Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 добавлено видео in Общий
    2025-02-06 07:08:36 ·
    Chukua hiyooo
    Chukua hiyooo 🙄🙄🙄
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·472 Просмотры ·0
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 добавлено видео in Общий
    2025-02-06 07:09:49 ·
    Jamaa azingatiwee
    Jamaa azingatiwee 😂😂😂😂
    Love
    Wow
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·525 Просмотры ·0
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Raymond Stephen @Proxy добавлены фото
    2025-02-06 07:45:45 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·220 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлены фото
    2025-02-06 07:48:50 ·
    Tunaingia mawindoni

    #paulswai
    Tunaingia mawindoni #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·902 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Raymond Stephen @Proxy добавлены фото
    2025-02-06 10:12:42 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·219 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлены фото
    2025-02-06 12:58:07 ·
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE.

    #paulswai
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE. #paulswai
    Like
    4
    · 2 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-06 14:10:52 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·225 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлена новая статья
    2025-02-06 14:48:36 ·
    Goaaaaaal..! Ateba

    Fountain Gate 0️⃣ 1️⃣ Simba Sc

    Chasambi

    #paulswai
    Goaaaaaal..! Ateba ⚽ Fountain Gate 0️⃣ 🆚 1️⃣ Simba Sc 🎯 Chasambi #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-06 15:33:17 ·
    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu.

    Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma.

    Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi , ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao.

    Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.

    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 🇨🇩 kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu. Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma. Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi 🇧🇮, ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao. Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·826 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dalton Owago @Owago обновить изображение профиля
    2025-02-06 16:00:37 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·378 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (22611-22620 из 32458)
  • «
  • Назад
  • 2260
  • 2261
  • 2262
  • 2263
  • 2264
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики