• Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo.

    "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo."

    - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga.

    Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshauri kuwa watu hawapaswi kulinganisha vitu ambavyo hawafanani navyo. "Usishindane na sehemu ambayo hauwezi kulingana nayo." - Miguel Gamondi, kocha wa zamani wa Yanga. Umeelewa nini kupitia maneno haya _________?
    Like
    1
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·834 Vue
  • Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda.

    Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa.

    Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake.


    #daviddavoo
    #davidatto
    #neliudcosian
    Baada ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda. Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi cha kwanza kuanzia kwa kocha Miguel Gamondi hadi Sead Ramovic anayeinoa timu hiyo kwa sasa. Taarifa za ndani ya Yanga zinasema kuwa straika huyo yupo mbioni kupigwa chini katika dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Disemba 15, huku Namungo ikitajwa kutaka huduma yake. #daviddavoo #davidatto #neliudcosian
    Like
    1
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·192 Vue ·21
  • Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·181 Vue ·19
  • MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE
    1. Azam Tv
    2. Dstv
    3. Capcut Pro
    4. Adobe pro
    5. GOTV
    6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions

    Thanks Guys for your support 🙏🏼

    Our website link https://shorturl.at/78Yrs

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE 1. Azam Tv 2. Dstv 3. Capcut Pro 4. Adobe pro 5. GOTV 6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions Thanks Guys for your support 🙏🏼 Our website link https://shorturl.at/78Yrs > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 💀 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·191 Vue
  • Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF.

    Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF. Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.
    0 Commentaires ·0 Parts ·652 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·126 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·127 Vue
  • "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha…

    Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha… Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    0 Commentaires ·0 Parts ·187 Vue