• Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 138 Vue 9
  • Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 128 Vue 14
  • Like
    1
    0 Commentaires 1 Parts 1KB Vue 87
  • Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 137 Vue 19
  • Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 131 Vue 21
  • Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 617 Vue 87
  • DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
    .
    Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.
    🚨 DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili. . Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.
    Like
    1
    0 Commentaires 1 Parts 436 Vue
  • DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
    .
    Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 113 Vue
  • *Anaandika Askofu Bagonza*


    UJINGA NI MZIGO Vs UJINGA NI MTAJI

    Leo 6 Julai 2024, KKKT- DAYOSISI YA KARAGWE, imehitimisha kundi la pili la watu wazima 125 katika kisomo cha watu wazima (EWW). Kundi la kwanza lilihitimishwa mwaka jana 2023. Watu wazima wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) wanapata fursa ya kuelimishwa kupitia mradi maalum jimboni Murongo katika Tarafa ya Murongo-Kyerwa. Wahitimu wamepewa vyeti vya kuhitimu.

    Mradi huu unafadhiliwa kwa ushirikiano na shirika la Bread for the World la nchini Ujerumani. Majimbo ya Murongo (Tanzania) na Gutersloh (Ujerumani) ndio watekelezaji wa mradi huu. Labda kama kuna takwimu za kipekee, lakini kwa macho yangu naona ujinga unaongezeka katila maeneo mengi ya vijijini.

    Tulizoea kusema UJINGA NI MZIGO lakini kwa sasa UJINGA NI MTAJI wa makundi mbalimbali:

    1. Viongozi wa Dini: Wanahitaji wajinga wengi ili wawauzie wokovu, utajiri hewa, uponyaji nk.

    2. Wanasiasa: Wanahitaji wajinga wengi ili wawadanganye bila kukamatwa na wawajaze ahadi hewa.

    3. Waganga wa kienyeji: Wanahitaji wajinga wengi wa kuwaletea kuku huku hao wajinga wakilishwa vinyesi na mikojo.

    4. Walimu: Wanajitaji wajinga wengi ili wafanye mazoezi ya kufuta ujinga kwa kuuongeza.

    5. Watumishi wa serikali wasio waaminifu: Wanahitaji wajinga wengi ili wawatoze rushwa na kuwauzia haki zao.

    6. Wahisani na Wafadhili: Wanahitaji wajinga wengi ili wapate pa kupeleka misaada inayodumaza na kuwasaidia kumiliki uchumi wa wajinga.

    7. Serikali: Inahitaji wajinga wengi ili waiogope. Kwa kawaida serikali huwaogopa wananchi wanaojielewa.

    8. Matapeli wa Mitandaoni: wanahitaji wajinga wengi ili waweze kutajirika bila kufanya kazi.

    9. Wafanya biashara: Wanahitaji wajinga wengi ili wanaoamini kuwa kuna duka la bei nafuu.

    10. Umaskini na Maradhi: Wanahitajika wajinga wengi ili hawa ndugu waendelea kustawi.

    Vita ya kupambana na ujinga haijaanza. Ikianza mniamshe. Hakuna kundi lisilo na mjinga. Ukichunguza kundi usimuone mjinga, tambua wewe ndiye mjinga.
    *Anaandika Askofu Bagonza* UJINGA NI MZIGO Vs UJINGA NI MTAJI Leo 6 Julai 2024, KKKT- DAYOSISI YA KARAGWE, imehitimisha kundi la pili la watu wazima 125 katika kisomo cha watu wazima (EWW). Kundi la kwanza lilihitimishwa mwaka jana 2023. Watu wazima wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) wanapata fursa ya kuelimishwa kupitia mradi maalum jimboni Murongo katika Tarafa ya Murongo-Kyerwa. Wahitimu wamepewa vyeti vya kuhitimu. Mradi huu unafadhiliwa kwa ushirikiano na shirika la Bread for the World la nchini Ujerumani. Majimbo ya Murongo (Tanzania) na Gutersloh (Ujerumani) ndio watekelezaji wa mradi huu. Labda kama kuna takwimu za kipekee, lakini kwa macho yangu naona ujinga unaongezeka katila maeneo mengi ya vijijini. Tulizoea kusema UJINGA NI MZIGO lakini kwa sasa UJINGA NI MTAJI wa makundi mbalimbali: 1. Viongozi wa Dini: Wanahitaji wajinga wengi ili wawauzie wokovu, utajiri hewa, uponyaji nk. 2. Wanasiasa: Wanahitaji wajinga wengi ili wawadanganye bila kukamatwa na wawajaze ahadi hewa. 3. Waganga wa kienyeji: Wanahitaji wajinga wengi wa kuwaletea kuku huku hao wajinga wakilishwa vinyesi na mikojo. 4. Walimu: Wanajitaji wajinga wengi ili wafanye mazoezi ya kufuta ujinga kwa kuuongeza. 5. Watumishi wa serikali wasio waaminifu: Wanahitaji wajinga wengi ili wawatoze rushwa na kuwauzia haki zao. 6. Wahisani na Wafadhili: Wanahitaji wajinga wengi ili wapate pa kupeleka misaada inayodumaza na kuwasaidia kumiliki uchumi wa wajinga. 7. Serikali: Inahitaji wajinga wengi ili waiogope. Kwa kawaida serikali huwaogopa wananchi wanaojielewa. 8. Matapeli wa Mitandaoni: wanahitaji wajinga wengi ili waweze kutajirika bila kufanya kazi. 9. Wafanya biashara: Wanahitaji wajinga wengi ili wanaoamini kuwa kuna duka la bei nafuu. 10. Umaskini na Maradhi: Wanahitajika wajinga wengi ili hawa ndugu waendelea kustawi. Vita ya kupambana na ujinga haijaanza. Ikianza mniamshe. Hakuna kundi lisilo na mjinga. Ukichunguza kundi usimuone mjinga, tambua wewe ndiye mjinga.
    Haha
    1
    1 Commentaires 0 Parts 392 Vue
  • Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 127 Vue 18