Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-24 05:40:36 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·106 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2024-12-24 05:41:11 ·
    😳
    Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·125 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • IcharibaChode 行逢りば兄弟 @IcharibaChode added 2 fotografii
    2024-12-24 06:35:03 ·
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Kila wakati wakilisha sanaaa na mawazo huru
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·295 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat un videoclip in General
    2024-12-24 07:00:02 ·
    Love
    Like
    5
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·192 Views ·42
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Golden Mary @bdebrilliant updated the profile picture
    2024-12-24 07:03:03 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·244 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2024-12-24 07:36:31 ·
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Jeshi la Magereza Tanzania limesema limesikitishwa na kauli iliyotajwa kuwa isiyo ya kiungwana iliyotolewa na Haji Manara kwa jeshi hilo baada ya mechi ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza imesema Manara alikuwa akizungumza na waandishi wa habari huku akiwa ameegesha gari lake mbele ya gari ya Jeshi la Magereza na kwamba kwakuwa alikuwa amelizuia gari hilo, aliombwa kusogeza gari lake na kuruhusu gari hilo liweze kupita lakini alitoa kauli isiyofaa.
    Like
    3
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·284 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-24 09:52:49 ·
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Watu wanaweza kujaribu kuharibu picha yako na kuchafua utu wako, lakini hawawezi kuchukua matendo yako mema. Haijalishi jinsi wanavyokuelezea, bado utavutiwa na wale wanaokujua kikweli.
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·104 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2024-12-24 09:57:14 ·
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha
    MANARA aliomba jeshi la mageraza msamaha 🙏😂🥺
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·154 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Issa Embe @Issaembe updated the cover photo
    2024-12-24 11:16:50 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·283 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2024-12-24 12:33:45 ·
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .“Nina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, najivunia kwa hilo, lakini jambo muhimu kwa vijana hawa ni utimamu wa kimwili ili kukabiliana na wapinzani. Nataka kuona wachezaji wangu wote wakiwa na utimamu wa kimwili unaowiana. Hiyo itanifanya niwe na timu iliyokamalika. Mwanzo nilihitaji kuimarisha kwanza utimamu wa kimwili kwa kila mchezaji. Najua sio rahisi katika kipindi hiki kifupi ambacho nimekuwa hapa. Lakini nina furaha vijana wangu kuwa vijana wangu wote wana utayari wa kuwa na mabadiliko” Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    3
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·707 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (19911-19920 de 25833)
  • «
  • Anterior
  • 1990
  • 1991
  • 1992
  • 1993
  • 1994
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers