Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:22:20 ·
    Rais wa Marekani , Donald Trump amesaini amri ya utendaji kuiondoa rasmi Nchi ya Marekani kutoka Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) na Shirika la Misaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

    Aidha, ameagiza mapitio ya ushiriki wa Marekani katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Hatua hiyo ilifanyika Februari 4, 2025, ambapo kipande cha video fupi kilichowekwa kwenye mtandao wa X wa Rais Trump kilionyesha Katibu wa Wafanyakazi wa Ikulu ya White House, Will Scharf, akimkabidhi Rais agizo hilo kwa ajili ya kutia saini.

    "Kwa kuzingatia hatua nyingi zilizochukuliwa na mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ambazo zimeonyesha upendeleo mkubwa wa chuki dhidi ya Marekani, tuna agizo la utendaji lililotayarishwa kwa ajili yako ambalo lingeiondoa Marekani kutoka UNHRC na UNRWA, huku pia likipitia upya ushiriki wetu katika UNESCO." amesema Will Scharf kama sababu ya Donald Trump kuamua kujiondoa kwenye Mashirika hayo.

    Ameongeza kuwa agizo hilo pia linaelekeza ukaguzi wa kina wa ushiriki wa Marekani katika Umoja wa Mataifa kwa ujumla, hususan kuhusu tofaudi kubwa za ufadhili zinazotolewa na Marekani ikilinganishwa na mataifa mengine ambayo "hayatendei haki Marekani".

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump amesaini amri ya utendaji kuiondoa rasmi Nchi ya Marekani kutoka Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) na Shirika la Misaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA). Aidha, ameagiza mapitio ya ushiriki wa Marekani katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Hatua hiyo ilifanyika Februari 4, 2025, ambapo kipande cha video fupi kilichowekwa kwenye mtandao wa X wa Rais Trump kilionyesha Katibu wa Wafanyakazi wa Ikulu ya White House, Will Scharf, akimkabidhi Rais agizo hilo kwa ajili ya kutia saini. "Kwa kuzingatia hatua nyingi zilizochukuliwa na mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ambazo zimeonyesha upendeleo mkubwa wa chuki dhidi ya Marekani, tuna agizo la utendaji lililotayarishwa kwa ajili yako ambalo lingeiondoa Marekani kutoka UNHRC na UNRWA, huku pia likipitia upya ushiriki wetu katika UNESCO." amesema Will Scharf kama sababu ya Donald Trump kuamua kujiondoa kwenye Mashirika hayo. Ameongeza kuwa agizo hilo pia linaelekeza ukaguzi wa kina wa ushiriki wa Marekani katika Umoja wa Mataifa kwa ujumla, hususan kuhusu tofaudi kubwa za ufadhili zinazotolewa na Marekani ikilinganishwa na mataifa mengine ambayo "hayatendei haki Marekani".
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·684 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added 3 Φωτογραφίες
    2025-02-06 06:24:25 ·
    Msanii wa Nigeria , Wizkid achangia kumpa Bob Marley tuzo yake akiwa ni Marehemu.

    Pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa hai, Mwanamziki nguli Duniani, Raia wa Jamaica , Bob Marley hakuwahi kushinda tuzo ya Grammy katika maisha yake, lakini miaka michache iliopita familia yake walimtafuta Msanii kutoka Nchini Nigeria, Wizkid kwa ajili ya kufanya Collabo na Bob Marley ili waweze kuifanya upya kazi ya Bob Marley "One love, Music inspired by the Film, Album.

    Baada ya albamu hiyo kutoka ambapo Wizkid ameifanya upya imeshinda albamu bora ya mwaka ya Reggae 2025 kwenye tuzo za Grammy na kuweka rekodi ya kuwa tuzo ya kwanza ya Grammy ya Bob Marley huku shukurani kubwa amepewa Wizkid.

    Aidha, Wizkid amepokea cheti kutoka kwenye Uongozi wa Grammy na barua ya shukurani kutoka kwa familia ya Marley kwa kuifanya heshima ya baba yao kuendelea kuwepo Duniani na kumsaidia Mwanamziki huyo Mkongwe wa muziki wa Reggae kushinda Grammy yake ya kwanza.

    Msanii wa Nigeria 🇳🇬, Wizkid achangia kumpa Bob Marley tuzo yake akiwa ni Marehemu. Pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa hai, Mwanamziki nguli Duniani, Raia wa Jamaica 🇯🇲, Bob Marley hakuwahi kushinda tuzo ya Grammy katika maisha yake, lakini miaka michache iliopita familia yake walimtafuta Msanii kutoka Nchini Nigeria, Wizkid kwa ajili ya kufanya Collabo na Bob Marley ili waweze kuifanya upya kazi ya Bob Marley "One love, Music inspired by the Film, Album. Baada ya albamu hiyo kutoka ambapo Wizkid ameifanya upya imeshinda albamu bora ya mwaka ya Reggae 2025 kwenye tuzo za Grammy na kuweka rekodi ya kuwa tuzo ya kwanza ya Grammy ya Bob Marley huku shukurani kubwa amepewa Wizkid. Aidha, Wizkid amepokea cheti kutoka kwenye Uongozi wa Grammy na barua ya shukurani kutoka kwa familia ya Marley kwa kuifanya heshima ya baba yao kuendelea kuwepo Duniani na kumsaidia Mwanamziki huyo Mkongwe wa muziki wa Reggae kushinda Grammy yake ya kwanza.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·949 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:24:51 ·
    Klabu zinazofanya vizuri katika Ligi Kuu zao barani Afrika kwa Wiki (14) zilizopita.

    3. Simba SC
    8. Yanga SC

    Klabu zinazofanya vizuri katika Ligi Kuu zao barani Afrika kwa Wiki (14) zilizopita. 3. Simba SC 8. Yanga SC
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·264 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:25:36 ·
    Rais wa Marekani , Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina.

    Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina.

    Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.”

    Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu.

    - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi.

    "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki."

    "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump.

    “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza

    Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina. Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina. Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.” Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu. - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi. "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki." "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump. “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·857 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Joel Fred @joemotra πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-02-06 06:41:28 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·434 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Joel Fred @joemotra πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-02-06 06:42:00 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·427 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Raymond Stephen @Proxy πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 07:00:20 ·
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·176 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2025-02-06 07:08:36 ·
    Chukua hiyooo
    Chukua hiyooo 🙄🙄🙄
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·261 Views ·0
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2025-02-06 07:09:49 ·
    Jamaa azingatiwee
    Jamaa azingatiwee 😂😂😂😂
    Love
    Wow
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·306 Views ·0
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Raymond Stephen @Proxy πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 07:45:45 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·180 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (22611-22620 από 25670)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2260
  • 2261
  • 2262
  • 2263
  • 2264
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers