0 Commenti
0 condivisioni
133 Views
Elenco
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
-
-
-
Orodha ya Wachezaji wapya wa klabu ya Yanga SC hadi sasa:
1. Duke Abuya (Singida Black Stars)
2. Clatous Chotta Chama (Huru)
3. Prince Dube (Huru, Azam FC)
4. Chadrack Issaka Boka (FC Lupopo)
5. Azizi Adambwile (Singida Fountain Gates)
6. Abubakary Khoemen
7. ?
Orodha ya Wachezaji wapya wa klabu ya Yanga SC hadi sasa: 1. Duke Abuya 🇰🇪 (Singida Black Stars) 2. Clatous Chotta Chama 🇿🇲 (Huru) 3. Prince Dube 🇿🇼 (Huru, Azam FC) 4. Chadrack Issaka Boka 🇨🇩 (FC Lupopo) 5. Azizi Adambwile 🇹🇿 (Singida Fountain Gates) 6. Abubakary Khoemen 🇹🇿 7. ?0 Commenti 0 condivisioni 351 Views1
-
Klabu ya Yanga SC imepangwa kucheza na klabu ya Vital'o FC ya Burundi katika hatua ya awali ya klabu bingwa Afrika huku klabu ya Azam FC ikipangwa na klabu APR ya Rwanda . Azam FC inaanzia nyumbani na Yanga SC inaanzia ugenini Nchini Burundi.
Mshindi kati ya Vital'o FC na Yanga SC atacheza na mshindi wa mchezo kati ya klabu ya AS Villa ya Uganda na Commercial Bank ya Ethiopia na Mshindi dhidi Azam FC na APR atacheza na mshindi kati ya JKU ya Zanzibar na Pyramids ya Misri.
Klabu ya Simba SC itakutana na mshindi kati ya Uhamiaji FC ya Zanzibar dhidi ya klabu ya Libya (ambayo bado haijafahamika) kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya kufuzu makundi ya kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup).
Klabu ya Coastal Union imepangwa na klabu ya FC Bravos ya Angola kwenye mchezo wa raundi ya awali na ikifanikiwa kufuzu itacheza na FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye raundi ya kwanza ya kombe la shirikisho.
Klabu ya Yanga SC imepangwa kucheza na klabu ya Vital'o FC ya Burundi 🇧🇮 katika hatua ya awali ya klabu bingwa Afrika huku klabu ya Azam FC ikipangwa na klabu APR ya Rwanda 🇷🇼. Azam FC inaanzia nyumbani na Yanga SC inaanzia ugenini Nchini Burundi. Mshindi kati ya Vital'o FC na Yanga SC atacheza na mshindi wa mchezo kati ya klabu ya AS Villa ya Uganda na Commercial Bank ya Ethiopia na Mshindi dhidi Azam FC na APR atacheza na mshindi kati ya JKU ya Zanzibar na Pyramids ya Misri. Klabu ya Simba SC itakutana na mshindi kati ya Uhamiaji FC ya Zanzibar dhidi ya klabu ya Libya (ambayo bado haijafahamika) kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya kufuzu makundi ya kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup). Klabu ya Coastal Union imepangwa na klabu ya FC Bravos ya Angola kwenye mchezo wa raundi ya awali na ikifanikiwa kufuzu itacheza na FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye raundi ya kwanza ya kombe la shirikisho.0 Commenti 0 condivisioni 490 Views -
"Niliwahi kuandika makala kuhusu mahusiano kati ya Aziz Ki na mrembo wa kuchanua misamba Mobetto, mahusiano yamezaa athari chanya kwa wapenzi wa soccer nchini
Aziz Ki alipewa ofa na vilabu vikubwa na mshahara mnono hadi malipo ya milion 98 kwa mwezi ili aende kuzechezea huko lakini alikataa kwenda huko na kuamua kubaki Tanzania aendelee kufaidi uh0ndo na Utamu wa Mobetto
Ama kweli mapenzi ni upofu, hata Samsoni al1kufa sababu ya mwanamke. Hivi leo kijana wetu ambae alitumwa na wazazi aje kutafuta maisha anakubali Kuendelea kucheza kwa mshahara wa laki nane kwa sababu ya demu inaumiza sana na huu ni wendawaz1mu" - Oscar Oscar, Mchambuzi wa Wasafi FM.
"Niliwahi kuandika makala kuhusu mahusiano kati ya Aziz Ki na mrembo wa kuchanua misamba Mobetto, mahusiano yamezaa athari chanya kwa wapenzi wa soccer nchini Aziz Ki alipewa ofa na vilabu vikubwa na mshahara mnono hadi malipo ya milion 98 kwa mwezi ili aende kuzechezea huko lakini alikataa kwenda huko na kuamua kubaki Tanzania 🇹🇿 aendelee kufaidi uh0ndo na Utamu wa Mobetto Ama kweli mapenzi ni upofu, hata Samsoni al1kufa sababu ya mwanamke. Hivi leo kijana wetu ambae alitumwa na wazazi aje kutafuta maisha anakubali Kuendelea kucheza kwa mshahara wa laki nane kwa sababu ya demu inaumiza sana na huu ni wendawaz1mu" - Oscar Oscar, Mchambuzi wa Wasafi FM.0 Commenti 0 condivisioni 1K Views1
-
Aziz ki na Hamissa mobetoAziz ki na Hamissa mobeto0 Commenti 0 condivisioni 294 Views 6
-
-
Ile Mashine ya Ubaya Ubwela sasa umefika.
Leo saa 8:00 mchana tukutane kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMojaIle Mashine ya Ubaya Ubwela sasa umefika. Leo saa 8:00 mchana tukutane kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMoja1 Commenti 0 condivisioni 149 Views
3
-