Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2024-12-24 05:40:36 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·106 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2024-12-24 05:41:11 ·
    😳
    Like
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·125 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • IcharibaChode 行逢りば兄弟 @IcharibaChode added 2 foto
    2024-12-24 06:35:03 ·
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·295 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto un video in Generale
    2024-12-24 07:00:02 ·
    Love
    Like
    5
    · 2 Commenti ·0 condivisioni ·192 Views ·42
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Golden Mary @bdebrilliant updated the profile picture
    2024-12-24 07:03:03 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·244 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2024-12-24 07:36:31 ·
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Like
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·284 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-24 09:52:49 ·
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Like
    Love
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·104 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2024-12-24 09:57:14 ·
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha 🙏😂🥺
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·154 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Issa Embe @Issaembe updated the cover photo
    2024-12-24 11:16:50 ·
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·283 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2024-12-24 12:33:45 ·
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·707 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (19911-19920 di 25833)
  • «
  • Prec.
  • 1990
  • 1991
  • 1992
  • 1993
  • 1994
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers