Résultats de Recherche
Voir tous les résulats
Socialpop Socialpop Socialpop
Domicile
Groupes
Pages
Marketplace
Plus
Groupes Pages Marketplace Evènements Blogs Financement Offres Emplois Courses Forums Film
Nous rejoindre
Se connecter S’enregistrer
Sélecteur de thème
Mode nuit
Annuaire
Utilisateurs
Articles
Pages
Groupes
Evènements
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a ajouté une photo
    2024-12-24 05:40:36 ·
    0 Commentaires ·0 Parts ·106 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a ajouté une photo
    2024-12-24 05:41:11 ·
    😳
    Like
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·125 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • IcharibaChode 行逢りば兄弟 @IcharibaChode supplémentaire 2 photos
    2024-12-24 06:35:03 ·
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·295 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa Ajout d'une vidéo in Général
    2024-12-24 07:00:02 ·
    Love
    Like
    5
    · 2 Commentaires ·0 Parts ·192 Vue ·42
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Golden Mary @bdebrilliant Mise à jour de la photo de profil
    2024-12-24 07:03:03 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·244 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2024-12-24 07:36:31 ·
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Like
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·284 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-24 09:52:49 ·
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·104 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2024-12-24 09:57:14 ·
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha 🙏😂🥺
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·154 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Issa Embe @Issaembe Mise à jour de la photo de couverture
    2024-12-24 11:16:50 ·
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·283 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2024-12-24 12:33:45 ·
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·707 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Affichage (19911-19920 de 25833)
  • «
  • Préc.
  • 1990
  • 1991
  • 1992
  • 1993
  • 1994
  • Étape Suivante
  • »
Mise à niveau vers Pro
Choisissez le forfait qui vous convient
Mise à niveau
© 2025 Socialpop
French
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Environ Conditions générale de vente Confidentialité Contactez nous Annuaire Développeurs