Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Ally Messi1 @allymessi1 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 10:34:04 ·
    #funny
    #funny
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·499 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 11:55:13 ·
    Maji na mafuta yameanza kujitenga kunako Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati vinara, Al Hilal Omdurman wakiendelea kugawa dozi bila kujali wapo nyumbani au ugenini kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji wao MC Alger ya Algeria katika dimba la Julai 5 1962.

    Vinara wa kundi Al Hilal wamefikisha pointi 9 baada ya kushinda mechi zote tatu huku MC Alger ikisalia nafasi ya pili pointi nne baada ya mechi tatu.

    TP Mazembe wanashika nafasi ya tatu baada ya kukusanya pointi mbili baada ya mechi tatu huku Wananchi, Young Africans Sc wakiendelea kuburuza mkia pointi moja baada ya mechi tatu.

    FT: MC Alger 0-1 Al Hilal
    76' Fofana

    MATOKEO MENGINE #CAFCL
    FT: Esperance 2-0 Pyramids
    TP Mazembe 1-1 Yanga Sc
    Maniema Union 1-1 ASFAR
    🇨🇮 Stade d'Abidjan 1-1 Orlando Pirates

    #socialpop
    Maji na mafuta yameanza kujitenga kunako Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati vinara, Al Hilal Omdurman wakiendelea kugawa dozi bila kujali wapo nyumbani au ugenini kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji wao MC Alger ya Algeria katika dimba la Julai 5 1962. Vinara wa kundi Al Hilal wamefikisha pointi 9 baada ya kushinda mechi zote tatu huku MC Alger ikisalia nafasi ya pili pointi nne baada ya mechi tatu. TP Mazembe wanashika nafasi ya tatu baada ya kukusanya pointi mbili baada ya mechi tatu huku Wananchi, Young Africans Sc wakiendelea kuburuza mkia pointi moja baada ya mechi tatu. FT: MC Alger 🇩🇿 0-1 🇸🇩 Al Hilal ⚽ 76' Fofana MATOKEO MENGINE #CAFCL FT: Esperance 🇹🇳 2-0 🇪🇬 Pyramids TP Mazembe 🇨🇩 1-1 🇹🇿 Yanga Sc Maniema Union 🇨🇩 1-1 🇲🇦 ASFAR 🇨🇮 Stade d'Abidjan 1-1 🇿🇦 Orlando Pirates #socialpop
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·862 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 12:14:34 ·
    Staa wa muziki wa BongoFleva "BarakaThePrince" ameibua mazito baada ya kuachia maoni ya wazi juu ya Album za Wasanii zilizotoka hivi karibuni na kusema nyimbo mbaya na kuwakumbusha Watu kwamba wanatakiwa wawape sikio Wasanii wengine na wasiache kusema ukweli panapotakiwa kusema ukweli,.....
    Wasanii ambao wametoa album hivi karibuni ni pamoja na Rayvanny na Marioo
    Kupitia ukurasa wa Instagram "BarakaThePrince" ame-share maoni ambayo yameleta Sintofahamu kwa Mashabiki wa Muziki.....
    Barakadaprince yupo sahihi?.......

    #daviddavoo
    Staa wa muziki wa BongoFleva "BarakaThePrince" ameibua mazito baada ya kuachia maoni ya wazi juu ya Album za Wasanii zilizotoka hivi karibuni na kusema nyimbo mbaya na kuwakumbusha Watu kwamba wanatakiwa wawape sikio Wasanii wengine na wasiache kusema ukweli panapotakiwa kusema ukweli,..... Wasanii ambao wametoa album hivi karibuni ni pamoja na Rayvanny na Marioo Kupitia ukurasa wa Instagram "BarakaThePrince" ame-share maoni ambayo yameleta Sintofahamu kwa Mashabiki wa Muziki..... Barakadaprince yupo sahihi?....... #daviddavoo
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·725 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 12:16:01 ·
    Unaona mabao mangapi kwa mnyama simba leo
    Updates

    #daviddavoo
    Unaona mabao mangapi kwa mnyama simba leo Updates 👉👉👉👉 #daviddavoo
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·668 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox added 2 Φωτογραφίες
    2024-12-15 12:19:26 ·
    Mrembo Hamisa Mobetto kupitia ukurasa wake wa Snapchat ameweka wazi kuwa amemzawadia Mama yake mzazi Gari la Kifahari #Prado pamoja na Iphone 16 Pro Max Storage ya 1TB.

    Vipi kwa upande wako zawadi kubwa kuwahi kumpa Mama yako ilikuwa ni nini?

    #socialpop
    #davidatto
    #daviddavoo
    Mrembo Hamisa Mobetto kupitia ukurasa wake wa Snapchat ameweka wazi kuwa amemzawadia Mama yake mzazi Gari la Kifahari #Prado pamoja na Iphone 16 Pro Max Storage ya 1TB. Vipi kwa upande wako zawadi kubwa kuwahi kumpa Mama yako ilikuwa ni nini? #socialpop #davidatto #daviddavoo
    Like
    1
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 12:22:29 ·
    Hivi karibuni mafanikio ya Tayla yameshitua watu wengi, Mwezi Novemba mwaka huu alishinda tuzo tatu za MTV EMA , Usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo ya Billboard kipengele cha Msanii bora wa Afrobeat.

    Kama Tyla angekuwa Mwanaume basi baadhi ya Watu wangedai nyuma yake kuna watu kama Diddy, ila ni Mwanamke, wewe binafsi unahisi Tyla anastahili hizi tuzo anazopata au nyuma yake kuna watu? kama kuna Watu ni watu gani mbali na Management yake?

    #socialpop
    #davidatto
    #daviddavoo
    Hivi karibuni mafanikio ya Tayla yameshitua watu wengi, Mwezi Novemba mwaka huu alishinda tuzo tatu za MTV EMA , Usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo ya Billboard kipengele cha Msanii bora wa Afrobeat. Kama Tyla angekuwa Mwanaume basi baadhi ya Watu wangedai nyuma yake kuna watu kama Diddy, ila ni Mwanamke, wewe binafsi unahisi Tyla anastahili hizi tuzo anazopata au nyuma yake kuna watu? kama kuna Watu ni watu gani mbali na Management yake? #socialpop #davidatto #daviddavoo
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·929 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 12:23:47 ·
    Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo.

    "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo."

    - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga.

    Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo. "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo." - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga. Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·555 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Davoo @Davoox πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 12:32:36 ·
    Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda.

    Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa.

    Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake.


    #daviddavoo
    #davidatto
    #neliudcosian
    Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda. Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa. Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake. #daviddavoo #davidatto #neliudcosian
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-15 15:28:20 ·
    Like
    Haha
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·182 Views ·21
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-15 15:28:41 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·170 Views ·19
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19611-19620 από 25722)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1960
  • 1961
  • 1962
  • 1963
  • 1964
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers