نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • David Davoo @Davoox أضاف صورة
    2024-12-15 12:23:47 ·
    Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo.

    "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo."

    - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga.

    Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo. "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo." - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga. Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·834 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Davoo @Davoox أضاف صورة
    2024-12-15 12:32:36 ·
    Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda.

    Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa.

    Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake.


    #daviddavoo
    #davidatto
    #neliudcosian
    Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda. Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa. Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake. #daviddavoo #davidatto #neliudcosian
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto @Mefa أضاف فيديو in عام
    2024-12-15 15:28:20 ·
    Like
    Haha
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·192 مشاهدة ·21
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto @Mefa أضاف فيديو in عام
    2024-12-15 15:28:41 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·181 مشاهدة ·19
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Duduu Mendez @Duduu_mendez شارك رابطًا
    2024-12-15 15:36:27 ·
    MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE
    1. Azam Tv
    2. Dstv
    3. Capcut Pro
    4. Adobe pro
    5. GOTV
    6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions

    Thanks Guys for your support 🙏🏼

    Our website link https://shorturl.at/78Yrs

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE 1. Azam Tv 2. Dstv 3. Capcut Pro 4. Adobe pro 5. GOTV 6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions Thanks Guys for your support 🙏🏼 Our website link https://shorturl.at/78Yrs > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 💀 ▶︎ ●────────── 0:41
    shorturl.at
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto @Mefa أضاف صورة
    2024-12-15 16:21:28 ·
    Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·191 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-15 17:27:38 ·
    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF.

    Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF. Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·652 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-15 17:27:54 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·126 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-15 17:28:10 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·127 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-15 17:28:46 ·
    "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha…

    Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha… Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·187 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (19611-19620 من 32497)
  • «
  • السابق
  • 1960
  • 1961
  • 1962
  • 1963
  • 1964
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين