Rehber
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
0 Yorumlar 0 hisse senetleri 128 Views 141
-
0 Yorumlar 1 hisse senetleri 1K Views 871
-
0 Yorumlar 0 hisse senetleri 137 Views 191
-
0 Yorumlar 0 hisse senetleri 131 Views 211
-
0 Yorumlar 0 hisse senetleri 617 Views 871
-
DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.🚨 DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili. . Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.0 Yorumlar 1 hisse senetleri 436 Views1
-
DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.0 Yorumlar 0 hisse senetleri 113 Views1
-
*Anaandika Askofu Bagonza*
UJINGA NI MZIGO Vs UJINGA NI MTAJI
Leo 6 Julai 2024, KKKT- DAYOSISI YA KARAGWE, imehitimisha kundi la pili la watu wazima 125 katika kisomo cha watu wazima (EWW). Kundi la kwanza lilihitimishwa mwaka jana 2023. Watu wazima wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) wanapata fursa ya kuelimishwa kupitia mradi maalum jimboni Murongo katika Tarafa ya Murongo-Kyerwa. Wahitimu wamepewa vyeti vya kuhitimu.
Mradi huu unafadhiliwa kwa ushirikiano na shirika la Bread for the World la nchini Ujerumani. Majimbo ya Murongo (Tanzania) na Gutersloh (Ujerumani) ndio watekelezaji wa mradi huu. Labda kama kuna takwimu za kipekee, lakini kwa macho yangu naona ujinga unaongezeka katila maeneo mengi ya vijijini.
Tulizoea kusema UJINGA NI MZIGO lakini kwa sasa UJINGA NI MTAJI wa makundi mbalimbali:
1. Viongozi wa Dini: Wanahitaji wajinga wengi ili wawauzie wokovu, utajiri hewa, uponyaji nk.
2. Wanasiasa: Wanahitaji wajinga wengi ili wawadanganye bila kukamatwa na wawajaze ahadi hewa.
3. Waganga wa kienyeji: Wanahitaji wajinga wengi wa kuwaletea kuku huku hao wajinga wakilishwa vinyesi na mikojo.
4. Walimu: Wanajitaji wajinga wengi ili wafanye mazoezi ya kufuta ujinga kwa kuuongeza.
5. Watumishi wa serikali wasio waaminifu: Wanahitaji wajinga wengi ili wawatoze rushwa na kuwauzia haki zao.
6. Wahisani na Wafadhili: Wanahitaji wajinga wengi ili wapate pa kupeleka misaada inayodumaza na kuwasaidia kumiliki uchumi wa wajinga.
7. Serikali: Inahitaji wajinga wengi ili waiogope. Kwa kawaida serikali huwaogopa wananchi wanaojielewa.
8. Matapeli wa Mitandaoni: wanahitaji wajinga wengi ili waweze kutajirika bila kufanya kazi.
9. Wafanya biashara: Wanahitaji wajinga wengi ili wanaoamini kuwa kuna duka la bei nafuu.
10. Umaskini na Maradhi: Wanahitajika wajinga wengi ili hawa ndugu waendelea kustawi.
Vita ya kupambana na ujinga haijaanza. Ikianza mniamshe. Hakuna kundi lisilo na mjinga. Ukichunguza kundi usimuone mjinga, tambua wewe ndiye mjinga.*Anaandika Askofu Bagonza* UJINGA NI MZIGO Vs UJINGA NI MTAJI Leo 6 Julai 2024, KKKT- DAYOSISI YA KARAGWE, imehitimisha kundi la pili la watu wazima 125 katika kisomo cha watu wazima (EWW). Kundi la kwanza lilihitimishwa mwaka jana 2023. Watu wazima wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) wanapata fursa ya kuelimishwa kupitia mradi maalum jimboni Murongo katika Tarafa ya Murongo-Kyerwa. Wahitimu wamepewa vyeti vya kuhitimu. Mradi huu unafadhiliwa kwa ushirikiano na shirika la Bread for the World la nchini Ujerumani. Majimbo ya Murongo (Tanzania) na Gutersloh (Ujerumani) ndio watekelezaji wa mradi huu. Labda kama kuna takwimu za kipekee, lakini kwa macho yangu naona ujinga unaongezeka katila maeneo mengi ya vijijini. Tulizoea kusema UJINGA NI MZIGO lakini kwa sasa UJINGA NI MTAJI wa makundi mbalimbali: 1. Viongozi wa Dini: Wanahitaji wajinga wengi ili wawauzie wokovu, utajiri hewa, uponyaji nk. 2. Wanasiasa: Wanahitaji wajinga wengi ili wawadanganye bila kukamatwa na wawajaze ahadi hewa. 3. Waganga wa kienyeji: Wanahitaji wajinga wengi wa kuwaletea kuku huku hao wajinga wakilishwa vinyesi na mikojo. 4. Walimu: Wanajitaji wajinga wengi ili wafanye mazoezi ya kufuta ujinga kwa kuuongeza. 5. Watumishi wa serikali wasio waaminifu: Wanahitaji wajinga wengi ili wawatoze rushwa na kuwauzia haki zao. 6. Wahisani na Wafadhili: Wanahitaji wajinga wengi ili wapate pa kupeleka misaada inayodumaza na kuwasaidia kumiliki uchumi wa wajinga. 7. Serikali: Inahitaji wajinga wengi ili waiogope. Kwa kawaida serikali huwaogopa wananchi wanaojielewa. 8. Matapeli wa Mitandaoni: wanahitaji wajinga wengi ili waweze kutajirika bila kufanya kazi. 9. Wafanya biashara: Wanahitaji wajinga wengi ili wanaoamini kuwa kuna duka la bei nafuu. 10. Umaskini na Maradhi: Wanahitajika wajinga wengi ili hawa ndugu waendelea kustawi. Vita ya kupambana na ujinga haijaanza. Ikianza mniamshe. Hakuna kundi lisilo na mjinga. Ukichunguza kundi usimuone mjinga, tambua wewe ndiye mjinga.1 Yorumlar 0 hisse senetleri 392 Views1
-
0 Yorumlar 0 hisse senetleri 127 Views 181