayependelea zaidi kutumia mfumo wa mabeki wanne, viungo wakabaji wawili, viungo washambuliaji watatu na straika mmoja yaani 4-2-3-1 mfumo ambao kwa Simba umetumika na makocha wawili waliopita mfululizo yaani Robertinho na Benchikha. . Kocha huyo ambaye aliwahi kuwa straika wa Vasco Da Gama, Avendale Athletico, Silver Stars, Maritzburg United zote za Afrika Kusini kabla ya kustaafu soka rasmi 2012, ametua Simba akitokea Raja Casablanca ya Morocco alikokuwa kocha msaidizi tangu mwaka jana chini ya Mjerumani Josef Zinnbauer aliyemaliza ligi kwa kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi sambamba na Kombe la Mfalme.
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 103 Visualizações
  • Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 82 Visualizações 16
  • Kocha kijana wachezaji vijana Moto utawaka
    Kocha kijana wachezaji vijana Moto utawaka 🔥🔥🔥
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 130 Visualizações
  • 0 Comentários 0 Compartilhamentos 109 Visualizações
  • Klabu ya Simba SC imemtangaza Fadlu Davids (43) ambaye ni Raia wa Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu wao mpya kwa mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyekuwa akiifundisha klabu hiyo kwa muda.

    Fadlu ambaye anachukua nafasi ya Adelhak Benchikha aliyeondoka katikati ya msimu uliopita, na alikuwa Kocha Msaidizi wa klabu Raja Casablanca ya Morocco kabla ya kujiunga na Simba SC.
    Klabu ya Simba SC imemtangaza Fadlu Davids (43) ambaye ni Raia wa Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu wao mpya kwa mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyekuwa akiifundisha klabu hiyo kwa muda. Fadlu ambaye anachukua nafasi ya Adelhak Benchikha aliyeondoka katikati ya msimu uliopita, na alikuwa Kocha Msaidizi wa klabu Raja Casablanca ya Morocco kabla ya kujiunga na Simba SC.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 301 Visualizações
  • Comments za mashabiki wengi kutoka sehemu tofauti duniani ambao waliudhuria tamasha la Afronation wakiisuta vibaya baada ya kumpa Diamond Platnumz dakika chache jukwaani.

    Comments za mashabiki wengi kutoka sehemu tofauti duniani ambao waliudhuria tamasha la Afronation wakiisuta vibaya baada ya kumpa Diamond Platnumz dakika chache jukwaani.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 310 Visualizações
  • 0 Comentários 0 Compartilhamentos 104 Visualizações